Serious bro maisha yetu nimafupi ipo siku utaulizwa kwa huduma uliopewa lazima ufanye kwa makini shida watu wanafikiri huduma ni uchangaji tu hapana lazima uangalie kazi unayofanya na ipo siku isiyo na jina utatoa hesabu uwemakini ndugu my bro makonda ni kweli tunapita duniani tunapigania taji more grace mu bro long life sir
makonda asante mkuu wamkoa mkuu wamkoa twakukubar miaka million namungu atakuvusha usipo patachangamoto hujakuwa sasa nakuomba kiongoz wetu wewefanya kaz kwel kweli..chadema wapuuzi tu acheni maneno yenu yakifala...tunaipenda awamu ya 5 yahapakaz tuuu much love p makonda na baba yetu rais asante sana tunawapenda kwakaz zenu...2020 upinzani hautakuwepo mlijue hilo nyie niwashind tayar...
i congret u poul makonda natokea kenya nanapenda fatilia stori zako zote nikiwa Dubai sikosi kukuangalia. kibinafsi nmetokea kuku penda kama kakayangu mkubwa......una maoni mazuri namwelekeo na wajiamin kwakazi Allah akuzidishie. ..chapa kazi nawatanzania. 2020 wakupee tena kiti cha kwama rayengine ....cc pia tungepata kaa ww wawili apa kenya wangeli nyooka namwenendo mzuri inchini kenya ......nakuombea kila laheri poul. i salut u
God bless you young man, utafika mbali kama kijana Daudi katika Bibilia, alionekana mdogo lakini Mungu alikuwa ashauona uthubutu wake. Rarua waalifu kama Daudi alivyommaliza Goliath. Mungu akulinde na kila lilobaya, damu ya Yesu ikufunike usiku na mchana.
nakukubali sana mungu azidi kukuongoza,akuepushe na husda za viumbe,nakupenda sana napenda kazi zako,achana na nzi watasubili sana,mungu ndio msimamizi wako.
Eeee mwenyezi mungu mjalie afya njema mjaa wako mkinge na majini watu wanaompinga vita kila kitu watakacho kifanya kibaya kimludie mwenyewe inshaa Allah
mungu akutangulie xana umekuja kwanjia ya wizi kupitia madawa yakulevya unaiba magar yawatu ukijifanya unapinga kumbe unataka kutumia vitu haramu kweli bagamoyo kumekunogea,jaribu kukumbuka mungu yupo kaka cku zamwisho nihatarii pigania madawa tu mengine weka pemben nawenye vyeti feki pia kaz wanaweza warudishen kazin mungu anawaona kwauonez uwo mrudieni mungu,
piga kazi makonda usisikilize ya watu. Rais wetu anataka anayechapa kazi. walikuwa wapi wenye vyeti kupigana vita zidi ya madawa ya kulevya, mtegemee Mungu ktk kazi zako zote
Fanyeni kazi kwa manufaa ya nchi taifa ni letu sote wanapiga kelele ipo cku aibu itawashika na kamwe huwezi kumridhisha kila mtu penda sana nchi yangu na viongozi wangu
congratulations my dear brother for your sweet tangue and gud taste of blood to be loved by all GOD creature much love frm 254 and may Allah give you more strength and confidence to to your work
piga Kaz dogo hata ungekuwa hujaanza shule haituusu kitu.sina chembe ya ubaya kwako piga Kaz MUNGU anakupigania.wacha wakuite hata mav usijal.kuna msemo unasema hiv.ukiwa unaoga ukaibiwa nguo na kichaa.ukatoka unamkimbiza ukiwa uchi.sasa hapo kichaa atakuwa NANI? kaa kimya watakuandika tuu.
Emmanuel Mlowe umeona yote hayo yamepoza kufuatilia hawa watu tu hamnaa lolote ndo maana wanafuata futa wabogo washazoweya rushwa na magendo sasa itamkuta kazi sana kwake lakini mimi nampenda hawajibu
Mtu yeyote alie na akili timamu, na hana chuki na ww, hawezi kupinga wala kuzalau kz unazoendelea kzfnya. Najua kila binadamu hakoswi maadui, waweke km changamoto na njia ya kukusukuma uzd kutenda mema zaidi.
wambie waandike habari zako wewe kama wanakujua ukiona Makonda anaandikwa ni amekuzidi kwa hiyo jichunguze utafute shuguli ya kufanya mana huna kazi ya kufanya
Kijana mdogo alafu anafanya maajabu,piga kazi mh Makonda,fuck vyeti!fuck snitches!!ikiwezekana wanao kuponda wateke tu,fuck them too!!Mh Makonda piga mzigo kama kawaida mzee baba!!!
