MWL, CHRISTOPHER MWAKASEGE: SEMINA MBEYA. DAY 4 [ 29/10/2022 ]
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- SOMO.
FAIDA YA KUMTUMIKIA MUNGU KWA NJIA YA SADAKA YAKO.
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
MANA MINISTRY # CADF # MWAKASEGE
Amen MWL MWAKASEGE Mtumishi wa MUNGU. MUNGU akubariki sana kwa masomo mazuri sana yasiokuwa ya kimapokeo. Ni chakula kizuri kwa kila kabila, kila dhehebu kwa ajili ya safari ya kwenda mbiguni. MUNGU akupe maisha marefu sana yenye baraka zake kwa utukufu wake.AMEN🙏🙏🙏
Mwakasege
Po
Mch katunzi Mungu akabariki ainue huduma yako kwasababu umeinua huduma ya mtumishi wa Mungu Mwl Mwakasege Tanzania Mungu akaiondoe mikononi mwa mafisadi na mabeberu mungu akawape watanzania maarifa na akili wajenge na kumiliki uchumi na rasilimali zake
Amen
Mungu akatuondolee roho zakuomba misaada na mikopo kwa mabeberu zilizondani ya viongozi wetu
Mungu atuondolee roho za kuwalaumu viongozi wetu ikiwa sisi hakuna chochote tulichokifanya kwa ajili ya Taifa letu🙏
Ameniii
Glory to God
Naomba niulize samahan kama ntakosea hiv sadaka ya kikumi niamri ya Mungu au ni sheria ya Mungu kwa wanadamu? Wapi ktk agano jipya wamezungumzia kikumi kama kanuni ya Maisha ya wakristo
YESU ni mnzuri
Mwl.C.Mwakasege ,Mungu akuzidishie kwa kufundisha taifa la Bwana
Now I know nahitaji sadaka ya pekee
Barikiwa mtumishi
Mbalikiwe sana watumishi wamngu
Mch Katunzi Mungu akuinue kwa kumsupport mtumishi wa Mungu ,Mwl Mwakasege,CHUMA UNOA CHUMA safii 🙏🙏
Amina
Hakuna sauti
MADHABAHU YA YEZEBELI
TUNAIKATILIA MBALI KWA
VIJANA ASANTE MUNGU
KWA AJILI YA KUHANI WAKO
KATUNZI👌.
Amina Mtumishi sadaka ya pekee kwa Mungu wa pekee
Teacher ov the teachers
Amen baba
.
😭😭😭😭😭😭😭😭 WEWE YESU KRISTO, NDIYE HATMA YA MAISHA, YANGU NA FAMILIA YANGU NAOMBA HOFU YAKO MOYONI MWANGU😭😭😭😭😭ALILIPA DENI LANGU KWA GHALAMA YA MAUTI YAKE😭😭😭😭😭
Mungu akubaliki mtumishi
Mungu akubariki mtimishi wa mungu
ASANTE YESU🙏🏻🙏🏻
Yes this is my message
Amen.
AMEN.
Glory to Jesus