Kurasini SDA Choir - Kwenye Njia Kuu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • Kwenye Njia kuu ya kalvari Yesu aliubeba msalaba, alikufa kwa ajili yetu na siku ya kwanza alifufuka, Habari njema ni kwamba neema ni bure kwetu sote..

Комментарии • 271

  • @elviceomondi3191
    @elviceomondi3191 4 года назад +5

    Ni huzuni kutazama Kanda hii alipo Mwalimu kibaso lakini ni imani na matumaini kwamba tutakutana Paradiso, sote pasipo na huzuni wala kifo, milele na hata milele....

  • @emmanuelgwaay4773
    @emmanuelgwaay4773 4 года назад +6

    Mimi wa 16 ku-comment! Barikiweni wana na binti za Mungu, muwe na sabato njema!

  • @ShadrackMramba
    @ShadrackMramba 15 дней назад

    One of the greatest songs with pure art, touching message, and so emotional. I always have the song on repeat mode. May God bless you 🙏

  • @mokiridaniel6795
    @mokiridaniel6795 4 года назад +20

    Siku zote mtabaki kuwa choir bora kwangu na wakristo wote wanaopenda kusikiliza ujumbe na si makelele na midundo🙏

  • @ericnehemiah9872
    @ericnehemiah9872 4 года назад +8

    I love this song! I listen to it more than 5 times a day.Habari njema ni kwamba neema ni bure kwetu sote..... we kenyans loves you

  • @rachellaizer941
    @rachellaizer941 4 года назад +3

    Wasabato mpo juu sana kiuimbaji

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 3 года назад +1

    Bwana Mungu awabariki sana, awape ushujaa zaidi. Nawapenda sana.

  • @anetivicent6176
    @anetivicent6176 4 года назад +1

    Nawaombea Mungu ainue Roho ya Kibaso maradufu,,,,songeni mbele waungwana wa Baba!!!

  • @bathshebahkakila2934
    @bathshebahkakila2934 4 года назад +7

    Nahisi hii ni moja ya kwaya chache zilizobaki bila kuiga mitindo ya kidunia ..proud Adventist choir😍 be blessed

    • @Bmstar-pz4qt
      @Bmstar-pz4qt 4 года назад

      Vp ww umebaki kama zamani au ndo tunatoa sifa kwako hku Sisi tukiwa tumeshapoteana🤔🤔🤔

  • @ruthjohns6593
    @ruthjohns6593 4 года назад +8

    I love this piece of music
    Naiskiza Mara kwa Mara
    Pumzika kwa Amani Mwalim kibaso

  • @charleskaro777
    @charleskaro777 Год назад +2

    Around 20 Years listening your songs from Burundi. God bless you so much. You dress code is "evangelism by itself" , you sing to teach not to entertain or just make money. I love You so much!

  • @celicadet1785
    @celicadet1785 3 года назад

    Amen amen amen amen amen amen

  • @abneReborn
    @abneReborn 4 года назад +9

    I grew up knowing Kurasini.
    My dream was that I would meet you all singing Najivunia Yesu while the great humble Kibaso leading. Unfortunately, his time came so early....
    Love Kurasini, never stop your singing spirits and the discipline in it. God bless you all. May we meet in paradiso...

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 4 года назад +1

    Mungu wetu mwema, Mungu wa miujiza tenda kwa Mtumishi wako Kibaso..... MGUSE BWANA APONE!

  • @williamfreikins4325
    @williamfreikins4325 3 года назад

    Mwalimu kebaso mpaka Yesu arudi

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 4 года назад +1

    poleni kanisa la kurasini kwa msiba huu mkubwa.wa Mwl kibaso!!!tutaonana ile Asubuhi njema

  • @kemoi4762
    @kemoi4762 3 года назад +2

    So many Choirs have come and gone but Kurasini is still going strong. And have never lost course like the others.

  • @EmmyNyambulapi
    @EmmyNyambulapi 9 месяцев назад

    Mungu azidi kuwainua nawapenda sanaaaa

  • @lilianjulius719
    @lilianjulius719 4 года назад +3

    Mbarikiwe sana waanjilishaji kwa njia ya uimbaji....Mungu azidi kuwapa neema na mibaraka tele kupitia nyimbo zenu zinatukumbusha ukuu wa kristo pale msalabani..

  • @tonykamwaro1924
    @tonykamwaro1924 4 года назад +7

    Deep music, thank you Jesus for dying to SAVE me.

