Haya Ndiyo Majibu ya Makonda kwa Wanaouliza Anatafuta Nini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 112

  • @FloraIloko
    @FloraIloko 4 месяца назад +1

    Serious bro maisha yetu nimafupi ipo siku utaulizwa kwa huduma uliopewa lazima ufanye kwa makini shida watu wanafikiri huduma ni uchangaji tu hapana lazima uangalie kazi unayofanya na ipo siku isiyo na jina utatoa hesabu uwemakini ndugu my bro makonda ni kweli tunapita duniani tunapigania taji more grace mu bro long life sir

  • @daudimariseli3627
    @daudimariseli3627 7 лет назад

    makonda asante mkuu wamkoa mkuu wamkoa twakukubar miaka million namungu atakuvusha usipo patachangamoto hujakuwa sasa nakuomba kiongoz wetu wewefanya kaz kwel kweli..chadema wapuuzi tu acheni maneno yenu yakifala...tunaipenda awamu ya 5 yahapakaz tuuu much love p makonda na baba yetu rais asante sana tunawapenda kwakaz zenu...2020 upinzani hautakuwepo mlijue hilo nyie niwashind tayar...

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 7 лет назад +1

    i congret u poul makonda natokea kenya nanapenda fatilia stori zako zote nikiwa Dubai sikosi kukuangalia. kibinafsi nmetokea kuku penda kama kakayangu mkubwa......una maoni mazuri namwelekeo na wajiamin kwakazi Allah akuzidishie. ..chapa kazi nawatanzania. 2020 wakupee tena kiti cha kwama rayengine ....cc pia tungepata kaa ww wawili apa kenya wangeli nyooka namwenendo mzuri inchini kenya ......nakuombea kila laheri poul. i salut u

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 8 лет назад +14

    God bless you young man, utafika mbali kama kijana Daudi katika Bibilia, alionekana mdogo lakini Mungu alikuwa ashauona uthubutu wake. Rarua waalifu kama Daudi alivyommaliza Goliath. Mungu akulinde na kila lilobaya, damu ya Yesu ikufunike usiku na mchana.

    • @laynerngole2119
      @laynerngole2119 7 лет назад +2

      Damaris Zuckschwert amina

    • @sarahmwaluko2480
      @sarahmwaluko2480 7 лет назад +2

      +LAYNER NGOLE amen kwa unyang'anyi wa magari ya watu ubakiwe mno

  • @abdallahhadaika2131
    @abdallahhadaika2131 7 лет назад +8

    nakukubali sana mungu azidi kukuongoza,akuepushe na husda za viumbe,nakupenda sana napenda kazi zako,achana na nzi watasubili sana,mungu ndio msimamizi wako.

  • @iddysufiani6116
    @iddysufiani6116 7 лет назад +2

    ewee mungu mlunde mh makonda na maadui zake aymen

  • @furahaema6000
    @furahaema6000 7 лет назад +3

    amen makonda ubarikiwe sana mungu azidi kuku piganiya baba

  • @sharondivine2797
    @sharondivine2797 7 лет назад

    Mungu akubariki sana Mh Makonda Big up

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 8 лет назад +6

    Hongera sana, usijali maneno ya watu we fanya kazi wenye akili zetu tunaona

  • @kelvinkawea9506
    @kelvinkawea9506 7 лет назад +2

    makonda Mungu awe na Wewe amina

  • @mamymamy8971
    @mamymamy8971 7 лет назад +2

    nakupenda sana bashite japo huna cheti nakupenda tuu mungu yupamoja nawe kiukweli ni mchapa kazi mungu atakulinda

  • @ruqaiyaibrahim1865
    @ruqaiyaibrahim1865 7 лет назад +4

    umeona eeh huwezi kumridhisha binadam kaka yangu we myegemee Allah

  • @eliasabel1099
    @eliasabel1099 7 лет назад +2

    utamkosoaje mtu yupo kwenye system? nani alikuambia kufanya kaz hadi uwe na chet?we look 4content not form!

  • @joshuawwalwa3533
    @joshuawwalwa3533 7 лет назад +1

    mungu atakulinda tuko pamoja Keller za chula hasizuii tembo kunya maji songa mbele

  • @FloraIloko
    @FloraIloko 4 месяца назад

    Maneno mazito ooh God there is leader ship in you my brother more grace what a future leader we have mungu bariki nchi yangu im proud of you my bro

  • @mariammgosi9668
    @mariammgosi9668 7 лет назад +1

    Eeee mwenyezi mungu mjalie afya njema mjaa wako mkinge na majini watu wanaompinga vita kila kitu watakacho kifanya kibaya kimludie mwenyewe inshaa Allah

