Kurasini SDA Choir - SAUTI YANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • SAUTI YANGU BADO INA NGUVU, NAWEZA KUTANGAZA INJILI... BY KURASINI SEVENTH-DAY ADVENTIST CHOIR- DAR ES SALAAM. VIDEO RELEASE 29 DECEMBER 2023.

Комментарии • 184

  • @ReubenChalz
    @ReubenChalz 12 дней назад

    Nitawezaje kunyamaza kimya sauti yangu Bado inanguvu Amina . Tuzitumie sauti zetu vizuri wakati huu tunanguvu.. mwenyezi Mungu tujalie kuyatii na kuyafwata maandiko kwani siku zetu nichache sana

  • @marvineochieng6757
    @marvineochieng6757 7 месяцев назад +15

    Miaka yangu ni ya kukopeshwa naishi kwa rehema za Bwana, hakuna njema nililotenda kushinda walio lala. Very powerful stanza.

  • @Daviespice
    @Daviespice 10 дней назад

    Wimbo mtamu mno..mola awabariki Sana waimbaji wote 🙏🙏

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde7828 17 часов назад

    Nivizuri kukubali kufanya vizuri kazi ya Mungu ungali na nguvu.

  • @alexmduma6278
    @alexmduma6278 8 месяцев назад +10

    Mungu awabariki sana kwaya yetu ya kimataifa Kurasini SDA kwaya.Hatuwezi kunyamaza wakati Sauti zetu bado zina nguvu tupaze sauti zetu Yesu anarudi tena.

  • @faithhenry5369
    @faithhenry5369 8 месяцев назад +15

    Maneno ya wimbo huu unapotafakari kama mwimbaji ina uzito sana hasa kwa wale wanao kasirika na kuacha uimbaji kwaajili ya viji sababu

  • @raphaelalrajabu650
    @raphaelalrajabu650 8 месяцев назад +7

    Mwalim kibaso 😭😭😭 Tutakukumbuka siku zote Za Maisha Yetu , Mungu Atuongoze katika Kazi Yake, kila Ni sikiapo Nyimbo izi Moyo wangu Uwa Unauma Saana 😭😭😭

  • @edwardjoseph8188
    @edwardjoseph8188 2 дня назад

    This song is always my favourite. As a musician, and a director of Choir it gives me the courage and confidence of singing and singing and singing coz.....miaka yangu ni ya kukopeshwa, naishi kwa rehema za Bwana.
    When I imagine that one day I will not be able to sing, I shade tears.
    Powerful words in this song.

  • @user-hv7tn9vy3u
    @user-hv7tn9vy3u 5 дней назад

    Mimi siyo msabato lakini huu wimbo unajumbe mzuri sanaaaa

  • @faithzolar8695
    @faithzolar8695 7 месяцев назад +4

    Kurasini choir hii wimbo went viral and it trended sana adi wa leo inatrend,mamillions za watu hasa wakenya waliifanyia challenges,DJs walicheza mix sana,live long SDA live long Kurasini

  • @daudigamba8821
    @daudigamba8821 8 месяцев назад +2

    Pongezi kwa wimbo mzuri....pongezi nyingi sana kwa mkalimani wa lugha ya alama hakika ametenda haki amewasilisha ujumbe vyema kbs kwa kuzingatia maudhui ya wimbo na melody...Mungu ambariki sana kwa kazi njema 🙏🏼🙏🏼

  • @lilianmasawe8094
    @lilianmasawe8094 3 месяца назад +1

    Mungu awatunze watumishi wa Yesu....wimbo una ujumbe mzuri mnoo

  • @gwalambafredy4469
    @gwalambafredy4469 8 месяцев назад +2

    Mungu wenu mnaemtumikia hata nyamaza atawabariki,asante kwa kazi nzuri na ujumbe unaotia moyo.Kurasini will be the role modal to all Adventist choirs.

