Kwenye Njia kuu ya kalvari Yesu aliubeba msalaba, alikufa kwa ajili yetu na siku ya kwanza alifufuka, Habari njema ni kwamba neema ni bure kwetu sote..
Ni huzuni kutazama Kanda hii alipo Mwalimu kibaso lakini ni imani na matumaini kwamba tutakutana Paradiso, sote pasipo na huzuni wala kifo, milele na hata milele....
Around 20 Years listening your songs from Burundi. God bless you so much. You dress code is "evangelism by itself" , you sing to teach not to entertain or just make money. I love You so much!
I grew up knowing Kurasini. My dream was that I would meet you all singing Najivunia Yesu while the great humble Kibaso leading. Unfortunately, his time came so early.... Love Kurasini, never stop your singing spirits and the discipline in it. God bless you all. May we meet in paradiso...
Mbarikiwe sana waanjilishaji kwa njia ya uimbaji....Mungu azidi kuwapa neema na mibaraka tele kupitia nyimbo zenu zinatukumbusha ukuu wa kristo pale msalabani..
Listening to latest compositions for Kibaso..all points to his readiness to meet his creator.. Fare thee well mtumishi You fought a good fight and finished the race
Amina, Mungu awabariki Poleni pia kwa kuondokewa na Mwl Kibaso Mungu aendelee kuwa faraja ya pekee kwenu na kwa Familia yake na Familia ya music wa injili
So sad to see mr Kibaso singing may he rest in peace and Thanks to Almighty God who sent Jesus to die for us. For God so loved the world, that he gave his only son, that whoever believes in him should not perish but have eternal life.John 3:16🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💓🥰😍💖
Every time I play this music I find myself wanting to kneel down and pray its a powerful..its composition must have been led by the Holy Spirit. May God bless you..It is well!
Ni huzuni kutazama Kanda hii alipo Mwalimu kibaso lakini ni imani na matumaini kwamba tutakutana Paradiso, sote pasipo na huzuni wala kifo, milele na hata milele....
Mimi wa 16 ku-comment! Barikiweni wana na binti za Mungu, muwe na sabato njema!
Oh! God rest in peace brother Kibaso
One of the greatest songs with pure art, touching message, and so emotional. I always have the song on repeat mode. May God bless you 🙏
Siku zote mtabaki kuwa choir bora kwangu na wakristo wote wanaopenda kusikiliza ujumbe na si makelele na midundo🙏
Barikiwa!
@@kurasinisdachoir keep on spreading the message to the world
Exactly
I love this song! I listen to it more than 5 times a day.Habari njema ni kwamba neema ni bure kwetu sote..... we kenyans loves you
Likewise
Wasabato mpo juu sana kiuimbaji
Bwana Mungu awabariki sana, awape ushujaa zaidi. Nawapenda sana.
Nawaombea Mungu ainue Roho ya Kibaso maradufu,,,,songeni mbele waungwana wa Baba!!!
Nahisi hii ni moja ya kwaya chache zilizobaki bila kuiga mitindo ya kidunia ..proud Adventist choir😍 be blessed
Vp ww umebaki kama zamani au ndo tunatoa sifa kwako hku Sisi tukiwa tumeshapoteana🤔🤔🤔
I love this piece of music
Naiskiza Mara kwa Mara
Pumzika kwa Amani Mwalim kibaso
Around 20 Years listening your songs from Burundi. God bless you so much. You dress code is "evangelism by itself" , you sing to teach not to entertain or just make money. I love You so much!
Amen amen amen amen amen amen
I grew up knowing Kurasini.
My dream was that I would meet you all singing Najivunia Yesu while the great humble Kibaso leading. Unfortunately, his time came so early....
Love Kurasini, never stop your singing spirits and the discipline in it. God bless you all. May we meet in paradiso...
Mungu wetu mwema, Mungu wa miujiza tenda kwa Mtumishi wako Kibaso..... MGUSE BWANA APONE!
