DIAMOND anusurika KUKABWA akienda kununua SUKARI, huyu ndiye alikuwa TEMBO wake, MAZITO usioyajua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #diamondplatnumz
    Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 63

  • @kimchi-91
    @kimchi-91 3 месяца назад +19

    Huyu jamaa anaeleza Habari za wizi anacheka kwa furaha utazani anasimulia kitu cha maana😂😂

    • @marleshjimmy1972
      @marleshjimmy1972 3 месяца назад +5

      😅😅😅😅 alafu anavotoa macho nakusema “yani hatari “ mimi huku hoiii 😅😅😅

    • @kimchi-91
      @kimchi-91 3 месяца назад

      🤣🤣🤣@@marleshjimmy1972

    • @ConsciousBNB
      @ConsciousBNB 3 месяца назад

      😆😆😆😆😆

    • @mtoobebe5778
      @mtoobebe5778 3 месяца назад +1

      Yaa hh is long time story what he do is past

    • @mtoobebe5778
      @mtoobebe5778 3 месяца назад

      Hhhhh this guy

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 3 месяца назад

    Kwaivo Masibu akiwa dogo mwamba akawa anajiuli huyu si Diamond huyu? 😂😂😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 месяца назад

    Yan toka nizaliwe sijawahi kuonana na mtu watofauti kama uyu kaka...mmmmhhh nimeshangaa sana yan

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 месяца назад

    Musiwai simulia au kuhadithia wizi Kwa social media....juu munafundisha nn hawa watoto wetu..!?

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 3 месяца назад

      Acha hasira wewe!! Hii inafundisha
      Hebu sikiliza kuanzia dakika ya 37:50 mpaka 39 utaskia mafundisho
      Au kiswahili hujui

  • @daudmwalimu971
    @daudmwalimu971 3 месяца назад

    Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣

  • @uredipeter412
    @uredipeter412 3 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 3 месяца назад

    Mondi akukumbuke mzee❤

    • @rubhiraphael2298
      @rubhiraphael2298 3 месяца назад +3

      atakumbuk wangap.. sarah anatosha

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 3 месяца назад +2

      Mzee anamaisha yake akumbukwe vp sasa anauza spea anaendesha Maisha yake huyo diamond sasa atasaidia watu wangapi afu sio kila mtu lazima asaidiwe

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 3 месяца назад

      ​@@fahadfaraj6474iv wana ona

  • @AmaniKwanza
    @AmaniKwanza 3 месяца назад

    Huyu jamaa anaongea story za kuhadithiwa vijiweni miaka hiyo labda mama yake nasibu ndio alikuwa anaenda kwenye hayo majumba ya sinema

  • @Chemba67
    @Chemba67 3 месяца назад +2

    Dah papa upanga ...kitambo sana......watemi wa zamani

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 3 месяца назад +4

    uyu jamaa kama doto magari wame fanana kwa mbaaali 😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 месяца назад +2

    Watemi kama hao nawapendaga sana mm amna unyonge..wakina chokidunso, vanndame ,idi bonge,ndo matembo wengi wengine nimewasahau

  • @matatamatatatours3237
    @matatamatatatours3237 3 месяца назад +1

    Acha acheke
    Yuko hai
    Akifiliria ameacha
    Akiniilikuwa kifoooo

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 3 месяца назад +1

    Sasa kipindi hiko alikuwa na umri gani ikiwa 93 hd 96

  • @MsodokiTheson
    @MsodokiTheson 3 месяца назад +2

    Yaan Doto kapata mpizan sasa

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 3 месяца назад +1

    Tafta pesa watu watoe stori zako za kukukaba wakiwa wamefrah kabisa 😂😂😂 umaarufu nyoko

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 2 месяца назад

    Hili Jamaa Bonge la comedian 😂😂😂

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 месяца назад +3

    Huyu jamaa kumbe andaz Sana anasimulia ujinga mtupu pumbavu sana

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 3 месяца назад

      Umeona ennhe ...kuiba sio inshu inshu kuwa strong na mtemi Ili kujidifens lakin sio kuiba... Apo sijamsapot..away ndo walioialibu manzese kipindi icho😢

