HALIMA MDEE AFICHUA MAZITO YA KIKWETE NA MAGUFULI, AMVAA ASKOFU GWAJIMA-"SERIKALI IKO WAPI?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 35

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 4 месяца назад +1

    DAH I MISS THIS LADY VOICE FOR LONGER STOPPED FOLLOWING PARLIAMENT URGING BCOUSE OF THIS LADY AND SAID IM IN HIS GROUP MEMBERSHIP I DIDN'T TOOK ANY MEMBERSHIP IN ANY POLITICIAN PARTIED BUT I LOVED THE WAY SHE IS URGING AND HER VOICE AFTER LONG I DIDN'T HAV IDEA SHE IS BACK IN PARLIAMENT PLATFORM HALIMA MDEE VOICE HAV HER ON POWER OF SPEECH ❤❤❤❤SPARK 🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥✍️✍️✍️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 месяца назад +4

    Unaakili sana mheshimiwa .

  • @robertbk3508
    @robertbk3508 4 месяца назад +1

    Gwajima ni jembe sana, kwa muda mfupi katatua migogoro mingi kuliko mbunge yeyote aliyewahi kutokea kawe.

  • @JohnWillifred
    @JohnWillifred 4 месяца назад

    Wewe alima mde acha ujinga shujaa wetu Magufuli amefanya kazi kubwa sana kwenye taifa letu

  • @rustice.shirima
    @rustice.shirima 4 месяца назад

    Hivi anaongea je nyumbani kwake+ angekuwa mwalimu ingekua issue

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 месяца назад +2

    Mbona badala ya kumalizia. Wameanzisha mradi mwingine upya kujenga ati Samia flats. Sasa ni mradi gani utaisha? Kwa kweli hapa kuna kutaka majina ya watu kusikika

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 месяца назад

    Kawe watu wamejenga kwenye mabarabara mpaka mabarabara yanaitwa vinjia ukitaka kuingia hivyo vinjia unaangalia kama hakuna gari inakuja.

  • @BaltazarNyaky-c9v
    @BaltazarNyaky-c9v 4 месяца назад +1

    Mapovu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 месяца назад +2

    Kwa kweli Inchi hii group la CCM linahabu watu huku wao wakizidi kuiba na kufanya ufisadi wa kutosha.

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 4 месяца назад +1

    Huwezi kumlinganisha Gwajima na Halima mdee hata siku moja.Gwajima ni genius.Halima mdee hana maana.kwanza ni msaliti mkubwa.

  • @HalfanMbenda
    @HalfanMbenda 4 месяца назад

    uyu dada aludishwe kawe

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 4 месяца назад

    Wewe nawe,siku ile ya bunge la budget wizara ya maendeleo jinsia na watoto tulitegemea ukemee ushoga na usagaji lakini nahisi hukuwepo kabisaaa😂

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 месяца назад

      Kwa hiyo? Ushoga na maisha yalipo saa hizi achache uko gee.

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 4 месяца назад

    Bado kiburi ni kubwa sana CCM wewe! Huyo ni m'bunge wa halali kwa mujibu wa sheria? Mdee kama Halima sina shida nae. Lakini hata yeye, akiwa ni mwanasheria, anajisikiaje?

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 4 месяца назад

    Sauti ya nzege 😂😂😂

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 4 месяца назад +2

    CCM wezi

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 месяца назад

      Wezi,waporaji na uuaji pia. Wanatutesa sana.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 4 месяца назад +2

    Ongea polepole tupate point zako sauti ni kali mno

  • @JohnWillifred
    @JohnWillifred 4 месяца назад

    Unacho angea siyo sahihi

  • @JohnWillifred
    @JohnWillifred 4 месяца назад

    Mbona wewe umekuwa mbunge umefanya nini

  • @evelina9621
    @evelina9621 4 месяца назад

    Wanatuna.maendeleo

  • @robertbk3508
    @robertbk3508 4 месяца назад

    Ulishindwaje kutatua miaka 10 ulipokuwa mbunge?

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 4 месяца назад

      Watu kama nyinyi ndo mnafanya inching hii tupigwe maana hujui hata kazi ya mubunge nine?

  • @AtanasKameja
    @AtanasKameja 4 месяца назад

    Nyie SI wabunge harari mnakula jasho letu na Kodi zetu bule

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 4 месяца назад

      Wabunge Harari ndio ina maana gani. Rudi shule. Halali ,Bure sio Bule
      Usichafue Lugha.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 4 месяца назад +1

    Rudi,rudi Halima wetu tunakupenda.

  • @JohnWillifred
    @JohnWillifred 4 месяца назад

    Huyu anacho ongea ni uongo mtupu

  • @adow9musictz931
    @adow9musictz931 4 месяца назад +2

    Ulikaa Kawe Miaka Ya kutosha Una ulichofanya

    • @johnkiimbila6799
      @johnkiimbila6799 4 месяца назад

      Toa pumba zako wewe.

    • @johngerald4677
      @johngerald4677 4 месяца назад

      ​@@johnkiimbila6799ulitaka akufanyie kwa hela zake ,kazi yake ni kukusemea2 maendeleo huletwa na serikali

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 4 месяца назад +1

    Covid

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 4 месяца назад

    Nchi ilipata hasara wakati wa Magufuli ilipata hasara zaidi ya billioni 100 😂😂 kumbe kulikuwa na mikopo na vurugu…. Asante