DAH I MISS THIS LADY VOICE FOR LONGER STOPPED FOLLOWING PARLIAMENT URGING BCOUSE OF THIS LADY AND SAID IM IN HIS GROUP MEMBERSHIP I DIDN'T TOOK ANY MEMBERSHIP IN ANY POLITICIAN PARTIED BUT I LOVED THE WAY SHE IS URGING AND HER VOICE AFTER LONG I DIDN'T HAV IDEA SHE IS BACK IN PARLIAMENT PLATFORM HALIMA MDEE VOICE HAV HER ON POWER OF SPEECH ❤❤❤❤SPARK 🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥✍️✍️✍️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mbona badala ya kumalizia. Wameanzisha mradi mwingine upya kujenga ati Samia flats. Sasa ni mradi gani utaisha? Kwa kweli hapa kuna kutaka majina ya watu kusikika
Bado kiburi ni kubwa sana CCM wewe! Huyo ni m'bunge wa halali kwa mujibu wa sheria? Mdee kama Halima sina shida nae. Lakini hata yeye, akiwa ni mwanasheria, anajisikiaje?
DAH I MISS THIS LADY VOICE FOR LONGER STOPPED FOLLOWING PARLIAMENT URGING BCOUSE OF THIS LADY AND SAID IM IN HIS GROUP MEMBERSHIP I DIDN'T TOOK ANY MEMBERSHIP IN ANY POLITICIAN PARTIED BUT I LOVED THE WAY SHE IS URGING AND HER VOICE AFTER LONG I DIDN'T HAV IDEA SHE IS BACK IN PARLIAMENT PLATFORM HALIMA MDEE VOICE HAV HER ON POWER OF SPEECH ❤❤❤❤SPARK 🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥✍️✍️✍️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Unaakili sana mheshimiwa .
Gwajima ni jembe sana, kwa muda mfupi katatua migogoro mingi kuliko mbunge yeyote aliyewahi kutokea kawe.
Wewe alima mde acha ujinga shujaa wetu Magufuli amefanya kazi kubwa sana kwenye taifa letu
Hivi anaongea je nyumbani kwake+ angekuwa mwalimu ingekua issue
Mbona badala ya kumalizia. Wameanzisha mradi mwingine upya kujenga ati Samia flats. Sasa ni mradi gani utaisha? Kwa kweli hapa kuna kutaka majina ya watu kusikika
Kawe watu wamejenga kwenye mabarabara mpaka mabarabara yanaitwa vinjia ukitaka kuingia hivyo vinjia unaangalia kama hakuna gari inakuja.
Mapovu
Kwa kweli Inchi hii group la CCM linahabu watu huku wao wakizidi kuiba na kufanya ufisadi wa kutosha.
Huwezi kumlinganisha Gwajima na Halima mdee hata siku moja.Gwajima ni genius.Halima mdee hana maana.kwanza ni msaliti mkubwa.
uyu dada aludishwe kawe
Wewe nawe,siku ile ya bunge la budget wizara ya maendeleo jinsia na watoto tulitegemea ukemee ushoga na usagaji lakini nahisi hukuwepo kabisaaa😂
Kwa hiyo? Ushoga na maisha yalipo saa hizi achache uko gee.
Bado kiburi ni kubwa sana CCM wewe! Huyo ni m'bunge wa halali kwa mujibu wa sheria? Mdee kama Halima sina shida nae. Lakini hata yeye, akiwa ni mwanasheria, anajisikiaje?
Sauti ya nzege 😂😂😂
CCM wezi
Wezi,waporaji na uuaji pia. Wanatutesa sana.
Ongea polepole tupate point zako sauti ni kali mno
Unacho angea siyo sahihi
Ongea kilicho sahihi unieleweshe.
Mbona wewe umekuwa mbunge umefanya nini
Wanatuna.maendeleo
Ulishindwaje kutatua miaka 10 ulipokuwa mbunge?
Watu kama nyinyi ndo mnafanya inching hii tupigwe maana hujui hata kazi ya mubunge nine?
Nyie SI wabunge harari mnakula jasho letu na Kodi zetu bule
Wabunge Harari ndio ina maana gani. Rudi shule. Halali ,Bure sio Bule
Usichafue Lugha.
Rudi,rudi Halima wetu tunakupenda.
Huyu anacho ongea ni uongo mtupu
Ulikaa Kawe Miaka Ya kutosha Una ulichofanya
Toa pumba zako wewe.
@@johnkiimbila6799ulitaka akufanyie kwa hela zake ,kazi yake ni kukusemea2 maendeleo huletwa na serikali
Covid
Nchi ilipata hasara wakati wa Magufuli ilipata hasara zaidi ya billioni 100 😂😂 kumbe kulikuwa na mikopo na vurugu…. Asante
Mmmh