MBARIKIWA ALA KIAPO NA MKE WAKE MBELE YA KANISA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 59

  • @edwardchange1407
    @edwardchange1407 3 месяца назад

    Be blessed abundantly of your touching songs,may God's grace be with in Jesus christ Name

  • @user-uh8yc5wo7e
    @user-uh8yc5wo7e 5 месяцев назад

    Dah waooh nice song

  • @nicholaswaemmanuel7221
    @nicholaswaemmanuel7221 6 месяцев назад +2

    Hakika kimbilio na tumaini pekee ni Bwana, maana kwake hatutaibika wala kutikisika daima. Mungu awatie nguvu sana WAZAZI wetu na kuwapa MAISHA marefu. Mmekuwa sababu ya uponyaji wa wengi. Mbarikiwe sana. Ameeeeeeen!

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 6 месяцев назад +1

    Mbarikiwe sana, mzidi kutetea haki za wanyonge muendelee kusikiliza MUNGU, IMAGINE KAMA YA KINA DANIEL

  • @bumimwamasage4904
    @bumimwamasage4904 6 месяцев назад +2

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu, zina mguso wenye uvuvio wa nguvu za Roho Mtakatifu.

  • @hildamacha6576
    @hildamacha6576 Месяц назад

    Amen

  • @lazaroonyango1568
    @lazaroonyango1568 6 месяцев назад

    Kwakweli mtumishi ni mfano wa kuigwa amesimama bila kuteterka pamoja na changamoto lakini bado amesimama katika katika kupigania imani Mungu akubariki na kukuimarisha zaidi.

  • @user-lf5ee3ok8f
    @user-lf5ee3ok8f 6 месяцев назад

    Amina mama,mumenibariki saana

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 6 месяцев назад

    Mbarikiwe sana jamani nyimbo zenu zimenitia moyo sana hasa kipindi hiki cha mapito nayopitia🙏🤲

  • @user-ll4vi4oz2n
    @user-ll4vi4oz2n 5 месяцев назад

    MUNGU wa mbinguni awabariki sana

  • @anazarethlalama
    @anazarethlalama 6 месяцев назад

    Jaman huyu mama nyimbo zake zinabariki sana pamoja na mapito bado hajamwacha mungu dah nampenda sana zaid

  • @bumimwamasage4904
    @bumimwamasage4904 6 месяцев назад +1

    Pia naguswa sana na umoja wenu, usiotikisika. Mungu wet aliyeziumba mbingu na nchi azidi kuwaongoza na kuwainua

  • @AgnesMmila
    @AgnesMmila 6 месяцев назад

    Nabarikiwa sana na nyimbo zako mtumishi wa Mungu

  • @JohnNikodem-ts1nz
    @JohnNikodem-ts1nz 6 месяцев назад +1

    Waooo Hakika Kwa Mungu Ndiko Kuna Kimbilio La Kweli 🙏🙏

  • @abnermailos8043
    @abnermailos8043 6 месяцев назад

    Aminasana

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 6 месяцев назад

    Yesu awakumbuke na awe faraja na ushindi wa maisha yenu nawaombea neema na baraka zabwana ziwafunike

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 6 месяцев назад

    Z❤❤❤❤❤🎉🎉nakupenda nyimbo zako za bariki

  • @ObadiahKabulente
    @ObadiahKabulente 6 месяцев назад +1

    Waoooo🎉 wimbo wenye mafuta

  • @helbalchota9417
    @helbalchota9417 6 месяцев назад +1

    Napenda sana msimamo wenu namwomba anipe msimamo mkali kama huo

  • @Yoram_Changala
    @Yoram_Changala 6 месяцев назад

    Neema ni nyingi sana Mama katika nyimbo
    ☺☺😊😊😊

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @stellamwaipopo1307
    @stellamwaipopo1307 4 месяца назад

    Hatuwezi wenyewe tushike baba yetu

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 6 месяцев назад +1

    Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen

  • @rahma6189
    @rahma6189 6 месяцев назад +1

    Hongera sanaaa

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 6 месяцев назад +1

    Ameeeeeeeni nice song

  • @millicentsamson6276
    @millicentsamson6276 6 месяцев назад

    Kwa kweli nimebarikiwa na hizo nyimbo mungu awatie nguvu

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 6 месяцев назад

    Aminaa mubarikiwe san watumishi wa mungu

  • @gadisanga-ee2il
    @gadisanga-ee2il 6 месяцев назад +1

    Safiiiiiiiii 😂😂😂😂😂❤❤❤❤🎉

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 6 месяцев назад +1

    Neema na baraka ziwe Kinga kwa yote mnayopitia.Dunia ni tambala bovu

  • @andjelaniilombe-go5kj
    @andjelaniilombe-go5kj 6 месяцев назад +1

    Amen Amen Amen

  • @gibsonsimburya5291
    @gibsonsimburya5291 6 месяцев назад +1

    Naona huyu bwana ana maumivi.
    MUNGU NGUVU YAKO IMALIZE YOTE.