  • @charlesakomba5949
    @charlesakomba5949 3 года назад

    mbarikiwe wana wa na binti za Mungu

  • @daudnkune4801
    @daudnkune4801 4 года назад +1

    Wimbo mzuri Sana Mungu aendelee kuwatia Nguvu muendelee kutuimbia nyimbo nzuri.

  • @jackjacob9264
    @jackjacob9264 Год назад

    Sauti tamu, hongereni wana kurasini

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 3 года назад

    Injili imehubiriwa ktk huu wimbo

  • @alexnabibia4423
    @alexnabibia4423 4 года назад +3

    Listening to latest compositions for Kibaso..all points to his readiness to meet his creator..
    Fare thee well mtumishi
    You fought a good fight and finished the race

  • @samoramakiri1136
    @samoramakiri1136 3 года назад

    Ujumbe ulioko kwenye wimbo huu ni nzito sana. Ni ombi langu, mioyo yetu imkubali Yesu Kristo kwa maana alitupenda sana.

  • @danielndarera8087
    @danielndarera8087 4 года назад

    Wimbo huu ulinitia kwenye mizani nikitafakari juu ya ujio wa Mungu. Mimi ni mavumbi tu.

  • @maryannsero
    @maryannsero 4 года назад +3

    May the soul of mwalimu rest as he awaits for that day when we shall not know death again

  • @victoriamotieri7780
    @victoriamotieri7780 3 месяца назад

    Really good song I love it ❤❤❤

  • @obedgetuno1672
    @obedgetuno1672 4 года назад +7

    Our thoughts and prayers are with the family and friends of mwalimu Kebaso.
    May his soul rest in peace

  • @phidelismwamburi7657
    @phidelismwamburi7657 4 года назад +1

    Wimbo huu unagusa moyo,nimejaribu kuzuia MACHOZI lakini nikashindwa.Mungu awabariki kwa ujumbe huu.

  • @Shukuru_
    @Shukuru_ Год назад

    My favourite song of All time hasa kuhusu upendo wa Yesu kwetu, mubarikiwe sana. Injili isonge mbele kwa Nguvu za Yesu

  • @nancyodera8178
    @nancyodera8178 4 года назад +1

    huu wimbo umenigusa moyo kabisa, kila siku najipata nikiisikiliza na machozi yakinidondoka

  • @langatweldon2569
    @langatweldon2569 2 года назад

    May God bless you kurasini

  • @astonishmbwambo185
    @astonishmbwambo185 4 года назад +2

    Mbarikiwe Sana kurasini sda choir. Mungu azid kuwainua kwa ajili ya utukufu wa jina lake

  • @mayejikubini1703
    @mayejikubini1703 4 года назад

    Mungu awabariki sana wapendwa

  • @shukraninathan4946
    @shukraninathan4946 4 года назад +2

    Wow! Kurasani choir nawapenda saana. Huu wimbo umenigusa saanaaaa mbarikiwe saaana

  • @orengenyabuto4457
    @orengenyabuto4457 4 года назад +3

    Mungu azidi kuwabariki kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya

  • @pharesooko1452
    @pharesooko1452 4 года назад +20

    Be blessed , a choir abiding with SDA ethics , messages and dedication in God's service.

  • @rebeccacostantine9961
    @rebeccacostantine9961 4 года назад +3

    Huu wimbo km vile ulikuwa unamuaga mwalimu samsoni kibaso , tuonane asbh njema mwalimu kibaso

  • @harrunochieng6355
    @harrunochieng6355 3 года назад

    WanaKurasini kwaya wote Mungu wetu awasaidie. Asanteni kwa nyimbo tamu. Nipo Kwenye Njia asubuhi huu.