Tatizo wabongo tumezoea umayai yai so inatuwia vigumu Sana kumkubali yule anaesimama ktk haki na kutetea maslahi ya wanyonge hata hivyo tulizoea kuibiwa kutoa rushwa ndipo tufanikishe kile ulichokua unakihitaji. Ushauri mkuu wa mkoa angalia mbele na iwekeni Tanzania ktk mfumo thabiti wa uchumi kwani hao wanao lalamika na kukuzushia ndo vibaraka wa wale waliokua wakipga deal. Hapa kazi tu waache makundi makundi ya kujadili vitu ambavyo si vya maendeleo bali wazungumzie maendeleo ya nchi yanako elekea
we all believe in God this Guy his too much courting from bible famous verses which shows his not reading by meaning rather than finding phrase to make as an example to his speeches his politician that's his work he has to relate things with realm of current situation still elimu yake inakuwa proved not worth to his chair tupe mifano ya jamii yako
sura nzito hata mbwa unaemfuga kwako hhakujui wewe utapambana na Makonda?kazoe takataka upate hela ya kula.mana njaa itakuwa inakuma mwenzio anakula kwa ulaini wewe unachoka na makelele
piga kazi bhana ww,ukubwa wa puwa c wingi wa makamasi,kulikuwa na wakubwa wangapi waliopita mbona ilikuwa nchi ishapiga goti hii namaukubwa yao .ww mtangulize mungu utaona mafanikio yake.
Serious bro maisha yetu nimafupi ipo siku utaulizwa kwa huduma uliopewa lazima ufanye kwa makini shida watu wanafikiri huduma ni uchangaji tu hapana lazima uangalie kazi unayofanya na ipo siku isiyo na jina utatoa hesabu uwemakini ndugu my bro makonda ni kweli tunapita duniani tunapigania taji more grace mu bro long life sir
makonda asante mkuu wamkoa mkuu wamkoa twakukubar miaka million namungu atakuvusha usipo patachangamoto hujakuwa sasa nakuomba kiongoz wetu wewefanya kaz kwel kweli..chadema wapuuzi tu acheni maneno yenu yakifala...tunaipenda awamu ya 5 yahapakaz tuuu much love p makonda na baba yetu rais asante sana tunawapenda kwakaz zenu...2020 upinzani hautakuwepo mlijue hilo nyie niwashind tayar...
i congret u poul makonda natokea kenya nanapenda fatilia stori zako zote nikiwa Dubai sikosi kukuangalia. kibinafsi nmetokea kuku penda kama kakayangu mkubwa......una maoni mazuri namwelekeo na wajiamin kwakazi Allah akuzidishie. ..chapa kazi nawatanzania. 2020 wakupee tena kiti cha kwama rayengine ....cc pia tungepata kaa ww wawili apa kenya wangeli nyooka namwenendo mzuri inchini kenya ......nakuombea kila laheri poul. i salut u
God bless you young man, utafika mbali kama kijana Daudi katika Bibilia, alionekana mdogo lakini Mungu alikuwa ashauona uthubutu wake. Rarua waalifu kama Daudi alivyommaliza Goliath. Mungu akulinde na kila lilobaya, damu ya Yesu ikufunike usiku na mchana.
Damaris Zuckschwert amina
+LAYNER NGOLE amen kwa unyang'anyi wa magari ya watu ubakiwe mno
nakukubali sana mungu azidi kukuongoza,akuepushe na husda za viumbe,nakupenda sana napenda kazi zako,achana na nzi watasubili sana,mungu ndio msimamizi wako.
ewee mungu mlunde mh makonda na maadui zake aymen
amen makonda ubarikiwe sana mungu azidi kuku piganiya baba
Mungu akubariki sana Mh Makonda Big up
Hongera sana, usijali maneno ya watu we fanya kazi wenye akili zetu tunaona
makonda Mungu awe na Wewe amina
nakupenda sana bashite japo huna cheti nakupenda tuu mungu yupamoja nawe kiukweli ni mchapa kazi mungu atakulinda
umeona eeh huwezi kumridhisha binadam kaka yangu we myegemee Allah
utamkosoaje mtu yupo kwenye system? nani alikuambia kufanya kaz hadi uwe na chet?we look 4content not form!
