Msafiri Bora - SDA Arusha Central Youth Choir

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 770

  • @yvonneomullo5545
    @yvonneomullo5545 Год назад +71

    If you are here in 2024,let's gather here

    • @AzizMagori
      @AzizMagori 9 месяцев назад +3

      Here we are!!! This song never get old!

  • @releiabby6201
    @releiabby6201 Год назад +15

    2024 and the song still so fresh. Such a strong msg.... narudi kwa Yesu

  • @paulsamuel6265
    @paulsamuel6265 Год назад +20

    kwa mara ya kwanza nilianza kusikiliza nyimbo za kisabato mwaka 2023 nilikuwa Tarime nikasikilizishwa huu wimbo na rafiki yangu Nehemiah , MUNGU akubariki sana popote ulipo tangu hapo nabarikiwa mno na nyimbo za waadventisata wasabato ,utumishi wenu ni mzuri sana

    • @cipladapretty8617
      @cipladapretty8617 2 месяца назад

      Karbu tujumuike pamoja pia kwenye hii safar ya kwenda mbinguni.

  • @Lightministry45
    @Lightministry45 Год назад +43

    Who is with me 2024❤

  • @Sizamartine
    @Sizamartine Год назад +1

    Mungu awabariki wote mlio husika katika huu wimbo unaujumbe mzito sana

  • @yuvinalsosoro9462
    @yuvinalsosoro9462 Год назад +7

    Huu wimbo umekuwa wa kunitia moyo sana katika safari ya matumaini sana nashukuru mungu sana amen

  • @Okengo_the_chess_master
    @Okengo_the_chess_master 25 дней назад

    It's 2025, who is here with me? Feel like crying while listening to this song. Mungu awabariki wote❤

  • @jaliaismail1431
    @jaliaismail1431 Год назад +11

    Nani yuko hapa 2023❤

  • @christopherkanja3954
    @christopherkanja3954 2 года назад +10

    Ahsanteni Sana kwa mtunzi wa wimbo huu nimekuwa na ushujaa wakung'ang'ania msalaba wow wow may GOD bless all🥰🥰🥰🥰🙏🙏🙏

    • @gloriousnp
      @gloriousnp Год назад +1

      Endelea kushikilia hapohapo
      Tunaanguka na kunyanyuka tena hakuna muda wa kuangalia nyuma
      Taji zinatungoja, bado kitambonkidogo tunaiaga dunia hii ya dhambi
      Yesu, shujaa wa msalaba yuko mbele 🙏🏿🙏🏿

  • @victoriafesto6784
    @victoriafesto6784 4 года назад +9

    Wimbo umenipa nguvu jaman Jina la Yesu lizidi kuinuliwa Amen nitaendelea kung'ang'ania kwa Yesu

  • @dennissimba8887
    @dennissimba8887 5 лет назад +117

    i can replay this song over and over again. wangapi wanakubaliana na mm!!!!

  • @neemajackson1274
    @neemajackson1274 5 лет назад +3

    Nafalijika sana ninaposikia nyimbo za SDA mubalikiwe

  • @jofreyfumboonline4866
    @jofreyfumboonline4866 3 года назад +48

    Huu wimbo una ujumbe sana wangapi tupo 2021 tunautazama bado...

    • @mandelakitungano2424
      @mandelakitungano2424 2 года назад +4

      Huuu wimbo nimeanza kuusikiza nikiwa nyumbani DRC kwenye radio morning 🌞 lkn Kwa leo nyumbani tumetolewa huko juu ya Vita nikiusikiza machozi inanitililika lkn pamoja namungu tutarudi kwa sasa tupo kwenye ichi ya Kenya muzidi kutuombea

    • @torryakinyi9305
      @torryakinyi9305 2 года назад +1

      2023

    • @justinemarube7046
      @justinemarube7046 Год назад +1

      Naendea since 2017 when I knew the song

    • @jamesodhiambo2157
      @jamesodhiambo2157 11 месяцев назад +1

      2024 still

    • @rahmaahmedy6178
      @rahmaahmedy6178 11 месяцев назад

      Pole mungu yu nawe ​@@mandelakitungano2424

  • @perisbosibori2249
    @perisbosibori2249 6 месяцев назад +4

    In 2024 the song still has that powerful message and lots of blessings. GOD bless you abundantly Arusha Central 🎉🎉❤❤

