kwa mara ya kwanza nilianza kusikiliza nyimbo za kisabato mwaka 2023 nilikuwa Tarime nikasikilizishwa huu wimbo na rafiki yangu Nehemiah , MUNGU akubariki sana popote ulipo tangu hapo nabarikiwa mno na nyimbo za waadventisata wasabato ,utumishi wenu ni mzuri sana
Endelea kushikilia hapohapo Tunaanguka na kunyanyuka tena hakuna muda wa kuangalia nyuma Taji zinatungoja, bado kitambonkidogo tunaiaga dunia hii ya dhambi Yesu, shujaa wa msalaba yuko mbele 🙏🏿🙏🏿
Huuu wimbo nimeanza kuusikiza nikiwa nyumbani DRC kwenye radio morning 🌞 lkn Kwa leo nyumbani tumetolewa huko juu ya Vita nikiusikiza machozi inanitililika lkn pamoja namungu tutarudi kwa sasa tupo kwenye ichi ya Kenya muzidi kutuombea
Hata sasa 2022 sikio langu halijafanikiwa kusikiliza mashairi ya wimbo mzuri kama huu....Mungu mbariki Namsifu. Kwa Wimbo siwezi kujitetea kwa chochote siku ya mwisho
August 2019, bado naung’ang’ania msalaba maana najua shujaa yuko mbele. naanza safari upya hadi nifike juu. wokovu taji vyote vimeandaliwa kwa ajili yangu . Siku moja atanifuta machozi 😢🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
I'm here after seeing it again from tick tock...I have been found it for a long time I remember since 2015 I was standard 7 but now I am at university third year nyie I love ❣️ this song
This song gave me great hope n healed my heart 2yrs ago wen wen i was deeply troubled n my world was falling apart. God bless yu. I finally decided sitawahi rudi nyuma tena oh God help me
It is January 2023 but this song sound like a new one. This lady real sings in the glory of the Most High. Keep it up so that we meet and sing this song in heaven
@@jeancadet5477 My sentiments exactly. This song makes me want to travel to Arusha and marry the soloist, I mean, imagine that songbird waking up next to you everyday!! Her voice blows me away
I'm so saddened to have learnt about this song this late,it's an inspiration to me❤God bless this voices that are still great even in 2023 and speaks to our hearts freshly every time we hear this hymn.💯
I regret that l don't understand your language, but when l hear your harmonies and see your smiling faces l know that what you are singing is God sent. Thank you all.
I had this song on my old phone but I lost it and I have been searching for this particular song for years but I thank God I have finally found it even though I don't understand the language
🤔I have reason not to be ashamed whatsoever of any of my failures to grace to grace! Be blessed to nurture your talents as you find it possible to do so! 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
If you are here in 2024,let's gather here
Here we are!!! This song never get old!
2024 and the song still so fresh. Such a strong msg.... narudi kwa Yesu
kwa mara ya kwanza nilianza kusikiliza nyimbo za kisabato mwaka 2023 nilikuwa Tarime nikasikilizishwa huu wimbo na rafiki yangu Nehemiah , MUNGU akubariki sana popote ulipo tangu hapo nabarikiwa mno na nyimbo za waadventisata wasabato ,utumishi wenu ni mzuri sana
Karbu tujumuike pamoja pia kwenye hii safar ya kwenda mbinguni.
Who is with me 2024❤
❤
these song never gets old maze bado ni vyb@@flavyannemogoa
Me first ❤
Mungu awabariki wote mlio husika katika huu wimbo unaujumbe mzito sana
Huu wimbo umekuwa wa kunitia moyo sana katika safari ya matumaini sana nashukuru mungu sana amen
It's 2025, who is here with me? Feel like crying while listening to this song. Mungu awabariki wote❤
Nani yuko hapa 2023❤
Ahsanteni Sana kwa mtunzi wa wimbo huu nimekuwa na ushujaa wakung'ang'ania msalaba wow wow may GOD bless all🥰🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Endelea kushikilia hapohapo
Tunaanguka na kunyanyuka tena hakuna muda wa kuangalia nyuma
Taji zinatungoja, bado kitambonkidogo tunaiaga dunia hii ya dhambi
Yesu, shujaa wa msalaba yuko mbele 🙏🏿🙏🏿
Wimbo umenipa nguvu jaman Jina la Yesu lizidi kuinuliwa Amen nitaendelea kung'ang'ania kwa Yesu
i can replay this song over and over again. wangapi wanakubaliana na mm!!!!
It is stuck in my head
i play it almost daily
🌞
Nafalijika sana ninaposikia nyimbo za SDA mubalikiwe
Amen, barikiwa
Huu wimbo una ujumbe sana wangapi tupo 2021 tunautazama bado...
