Kwanza nimsukuru Allah kwa upumzi alinipa pili nimuombe huyo dada kwani alihadaiwa na Dunia tatu mola wangu aniongoze Mimi na vizazi viangu na wazazi wangu na ndugu zangu na mume wangu na humat Muhammad s.a.w
This Sheikh is Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, wants you to do. So you too can be SAVED!
Yaani sheikh ni kweli huku Zanzibar baadhi ya watanganyika wanavyokwenda uchi hata katika mwenzi mtukufu wa Ramadhan watanganyika wachache tu ndio wanaojistiri Na wengi katika hao ni Christians Sasa mi nauliza kuna dini ambayo inaruhusu watu wavae uchi
Usihusishe dini na uhalifu wa mtu binfsi, Alqaeda ni waislam, Al shaabab ni waislam, taaliban ni waislam, ISIS ni waislam Vipi tuhusishe Uislam na Ugaidi?
Hii ni kauli ya kibaguzi. Wewe unawabagua Watanzania na hufai kwa amani ya Nchi. Pia suala la mavazi ya mtu ni binafsi ilimradi tu havunji sheria za nchi yetu ambayo haina Dini bali waumini wake ni wa dini mbalimbali.
@@stephenmnkande8192 hii sio kauli ya kibaguzi kama unahisi huo ni uhuru mtu kuvaa anvyotaka ,hizo ni anasa tu Na kuendekeza starehe , hakuna hata dini Moja inayoruhusu mavazi ya uchi ndio maana mauchafu Kila kukicha yanazidi , kuabudu ni kweli uhuru wa mtu lakini kuvaa mavazi ya heshima sio uhuru ni Lazima haswa , kwani kama nilivyosema hakuna dini inayoruhusu uvaaji uchi, ni wenyenu tu munavyojifanyisha
Ninachojua Mungu hauwi wenye dhambi bali anawaonyesha wajue kweli na kutubu kisha wamtumikie,ingekuwa Mungu anauwa Kila mtenda dhambi dunia ingebaki tupu
Waislam wote wanamwaamini yesu mwana wa mariam kama mtume wa mungu , Na Waislam wote wanaamini ufufuo kwasababu hiyo ni siku ya kiama siku watu wote watafufuliwa
@@alasadkassimu16 ni kweli kabisa Waislamu wote wanamwamini Issa bin Maryam kuwa ni Mtume na Nabii wa Mungu pekee ambaye alizaliwa kimiujiza bila kuwa na Baba Duniani. Pia alizaliwa na bikira mariam kwa roho takatifu. Ni nabiii pekee ambaye aliweza kufinyanga matope na kutengeneza vitoto vya ndege kwa udongo na kisha kuvipulizia na kuwa ndege kamili.
daaah imani hizi na mafundisho yake shetani amepotosha mafundisho ya Mwenyezi Mungu, watu wanafundishwa kuwa mtu ukifa haufi kabisa, unakuwa unawaona tu wanao kuomblezea na ukizikwa unakutana na Malaika wana kuhoji maswali daaah...nani atuokoe na haya machafuko ya mafundisho?
Mwenyezi mungu naomba unipe mwisho mwema Mimi pamoja na family yangu Ameen inshallah
Mwenyezi Mungu akubariki sana Mazinge
Shukran Sheikh. Allah akuongoze. Na tafadhali fuata Sunnah ya mavazi isipatikane kwako isbaal
Mashallah allahu akilipwa pepo in Sha Allah
Nimefrai sana Allaah akulinde mazinge
Kwanza nimsukuru Allah kwa upumzi alinipa pili nimuombe huyo dada kwani alihadaiwa na Dunia tatu mola wangu aniongoze Mimi na vizazi viangu na wazazi wangu na ndugu zangu na mume wangu na humat Muhammad s.a.w
Amiin
Amiin yarabi
AAmin yaarab 🤲🤲🤲
Amiin
Amiin Yarab 🤲🤲🤲🤲
Kuna history na story!! Mungu ni Pendo na Hapendi kabisa mwenye dhambi afe au apotee.
Mungu wetu anaitwaje vile?😅😅neema na rehema. Ingekuwa ivo wezi na wachawi wangekuwa wameisha😁
Hivi haya majinga yataacha lini kumsikiliza huyo mjinga
Huna akil ww kwa iyo wanakufa hawana dhambi
Amekufa kwa ahadi yake ila tatizo kamaliza na amali gani?
Inategemea, kuna madhambi mengine Mungu hakuachi,.
Farau na Herod mbona Mungu aliwauwa
Yesu aliwakumbatia hakuwaua
😀😀ustadhi Mazinge mi nakupenda kwa ajili ya Allah
This Sheikh is Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, wants you to do. So you too can be SAVED!
Vizur sn mungu awabariki
Mashallah Sheikh
MashaaAllah
Masha Allah Lakuwata ill Billah
Yaani sheikh ni kweli huku Zanzibar baadhi ya watanganyika wanavyokwenda uchi hata katika mwenzi mtukufu wa Ramadhan watanganyika wachache tu ndio wanaojistiri Na wengi katika hao ni Christians Sasa mi nauliza kuna dini ambayo inaruhusu watu wavae uchi
Usihusishe dini na uhalifu wa mtu binfsi, Alqaeda ni waislam, Al shaabab ni waislam, taaliban ni waislam, ISIS ni waislam
Vipi tuhusishe Uislam na Ugaidi?