  • @zephanotieno7382
    @zephanotieno7382 2 года назад +22

    it's 2022 and the song drives me back to Jesus. It's a powerful message of it's kind. May God accept us back once more

  • @GileadSanitarium
    @GileadSanitarium Год назад +1

    Msafiri bora still makes alot of sense and convicting my soul that Christ will forgive me and cleanse me from dean of death

  • @elphisnyakundi4946
    @elphisnyakundi4946 14 часов назад

    I think this song should be redone it is a soul saver ,once you listen to it.very encouraging in one's spiritual life.

  • @floribertbarutwanayo6
    @floribertbarutwanayo6 Год назад +2

    Waimbaji bora! Sisi wadiventista wa Sabato kutoka Burundi tunawapenda sana

  • @Labelashii
    @Labelashii Месяц назад

    nani bado anakasikiliza haka kanyimbo,, bado siku kadhaa niufikie mwaka 2025,, wimbo bora kwangu kila panapokucha...❤❤❤

  • @nyangetv8802
    @nyangetv8802 2 года назад +1

    Hata sasa 2022 sikio langu halijafanikiwa kusikiliza mashairi ya wimbo mzuri kama huu....Mungu mbariki Namsifu. Kwa Wimbo siwezi kujitetea kwa chochote siku ya mwisho

  • @josephnjomo4749
    @josephnjomo4749 Месяц назад

    It's 2024 Dec 24, the message from this song makes me feel the need to humble myself in everything I do.

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 года назад +2

    Ubarikiwe Namsifu unanikumbusha kurasini enzi zile Mungu akubariki.Nataka toba.

  • @StellaMugo-r6o
    @StellaMugo-r6o 5 месяцев назад +2

    Nimetoka tiktok.
    Huu wimboni mzuri sana

  • @LiynW-kt3du
    @LiynW-kt3du Год назад +11

    I really love this song 🎉just saw it in TikTok and I came to search

  • @josephmuhasa6471
    @josephmuhasa6471 3 года назад +1

    Uyu Dada anaimba vizuri Sana ubarikiwe

  • @titokipkosgei3325
    @titokipkosgei3325 2 года назад +2

    I don't know what adventists listen this song should be 10M plus views

  • @ogechadennis5329
    @ogechadennis5329 Год назад +2

    From Washington listening 🎧
    Message relevant.

  • @fridahmuthoki4761
    @fridahmuthoki4761 Год назад +1

    Heard this song for the first time Tiktok....Happy sabbath 2023

  • @gloriousnp
    @gloriousnp 5 лет назад +16

    August 2019, bado naung’ang’ania msalaba maana najua shujaa yuko mbele. naanza safari upya hadi nifike juu. wokovu taji vyote vimeandaliwa kwa ajili yangu .
    Siku moja atanifuta machozi 😢🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿

  • @fredmose4086
    @fredmose4086 2 года назад +12

    This is the right time for me to hear this song. It's touching me from every corner

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde7828 5 месяцев назад +1

    Nabarikiwa sana kutoka hapa Mararo Rd Kilimani Nairobi Kenya.

  • @alleyjuniourtz
    @alleyjuniourtz 4 месяца назад +2

    I'm here after seeing it again from tick tock...I have been found it for a long time I remember since 2015 I was standard 7 but now I am at university third year nyie I love ❣️ this song

  • @zenadismas6257
    @zenadismas6257 8 лет назад +5

    mungu akutetee dada nimeipenda sauti yako sana usonge mbele ndlo ombi langu kwa mungu

  • @hildamakule713
    @hildamakule713 Год назад +4

    It's 2023,, the song is still so fresh to my soul.

  • @amanichips9394
    @amanichips9394 3 года назад +1

    mbarikiwe kwa nyimbo nzuri

  • @lovenessmndeme5058
    @lovenessmndeme5058 4 года назад +9

    'Sasa nimejua ya kwamba kuwa mbali sana sio chanzo changu Mimi kukataliwa na Yesu". Nabarikiwa Sana na huu Wimbo.