Huuu wimbo nimeanza kuusikiza nikiwa nyumbani DRC kwenye radio morning 🌞 lkn Kwa leo nyumbani tumetolewa huko juu ya Vita nikiusikiza machozi inanitililika lkn pamoja namungu tutarudi kwa sasa tupo kwenye ichi ya Kenya muzidi kutuombea
2023
Naendea since 2017 when I knew the song
2024 still
Pole mungu yu nawe @@mandelakitungano2424
In 2024 the song still has that powerful message and lots of blessings. GOD bless you abundantly Arusha Central 🎉🎉❤❤
it's 2022 and the song drives me back to Jesus. It's a powerful message of it's kind. May God accept us back once more
Same here...
Msafiri bora still makes alot of sense and convicting my soul that Christ will forgive me and cleanse me from dean of death
I think this song should be redone it is a soul saver ,once you listen to it.very encouraging in one's spiritual life.
Waimbaji bora! Sisi wadiventista wa Sabato kutoka Burundi tunawapenda sana
nani bado anakasikiliza haka kanyimbo,, bado siku kadhaa niufikie mwaka 2025,, wimbo bora kwangu kila panapokucha...❤❤❤
Hata sasa 2022 sikio langu halijafanikiwa kusikiliza mashairi ya wimbo mzuri kama huu....Mungu mbariki Namsifu. Kwa Wimbo siwezi kujitetea kwa chochote siku ya mwisho
It's 2024 Dec 24, the message from this song makes me feel the need to humble myself in everything I do.
Ubarikiwe Namsifu unanikumbusha kurasini enzi zile Mungu akubariki.Nataka toba.
Nimetoka tiktok.
Huu wimboni mzuri sana
I really love this song 🎉just saw it in TikTok and I came to search
Me too
Uyu Dada anaimba vizuri Sana ubarikiwe
I don't know what adventists listen this song should be 10M plus views
From Washington listening 🎧
Message relevant.
Heard this song for the first time Tiktok....Happy sabbath 2023
August 2019, bado naung’ang’ania msalaba maana najua shujaa yuko mbele. naanza safari upya hadi nifike juu. wokovu taji vyote vimeandaliwa kwa ajili yangu .
Siku moja atanifuta machozi 😢🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
This is the right time for me to hear this song. It's touching me from every corner
Amen, be blessed
Nabarikiwa sana kutoka hapa Mararo Rd Kilimani Nairobi Kenya.
I'm here after seeing it again from tick tock...I have been found it for a long time I remember since 2015 I was standard 7 but now I am at university third year nyie I love ❣️ this song
mungu akutetee dada nimeipenda sauti yako sana usonge mbele ndlo ombi langu kwa mungu
It's 2023,, the song is still so fresh to my soul.
mbarikiwe kwa nyimbo nzuri
'Sasa nimejua ya kwamba kuwa mbali sana sio chanzo changu Mimi kukataliwa na Yesu". Nabarikiwa Sana na huu Wimbo.
Amen, barikiwa
Kweri
Narudi kwa YESU bado muda mfupi kwa anayetaka toba naanza safari nashonga mbele usife moyo shujaa wa msalaba yuko mbele
This song gave me great hope n healed my heart 2yrs ago wen wen i was deeply troubled n my world was falling apart. God bless yu. I finally decided sitawahi rudi nyuma tena oh God help me
❤
2025..saa kumi na moja asubuhi ❤❤❤❤ninaongea na mungu mniombee pia 😢😢napitia changamoto
Pole sana
Asante dear @@drhenry4362
wats not happENING😔
Ujumbe wa huu wimbo una thamani Sana katika maisha yetu
This song has encouraged me severally.I fell from the faith but indeed I've chosen to go back to Jesus"Wokovu umeandaliwa Kwa ajili yangu"
This is me this year..I've gone back to christ
This is the song to took me back to the Church, May Gods glory work throught.
Ameeen❤Glory to our faithful GOD...👏
The lady's voice is soft and clear
@@damarisoanda4779 God is faithful. Glory be to God for her voice
Ameeen, even 2023, there is still a loving God in heaven
It is January 2023 but this song sound like a new one. This lady real sings in the glory of the Most High. Keep it up so that we meet and sing this song in heaven
I have seen Jesus through this song watching now 2023 🔥🔥🔥
Kwa mara nyingine tena 2021 nimeisikiliza hii nyimbo pendwa 🙏🙏 na ntaendelea kuisikiliza tena na tena mungu awabariki waimbaji kwa kazi nzuri
wow wow wow
this lady has a very sweet voice
may God bless you all
i love the song
Ruth Aloys amen be blessed
Who still listening in 2019...this song motivates me a lot
amina
Bt also 2020
2021, and still wanting to travel to Arusha to meet the lady who leads it.
This song just leaves me in tears coz I feel it’s me it talks about.nitaungangani msalaba.