mungu atakulinda tuko pamoja Keller za chula hasizuii tembo kunya maji songa mbele
Maneno mazito ooh God there is leader ship in you my brother more grace what a future leader we have mungu bariki nchi yangu im proud of you my bro
Eeee mwenyezi mungu mjalie afya njema mjaa wako mkinge na majini watu wanaompinga vita kila kitu watakacho kifanya kibaya kimludie mwenyewe inshaa Allah
mungu akutangulie xana umekuja kwanjia ya wizi kupitia madawa yakulevya unaiba magar yawatu ukijifanya unapinga kumbe unataka kutumia vitu haramu kweli bagamoyo kumekunogea,jaribu kukumbuka mungu yupo kaka cku zamwisho nihatarii pigania madawa tu mengine weka pemben nawenye vyeti feki pia kaz wanaweza warudishen kazin mungu anawaona kwauonez uwo mrudieni mungu,
piga kazi makonda usisikilize ya watu. Rais wetu anataka anayechapa kazi. walikuwa wapi wenye vyeti kupigana vita zidi ya madawa ya kulevya, mtegemee Mungu ktk kazi zako zote
mungu akuweke kaka fanya kaz ulikwepo wap
allah azidi kukupigania kwa madui wako piga kazi kaka nakupenda buree hapa kazi to
chapa kazi mkuu mungu akusaidie
makonda mi napenda kazi yako inaendana na kazi ya Rais wetu kipenzi.
napenda watu wanaothubutu daima,,bring it on
hao wa vyeti miaka yote walikuwepo walifanya anachokifanya makonda? chapa kazi kijana very brilliant guy
mimi na mpenda huyu kaka sana, kwa sababu huwa anaongea kwa heshima sana!!
kaka piga kazi
wanaokusema vibaya wote ni weli
lkn pia wengne wanafata mkumbo wakichochewa na wanasiasa wapenda pesa zisizo za halali
wameishiwa maneno maana yote yanafanyika ndani ya chama tawala
magufuri oyeee
makonda oyeee
ccm oyeeeeeeee
ccm mbele kwa mbele
Mimi binafsi nakubali kazi yake so sihitaji vyeti nahitaji utendaji safi
nakupenda sana mungu akulinde makonda wetu kiongoz boraa
Fanyeni kazi kwa manufaa ya nchi taifa ni letu sote wanapiga kelele ipo cku aibu itawashika na kamwe huwezi kumridhisha kila mtu penda sana nchi yangu na viongozi wangu
lakini yote kwa yooote weka vyeti tuamini kàma hujakimbia umande.
wewe vya kwako viko wapi fala. wewe ukute huna hata pa kulala
bashite bwana anamahubir kama yuko kanisan
Hongera fanyakazi watanyooka2
Roma ana mabaya gani ?SAA nane yupo wapi wewe ni jini tu
congratulations my dear brother for your sweet tangue and gud taste of blood to be loved by all GOD creature much love frm 254 and may Allah give you more strength and confidence to to your work
Binti Rashid Antybaby ameen ameen thumma ameen
habari zake mlikubaliani hamuweki, vp tena mmesamehe, mnatuacha njia panda!!
nimchapakazi ambae hanavyeti halali
kweli du! kama kweli anamjuwa mungu da!bashite mikosi
nakukubali Sana rc makonda wanyooshe
kaka Fanya Kazi usiathiriwe na mbinu za mateja ili walipe kwa hali na Mali rais akulinde vinginevyo ni hatari sana.
Aman yenyewe hunaa
Nakuhurumia nakukuonea huruma kwamambo uriopitia kweri mungu ukonae lakini uwe mwangarifu sana kwa kutengenezewa bom ukanza kuangaika nalo Tena
mungu akusimamie makonda wa taishia
Makonda fanyakazi usimwogope mmbwa wsnaobweka kalengo lekukuludisha nyuma tatizo madawayakulevya
piga Kaz dogo hata ungekuwa hujaanza shule haituusu kitu.sina chembe ya ubaya kwako piga Kaz MUNGU anakupigania.wacha wakuite hata mav usijal.kuna msemo unasema hiv.ukiwa unaoga ukaibiwa nguo na kichaa.ukatoka unamkimbiza ukiwa uchi.sasa hapo kichaa atakuwa NANI? kaa kimya watakuandika tuu.
safiiiii
piga kazi wanaoongea ni nguvu ya madawa yakulevya.