    • @chiragiabel
      @chiragiabel  4 года назад

      Amen, barikiwa

    • @theonesteshyaka6312
      @theonesteshyaka6312 4 года назад

      Kweri

    • @kabingamisati5747
      @kabingamisati5747 4 года назад

      Narudi kwa YESU bado muda mfupi kwa anayetaka toba naanza safari nashonga mbele usife moyo shujaa wa msalaba yuko mbele

  • @esthernjoroge1975
    @esthernjoroge1975 6 лет назад +17

    This song gave me great hope n healed my heart 2yrs ago wen wen i was deeply troubled n my world was falling apart. God bless yu. I finally decided sitawahi rudi nyuma tena oh God help me

  • @rahmaahmedy6178
    @rahmaahmedy6178 11 месяцев назад +4

    2025..saa kumi na moja asubuhi ❤❤❤❤ninaongea na mungu mniombee pia 😢😢napitia changamoto

  • @leahjohnsimba1628
    @leahjohnsimba1628 3 года назад +1

    Ujumbe wa huu wimbo una thamani Sana katika maisha yetu

  • @emillybrenda357
    @emillybrenda357 6 лет назад +10

    This song has encouraged me severally.I fell from the faith but indeed I've chosen to go back to Jesus"Wokovu umeandaliwa Kwa ajili yangu"

  • @MartinSumeEmurithi
    @MartinSumeEmurithi 4 года назад +25

    This is the song to took me back to the Church, May Gods glory work throught.

  • @7675kio
    @7675kio 2 года назад +2

    It is January 2023 but this song sound like a new one. This lady real sings in the glory of the Most High. Keep it up so that we meet and sing this song in heaven

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 2 года назад +1

    I have seen Jesus through this song watching now 2023 🔥🔥🔥

  • @jimmyerick4021
    @jimmyerick4021 3 года назад +1

    Kwa mara nyingine tena 2021 nimeisikiliza hii nyimbo pendwa 🙏🙏 na ntaendelea kuisikiliza tena na tena mungu awabariki waimbaji kwa kazi nzuri

  • @ruthaloys28
    @ruthaloys28 7 лет назад +11

    wow wow wow
    this lady has a very sweet voice
    may God bless you all
    i love the song

  • @geoffreyogelo8301
    @geoffreyogelo8301 5 лет назад +37

    Who still listening in 2019...this song motivates me a lot

  • @lindammoraa
    @lindammoraa 5 лет назад +15

    This song just leaves me in tears coz I feel it’s me it talks about.nitaungangani msalaba.

  • @annemassawe3129
    @annemassawe3129 4 года назад +11

    I love the song. Kurudi nyuma sio option kamwe hata kama tumeanguka mara ngapi. Tusimame na kusonga mbele tena

  • @elingayamalisa186
    @elingayamalisa186 4 года назад +1

    Ujumbe mzuri sana

  • @andrewmlambia2714
    @andrewmlambia2714 6 лет назад +31

    One of the SDA's best songs

    • @jeancadet5477
      @jeancadet5477 4 года назад +1

      Please translate in English I love this song the emotion of the lady torches me

    • @mossadistanambassador5193
      @mossadistanambassador5193 3 года назад

      @@jeancadet5477 My sentiments exactly. This song makes me want to travel to Arusha and marry the soloist, I mean, imagine that songbird waking up next to you everyday!! Her voice blows me away

  • @isaacmwita459
    @isaacmwita459 5 лет назад +16

    The song is too emotional and inspiring too, it gives me hope when I feel weak

  • @TumainiElias-w2z
    @TumainiElias-w2z Месяц назад

    Wimbo huu unanitia nguvu sana mbarikiwe arusha youth

  • @denicejumanne8580
    @denicejumanne8580 8 лет назад +31

    Nafarijika sana nikisikiliza nyimbo za SDA

  • @ceciliaolima6938
    @ceciliaolima6938 5 лет назад +12

    Shujaa wa msalaba yuko mbele. Thx for blessing me with the song

  • @hxrhskpdndj
    @hxrhskpdndj Год назад +3

    I'm so saddened to have learnt about this song this late,it's an inspiration to me❤God bless this voices that are still great even in 2023 and speaks to our hearts freshly every time we hear this hymn.💯

