MWL, CHRISTOPHER MWAKASEGE: SEMINA MBEYA. DAY 4 [ 29/10/2022 ]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • SOMO.
    FAIDA YA KUMTUMIKIA MUNGU KWA NJIA YA SADAKA YAKO.
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
    MANA MINISTRY # CADF # MWAKASEGE

Комментарии • 31

  • @shaluamagandi2184
    @shaluamagandi2184 Год назад +9

    Amen MWL MWAKASEGE Mtumishi wa MUNGU. MUNGU akubariki sana kwa masomo mazuri sana yasiokuwa ya kimapokeo. Ni chakula kizuri kwa kila kabila, kila dhehebu kwa ajili ya safari ya kwenda mbiguni. MUNGU akupe maisha marefu sana yenye baraka zake kwa utukufu wake.AMEN🙏🙏🙏

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Год назад +4

    Mch katunzi Mungu akabariki ainue huduma yako kwasababu umeinua huduma ya mtumishi wa Mungu Mwl Mwakasege Tanzania Mungu akaiondoe mikononi mwa mafisadi na mabeberu mungu akawape watanzania maarifa na akili wajenge na kumiliki uchumi na rasilimali zake

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Год назад +2

    Mungu akatuondolee roho zakuomba misaada na mikopo kwa mabeberu zilizondani ya viongozi wetu

    • @daud7724
      @daud7724 Год назад

      Mungu atuondolee roho za kuwalaumu viongozi wetu ikiwa sisi hakuna chochote tulichokifanya kwa ajili ya Taifa letu🙏

    • @silaleopard7263
      @silaleopard7263 Год назад

      Ameniii

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Год назад +1

    Glory to God

  • @joshualeonard1375
    @joshualeonard1375 Год назад

    Naomba niulize samahan kama ntakosea hiv sadaka ya kikumi niamri ya Mungu au ni sheria ya Mungu kwa wanadamu? Wapi ktk agano jipya wamezungumzia kikumi kama kanuni ya Maisha ya wakristo

  • @nasrasewando7152
    @nasrasewando7152 Год назад +2

    YESU ni mnzuri

  • @nicholasmrefu2029
    @nicholasmrefu2029 Год назад +1

    Mwl.C.Mwakasege ,Mungu akuzidishie kwa kufundisha taifa la Bwana

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 Год назад +1

    Now I know nahitaji sadaka ya pekee

  • @jonasiarex8914
    @jonasiarex8914 Год назад

    Mbalikiwe sana watumishi wamngu

  • @ail.com.janeth2348
    @ail.com.janeth2348 Год назад

    Mch Katunzi Mungu akuinue kwa kumsupport mtumishi wa Mungu ,Mwl Mwakasege,CHUMA UNOA CHUMA safii 🙏🙏

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde4125 Год назад +1

    Amina

  • @faridakigava4904
    @faridakigava4904 Год назад +2

    Hakuna sauti

  • @neemasanga5333
    @neemasanga5333 Год назад +1

    MADHABAHU YA YEZEBELI
    TUNAIKATILIA MBALI KWA
    VIJANA ASANTE MUNGU
    KWA AJILI YA KUHANI WAKO
    KATUNZI👌.

  • @jacquilinenewa4179
    @jacquilinenewa4179 Год назад +1

    Amina Mtumishi sadaka ya pekee kwa Mungu wa pekee

  • @silaleopard7263
    @silaleopard7263 Год назад +1

    Teacher ov the teachers

  • @lydiamahona3196
    @lydiamahona3196 Год назад +2

    Amen baba

  • @atecmodei3884
    @atecmodei3884 Год назад +1

    .

  • @winnerpeter3061
    @winnerpeter3061 Год назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭 WEWE YESU KRISTO, NDIYE HATMA YA MAISHA, YANGU NA FAMILIA YANGU NAOMBA HOFU YAKO MOYONI MWANGU😭😭😭😭😭ALILIPA DENI LANGU KWA GHALAMA YA MAUTI YAKE😭😭😭😭😭

  • @hadijamwakaselema99
    @hadijamwakaselema99 Год назад +1

    Mungu akubaliki mtumishi

  • @naomiraphael4278
    @naomiraphael4278 Год назад +1

    Mungu akubariki mtimishi wa mungu

  • @winnermariah
    @winnermariah Год назад +1

    ASANTE YESU🙏🏻🙏🏻

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 Год назад

    Yes this is my message

  • @oforodidaskimaro4266
    @oforodidaskimaro4266 Год назад

    Amen.

  • @EinothJustine
    @EinothJustine Год назад

    AMEN.

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Год назад +1

    Glory to Jesus