Inaweza ikawa sijakuelewa vizuri ispokuwa nyeupe inamaana kubwa sana na moja wapo ni uzuri kwa mfano mdogo hata vitami toka zamani mpaka sasa huwa wanatumia nyeupe kama ishara ya kutaka amani ulingoni hurushwa kitambaa cheupe kuonesha ishara ya kushindwa kupambana, kwa hivyo tu basi nyeupe ni nzuri, nyekundu ni hatari na nyeusi ilitumika toka zamani kama ishara ya simanzi au majonzi lakini poa inamaanisha msitu. Kwenye uhalisia usibadili maana husika ukatafsiri utumwa tu kila wakati jua kuwa hata anaewaza utumwa nae pia ni mtumwa usikubali kuwa na mawazo ya kitumwa hembu toa hicho kitu akili mwako.
Video nzuri kabisa
Bom dia, aqui estou gostar. Moz
Nimewapenda kwakweli kwa uchambuz wenu big up sn
Nilikuwa Najiuliza Sana Ila Umetupatia Majibu Mkuu 🙏🙏🙏
Justin sheddy Sasa twende kazi......
Nyie ni noma
🔥🔥🔥🔥
Bongo faster lead others follow
❤️❤️❤️❤️
Safi
Na peni ukipa Stephanie na pini
Napenda filamu sana Watching from Kenya Africa
Kwenye bongo fasta hapo
Acha niseme Masha Allah unatisha brother
SOMA UFUNUO 17 ...REVELATION 17 Utatambua ndugu...kuna Siri kubwa apo ya maisha halisi America na Dunia...
Vocal kali una pangilia vitu vizuri.. makosa machache ukirekebisha utakua sawa sana 💪🏾 keep it up
Status of Liberty🗽 imetengenezwa Ufaransa
Good bro
Mi baado sijaelewa uyu mwanamke ni nani yeye, sawa anaitwa Colombia lakin ni nani yeye iweje awekwe hapo
Hawaitwa Colombia anajina lake halisi
Namba 5 Hyundai hujamalizia kueleza
nimependa maana ya bongo fasta😅😅
Asante kwa elimu yako
Kazi nzuri sana bro
Woo... Amazing...bongo fasta...
Good job
Gonga likes za kutoshaaaa
Sasa twende kazi 💪 Mr Justin
Jitahidini kwenye upande wa sound husikiki vizuri otherwise it's a good content
🙆♂️
Good work....
👍👏👏👏👏
Mana ya del iko powa
"Nyeupe inamaanisha uzuri" hii mentality ya kitumwa itawatoka lini wa Africa? Unaweza jihisi umeongea cha maana kumbe pumba 🚮🚮🚮
Inaweza ikawa sijakuelewa vizuri ispokuwa nyeupe inamaana kubwa sana na moja wapo ni uzuri kwa mfano mdogo hata vitami toka zamani mpaka sasa huwa wanatumia nyeupe kama ishara ya kutaka amani ulingoni hurushwa kitambaa cheupe kuonesha ishara ya kushindwa kupambana, kwa hivyo tu basi nyeupe ni nzuri, nyekundu ni hatari na nyeusi ilitumika toka zamani kama ishara ya simanzi au majonzi lakini poa inamaanisha msitu. Kwenye uhalisia usibadili maana husika ukatafsiri utumwa tu kila wakati jua kuwa hata anaewaza utumwa nae pia ni mtumwa usikubali kuwa na mawazo ya kitumwa hembu toa hicho kitu akili mwako.
Asante
Mimi Naitwa Justin Shed Sasa Twende Kazi
Hhhh
Jee akoo alive?
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
NUMBER 5