Watu 64 watimuliwa nchini kwa ndoa ya jinsia moja
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- Serikali imewatimua watu 64 kutoka mataifa mbalimbali baada ya kubainika kuwa kuwa viashiria vya kujihusisha na masuala ya ndoa ya jinsia moja.
Mbali na hivyo, wamewapiga marufuku kuingia nchini (PI) wakimbizi 41 kwa kubainika wanaviashiria vya kujihusisha na masuala hayo.
Hayo yamesemwa leo Mei 16,2024 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Hamad Masauni wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa mwaka 2024/25.
Bora huyu masauni kuliko yule m'bunge wa pasport zanzibar
VITA YA USHOGA NA MAPENZI YA JINSIA MOJA BADO NI DHAIFU SERIKALINI.....NA INASEMEKANA WAHUSIKA WENGINE WAKUU WAKO SERIKALINI!
Semeni tu kirahisi rahisi kwa vile mambo hayo hayajawakuta watoto wenu au ndugu zenu.
Toeni kauli tu kuanzia sasa mashoga wote wauwawe
Polisi wenyew baadh mashoga na vielelezo vilitolewa hamjafany kitu
Na raiya wanaojihusisha na huo uchafu wanachukuliwa hatua gani kwani wengi wanajulikana?
Wabunge wanapiga kelele sana kuhusu masuala ya msingi ila selikali na wahusika wa sekitahusika wanapuuzia kazi waluzopewa zamana. Kaziyao wanaishia kusifiana tu na kumpongeza rais kiunafiki tuu hawana uzalendo