  • @wisleymarube5510
    @wisleymarube5510 8 месяцев назад +2

    You always bless me. Mungu awaongeze miaka ingine muendelee kumtukuza Mungu

  • @asamtulli4598
    @asamtulli4598 8 месяцев назад +2

    Nawapenda sana wazee wangu kurasini mnanigusa sana

  • @kitandajeremie8269
    @kitandajeremie8269 8 месяцев назад +3

    Hata huku Congo,tuna kumbuka mwalimu kibaso. Tumaini lipo,tuta onana asubui njema

  • @wycliffeongeri6988
    @wycliffeongeri6988 8 месяцев назад +3

    Mwalimu Kebaso and the greater Kurasini did and is doing good in service. May you be richly rewarded.

  • @davidcharles4348
    @davidcharles4348 8 месяцев назад +3

    Barikiweni sana watu wa Mungu nasikia faraja sana ninaposikia maneno yenu ya matumaini. Mmekuwa mkiniamsha mara nyingi roho yangu ikikata tamaa na safari. Nimewafaham tangu mwaka 1998 nimejitahid kuwatafuta mkiwa mnauza analog cassette nawapenda na nawaombea msipungue mjipe moyo huku mliko mnatuongoa mno zaid ya mnavyofikiri. Nimejifunza uimbaji kupitia kwenu na hata sasa nafurahi kila ninaposikia sauti zenu. BARIKIWENI. ningependa mtupatie na zile za zaman kabisa zilikuwa na ujumbe sana. Tengenezeni column ya za kale

  • @andrewonsare1861
    @andrewonsare1861 8 месяцев назад +3

    Shukrani. Re-do all your old songs tafadhali. Very sweet😊

  • @Nyanda_Jr
    @Nyanda_Jr 8 месяцев назад +3

    Waooow oooh waooow. Niliusikia huu wimbo mara ya kwanza nikiwa na miaka kama 10 hivi. Mbarikiwe sana uimbaji wenu ndio identinty yetu ya kanisa. Huu ndio uimbaji wa kisabato. Mabirikiwe sana kurasini.

  • @user-ei7fl7sy4z
    @user-ei7fl7sy4z 8 месяцев назад +1

    Huu wimbo nilihold na kujika nisiusikilize ili tu uwe wimbo wangu wa kwanza wa 2024 kuusikiliza.nimebarikiwa.Mungu ainuliwe kupitia huu wimbo.lindalissi

  • @alicesereti3028
    @alicesereti3028 8 месяцев назад +2

    Happy new year wapendwa ..Amen kwa kazi mnaendelea kutukuza Mungu mbarikiwa 🙏🏼🙏🏼

  • @phyniacerungu5368
    @phyniacerungu5368 8 месяцев назад +3

    Moja ya jambo zuri sana mnafanya kurasini SDA choir ni kuzirudia nyimbo za zamani na kuziweka katika teknolojia ya kisasa....mbarikiwe sanaaaaaaa

  • @NaetweFue-sx5ju
    @NaetweFue-sx5ju 4 дня назад

    Barikiweni sana Kurasini

  • @buya2030
    @buya2030 8 месяцев назад +1

    Amen🙏 Mungu awabariki kwa kazi nzuri na talanta tele! Hakika miaka yetu ni ya kukopeshwa, tunaishi tu kwa neema ya Bwana... 🙏

  • @mathiasmangwanya4112
    @mathiasmangwanya4112 8 месяцев назад +1

    Mungu atukuzwe kwa wimbo huu. Hongereni sana Wana Kurasini Kwaya. Mungu awatie nguvu na kuwabariki muendelee kumtumikia

  • @benardotuoma59
    @benardotuoma59 8 месяцев назад +6

    Amina watumishi wimbo unanikumbusha mwaka 2008 nikiwa form 5 Minaki High School,nilipokuja kusali Kurasini SDA church,tukiwa na mwamba Mwl Kibaso, waliimba huu wimbo na Safari ya Matumaini, Kurasini SDA church choir mumeeneza injili nje na ndani ya Tanzania

  • @dennismaosa7051
    @dennismaosa7051 5 месяцев назад +1

    Popote historia ya Kurasini itatajwa na kuandikwa Mwalimu Kebaso hutatoshea kwa sura moja tu. Makiwa. Sauti zetu zitatoweka pia siku moja tuzitumie vizuri.