  • @esthernjoroge1975
    @esthernjoroge1975 5 лет назад +6

    Ooh lord have mercy on me. I want to come back home... am filthy with sins. Cleanse me once more

  • @kubungacharles705
    @kubungacharles705 3 года назад +1

    Who else is listen this song up to today 2022.. this song is life

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 6 лет назад +4

    Sitaki rudi nyuma tena.Nawashukuru sn kwa wito huu nimebarikiwa mno!!!!!!!!.

    • @chiragiabel
      @chiragiabel  6 лет назад

      Amen, Ubarikiwe na usonge mbele. Wokovu umeandaliwa kwa ajili yako.MUNGU AKUBARIKI

  • @acengsharonomara6450
    @acengsharonomara6450 10 месяцев назад

    I come back here daily 😢🙏, May God forgive us and give us the strength to overcome the world's temptations that we may not forget him.

  • @omegachaki2308
    @omegachaki2308 5 лет назад

    Ee Mungu nipiganie katika ujana wangu. Dhambi isinitenge na uso wako

  • @perisvictor1020
    @perisvictor1020 4 года назад +13

    2020 who's listening🙌

  • @elizabethrevocatus9278
    @elizabethrevocatus9278 5 лет назад +6

    saut yako imetulia Dada,mashaallah!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 месяца назад

    SDA choirs are the best always. 🇹🇿✌

  • @cynthiamnjovu3059
    @cynthiamnjovu3059 4 года назад +6

    The voices are amazing I was looking forward for this video thanks so much you tube has done it for me I love dear lady your voice is so sweet

  • @BonsonTechMedia
    @BonsonTechMedia 7 месяцев назад

    Asanteni sana kwakuja mwanza Kirumba SDA church, mmetubariki sana kwa huduma yenu kipindi chote cha makambi. Mungu awabariki sana.

  • @iangraeme5005
    @iangraeme5005 7 лет назад +5

    I regret that l don't understand your language, but when l hear your harmonies and see your smiling faces l know that what you are singing is God sent. Thank you all.

  • @francismiruka6383
    @francismiruka6383 9 лет назад +7

    A very touching message to me a sinner....... No shortcut to salvation......... ONLY JESUS CHRIST

    • @chiragiabel
      @chiragiabel  9 лет назад

      +Francis Miruka Amen brother Francis, Be blessed

  • @IreneEmmanuel-r9h
    @IreneEmmanuel-r9h 11 месяцев назад

    I used to sing this song when I was a little girl, Now am an adult! I woke up this morning and I felt it in my heart❤

  • @faithkerubo5812
    @faithkerubo5812 4 года назад +7

    Ooh my God, I never get enough of this song....I can listen to it over and over .....

  • @sethmachwara7380
    @sethmachwara7380 7 лет назад +1

    am left to listen and watch this song again and again...msafiri bora is just a wake call for me..thanks for such a song

  • @janetbonareri8093
    @janetbonareri8093 10 месяцев назад

    Huu Wimbo umenipeleka tombe girls ❤❤❤❤@Askal....nilikuwa msafiri

  • @pendomussa8449
    @pendomussa8449 4 года назад

    Bwana azidi kuwapatia nguvu ili neno la bwana lizidi kupenya ndan ya mioyo na wageuke wauendee msalaba wa yesu..

  • @reubennanuki5297
    @reubennanuki5297 5 лет назад +1

    Sema kwel sote tu wasafiri kwenda kwa mungu tujiandae na nauli zetu tuzitunze ili tufike salama amina na ubarikiwe sana

  • @lenakisuza6574
    @lenakisuza6574 5 лет назад +11

    I love this song ......mpaka sahii

  • @adelaideagyemang8530
    @adelaideagyemang8530 Год назад +3

    I had this song on my old phone but I lost it and I have been searching for this particular song for years but I thank God I have finally found it even though I don't understand the language

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Год назад

    kila wakati naupenda sana huu wimbo maana unatupanga kumrudia Mungu siku zote

  • @articleprofis4244
    @articleprofis4244 9 лет назад +9

    Brethren, pray for me. I am a troubled man. I find comfort in such songs.