  • @EriyaRichard
    @EriyaRichard 3 месяца назад +2

    Nime fata neno kubakwa kwa d sina jipya hapo

    • @Mwamba67
      @Mwamba67 3 месяца назад

      😂 soma tena,

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 месяца назад

    Awo ndo masela wazaman wa manzese...awo ndo namba chafu za manzese yote tandale shidele ..awo ndo walioialibu manzese na tandale awo...namba chafu izo

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 месяца назад

    Mbowe mwaka 83 ilikuwepo sasa yeye anasema Mbowe ilikuwa bado miaka gani hiyo ?

  • @Chemba67
    @Chemba67 3 месяца назад

    Mbunju sabuni tumeogea na kufulia sana miaka hiyo...dah

  • @EmanuelNason-hn7ke
    @EmanuelNason-hn7ke 3 месяца назад

    😂😂😂 uyu jamaa nimuongo san anatufungash 😂😂😂

  • @MrDJbobomix
    @MrDJbobomix 3 месяца назад +2

    uyo akamatwe afungwe.

  • @eleven-in5qw
    @eleven-in5qw 3 месяца назад

    Hivi aliye mjini lazima amempitia Simba kwa vovote vile

  • @rashidtwaha7699
    @rashidtwaha7699 3 месяца назад +1

    Uyu jamaa skumuelewa

  • @EmanuelNason-hn7ke
    @EmanuelNason-hn7ke 3 месяца назад

    😂😂😂 uyu jamaa nimuongo san anatufungash 😂😂😂

  • @EmanuelNason-hn7ke
    @EmanuelNason-hn7ke 3 месяца назад

    Huyu jaman nimuongo ana tufungasha hahahahahahahaha

  • @BibieMakame
    @BibieMakame 3 месяца назад

    Yani unaona sifa kuongea ujinga huo

  • @daudmwalimu971
    @daudmwalimu971 3 месяца назад

    Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣

  • @EmanuelNason-hn7ke
    @EmanuelNason-hn7ke 3 месяца назад

    😂😂😂 huyu jamaa nimuongo kinyama anatufungash

  • @JohnNyari-k6d
    @JohnNyari-k6d 3 месяца назад

    Hilo lijamaaaa linajuwaaa ngumi mpk rahaaaaa

  • @hassansela1393
    @hassansela1393 3 месяца назад

    😂😂😂hapo kwa watoto wakike kufanana na babayao nimecheka😂

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 3 месяца назад

    Nyumba moja kama sokoni😂😂😂

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mn 3 месяца назад

    pengo kama uchochoro

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 3 месяца назад

    Huyu bangi imemzidi

  • @khatibmako3500
    @khatibmako3500 3 месяца назад

    Alisema kumkaba sio kumbaka

  • @tajiertaj5956
    @tajiertaj5956 3 месяца назад

    Mzee waNakoz😂😂

  • @BibieMakame
    @BibieMakame 3 месяца назад

    Meno yako

  • @EshaOmar-i2h
    @EshaOmar-i2h 3 месяца назад

    Yaani huyu mafia nimemkubaki kutoka msa kenya amenikumbusha mwanangu abuu

    • @abou_hamrad
      @abou_hamrad 3 месяца назад

      Yuanikumbusha Bamaster huku maeneo 🤝

  • @streetconatv100k
    @streetconatv100k 3 месяца назад

    😅😅😅😂

  • @Chemba67
    @Chemba67 3 месяца назад

    Jamaaa anamuuliza ESKO eti kama unakumbuka miaka hiyo wakati ESKO ni mjomba wetu wa 2000 matukio yamempita kwakua hakuwepo duniani......😀😀😀

  • @daudmwalimu971
    @daudmwalimu971 3 месяца назад

    Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣

  • @daudmwalimu971
    @daudmwalimu971 3 месяца назад

    Huku wanalia na huku wanalia wanaoneana donge eti ng'eeee ng'eee😩😰😭🤣🤣🤣🤣