  • @evansachieng2686
    @evansachieng2686 4 года назад +3

    My heart aches....Death stings! Thanks to Jesus who has conquered death for us. May God uphold Kurasini choir

  • @georgenyangi809
    @georgenyangi809 4 года назад +2

    Tunapo tafakari njia kuu ya kalvary tuchukue muda kidogo tumuombee sir Kibaso

  • @abigaelkenyanya1594
    @abigaelkenyanya1594 4 года назад +10

    So painful watching Mwalimu Kibaso 😭. We shall dearly miss him but his legacy and love for God will keep us going. Tutaonana tena 🙏🏾

  • @jesmatchannel6369
    @jesmatchannel6369 2 года назад

    Ooh my God,sda sings well

  • @amanichoirnyangotosdachurc5071
    @amanichoirnyangotosdachurc5071 4 года назад

    Amina, Mungu awabariki
    Poleni pia kwa kuondokewa na Mwl Kibaso Mungu aendelee kuwa faraja ya pekee kwenu na kwa Familia yake na Familia ya music wa injili

  • @catherinemnkeni8357
    @catherinemnkeni8357 4 года назад +2

    Rest in paradiso sir kibaso we wll meet again in new bright mornng

  • @africayetutv329
    @africayetutv329 4 года назад

    Kurasini kiukweli mnatisha kwanza mnazingatia maadili hakuna mtu aliyesuka wote mko smart Mungu awabariki sana

  • @michirapaul9758
    @michirapaul9758 4 года назад +1

    Kurasini my best choir.. Today a sad day to have lost mwalimu Kebaso. It should be known that we will miss you brother. Meet you in the morning.

  • @benjaminachuti5872
    @benjaminachuti5872 4 года назад +2

    Mwalimu kibaso we will miss you RIP

  • @reaganonjula3290
    @reaganonjula3290 4 года назад

    Yesu kabeba msalaba

  • @nyachirangimlengwa
    @nyachirangimlengwa 4 года назад +2

    Nilikua nausubiri huu wimbo...mbarikiwe Kurasini

  • @jaredmoibi
    @jaredmoibi 4 года назад +10

    He was humble and became obedient to death even the death on the cross. Nimekombolewa na damu ya Yesu. Thank you wanakwaya. Love you all.

  • @denicerwechungura5719
    @denicerwechungura5719 4 года назад +2

    Mbarikiwe sana kurasini kwaya

  • @obedgetuno1672
    @obedgetuno1672 4 года назад +3

    Amen. Mbarikiwe sana

  • @kundumaji
    @kundumaji 3 года назад

    Ni mzuri Sana

  • @christinemomzy7976
    @christinemomzy7976 4 года назад +3

    He reached many through the songs that he wrote... Its just sad💔😔Rest in peace

  • @alexsaimon4263
    @alexsaimon4263 3 года назад

    wimbo unachoma moyo sana.

  • @magdalenakajeri9896
    @magdalenakajeri9896 4 года назад

    kuimba katika roho na kweli kunapelea nafsi kuinuliwa na kukutana na uwepo wa Mungu...

  • @matotiproduction3289
    @matotiproduction3289 4 года назад +3

    Mbarikiwe sana na sabato njema kwenu

  • @twendythomas7072
    @twendythomas7072 4 года назад

    Pumzika kwa Amani Samson. Ulimtumikia Mungu nenda salama!

  • @sabamultimediabrand
    @sabamultimediabrand 4 года назад +2

    Mbarikiwe wapendwa ktk imani

  • @philipleonard6941
    @philipleonard6941 4 года назад +1

    RIP mwalimu Kebasu...
    Heavenly bliss we shall meet.....

  • @tsombefelix6500
    @tsombefelix6500 4 года назад +2

    Mbarikiwe .. neema juu yetu kweli

  • @abrahamyego4190
    @abrahamyego4190 3 года назад +1

    I can't stop playing this song,,reminds me how Christ delivered us

  • @douglasnyambagera7535
    @douglasnyambagera7535 4 года назад +3

    Asanteni ndugu zangu kwa wimbo huu, nawapenda saaaana

  • @agnesskatawa8467
    @agnesskatawa8467 Год назад

    Amen and powerful message

  • @newtonotecko1042
    @newtonotecko1042 4 года назад +4

    Joy comes in the morning! Amen. Heaven will be okey, let's pray to be there.

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 4 года назад +1

    So sad to see mr Kibaso singing may he rest in peace and Thanks to Almighty God who sent Jesus to die for us. For God so loved the world, that he gave his only son, that whoever believes in him should not perish but have eternal life.John 3:16🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💓🥰😍💖

  • @SingoEzekiel-nq7zv
    @SingoEzekiel-nq7zv Год назад

    Your the best kwaya in my christian life.God bless you Kurasini SDA

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 года назад +1

    Poleni sana wana Choir kwa kumpoteza mwezenu

  • @luciajeremia6523
    @luciajeremia6523 4 года назад

    Akumbukwe Sana Mwl KIBASO 😭😭😭😭😭

  • @finestford007
    @finestford007 4 года назад

    yan nikimwona mr kibaso duuu juzjuz tu tulikuwanae!