I love the song. Kurudi nyuma sio option kamwe hata kama tumeanguka mara ngapi. Tusimame na kusonga mbele tena
Amen, barikiwa sana
@@chiragiabel great song
Ujumbe mzuri sana
One of the SDA's best songs
Please translate in English I love this song the emotion of the lady torches me
@@jeancadet5477 My sentiments exactly. This song makes me want to travel to Arusha and marry the soloist, I mean, imagine that songbird waking up next to you everyday!! Her voice blows me away
The song is too emotional and inspiring too, it gives me hope when I feel weak
Wimbo huu unanitia nguvu sana mbarikiwe arusha youth
Nafarijika sana nikisikiliza nyimbo za SDA
Amen ubarikiwe sana Denice
Denice jumanne Ameeen.!!barikiwa sanaaaa
Barikiwa
Shujaa wa msalaba yuko mbele. Thx for blessing me with the song
I'm so saddened to have learnt about this song this late,it's an inspiration to me❤God bless this voices that are still great even in 2023 and speaks to our hearts freshly every time we hear this hymn.💯
Amen amen
Ooh lord have mercy on me. I want to come back home... am filthy with sins. Cleanse me once more
Amen, be blessed Esther
Who else is listen this song up to today 2022.. this song is life
Sitaki rudi nyuma tena.Nawashukuru sn kwa wito huu nimebarikiwa mno!!!!!!!!.
Amen, Ubarikiwe na usonge mbele. Wokovu umeandaliwa kwa ajili yako.MUNGU AKUBARIKI
I come back here daily 😢🙏, May God forgive us and give us the strength to overcome the world's temptations that we may not forget him.
Ee Mungu nipiganie katika ujana wangu. Dhambi isinitenge na uso wako
2020 who's listening🙌
saut yako imetulia Dada,mashaallah!
SDA choirs are the best always. 🇹🇿✌
The voices are amazing I was looking forward for this video thanks so much you tube has done it for me I love dear lady your voice is so sweet
Asanteni sana kwakuja mwanza Kirumba SDA church, mmetubariki sana kwa huduma yenu kipindi chote cha makambi. Mungu awabariki sana.
I regret that l don't understand your language, but when l hear your harmonies and see your smiling faces l know that what you are singing is God sent. Thank you all.
A very touching message to me a sinner....... No shortcut to salvation......... ONLY JESUS CHRIST
+Francis Miruka Amen brother Francis, Be blessed
I used to sing this song when I was a little girl, Now am an adult! I woke up this morning and I felt it in my heart❤
Ooh my God, I never get enough of this song....I can listen to it over and over .....
am left to listen and watch this song again and again...msafiri bora is just a wake call for me..thanks for such a song
Huu Wimbo umenipeleka tombe girls ❤❤❤❤@Askal....nilikuwa msafiri
Bwana azidi kuwapatia nguvu ili neno la bwana lizidi kupenya ndan ya mioyo na wageuke wauendee msalaba wa yesu..
Sema kwel sote tu wasafiri kwenda kwa mungu tujiandae na nauli zetu tuzitunze ili tufike salama amina na ubarikiwe sana
I love this song ......mpaka sahii
I had this song on my old phone but I lost it and I have been searching for this particular song for years but I thank God I have finally found it even though I don't understand the language
Ooh be blessed
kila wakati naupenda sana huu wimbo maana unatupanga kumrudia Mungu siku zote
Brethren, pray for me. I am a troubled man. I find comfort in such songs.
Be blessed, GOD will take care of you
very good songs God bless you
Utukufu kwa Mkombozi Yesu🙏 Mungu awabariki kwaya hii ya injili
Wimbo umenigusa sana unatoa machoz
Very strong message ,that we be discouraged even though we pass through challenges .baraka sana to singers.
Tanzania will always produce best S D A songs. i lkie it
Nko hapa 2024 March 15th, stay blessed always ❤❤
Wokovu umeandaliwa kwa ajili yangu.Amina.
wow wow wow I am speechless I thank living God for this beautiful voice Wow
Wimbo. Huu. Unanipeleka hadi. Kwenye. Msalaba. Wa kalvali. Hongela
Hak barikiwen san kwa nyimbo yakubarik 2024 ❤❤❤🎉
This song makes me fill like never giving up in life ....,no matter how hard life is,only God guides me
Balikiwa mtumishi shallom KAZI yako njema
I never get tired of this amazing song and her beautiful voice.
🤔I have reason not to be ashamed whatsoever of any of my failures to grace to grace! Be blessed to nurture your talents as you find it possible to do so! 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
48obj amen be blessed
Shujaa wa msalaba, mbele daima milele
MUNGU wetu awabariki sana sana Wapenzi waYESU
This is one of my favorite swahili gospel song of all times.... it humbles me every time i hear it. God bless you Namsif
Wimbo huu hauchuji. Kila siku nabarikiwa ninapo usikiliza. Mungu awabariki muende mbali.
I don't understand the language but I've been listening to since 2016 from Ghana
Mungu awabariki sana wimbo Wa mda barikiweni sana
Moja Kati ya nyimbo zangu kunitia moyo niangukapo dhambini
It's 2023 Dec 17, Mungu nipe unyenyekevu.
Song never grows old 💞
Hatakama umetanga mbali kiasigani yesu anakusubiri anza safari uje kwa yesu
The journey to heaven is on despite the challenges we exprience on the way God is in control we shall arrive home safely🙏🙏