  • @JOYDANFAMILYSINGERS
    @JOYDANFAMILYSINGERS 2 месяца назад +1

    Wow amen mungu awabariki

  • @PrincessSally777
    @PrincessSally777 4 месяца назад +1

    This is powerful……Definitely we can feel the presence of Mwalimu Kibaso..Your legacy lives forever legend…My all time choir❤️❤️

  • @perisbosibori2249
    @perisbosibori2249 7 месяцев назад +1

    May GOD strengthen you as you continue serving our SOVEREIGN LORD in His vineyard, AMEN 🙏🙌.

  • @johnsonsebastian3248
    @johnsonsebastian3248 8 месяцев назад +1

    nice vedio Mungu awabariki sana kurasini mwende mbali

  • @joelpereiralima9193
    @joelpereiralima9193 8 месяцев назад +5

    Feliz Ano Novo muita paz e amor lindo louvor ❤❤❤

  • @anitayala8092
    @anitayala8092 8 месяцев назад +3

    Thank you for bringing this song back to life❤..God bless you

  • @ElizabethMjema-fp6pm
    @ElizabethMjema-fp6pm 8 месяцев назад

    Barikiweni sana napenda nyimbo zenu Mungu azisi kuinuliwa kupitia kwaya ya kurasini

  • @Jacksbalampa
    @Jacksbalampa Месяц назад

    Ameen amen

  • @didanurdin7088
    @didanurdin7088 2 месяца назад

    Mama ang amerud mavumbin na saut yke imetoweka ctaisikia Tena 😭😭😭😭😭💔 huu Wimbo Leo umeniliza sn

  • @evelynemichael9949
    @evelynemichael9949 5 месяцев назад

    Mungu awaongeze kipaji waimbaji tunafarijika kwa ajili yenu nawapenda sana.

  • @AnneOlymer-lp3wi
    @AnneOlymer-lp3wi 8 месяцев назад +3

    You've gone through rough fiery times,but still soldering strong, never give up,for God is fighting your battles.

  • @deoekalngurichana1149
    @deoekalngurichana1149 8 месяцев назад

    Nawa penda saana, ahsant kwa kuuchagua wimbo huu kuufanyia video ni wimbo unao pendwa nawengi nami naupenda, mbarikiwe saana Mungu awape mwisho mzuri

  • @kitalecentralsdayouthchoir800
    @kitalecentralsdayouthchoir800 8 месяцев назад

    Sauti yangu bado ina nguvu nina imani Mungu atatuwezesha kuendza injili hii kupitia nyimbo

  • @AgapeandGlorySingersTz
    @AgapeandGlorySingersTz Месяц назад

    Amina

  • @eliasbahati4561
    @eliasbahati4561 8 месяцев назад

    Mbarikiwe na Mungu awatunze shambani mwake tufanye kazi yake tukiwa bado tuna uhai na nguvu

  • @501moruvideos
    @501moruvideos 8 месяцев назад +2

    God bless you all,much love all the way from Papua New Guinea

  • @piusgitongangituyu4729
    @piusgitongangituyu4729 Месяц назад

    Glory be to God 🙏

  • @malimachacha4500
    @malimachacha4500 8 месяцев назад +3

    Thanks for bringing this one in video form....i used to listen & see that one recorded during funerals of Kibaso at Rorya

  • @massmediatz4785
    @massmediatz4785 5 месяцев назад

    Amina, mbarikiwe sana. Niliwapenda tangu utoto wangu

  • @user-hz1eq1xl3x
    @user-hz1eq1xl3x 8 месяцев назад

    Aminaa, Huyu Baba wa Mbinguni azidi kuwatumia mdumu kuwa Baraka kwa ulimwengu wote.

