Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Huyu jamaa anaeleza Habari za wizi anacheka kwa furaha utazani anasimulia kitu cha maana😂😂
😅😅😅😅 alafu anavotoa macho nakusema “yani hatari “ mimi huku hoiii 😅😅😅
🤣🤣🤣@@marleshjimmy1972
😆😆😆😆😆
Yaa hh is long time story what he do is past
Hhhhh this guy
Kwaivo Masibu akiwa dogo mwamba akawa anajiuli huyu si Diamond huyu? 😂😂😂😂😂
Yan toka nizaliwe sijawahi kuonana na mtu watofauti kama uyu kaka...mmmmhhh nimeshangaa sana yan
Musiwai simulia au kuhadithia wizi Kwa social media....juu munafundisha nn hawa watoto wetu..!?
Acha hasira wewe!! Hii inafundisha Hebu sikiliza kuanzia dakika ya 37:50 mpaka 39 utaskia mafundishoAu kiswahili hujui
Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Mondi akukumbuke mzee❤
atakumbuk wangap.. sarah anatosha
Mzee anamaisha yake akumbukwe vp sasa anauza spea anaendesha Maisha yake huyo diamond sasa atasaidia watu wangapi afu sio kila mtu lazima asaidiwe
@@fahadfaraj6474iv wana ona
Huyu jamaa anaongea story za kuhadithiwa vijiweni miaka hiyo labda mama yake nasibu ndio alikuwa anaenda kwenye hayo majumba ya sinema
Dah papa upanga ...kitambo sana......watemi wa zamani
uyu jamaa kama doto magari wame fanana kwa mbaaali 😂😂
Watemi kama hao nawapendaga sana mm amna unyonge..wakina chokidunso, vanndame ,idi bonge,ndo matembo wengi wengine nimewasahau
Acha achekeYuko haiAkifiliria ameachaAkiniilikuwa kifoooo
Sasa kipindi hiko alikuwa na umri gani ikiwa 93 hd 96
Yaan Doto kapata mpizan sasa
Tafta pesa watu watoe stori zako za kukukaba wakiwa wamefrah kabisa 😂😂😂 umaarufu nyoko
Hili Jamaa Bonge la comedian 😂😂😂
Huyu jamaa kumbe andaz Sana anasimulia ujinga mtupu pumbavu sana
Umeona ennhe ...kuiba sio inshu inshu kuwa strong na mtemi Ili kujidifens lakin sio kuiba... Apo sijamsapot..away ndo walioialibu manzese kipindi icho😢
Nime fata neno kubakwa kwa d sina jipya hapo
😂 soma tena,
Awo ndo masela wazaman wa manzese...awo ndo namba chafu za manzese yote tandale shidele ..awo ndo walioialibu manzese na tandale awo...namba chafu izo
Mbowe mwaka 83 ilikuwepo sasa yeye anasema Mbowe ilikuwa bado miaka gani hiyo ?
Mbunju sabuni tumeogea na kufulia sana miaka hiyo...dah
😂😂😂 uyu jamaa nimuongo san anatufungash 😂😂😂
uyo akamatwe afungwe.
Kwa kosa gani
Hivi aliye mjini lazima amempitia Simba kwa vovote vile
Uyu jamaa skumuelewa
Huyu jaman nimuongo ana tufungasha hahahahahahahaha
Yani unaona sifa kuongea ujinga huo
😂😂😂 huyu jamaa nimuongo kinyama anatufungash
Hilo lijamaaaa linajuwaaa ngumi mpk rahaaaaa
😂😂😂hapo kwa watoto wakike kufanana na babayao nimecheka😂
Nyumba moja kama sokoni😂😂😂
pengo kama uchochoro
Huyu bangi imemzidi
Alisema kumkaba sio kumbaka
Mzee waNakoz😂😂
Meno yako
Yaani huyu mafia nimemkubaki kutoka msa kenya amenikumbusha mwanangu abuu
Yuanikumbusha Bamaster huku maeneo 🤝
😅😅😅😂
Jamaaa anamuuliza ESKO eti kama unakumbuka miaka hiyo wakati ESKO ni mjomba wetu wa 2000 matukio yamempita kwakua hakuwepo duniani......😀😀😀
Huyu jamaa anaeleza Habari za wizi anacheka kwa furaha utazani anasimulia kitu cha maana😂😂
😅😅😅😅 alafu anavotoa macho nakusema “yani hatari “ mimi huku hoiii 😅😅😅
🤣🤣🤣@@marleshjimmy1972
😆😆😆😆😆
Yaa hh is long time story what he do is past
Hhhhh this guy
Kwaivo Masibu akiwa dogo mwamba akawa anajiuli huyu si Diamond huyu? 😂😂😂😂😂
Yan toka nizaliwe sijawahi kuonana na mtu watofauti kama uyu kaka...mmmmhhh nimeshangaa sana yan
Musiwai simulia au kuhadithia wizi Kwa social media....juu munafundisha nn hawa watoto wetu..!?