Emmanuel Mlowe umeona yote hayo yamepoza kufuatilia hawa watu tu hamnaa lolote ndo maana wanafuata futa wabogo washazoweya rushwa na magendo sasa itamkuta kazi sana kwake lakini mimi nampenda hawajibu
hongera kaka
hapa kazi tu
preach what you practice
mungu ata kujaliya makonda
mungu u pamoja nawe kakangu
ubalikiwe kk kwa kazi bora
fanyakazi tunakupenda sana makonda wetu
chapa Nazi Broo mpaka kieleweke
Mtu yeyote alie na akili timamu, na hana chuki na ww, hawezi kupinga wala kuzalau kz unazoendelea kzfnya. Najua kila binadamu hakoswi maadui, waweke km changamoto na njia ya kukusukuma uzd kutenda mema zaidi.
nice
mbona wananchi wako wamenuna au umewakosea mi cjui
chapa kaz nipo nakukubali kinomaaaa
sasa naanza kukuelewa Makonda
bashiteeeeee
haya baba
kutoka povuuu apa kazi tuu
chadema bila ccm hamuend lolote.hamuon?
Piga kazi kaka
¿????shitiiiiiiii
Mlisema hamtaandika habari zake sasa veeep global tv????
wambie waandike habari zako wewe kama wanakujua ukiona Makonda anaandikwa ni amekuzidi kwa hiyo jichunguze utafute shuguli ya kufanya mana huna kazi ya kufanya
Nc
chapa kazi baba
kaka piga kazi tuuuu
wewe bashite bwenget2 Ben san yako wapi unajufanya ndungu na yesu jukum ganla kuteka wata ndio kazi
kuandika penyewe ujui
ww kama unajua Ben sanane si tuonyeshe acha kuchangia ujinga
makonda we jembe chapa kazi
Kijana mdogo alafu anafanya maajabu,piga kazi mh Makonda,fuck vyeti!fuck snitches!!ikiwezekana wanao kuponda wateke tu,fuck them too!!Mh Makonda piga mzigo kama kawaida mzee baba!!!
Tatizo wabongo tumezoea umayai yai so inatuwia vigumu Sana kumkubali yule anaesimama ktk haki na kutetea maslahi ya wanyonge hata hivyo tulizoea kuibiwa kutoa rushwa ndipo tufanikishe kile ulichokua unakihitaji. Ushauri mkuu wa mkoa angalia mbele na iwekeni Tanzania ktk mfumo thabiti wa uchumi kwani hao wanao lalamika na kukuzushia ndo vibaraka wa wale waliokua wakipga deal. Hapa kazi tu waache makundi makundi ya kujadili vitu ambavyo si vya maendeleo bali wazungumzie maendeleo ya nchi yanako elekea
Kakafanyakazi
l Love u my brother in Christ keep running u will win the race amen
leta vyet kwanza unajifichia kwenye madawa...towa vyet acha kubwabwaja! unaoneka kama mtu hv kumbe jambaz la kutupwa mfyuuuuuuuuuu
mnyang'anyi anayejidai anatend haki kumbe mnyang'anyi jmn
vyet ndio vinavyofanya kaz au mtu ndio anaefanya kaz, angalia utendaji bana vyet makaratas
+happy Nnko yaani acha tu hili jitu limejificha chini ya kapeti
DUU WEWE MLOPOKAJI UNA UHAKIKA HUYU NI JAMBAZI? TOA USHAHIDI
Piga kazi kiongozi shupavu makonda
we all believe in God this Guy his too much courting from bible famous verses which shows his not reading by meaning rather than finding phrase to make as an example to his speeches his politician that's his work he has to relate things with realm of current situation still elimu yake inakuwa proved not worth to his chair tupe mifano ya jamii yako
Watu wamekubaliana wasiandike habari za huyo mtu mnaleta ujinga hapa ni kuusubsribe tu
sura nzito hata mbwa unaemfuga kwako hhakujui wewe utapambana na Makonda?kazoe takataka upate hela ya kula.mana njaa itakuwa inakuma mwenzio anakula kwa ulaini wewe unachoka na makelele
Mmmmm..
makonda,mungu azidi kukuongezea hekima na akili yakuweza kuongea maneno ya busara na yenye kutia moyo na nguvu.mungu akutangulie kwa kila baya.
piga kazi bhana ww,ukubwa wa puwa c wingi wa makamasi,kulikuwa na wakubwa wangapi waliopita mbona ilikuwa nchi ishapiga goti hii namaukubwa yao .ww mtangulize mungu utaona mafanikio yake.
may God bless u
Tnx Aneth
Okay
acha unafki
mmmmmmmmmmmmmm