LAANA INAYOWATAFUNA WALIOIGIZA FILAMU ZA SUPERMAN INATISHA, UTAWAONEA HURUMA!
HTML-код
- Опубликовано: 8 янв 2023
- ABSALOM FAMILY
NI APPLICATION NUMBER MOJA YA MOVIE ZILIZOTAFSIRIWA KISWAHILI NA ZISIZOTAFSIRIWA KISWAHILI""
MOVIE ZINAPATIKN BURE....
Playstore Inapatikn Kwa Jina
ABSALOM FAMILY
play.google.com/store/apps/de...
Kwa Wanaotumia iPhone na Laptop Tumia Website
www.absalomfamily.com
Enjoy Pata kile kilicho bora ufarahie Life🔥 - Кино
Mimi ninaitwa ankal mzito sasa tumalize kazi 🇰🇪🇰🇪....
Napenda san bongo fasta ila sas sipend hilo tangaz sijuw kwa nin unaliwek😞😞
Ako kazi amelipwa atangaze
biashara hiyo kipenz mwenzio anapata kipato
Mambo
Mambo
Kaka Justine shedy upo vzr sana
Mungu aendelee kukuinua katika kipawa chako🙏
) was the aday vocha was
Hy t
Wajina naomba unipe history ya kuhusu dawa
Unatu sanua ma vitu mengi sana bro🔥🔥🔥🔥🔥
Watanzania hatusomi haya majarida ni miaka mingi na leo tuweke comic za mwanamalundi na watu wetu wa enzi kama mkwawa ita lipa mm ni aminator wa cartoon 3d
Pamoja saana Mr Justin 💪
Mungu awalaze Pema Peponi ♥️
hizi ni laana mbaya sana
Ipo bomba sana hii video
Asante sana brother
Napenda sana unataelimisha tunajua Yale tulikua hatujui as and I pro
Hiyo App ngoja nikaichukue maana Movies ndo vitu vyang
Hayo matangazo yanaboa hatari
Napenda San hadithi zako Mr Justine
Vizuri Sana
Tunaomba historia ya mama samia
Hii hatutaki
Ya nn
Leo sijakuelewa ,Koo filam za suparman tuu ndo Zina laaana zingine hazina,umetupigabro
Hata Batman na Spiderman lazima wapate mabalaa coz wanafanya kazi na freemason
Babu unakera na mitangazo yako
“Putting someone down with name calling reveals your own low self-esteem.”
Wakwanza leo
Kaka tunaomba historia ya bobowiski yule shoga tajili Afrika
Ile story ya Nyerere kukosa mara kazaa kupigwa risasi ama kuuwawa
board kuweka matangazo kila dakika , tangazo weka mwanzo wa story na mwisho wa story .
Kaka sheddy naomba historia ya johnny sins
Daaaah mwanangu!!🙌
Da hii nchi ngumu sana
@@eliuskamwelwe1018 na yeye ni icon jaman twataka kujuaa kahistoriaa kake😄😄
Kabisaa
Duuuh jamaa
Great❤❤❤❤❤
We jamaa n muongo
Nakubar kak a
Justin Shedy anaupiga mwingi arafu wala hata alingi
Nilikua namngojea kwa ham Henry cavill ila mbona hakuzungumziwa
♥️🔐
Aisee kaka matangazo yamekuwa meng katk kaz yako ikiw haina umuhim ushaanza kaz endelea mpaka umalze then ndipo utangaze matangazo plz from Canada KATUNZI
Iko wazi sana hujui unachokiongea
Oi mzee tuelezee huyu legendary John sins plz🙏
🙆🙆🙆
DAH Hilo tangazo jaribu kulidesign jaman linaboa
Tuletee video ya law of attraction kaka...hii kitu ipoje? Sasa twende kazi....!
only god is super men
Have you think god is a men?.
mbona hujatuambia kuhusu laana ya henry cavill ? mi nilisikia kuwa ni mkataba wa DC ukiekti superman, hutakiwi kuigiza movies zingine
Ibolesheni maana movie nyingi hamna
Mzee uko poa ila unazingua matangazo meng hii sisehem ya matangazo
Sasa kwnn wapate laana?????
Story nzur lakin Matangazo yako yanakera
first view🥰
@Aisha Natecho si unyama 😂
Mnachekesha nyinyi🤣🤣😂
Tuletee story ya siri yule mwanamke alimuua mumewe na kumtumbukiza kisimani
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
Kwanini asiweke matangazo? Au munamlipa nyinyi
Matangazo ya nini justine una2malizia 2 mbs
🎃🎃🎃
Sema kinacho waponza waigizaji wa super man inaonekan wanajifanya akina super man adi kwenye maisha harisi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣pumbavu
🤣🤣🤣🤣🤣
✌🏻✌🏻✌🏻✌🏻
Sema mbongo fasta badili hiyo sauti haina mashiko bana
Ila mimi bhna huanaona kama wewe jamaa hua unatudanganya sana.....wewe ni kama rapcha sio dizasta
Huko Instagram jina lako linaandikwaje Mana nimekutafuta sanaa
Iko wazi sana hujui unachokiongea