Mwalimu kebaso mpaka Yesu arudi
poleni kanisa la kurasini kwa msiba huu mkubwa.wa Mwl kibaso!!!tutaonana ile Asubuhi njema
So many Choirs have come and gone but Kurasini is still going strong. And have never lost course like the others.
Amen 🙏
Mungu azidi kuwainua nawapenda sanaaaa
Mbarikiwe sana waanjilishaji kwa njia ya uimbaji....Mungu azidi kuwapa neema na mibaraka tele kupitia nyimbo zenu zinatukumbusha ukuu wa kristo pale msalabani..
Barikiwa mpendwa!
Deep music, thank you Jesus for dying to SAVE me.
mbarikiwe wana wa na binti za Mungu
Wimbo mzuri Sana Mungu aendelee kuwatia Nguvu muendelee kutuimbia nyimbo nzuri.
Sauti tamu, hongereni wana kurasini
Injili imehubiriwa ktk huu wimbo
Listening to latest compositions for Kibaso..all points to his readiness to meet his creator..
Fare thee well mtumishi
You fought a good fight and finished the race
Ujumbe ulioko kwenye wimbo huu ni nzito sana. Ni ombi langu, mioyo yetu imkubali Yesu Kristo kwa maana alitupenda sana.
Wimbo huu ulinitia kwenye mizani nikitafakari juu ya ujio wa Mungu. Mimi ni mavumbi tu.
May the soul of mwalimu rest as he awaits for that day when we shall not know death again
Really good song I love it ❤❤❤
Our thoughts and prayers are with the family and friends of mwalimu Kebaso.
May his soul rest in peace
Wimbo huu unagusa moyo,nimejaribu kuzuia MACHOZI lakini nikashindwa.Mungu awabariki kwa ujumbe huu.
My favourite song of All time hasa kuhusu upendo wa Yesu kwetu, mubarikiwe sana. Injili isonge mbele kwa Nguvu za Yesu
huu wimbo umenigusa moyo kabisa, kila siku najipata nikiisikiliza na machozi yakinidondoka
May God bless you kurasini
Mbarikiwe Sana kurasini sda choir. Mungu azid kuwainua kwa ajili ya utukufu wa jina lake
Amina..
Mungu awabariki sana wapendwa
Wow! Kurasani choir nawapenda saana. Huu wimbo umenigusa saanaaaa mbarikiwe saaana
Amina
Mungu azidi kuwabariki kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya
Amina
Be blessed , a choir abiding with SDA ethics , messages and dedication in God's service.
N
5
Huu wimbo km vile ulikuwa unamuaga mwalimu samsoni kibaso , tuonane asbh njema mwalimu kibaso
WanaKurasini kwaya wote Mungu wetu awasaidie. Asanteni kwa nyimbo tamu. Nipo Kwenye Njia asubuhi huu.
My heart aches....Death stings! Thanks to Jesus who has conquered death for us. May God uphold Kurasini choir
Tunapo tafakari njia kuu ya kalvary tuchukue muda kidogo tumuombee sir Kibaso
Barikiwa..
Nimeumia Sana😭
So painful watching Mwalimu Kibaso 😭. We shall dearly miss him but his legacy and love for God will keep us going. Tutaonana tena 🙏🏾
Ooh my God,sda sings well
Amina, Mungu awabariki
Poleni pia kwa kuondokewa na Mwl Kibaso Mungu aendelee kuwa faraja ya pekee kwenu na kwa Familia yake na Familia ya music wa injili
Rest in paradiso sir kibaso we wll meet again in new bright mornng
Kurasini kiukweli mnatisha kwanza mnazingatia maadili hakuna mtu aliyesuka wote mko smart Mungu awabariki sana
Kurasini my best choir.. Today a sad day to have lost mwalimu Kebaso. It should be known that we will miss you brother. Meet you in the morning.
