Hakika kimbilio na tumaini pekee ni Bwana, maana kwake hatutaibika wala kutikisika daima. Mungu awatie nguvu sana WAZAZI wetu na kuwapa MAISHA marefu. Mmekuwa sababu ya uponyaji wa wengi. Mbarikiwe sana. Ameeeeeeen!
Kwakweli mtumishi ni mfano wa kuigwa amesimama bila kuteterka pamoja na changamoto lakini bado amesimama katika katika kupigania imani Mungu akubariki na kukuimarisha zaidi.
Be blessed abundantly of your touching songs,may God's grace be with in Jesus christ Name
Dah waooh nice song
Hakika kimbilio na tumaini pekee ni Bwana, maana kwake hatutaibika wala kutikisika daima. Mungu awatie nguvu sana WAZAZI wetu na kuwapa MAISHA marefu. Mmekuwa sababu ya uponyaji wa wengi. Mbarikiwe sana. Ameeeeeeen!
Mbarikiwe sana, mzidi kutetea haki za wanyonge muendelee kusikiliza MUNGU, IMAGINE KAMA YA KINA DANIEL
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu, zina mguso wenye uvuvio wa nguvu za Roho Mtakatifu.
Amen
Kwakweli mtumishi ni mfano wa kuigwa amesimama bila kuteterka pamoja na changamoto lakini bado amesimama katika katika kupigania imani Mungu akubariki na kukuimarisha zaidi.
Amina mama,mumenibariki saana
Mbarikiwe sana jamani nyimbo zenu zimenitia moyo sana hasa kipindi hiki cha mapito nayopitia🙏🤲
MUNGU wa mbinguni awabariki sana
Jaman huyu mama nyimbo zake zinabariki sana pamoja na mapito bado hajamwacha mungu dah nampenda sana zaid
Pia naguswa sana na umoja wenu, usiotikisika. Mungu wet aliyeziumba mbingu na nchi azidi kuwaongoza na kuwainua
Nabarikiwa sana na nyimbo zako mtumishi wa Mungu
Waooo Hakika Kwa Mungu Ndiko Kuna Kimbilio La Kweli 🙏🙏
Aminasana
Yesu awakumbuke na awe faraja na ushindi wa maisha yenu nawaombea neema na baraka zabwana ziwafunike
Z❤❤❤❤❤🎉🎉nakupenda nyimbo zako za bariki
Waoooo🎉 wimbo wenye mafuta
Napenda sana msimamo wenu namwomba anipe msimamo mkali kama huo
Neema ni nyingi sana Mama katika nyimbo
☺☺😊😊😊
❤❤❤❤❤❤
Hatuwezi wenyewe tushike baba yetu
Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen
Hongera sanaaa
Ameeeeeeeni nice song
Kwa kweli nimebarikiwa na hizo nyimbo mungu awatie nguvu
Aminaa mubarikiwe san watumishi wa mungu
Safiiiiiiiii 😂😂😂😂😂❤❤❤❤🎉
Neema na baraka ziwe Kinga kwa yote mnayopitia.Dunia ni tambala bovu
Amen Amen Amen
Naona huyu bwana ana maumivi.
MUNGU NGUVU YAKO IMALIZE YOTE.
Mbarikiwa ahubiri nakufunfisha kama much Moses magembe aache mbwembe
Mungu.aendelee kuwatunza.
Xafi sana watumishi wabwana
Amina
Napenda upigaji wa viombo au mitambo
Aminaaaaaa 🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎😭😭😭😭😭
Lije lolote hakuna kuludi nyuma (HII IMEENDA).🎉🎉🎉🎉
Ila naona kuendelea kuvaa mavazi yanayofanana na magereza sio NZURI maana umeshakuwa huru lifanye hili jambo kulisahau moyoni MWAKO
Kazi yenu njema baba na mama mwakipesile
Kikosi kazi
Mubarikiwe hakika
Mamaaaaa
Akikani mngu anatenda yote
💪🙏
Mgongo wa mke wa mbarikiwa mbona uko kama na vifungo? Huo ni ugonjwa gani? Poleni
Watching you from Zambia🙏🙏🙏🙏🙏🙏🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎❤️❤️❤️
🙏🙏🙏♥️♥️♥️
Mpaka nime download hizi nyimbo maana inanitia moyo🎉🎉🎉
mbona sijamuona sifa kwy ndege jamani?? au yeye anaogopa kupanda ndege??
Wapendwa walikuwa wakiende kutibiwa hospitalini. Sifa Yuko mzima wa afya.
Pambana kiki inalipa na mkeo
Jaribu hata wewe kama kiki inalipa hata kwa kupoteza mtoto wa pekee. Omba yasikukute
Kiki kwenye hatari..?
Unakosea sana hakuna anae penda matatizo inamana hata mtoto wake alikufa ili mtumishi apate kiki ? Nimejisikia vibaya
Ivi jamni iyo free uwain man gani?
Wewe acha kuwaza ya freemason.
Free mbarikiwa maana yake,,,,mbarikiwa aachiwe huru asisumbuliwe kama anavyosumbuliwa
Amen
❤❤❤❤