  • @danielchaulema1670
    @danielchaulema1670 6 месяцев назад

    Mbarikiwa ahubiri nakufunfisha kama much Moses magembe aache mbwembe

  • @neemakusuhibwa347
    @neemakusuhibwa347 6 месяцев назад

    Mungu.aendelee kuwatunza.

  • @DaudiCharles-v2x
    @DaudiCharles-v2x 6 месяцев назад

    Xafi sana watumishi wabwana

  • @subirasimbeye5389
    @subirasimbeye5389 6 месяцев назад +1

    Amina

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 6 месяцев назад

    Napenda upigaji wa viombo au mitambo

  • @lupamwakabenga1716
    @lupamwakabenga1716 6 месяцев назад

    Aminaaaaaa 🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎😭😭😭😭😭

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 6 месяцев назад

    Lije lolote hakuna kuludi nyuma (HII IMEENDA).🎉🎉🎉🎉

  • @VeredianaKalembi-gs4vs
    @VeredianaKalembi-gs4vs 6 месяцев назад

    Ila naona kuendelea kuvaa mavazi yanayofanana na magereza sio NZURI maana umeshakuwa huru lifanye hili jambo kulisahau moyoni MWAKO

  • @EmmanuelMwakibinga
    @EmmanuelMwakibinga 6 месяцев назад

    Kazi yenu njema baba na mama mwakipesile

  • @astrinomgesi-np5xv
    @astrinomgesi-np5xv 6 месяцев назад +1

    Kikosi kazi

  • @ChachaMgaya-kq9we
    @ChachaMgaya-kq9we 6 месяцев назад

    Mubarikiwe hakika

  • @AMINAJOHN-tx5eb
    @AMINAJOHN-tx5eb 6 месяцев назад

    Mamaaaaa

  • @erasmobenardsangu-1854
    @erasmobenardsangu-1854 6 месяцев назад

    Akikani mngu anatenda yote

  • @Magufuli.
    @Magufuli. 6 месяцев назад +1

    💪🙏

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 6 месяцев назад

    Mgongo wa mke wa mbarikiwa mbona uko kama na vifungo? Huo ni ugonjwa gani? Poleni

  • @lupamwakabenga1716
    @lupamwakabenga1716 6 месяцев назад

    Watching you from Zambia🙏🙏🙏🙏🙏🙏🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎❤️❤️❤️

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 6 месяцев назад

    🙏🙏🙏♥️♥️♥️

  • @millicentsamson6276
    @millicentsamson6276 6 месяцев назад

    Mpaka nime download hizi nyimbo maana inanitia moyo🎉🎉🎉

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 6 месяцев назад

    mbona sijamuona sifa kwy ndege jamani?? au yeye anaogopa kupanda ndege??

    • @miriamwangari7417
      @miriamwangari7417 6 месяцев назад

      Wapendwa walikuwa wakiende kutibiwa hospitalini. Sifa Yuko mzima wa afya.

  • @paulmigire6661
    @paulmigire6661 6 месяцев назад +1

    Pambana kiki inalipa na mkeo

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  6 месяцев назад +1

      Jaribu hata wewe kama kiki inalipa hata kwa kupoteza mtoto wa pekee. Omba yasikukute

    • @Yoram_Changala
      @Yoram_Changala 6 месяцев назад +1

      Kiki kwenye hatari..?

    • @beatricendelwa7543
      @beatricendelwa7543 6 месяцев назад +1

      Unakosea sana hakuna anae penda matatizo inamana hata mtoto wake alikufa ili mtumishi apate kiki ? Nimejisikia vibaya

  • @user-bj6bv9xp4f
    @user-bj6bv9xp4f 6 месяцев назад

    Ivi jamni iyo free uwain man gani?

    • @luganomunuwavanu9369
      @luganomunuwavanu9369 6 месяцев назад +1

      Wewe acha kuwaza ya freemason.
      Free mbarikiwa maana yake,,,,mbarikiwa aachiwe huru asisumbuliwe kama anavyosumbuliwa

  • @user-ri8jr2ui7u
    @user-ri8jr2ui7u 6 месяцев назад

    Amen

  • @rehemabukuku1008
    @rehemabukuku1008 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