  • @farajakisinda976
    @farajakisinda976 7 лет назад

    mungu akutangulie xana umekuja kwanjia ya wizi kupitia madawa yakulevya unaiba magar yawatu ukijifanya unapinga kumbe unataka kutumia vitu haramu kweli bagamoyo kumekunogea,jaribu kukumbuka mungu yupo kaka cku zamwisho nihatarii pigania madawa tu mengine weka pemben nawenye vyeti feki pia kaz wanaweza warudishen kazin mungu anawaona kwauonez uwo mrudieni mungu,

  • @rehemasimkoko7055
    @rehemasimkoko7055 7 лет назад

    piga kazi makonda usisikilize ya watu. Rais wetu anataka anayechapa kazi. walikuwa wapi wenye vyeti kupigana vita zidi ya madawa ya kulevya, mtegemee Mungu ktk kazi zako zote

  • @zainahamis8974
    @zainahamis8974 7 лет назад +2

    mungu akuweke kaka fanya kaz ulikwepo wap

  • @naimajuma6659
    @naimajuma6659 7 лет назад

    allah azidi kukupigania kwa madui wako piga kazi kaka nakupenda buree hapa kazi to

  • @zuhuraally8916
    @zuhuraally8916 7 лет назад +3

    chapa kazi mkuu mungu akusaidie

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 7 лет назад +3

    makonda mi napenda kazi yako inaendana na kazi ya Rais wetu kipenzi.

  • @samwelimaliseli4216
    @samwelimaliseli4216 7 лет назад

    napenda watu wanaothubutu daima,,bring it on

  • @zandakingfujo7707
    @zandakingfujo7707 7 лет назад

    hao wa vyeti miaka yote walikuwepo walifanya anachokifanya makonda? chapa kazi kijana very brilliant guy

  • @perischarles2121
    @perischarles2121 8 лет назад +22

    mimi na mpenda huyu kaka sana, kwa sababu huwa anaongea kwa heshima sana!!

    • @kasika1307
      @kasika1307 7 лет назад +1

      kaka piga kazi
      wanaokusema vibaya wote ni weli
      lkn pia wengne wanafata mkumbo wakichochewa na wanasiasa wapenda pesa zisizo za halali

    • @kasika1307
      @kasika1307 7 лет назад +1

      wameishiwa maneno maana yote yanafanyika ndani ya chama tawala
      magufuri oyeee
      makonda oyeee
      ccm oyeeeeeeee
      ccm mbele kwa mbele

  • @seifmohamedchambo3402
    @seifmohamedchambo3402 7 лет назад +1

    Mimi binafsi nakubali kazi yake so sihitaji vyeti nahitaji utendaji safi

  • @queenbby2863
    @queenbby2863 7 лет назад

    nakupenda sana mungu akulinde makonda wetu kiongoz boraa

  • @mwanaidihussein1462
    @mwanaidihussein1462 7 лет назад

    Fanyeni kazi kwa manufaa ya nchi taifa ni letu sote wanapiga kelele ipo cku aibu itawashika na kamwe huwezi kumridhisha kila mtu penda sana nchi yangu na viongozi wangu

  • @amedeustemba9586
    @amedeustemba9586 7 лет назад +2

    lakini yote kwa yooote weka vyeti tuamini kàma hujakimbia umande.

    • @mikongotijaneth5900
      @mikongotijaneth5900 7 лет назад +1

      wewe vya kwako viko wapi fala. wewe ukute huna hata pa kulala

  • @kweyungajacob6677
    @kweyungajacob6677 7 лет назад +5

    bashite bwana anamahubir kama yuko kanisan

  • @zenakatimle8527
    @zenakatimle8527 8 лет назад +7

    Hongera fanyakazi watanyooka2

  • @hasani565
    @hasani565 7 лет назад +2

    Roma ana mabaya gani ?SAA nane yupo wapi wewe ni jini tu

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 8 лет назад +10

    congratulations my dear brother for your sweet tangue and gud taste of blood to be loved by all GOD creature much love frm 254 and may Allah give you more strength and confidence to to your work

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 7 лет назад +1

      Binti Rashid Antybaby ameen ameen thumma ameen

  • @mutakabaka
    @mutakabaka 7 лет назад

    habari zake mlikubaliani hamuweki, vp tena mmesamehe, mnatuacha njia panda!!

  • @jumaahmad4464
    @jumaahmad4464 7 лет назад +6

    nimchapakazi ambae hanavyeti halali

  • @hasani565
    @hasani565 7 лет назад

    kweli du! kama kweli anamjuwa mungu da!bashite mikosi

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 лет назад +2

    nakukubali Sana rc makonda wanyooshe

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 7 лет назад +2

    kaka Fanya Kazi usiathiriwe na mbinu za mateja ili walipe kwa hali na Mali rais akulinde vinginevyo ni hatari sana.