Mwalimu kibaso we will miss you RIP
Yesu kabeba msalaba
Nilikua nausubiri huu wimbo...mbarikiwe Kurasini
Barikiwa..
He was humble and became obedient to death even the death on the cross. Nimekombolewa na damu ya Yesu. Thank you wanakwaya. Love you all.
We love you
Mbarikiwe sana kurasini kwaya
Amina
Amen. Mbarikiwe sana
Ni mzuri Sana
He reached many through the songs that he wrote... Its just sad💔😔Rest in peace
wimbo unachoma moyo sana.
kuimba katika roho na kweli kunapelea nafsi kuinuliwa na kukutana na uwepo wa Mungu...
Mbarikiwe sana na sabato njema kwenu
Ahsante, Sabato njema na kwako pia
Pumzika kwa Amani Samson. Ulimtumikia Mungu nenda salama!
Mbarikiwe wapendwa ktk imani
Amina
RIP mwalimu Kebasu...
Heavenly bliss we shall meet.....
Mbarikiwe .. neema juu yetu kweli
I can't stop playing this song,,reminds me how Christ delivered us
Asanteni ndugu zangu kwa wimbo huu, nawapenda saaaana
Amen and powerful message
Joy comes in the morning! Amen. Heaven will be okey, let's pray to be there.
Amen
Great melodies for King Jesus. Keep it up, our brothers from SDA!!
So sad to see mr Kibaso singing may he rest in peace and Thanks to Almighty God who sent Jesus to die for us. For God so loved the world, that he gave his only son, that whoever believes in him should not perish but have eternal life.John 3:16🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💓🥰😍💖
Your the best kwaya in my christian life.God bless you Kurasini SDA
Poleni sana wana Choir kwa kumpoteza mwezenu
Akumbukwe Sana Mwl KIBASO 😭😭😭😭😭
yan nikimwona mr kibaso duuu juzjuz tu tulikuwanae!
nahitaji wimbo usemao ninaye rafiki wa dhamani anipendaye tena mlinzi mwema
Amen.Such a powerful inspirational hymns that thrills thre soul
Mungu wa mbinguni awajalie afya njema ndg zang tuzid kumwinua Bwana
Nawapenda sana. Mungu awabariki wote
Amani ya Bwana,ikamuangazie nuru ya MILELE,,Amina
R.i.p KIBASO 😭so sad
You're my all time best choir.
Be blessed
Happy Sabbath
Happy day!
Exactly
poleni Sana kwa kumpoteza mwalimu mpendwa Samson nyimbo zapendeza
Mungu awe nanyi shikaneni msiachane. Kibaso amelala lakini matendo yake yatakumbukwa daima.
Such a powerful song.. God bless You all, keep on singing for Jesus 🙏
Amen!
My sincere condolences to Kibaso's family and the entire Kurasini fraternity.
Did he know he was going to die... Still looks strong 💪
It's just very hard to admit this but all is not lost yet God will restore you
Ilove this song.... Ooh Lord guide me .
Every time I play this music I find myself wanting to kneel down and pray its a powerful..its composition must have been led by the Holy Spirit.
May God bless you..It is well!
Amen
Mungu awaongoze na kuwaongezea uwezo zaidi ya hapo mlipofikia
Like the simplicity of this choir songs with message ever. My God use u pple to reach the world furthermore this season of corona.
Jitahidini msiige mihemko na midundo ya kisasa,,,,tunawategemea mno kurasini kwa nidhamu ya uimbaji,
Hongeren sana
Amina!
God above all tutashinda kifo milele rest mwalimu
Kweheri Cheupeee...lala salama.
Oh,wow! Nice song.Keep going Kurasini SDA.
This song emphasizes the basis of the gospel. May the Lord bless your ministry Kurasini SDA Church Choir
Nimerudi kuangalia huu wimbo baada ya Mwalimu Kibaso kutuaga leo😥
Nyimbo tamu sana...play it all time...RIp mwalimu kibaso
Ooow am touched
Aminaaaaaaa