  • @realtechmedia2495
    @realtechmedia2495 2 года назад

    nahitaji wimbo usemao ninaye rafiki wa dhamani anipendaye tena mlinzi mwema

  • @rodgerzwilliam9808
    @rodgerzwilliam9808 4 года назад +5

    Amen.Such a powerful inspirational hymns that thrills thre soul

  • @ayoubmaulid5445
    @ayoubmaulid5445 11 месяцев назад

    Mungu wa mbinguni awajalie afya njema ndg zang tuzid kumwinua Bwana

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 3 года назад +2

    Nawapenda sana. Mungu awabariki wote

  • @amosichibunu8974
    @amosichibunu8974 4 года назад

    Amani ya Bwana,ikamuangazie nuru ya MILELE,,Amina

  • @rachelndege3819
    @rachelndege3819 4 года назад +4

    R.i.p KIBASO 😭so sad

  • @joshaurola3722
    @joshaurola3722 4 года назад +5

    You're my all time best choir.
    Be blessed
    Happy Sabbath

  • @jacksonotieno22
    @jacksonotieno22 4 года назад

    poleni Sana kwa kumpoteza mwalimu mpendwa Samson nyimbo zapendeza

    • @marrygobba9963
      @marrygobba9963 4 года назад

      Mungu awe nanyi shikaneni msiachane. Kibaso amelala lakini matendo yake yatakumbukwa daima.

  • @annieghaty
    @annieghaty 4 года назад +5

    Such a powerful song.. God bless You all, keep on singing for Jesus 🙏

  • @rogermillerawaa2690
    @rogermillerawaa2690 4 года назад +4

    My sincere condolences to Kibaso's family and the entire Kurasini fraternity.

    • @moseoginda3328
      @moseoginda3328 4 года назад

      Did he know he was going to die... Still looks strong 💪

  • @felixmasae
    @felixmasae 4 года назад +1

    It's just very hard to admit this but all is not lost yet God will restore you

  • @dettoxhap1329
    @dettoxhap1329 4 года назад +1

    Ilove this song.... Ooh Lord guide me .

  • @innocentiaanyango992
    @innocentiaanyango992 4 года назад +6

    Every time I play this music I find myself wanting to kneel down and pray its a powerful..its composition must have been led by the Holy Spirit.
    May God bless you..It is well!

  • @2CBNTV
    @2CBNTV 4 года назад +1

    Amen

  • @HojaKidesheni-to8ro
    @HojaKidesheni-to8ro 11 месяцев назад

    Mungu awaongoze na kuwaongezea uwezo zaidi ya hapo mlipofikia

  • @huzeymaali1422
    @huzeymaali1422 4 года назад +1

    Like the simplicity of this choir songs with message ever. My God use u pple to reach the world furthermore this season of corona.

  • @anetivicent6176
    @anetivicent6176 4 года назад

    Jitahidini msiige mihemko na midundo ya kisasa,,,,tunawategemea mno kurasini kwa nidhamu ya uimbaji,

  • @emmanuelshaibu1177
    @emmanuelshaibu1177 4 года назад +3

    Hongeren sana

  • @villateag1221
    @villateag1221 4 года назад +3

    Amina!

  • @rachaelnyarangi8853
    @rachaelnyarangi8853 4 года назад

    God above all tutashinda kifo milele rest mwalimu

  • @donaldoketch7105
    @donaldoketch7105 4 года назад +1

    Kweheri Cheupeee...lala salama.

  • @dadarehema
    @dadarehema 4 года назад +1

    Oh,wow! Nice song.Keep going Kurasini SDA.

  • @abadeoloko1397
    @abadeoloko1397 4 года назад +2

    This song emphasizes the basis of the gospel. May the Lord bless your ministry Kurasini SDA Church Choir

  • @joshuamaoro8303
    @joshuamaoro8303 4 года назад

    Nimerudi kuangalia huu wimbo baada ya Mwalimu Kibaso kutuaga leo😥

  • @phanicealuoch9364
    @phanicealuoch9364 4 года назад

    Nyimbo tamu sana...play it all time...RIp mwalimu kibaso

  • @apmtkendepot6412
    @apmtkendepot6412 Год назад

    Ooow am touched

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 3 года назад

    Aminaaaaaaa