Acha hasira wewe!! Hii inafundisha
Hebu sikiliza kuanzia dakika ya 37:50 mpaka 39 utaskia mafundisho
Au kiswahili hujui
Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Mondi akukumbuke mzee❤
atakumbuk wangap.. sarah anatosha
Mzee anamaisha yake akumbukwe vp sasa anauza spea anaendesha Maisha yake huyo diamond sasa atasaidia watu wangapi afu sio kila mtu lazima asaidiwe
@@fahadfaraj6474iv wana ona
Huyu jamaa anaongea story za kuhadithiwa vijiweni miaka hiyo labda mama yake nasibu ndio alikuwa anaenda kwenye hayo majumba ya sinema
Dah papa upanga ...kitambo sana......watemi wa zamani
uyu jamaa kama doto magari wame fanana kwa mbaaali 😂😂
Watemi kama hao nawapendaga sana mm amna unyonge..wakina chokidunso, vanndame ,idi bonge,ndo matembo wengi wengine nimewasahau
Acha acheke
Yuko hai
Akifiliria ameacha
Akiniilikuwa kifoooo
Sasa kipindi hiko alikuwa na umri gani ikiwa 93 hd 96
Yaan Doto kapata mpizan sasa
Tafta pesa watu watoe stori zako za kukukaba wakiwa wamefrah kabisa 😂😂😂 umaarufu nyoko
Hili Jamaa Bonge la comedian 😂😂😂
Huyu jamaa kumbe andaz Sana anasimulia ujinga mtupu pumbavu sana
Umeona ennhe ...kuiba sio inshu inshu kuwa strong na mtemi Ili kujidifens lakin sio kuiba... Apo sijamsapot..away ndo walioialibu manzese kipindi icho😢
Nime fata neno kubakwa kwa d sina jipya hapo
😂 soma tena,
Awo ndo masela wazaman wa manzese...awo ndo namba chafu za manzese yote tandale shidele ..awo ndo walioialibu manzese na tandale awo...namba chafu izo
Mbowe mwaka 83 ilikuwepo sasa yeye anasema Mbowe ilikuwa bado miaka gani hiyo ?
Mbunju sabuni tumeogea na kufulia sana miaka hiyo...dah
😂😂😂 uyu jamaa nimuongo san anatufungash 😂😂😂
uyo akamatwe afungwe.
Kwa kosa gani
Hivi aliye mjini lazima amempitia Simba kwa vovote vile
Uyu jamaa skumuelewa
😂😂😂 uyu jamaa nimuongo san anatufungash 😂😂😂
Huyu jaman nimuongo ana tufungasha hahahahahahahaha
Yani unaona sifa kuongea ujinga huo
Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 huyu jamaa nimuongo kinyama anatufungash
Hilo lijamaaaa linajuwaaa ngumi mpk rahaaaaa
😂😂😂hapo kwa watoto wakike kufanana na babayao nimecheka😂
Nyumba moja kama sokoni😂😂😂
pengo kama uchochoro
Huyu bangi imemzidi
Alisema kumkaba sio kumbaka
Mzee waNakoz😂😂
Meno yako
Yaani huyu mafia nimemkubaki kutoka msa kenya amenikumbusha mwanangu abuu
Yuanikumbusha Bamaster huku maeneo 🤝
😅😅😅😂
Jamaaa anamuuliza ESKO eti kama unakumbuka miaka hiyo wakati ESKO ni mjomba wetu wa 2000 matukio yamempita kwakua hakuwepo duniani......😀😀😀
Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣
Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