  • @duuudaud3816
    @duuudaud3816 7 лет назад +1

    Aman yenyewe hunaa

  • @DeusiSetivin-ls9uz
    @DeusiSetivin-ls9uz Год назад

    Nakuhurumia nakukuonea huruma kwamambo uriopitia kweri mungu ukonae lakini uwe mwangarifu sana kwa kutengenezewa bom ukanza kuangaika nalo Tena

  • @munashabanimunashabani9976
    @munashabanimunashabani9976 7 лет назад

    mungu akusimamie makonda wa taishia

  • @kallahassan4896
    @kallahassan4896 6 лет назад

    Makonda fanyakazi usimwogope mmbwa wsnaobweka kalengo lekukuludisha nyuma tatizo madawayakulevya

  • @georgefaustini5679
    @georgefaustini5679 7 лет назад

    piga Kaz dogo hata ungekuwa hujaanza shule haituusu kitu.sina chembe ya ubaya kwako piga Kaz MUNGU anakupigania.wacha wakuite hata mav usijal.kuna msemo unasema hiv.ukiwa unaoga ukaibiwa nguo na kichaa.ukatoka unamkimbiza ukiwa uchi.sasa hapo kichaa atakuwa NANI? kaa kimya watakuandika tuu.

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 лет назад

    safiiiii

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 7 лет назад +4

    piga kazi wanaoongea ni nguvu ya madawa yakulevya.

    • @zainababdullsadik1247
      @zainababdullsadik1247 7 лет назад +1

      Emmanuel Mlowe umeona yote hayo yamepoza kufuatilia hawa watu tu hamnaa lolote ndo maana wanafuata futa wabogo washazoweya rushwa na magendo sasa itamkuta kazi sana kwake lakini mimi nampenda hawajibu

  • @reychapo9402
    @reychapo9402 7 лет назад

    hongera kaka

  • @benezethbwikizo3158
    @benezethbwikizo3158 7 лет назад +3

    hapa kazi tu

  • @rehemaelliottsuleiman6465
    @rehemaelliottsuleiman6465 7 лет назад

    preach what you practice

  • @yusufalmamari4236
    @yusufalmamari4236 7 лет назад +2

    mungu ata kujaliya makonda

  • @adelqueen2049
    @adelqueen2049 7 лет назад +3

    mungu u pamoja nawe kakangu

  • @stawakhan4341
    @stawakhan4341 7 лет назад

    ubalikiwe kk kwa kazi bora

  • @dakoteliumba9476
    @dakoteliumba9476 7 лет назад +2

    fanyakazi tunakupenda sana makonda wetu

  • @michaelnyankali1131
    @michaelnyankali1131 7 лет назад

    chapa Nazi Broo mpaka kieleweke

  • @othumansuleiman6372
    @othumansuleiman6372 6 лет назад

    Mtu yeyote alie na akili timamu, na hana chuki na ww, hawezi kupinga wala kuzalau kz unazoendelea kzfnya. Najua kila binadamu hakoswi maadui, waweke km changamoto na njia ya kukusukuma uzd kutenda mema zaidi.

  • @sondanzingulasondasam4029
    @sondanzingulasondasam4029 7 лет назад

    nice

  • @saidmsomaly7285
    @saidmsomaly7285 7 лет назад

    mbona wananchi wako wamenuna au umewakosea mi cjui

  • @jeannahayo588
    @jeannahayo588 7 лет назад

    chapa kaz nipo nakukubali kinomaaaa

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 7 лет назад

    sasa naanza kukuelewa Makonda

  • @zuuniece6635
    @zuuniece6635 7 лет назад +1

    bashiteeeeee

  • @francesngailo8773
    @francesngailo8773 7 лет назад

    haya baba

  • @munashabanimunashabani9976
    @munashabanimunashabani9976 7 лет назад

    kutoka povuuu apa kazi tuu

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 7 лет назад

    chadema bila ccm hamuend lolote.hamuon?

  • @emmanuelmuba6554
    @emmanuelmuba6554 7 лет назад

    Piga kazi kaka

  • @pastoryrichard1257
    @pastoryrichard1257 7 лет назад +1

    ¿????shitiiiiiiii

  • @floramwanjonde9968
    @floramwanjonde9968 7 лет назад

    Mlisema hamtaandika habari zake sasa veeep global tv????

