ISHARA KUBWA-MUNGU ANAPOTAKA KUKUBARIKI
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Ayubu 22:21
“Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mtumishi sijuwe niseme nini ubarikiwe sana kupitia maombi ya siri ya biblia,najiisi nafuraha , bwana akuinuwe katika maisha yako.napenda nimjuwe Mungu kwa undani.
Amen Mungu wamazabao yasiri ya bibiriya Mungu awainuwe zaidi nazaidi kunavituvingi najifunza. Kupitia mtumishi wamungu
Tufundishe maneno ya Mungu mtumishi,tunafichwa mingi katika makanisa.
Naamini Mungu anataka nimtumikie kwa viwango vikubwa
Amen amen asante sana 🙏🙏🙏🙏
Amen
Mungu nakuomba nivushe kwenye hii changamoto nilionayo sijui nitatokaje 😔🙏 niombeeni
Amina mchungaji ubarikiwe
Amen,washirika wote neema ya mwenzi Mungu iwe nanyi.
Ameeni
Asante mungu.
Naomba mungu unikumbike Kwa mapito
Ameeni naomba balaka za mazabau hii univushe katika jinalayesu ameeen
Amenaaa
Mungu nikuze KIROHO kwa jina la Yesu ♥
Mungu nakuomba nikujuee zaidi
Mungu nakukumbusha nami niko ktk madhabahu yko niguse bwana ktk biashara yngu
Amina Sana mutumishi wamugu nakushukulu Sana umenitoa sehemu umenipeleka bele zaidi mugu akubaliki sana
Amen 🙏 kweli kabisa,watu wengi wanapenda muujiza but hawampendi mwenye kutenda huo muujiza 🙏🙏 mungu atusaidie Sana jameni
Barikiwa mtumishi wa mungu
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
Amen mungu atusaidie
Mugu akubaliki mchugaji
Nashukulu kwamafunzohaya asante namungu akubaliki amen
Amen and amen nashukuru Mungu kwa hi sauti yako🎉🎉🙏🙏🙏
Mtumishi naomba unitubishe
Ubarikiwe
amen mungu nipe neema yakukujuwa sana baba pia nakukupenda zaidi
Amina mtumishi wa mungu na nikweli hata mm nashukuru kwa mafundisho yako
Yaani nikilisikia maubiri ya mtumishi kila siku nimesidi kumjua mungu
Ameen,,,Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Mtumishi
Amen Amen
amen mtumishi
Mungu nitendee makubwa Sana bwana niguse mm mwanao by kidifu
ameeen nakuelewa sana mafundisho haya.
Amen barikiwa sana mtumishi wa bwana
Amen 🙌
Ameen 🙏🙏🙏
Amina
Ee mungu nikumbushe nikujuwe zahidi
AMIINA ubqrikiwe xana mtyumixhi wa Mungu
ubarikiwe san mtumishi maarifa yako yamebeba mafanikio sna mungu akutunze kwa ajili yetu amen
Barikiwa saana mtumishi wa Mungu
Asante kwa SoMo zuri..kina vitu nlikuwa sivijui..nimejua
Amen naomba mungu anibariki naasante mutumishi kwakutpea chakula chakiroho mm nasikia amani sana unapo tufunza hata kama huelewi unatufundisha kiundani mupaka unapata kuelewa mm nafurahiya sana jina labwana mwana wamungu alie hai
Amen, tunazidi kubarikiwa
Asante YESU KRISTO
Ameen
Asante mtumishi wa mungu Asante Bwana yesu amen
Barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho na kutuelewesha vizuri sana
Amen Amen barikiwa sana na mungu akuongezee kibali cha kuendeleq kusema na sisi 🙏 🙏 🙏
Amen amen amen mtumishi.
Kuna wakatii magumu Yana tuzidi sana tuna waza sana alakini mungu iko tuta omba kwa bidii naku mujuwa mungu ki u danii n'a shukuru sana muchugaji apa ni Samuel kutoka DR Congo
Amen tumujue zaidi mungu ktk maisha yetu ndipo atasikia tuombacho kwake🙏🙏
Amen amen 🙏🙏
Nikweli kabisa
Nakupenda Sanaaaaa Mungu
Mungu akubariki mutumishi wa Mungu🙏🙏🙏🙏
Amen Amen 🙏 🙌
Amen, Mungu naomba utasaidia tueze kujua zaidi
Tunashukuru Sana Mungu kwa baraka nyingi za kiroho. Nifanye Nini ili Lila siku nipate mafundisho haya?
Amen amen mungu wambinguni nisaidie ili nikujue zaidi
Mungu akujalie umri mrefu uzid kutupa sir za ufalme wa mbinguni
AMEN
Ameni mtu
Mungu atupe kibali cha kumjua yeye zaidi
Mtumishi ubarikiwe sana tangu nianza kufwatilia siri za Bibilia nazidi kufunguliwa na Mungu Azidi kukupa afy
Amina jinala bwana libarikiwe
Ameen barikiwa sana Mtumishi wa Mungu ila naomba uniunganishe n hyo gruop ya wastp maan jaribu lkn nashindwa naomba plz🙏🙏✍️✍️
tuma meseji 0758708804
Asante
Ameeeen ameeeeeen hallelujah Mungu atusaidie sana kujifunza neno la Mungu pia maarifa ndani ya ibada kwa watumishi Amen Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Eemen 🙏🙏🙏
Ameni 🙏
Barikiwa sana
Asante sana Mungu azidi kutupa nguvu
Amen mungu atupe nguvu namunda wakumujuwa
Namuomba mwenyeez Mungu anitie nguvu kesho nifunge walau masaa 12 kwa neema yake
Mungu atusaidie kuelewa Ameen 🙏🙏🙏
Nakukubali mtumishi mungu akubariki Kwa huduma hii ya baraka
Amen 🙏🙏 bc atupe ufahamu ili tupate uelewa
😊
Ameen 13:47
Amen mtumishi Wa MUNGU akubariki sana Naomba MUNGU anipe maharifa katk maisha yangu
❤
Amen amen 🙌🙌🙌🙏🙏MUNGU nipekukufahamu wewe ili nisijikwae katika njia zangu
Amen mungu tusaidie ili tupate kukujua Zaidi ili tuonje MEMA yako baba amen
Amen asante Sana kwa neno
Mungu anisaidie sana kumjua sana Mungu na kuniongezea lmani zaidi
Eeeh Mungu wangu naomba nikujue wewe sana
Nasubiri kwa hamu somo lijalo!Ubarikiwe mtumishi
Amina mtumishi mafundisho yanatubariki sana ubarikiwe sana 🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🇹🇿
Nashkuru sana mchungaji umenitia nguvu na kunifungua kiroho, nimeelewa vizuri sana Kwa kua mafanikio yote huanza Kwa kiroho
Hakika nabarikiwa
Amen 🙏🙏Mungu niangalie na mm
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu ❤
Amen 🙏🙏 Mungu hunikumbuke na mimi
Kwel
Ameni Mungu atusaidie tumjue zaidi na tutembee nae siku zote za maisha yetu.
Amen, barikiwa sana.
Amen Ameeeen
Amen 🙏 ubarikiwe sana
Ameeeeeee in Jesus name