  • @WilliamMbasha
    @WilliamMbasha 8 месяцев назад

    Amen mbalikiwe maana mmenibariki Mimi William mbasha nimejifunza kitu kama kijana na mwimbaji

  • @felixdumu254
    @felixdumu254 7 месяцев назад

    God bless you for the powerful ministry all these decades.Mola azidi kuwatia nguvu na kuwaongoza kwa yote .Amen.

  • @EneaMwaijulu-iq2ki
    @EneaMwaijulu-iq2ki 8 месяцев назад

    Amina, mbarikiwe waimbaji kwa wimbo mzuri,songeni mbele kwa kazi ya Bwana.

  • @isayambetwa6564
    @isayambetwa6564 8 месяцев назад

    Wenye wimbo wenyewe na tone Yao tamu,Mungu awabariki kurasini

  • @ElijahKimani987
    @ElijahKimani987 8 месяцев назад

    Asanteni Sana waimbaji wa kurasini.. mzidi Sana katika utumishi wa BWANA

  • @felixboimanda1724
    @felixboimanda1724 8 месяцев назад

    Amen, amen.
    Mungu nifundishe kuhesabu siku zangu

  • @raphaelmilambo8778
    @raphaelmilambo8778 8 месяцев назад

    Yaan nawapenda sana MUNGU aliwatumia kurasin kunafanya me kuwa msabato karibun mbeya iganzo

  • @annenyabuto6781
    @annenyabuto6781 4 месяца назад

    Aaa the mighty kurasini mwalimu apumzike palipo amani

  • @furahanzigayene5489
    @furahanzigayene5489 8 месяцев назад

    Wimbo wangu pendwa sana umenifunza kupenda kuimba na Kwa kweli 😢

  • @amirijoel8976
    @amirijoel8976 8 месяцев назад

    Mungu awabariki kwa huduma yenu mliyoitiwa

  • @emilymigiro2832
    @emilymigiro2832 5 месяцев назад

    Am glad the choir is still strong,let not the devil shake your foundation,we are almost home...the bright shining star is ready to be seen from the east.

  • @user-jn1hf4lc1u
    @user-jn1hf4lc1u 8 месяцев назад

    MUNGU azidi kuwalinda na kuwatumia katika kazi yake nawapendaaa sana wimbo mzuriiiii sana

  • @rehemamiriam588
    @rehemamiriam588 6 месяцев назад

    Mungu awabariki sana na azidi kuwaongoza❤❤

  • @benjaminwabwire8291
    @benjaminwabwire8291 2 месяца назад

    My best of all the best songs I listen

  • @maigamgeta9015
    @maigamgeta9015 8 месяцев назад +2

    Played this song all the way from home to church...it really blesses me a lot🙌

  • @JoshuaNgolela-pi3nh
    @JoshuaNgolela-pi3nh 8 месяцев назад

    Mungu awabariki mzidi kusonga Mbele daima

  • @fredrickotieno3934
    @fredrickotieno3934 8 месяцев назад

    Amina my favorite song I love it I'm blessed wapendwa

  • @VivianAtieno-k6z
    @VivianAtieno-k6z 8 месяцев назад

    Amen wachaniembe ningali hai miaka niyakukopesha❤

  • @salumjames5172
    @salumjames5172 8 месяцев назад

    Bwana awabariki wimbo huu huwa unanibariki sana!

  • @ZipporahAbere-ls8hk
    @ZipporahAbere-ls8hk 8 месяцев назад +1

    I really love kurasini choir and songs since my childhood. May our good Lord give you grace to spread his gospel worldwide. Mimi ni kurasini damu.

    • @peacemunisi5719
      @peacemunisi5719 8 месяцев назад

      I concur with you...Kurasini damu indeed

  • @dickencetindi5420
    @dickencetindi5420 8 месяцев назад

    Sioni Sababu ya kukimyaaaaa...........Amen

  • @lambofgodtv8107
    @lambofgodtv8107 8 месяцев назад +1

    Amen and Amen

  • @antonnycastro6624
    @antonnycastro6624 2 месяца назад

    Whenever, I listen to this song I shed tears but I love it as well.