    • @chiragiabel
      @chiragiabel  8 лет назад

      Be blessed, GOD will take care of you

    • @marthamoraa222
      @marthamoraa222 4 года назад

      very good songs God bless you

  • @kennysakita361
    @kennysakita361 Год назад

    Utukufu kwa Mkombozi Yesu🙏 Mungu awabariki kwaya hii ya injili

  • @KyomaJay
    @KyomaJay Месяц назад

    Wimbo umenigusa sana unatoa machoz

  • @ChristopherMairi-tr9xu
    @ChristopherMairi-tr9xu 3 месяца назад

    Very strong message ,that we be discouraged even though we pass through challenges .baraka sana to singers.

  • @bruceadero1979
    @bruceadero1979 5 лет назад +1

    Tanzania will always produce best S D A songs. i lkie it

  • @janetbonareri8093
    @janetbonareri8093 11 месяцев назад

    Nko hapa 2024 March 15th, stay blessed always ❤❤

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 года назад

    Wokovu umeandaliwa kwa ajili yangu.Amina.

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 5 лет назад +16

    wow wow wow I am speechless I thank living God for this beautiful voice Wow

    • @leonardlugusi189
      @leonardlugusi189 3 года назад +1

      Wimbo. Huu. Unanipeleka hadi. Kwenye. Msalaba. Wa kalvali. Hongela

  • @janekarisa3254
    @janekarisa3254 10 месяцев назад

    Hak barikiwen san kwa nyimbo yakubarik 2024 ❤❤❤🎉

  • @ruthkinyanjui357
    @ruthkinyanjui357 3 года назад +4

    This song makes me fill like never giving up in life ....,no matter how hard life is,only God guides me

  • @batildamahundiofficial9400
    @batildamahundiofficial9400 3 года назад

    Balikiwa mtumishi shallom KAZI yako njema

  • @maulinemoraa3655
    @maulinemoraa3655 10 месяцев назад

    I never get tired of this amazing song and her beautiful voice.

  • @48obj
    @48obj 7 лет назад +7

    🤔I have reason not to be ashamed whatsoever of any of my failures to grace to grace! Be blessed to nurture your talents as you find it possible to do so! 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @amenyacalleb7880
    @amenyacalleb7880 5 лет назад +1

    Shujaa wa msalaba, mbele daima milele

  • @priscillandekere8846
    @priscillandekere8846 4 года назад +1

    MUNGU wetu awabariki sana sana Wapenzi waYESU

  • @johnmakune7426
    @johnmakune7426 6 лет назад +4

    This is one of my favorite swahili gospel song of all times.... it humbles me every time i hear it. God bless you Namsif

  • @barackomondi-fs1sk
    @barackomondi-fs1sk 9 месяцев назад

    Wimbo huu hauchuji. Kila siku nabarikiwa ninapo usikiliza. Mungu awabariki muende mbali.

  • @sundaybinakin4017
    @sundaybinakin4017 3 года назад

    I don't understand the language but I've been listening to since 2016 from Ghana

  • @happynesspaul7553
    @happynesspaul7553 2 года назад

    Mungu awabariki sana wimbo Wa mda barikiweni sana

  • @bensonissaya4052
    @bensonissaya4052 6 лет назад

    Moja Kati ya nyimbo zangu kunitia moyo niangukapo dhambini

  • @josephnjomo4749
    @josephnjomo4749 Год назад

    It's 2023 Dec 17, Mungu nipe unyenyekevu.

  • @dianaogega3502
    @dianaogega3502 4 года назад +10

    Song never grows old 💞

  • @ezekielmdungu2606
    @ezekielmdungu2606 6 лет назад

    Hatakama umetanga mbali kiasigani yesu anakusubiri anza safari uje kwa yesu

  • @calvinmogeni1782
    @calvinmogeni1782 6 лет назад +6

    The journey to heaven is on despite the challenges we exprience on the way God is in control we shall arrive home safely🙏🙏