    • @mikongotijaneth5900
      @mikongotijaneth5900 7 лет назад

      wambie waandike habari zako wewe kama wanakujua ukiona Makonda anaandikwa ni amekuzidi kwa hiyo jichunguze utafute shuguli ya kufanya mana huna kazi ya kufanya

  • @kwayamassunga1483
    @kwayamassunga1483 7 лет назад

    Nc

  • @kalifasaed8682
    @kalifasaed8682 7 лет назад

    chapa kazi baba

  • @hadijasaidhabdallah8986
    @hadijasaidhabdallah8986 7 лет назад

    kaka piga kazi tuuuu

  • @josephtarimo7842
    @josephtarimo7842 7 лет назад +2

    wewe bashite bwenget2 Ben san yako wapi unajufanya ndungu na yesu jukum ganla kuteka wata ndio kazi

  • @loycesalumu1602
    @loycesalumu1602 7 лет назад

    makonda we jembe chapa kazi

  • @brunovindallar1517
    @brunovindallar1517 7 лет назад

    Kijana mdogo alafu anafanya maajabu,piga kazi mh Makonda,fuck vyeti!fuck snitches!!ikiwezekana wanao kuponda wateke tu,fuck them too!!Mh Makonda piga mzigo kama kawaida mzee baba!!!

    • @kapizoman5772
      @kapizoman5772 7 лет назад

      Tatizo wabongo tumezoea umayai yai so inatuwia vigumu Sana kumkubali yule anaesimama ktk haki na kutetea maslahi ya wanyonge hata hivyo tulizoea kuibiwa kutoa rushwa ndipo tufanikishe kile ulichokua unakihitaji. Ushauri mkuu wa mkoa angalia mbele na iwekeni Tanzania ktk mfumo thabiti wa uchumi kwani hao wanao lalamika na kukuzushia ndo vibaraka wa wale waliokua wakipga deal. Hapa kazi tu waache makundi makundi ya kujadili vitu ambavyo si vya maendeleo bali wazungumzie maendeleo ya nchi yanako elekea

  • @chubimabassa4460
    @chubimabassa4460 7 лет назад

    Kakafanyakazi

  • @graceleonard6150
    @graceleonard6150 7 лет назад

    l Love u my brother in Christ keep running u will win the race amen

  • @duuudaud3816
    @duuudaud3816 7 лет назад +4

    leta vyet kwanza unajifichia kwenye madawa...towa vyet acha kubwabwaja! unaoneka kama mtu hv kumbe jambaz la kutupwa mfyuuuuuuuuuu

    • @happynnko1193
      @happynnko1193 7 лет назад +2

      mnyang'anyi anayejidai anatend haki kumbe mnyang'anyi jmn

    • @RoseRose-qm4lb
      @RoseRose-qm4lb 7 лет назад

      vyet ndio vinavyofanya kaz au mtu ndio anaefanya kaz, angalia utendaji bana vyet makaratas

    • @sarahhappy1886
      @sarahhappy1886 7 лет назад

      +happy Nnko yaani acha tu hili jitu limejificha chini ya kapeti

    • @modestuskibwana8996
      @modestuskibwana8996 7 лет назад +1

      DUU WEWE MLOPOKAJI UNA UHAKIKA HUYU NI JAMBAZI? TOA USHAHIDI

    • @marwaboniphace
      @marwaboniphace 7 лет назад

      Piga kazi kiongozi shupavu makonda

  • @georgeavelin815
    @georgeavelin815 7 лет назад

    we all believe in God this Guy his too much courting from bible famous verses which shows his not reading by meaning rather than finding phrase to make as an example to his speeches his politician that's his work he has to relate things with realm of current situation still elimu yake inakuwa proved not worth to his chair tupe mifano ya jamii yako

  • @joramlondomanyika6612
    @joramlondomanyika6612 7 лет назад

    Watu wamekubaliana wasiandike habari za huyo mtu mnaleta ujinga hapa ni kuusubsribe tu

    • @mikongotijaneth5900
      @mikongotijaneth5900 7 лет назад

      sura nzito hata mbwa unaemfuga kwako hhakujui wewe utapambana na Makonda?kazoe takataka upate hela ya kula.mana njaa itakuwa inakuma mwenzio anakula kwa ulaini wewe unachoka na makelele

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 7 лет назад

    Mmmmm..

    • @Saida-fh4sq
      @Saida-fh4sq 7 лет назад +2

      makonda,mungu azidi kukuongezea hekima na akili yakuweza kuongea maneno ya busara na yenye kutia moyo na nguvu.mungu akutangulie kwa kila baya.

    • @Saida-fh4sq
      @Saida-fh4sq 7 лет назад +2

      piga kazi bhana ww,ukubwa wa puwa c wingi wa makamasi,kulikuwa na wakubwa wangapi waliopita mbona ilikuwa nchi ishapiga goti hii namaukubwa yao .ww mtangulize mungu utaona mafanikio yake.

    • @anethlissu206
      @anethlissu206 7 лет назад +1

      may God bless u

    • @EcoEssence_wellness
      @EcoEssence_wellness 7 лет назад

      Tnx Aneth

    • @EcoEssence_wellness
      @EcoEssence_wellness 7 лет назад

      Okay

  • @farajiswaleh4393
    @farajiswaleh4393 7 лет назад +5

    acha unafki

  • @riscaoscar521
    @riscaoscar521 7 лет назад

    mmmmmmmmmmmmmm