  • @user-yz1kk6xf1q
    @user-yz1kk6xf1q 22 дня назад

    Napenda kupata namba za mtunzi wa wimbo huu na ule wimbo unasema kisa Cha Musa

  • @rumorumo5969
    @rumorumo5969 8 месяцев назад +2

    Be blessed. Kindly allow for comments ...some videos you have deactivated the comments.
    Mbarikiwe from Nairobi Kenya 1st January 2024

  • @faithhenry5369
    @faithhenry5369 8 месяцев назад

    Amina. Tutumie vipaji tulio pewa kwa wakati unaofaa tusije jutia

  • @user-ss5pg3qm1f
    @user-ss5pg3qm1f 8 месяцев назад

    Mungu awabariki sana watumishi wa Bwana

  • @amossagara805
    @amossagara805 5 месяцев назад

    Twende kazi ya Mungu wetu kwa bidii

  • @suzanapepeta5370
    @suzanapepeta5370 5 месяцев назад

    Mbarikiwe sana watumishi wa mungu

  • @davidodindo6891
    @davidodindo6891 8 месяцев назад

    Mbarikiwe Kurasini SDA Choir. Nabarikiwa na huduma yenu.

  • @raingodmmari5732
    @raingodmmari5732 8 месяцев назад +1

    My all tike SDA team 💥💥🔥🔥🔥

  • @AnnaSafi-tk9hl
    @AnnaSafi-tk9hl 8 месяцев назад

    Amen Mungu awabariki kwa kazi njema

  • @carloslonjez975
    @carloslonjez975 8 месяцев назад

    old school SDA songs hit differently...the best

  • @ManaChambua
    @ManaChambua 29 дней назад

    very nice

  • @BeatriceMassawe-uv9qu
    @BeatriceMassawe-uv9qu 8 месяцев назад

    well done kurasini Mungu awatangulie

  • @juliuswilliam5486
    @juliuswilliam5486 8 месяцев назад

    Tunaendelea kubarikiwa kwa huduma nzur ya nyimbo zenu

  • @butemimayunga292
    @butemimayunga292 8 месяцев назад

    Amen. Mungu awabariki sanaaa.

  • @zithakusaya
    @zithakusaya 8 месяцев назад

    Mungu azidi kuwabariki 👏

  • @user-fv6pl7qe2j
    @user-fv6pl7qe2j 8 месяцев назад

    Mungu awabariki sana songeni mbele

  • @felixoumaotieno984
    @felixoumaotieno984 8 месяцев назад +2

    This song is second to none🇰🇪

  • @kijayusuph6140
    @kijayusuph6140 8 месяцев назад

    Mbarikiwe sana kwa ujumbe bora zaidi

  • @user-rd5hq8cw7t
    @user-rd5hq8cw7t 8 месяцев назад

    Mbarikiwe sana kurasin nawapenda sana❤

  • @breslineanyango
    @breslineanyango 7 месяцев назад +1

    😇😇😇

  • @chiatv119
    @chiatv119 8 месяцев назад

    Mungu ni mwema wakati wote

  • @user-st9dd7yc2z
    @user-st9dd7yc2z 8 месяцев назад

    Amina sana.watuwa MUNGU

  • @dotomayunga1211
    @dotomayunga1211 8 месяцев назад +1

    Be blessed this song never gets old🙏

  • @michaelmaina990
    @michaelmaina990 8 месяцев назад +1

    Happy sabbath kurasini brethren ❤️

  • @solomonmugao4733
    @solomonmugao4733 Месяц назад

    Kujitayarisha kwa kuja kwa bwana

  • @doricambughi2833
    @doricambughi2833 8 месяцев назад

    Happy Sabbath kurasini tunawapenda sana❤

  • @momanyidoc
    @momanyidoc 8 месяцев назад +1

    Forever sing For the Lord ❤.

  • @sirmeckcha3855
    @sirmeckcha3855 8 месяцев назад

    Na mmeweka original recording, the first one. It hits like never before.

  • @amos1234ful
    @amos1234ful 8 месяцев назад

    Woooow Mungu atukuzwe