@@masalsamwelmasal2255 hilo ni kweli asilimia kubwa wanaovaa mavazi ya uchi ni Christians ingawa sio wote kama unahisi ni uongo Fanya utafiti
Kabla waarabu hawajaja kuwanunua wazee wenu na biashara ya utumwa mlikua mna jistiri?
Hii ni kauli ya kibaguzi. Wewe unawabagua Watanzania na hufai kwa amani ya Nchi. Pia suala la mavazi ya mtu ni binafsi ilimradi tu havunji sheria za nchi yetu ambayo haina Dini bali waumini wake ni wa dini mbalimbali.
@@stephenmnkande8192 hii sio kauli ya kibaguzi kama unahisi huo ni uhuru mtu kuvaa anvyotaka ,hizo ni anasa tu Na kuendekeza starehe , hakuna hata dini Moja inayoruhusu mavazi ya uchi ndio maana mauchafu Kila kukicha yanazidi , kuabudu ni kweli uhuru wa mtu lakini kuvaa mavazi ya heshima sio uhuru ni Lazima haswa , kwani kama nilivyosema hakuna dini inayoruhusu uvaaji uchi, ni wenyenu tu munavyojifanyisha
SubhanALLAH
Ya Allah tupe mwisho mwema amiiin
Maashaallah
Subhallah Allah akbar
Allahu Akbr
Munguu nimwemaa
Mashaallah umenona mazinge
Umeona eee
INSHA'ALLAH
Mashallah
Ninachojua Mungu hauwi wenye dhambi bali anawaonyesha wajue kweli na kutubu kisha wamtumikie,ingekuwa Mungu anauwa Kila mtenda dhambi dunia ingebaki tupu
Subhannallah
ALLAH AKBARU
Kumbe munakubali ufufuo kama nihivo
Shariti mumwamini yesu kristo
Waislam wote wanamwaamini yesu mwana wa mariam kama mtume wa mungu ,
Na Waislam wote wanaamini ufufuo kwasababu hiyo ni siku ya kiama siku watu wote watafufuliwa
Ndugu waislam wot tunamwamin nabii isa ( yesu) shaur yenu ambao hamjitambui
@@alasadkassimu16 ni kweli kabisa Waislamu wote wanamwamini Issa bin Maryam kuwa ni Mtume na Nabii wa Mungu pekee ambaye alizaliwa kimiujiza bila kuwa na Baba Duniani. Pia alizaliwa na bikira mariam kwa roho takatifu. Ni nabiii pekee ambaye aliweza kufinyanga matope na kutengeneza vitoto vya ndege kwa udongo na kisha kuvipulizia na kuwa ndege kamili.
Yesu ni Mungu
Polee Kwa kugoma kuelewaa
Yarabi tukinge na adhabu iumizayo
Daaaah!!!!!! it pain Alimpiga kitu
Subhanallah 😢
Waongo nenda zenu Mungu wetu sio was visasi
Nenda Kwa mwamposa ukaibiwe tuachie dini yetu
Kasome kwanza halafu ndio ujue cha kuandika kijana
Allahamndulillah
Ni vizuri jinsi aliumia
Nimecheka sanaa
AllahuAkbar
AMEEN YA Rabbi
Subhana llah
Yaa Allah yaa rabi anta ilahi
Subhanallah😞
love you mazinge
Mnusuru Allah na Allah atakunusuru
Unajuaje kama ni Mungu alimuuwa.? Maana na Majini nayo huwa yanauwa.
Elimu ndogo kazi ya kuua ya mungu mengine yote huwa sababu tu
Uyo binti alitupiwa majin tu yakamuua wala sio Mungu alie muua, siuwa mnafanya ata kwa albadili kwan mmeanza Leo ayo mambo!!?
Kwa kutuita wapagani...Bwana MUNGU YESU akupige Kichaa na wasiwasi hadi ile siku utatubu mbele zake ..
Soma Kitabu cha KUMBUKUMBU LA TORATI 28:28.
Sasa huyo mzee c ni mchawi ama
Takbir
😂😂😂😂😂😂😂😂 unadanganya watu mazinge muongo
Kwani ndugu unashaka na uwezo wa mungu
Huwoo ndio ukweli anaebisha mungu amnusuru
Jifunze quran kusom kuandoka gusa picha yang hapo kama hautojali
Safi san mjitu mingin ina milarau san
🙏🙏🙏
Usipo kubali kuokaka hata huo ufufuo hutauona
Kuokoka manake ni nini???
Hapo ni uchawi wa kiarabu
Nguo zautupu huvaliwa sana %95 niwapagani wakristo kwasababu wanapinga maandiko yabibilia hufata matamanio yawanadam
Mlimlushia uchawi mbona zamani watu walikua wanatembea uchi matako nje wanaziba mbeleni tu sio ramadhani wala shabani acheni ujinga wenu hapa
Mpumbavu wewe mjinga baba yako
Ivi visa va Kweli
Yy ndie aliekuwepo Kikawaida Kumuuliza swali Mtu kama huyu sala kama Hilo unahisi ni jambo gn?
Hakuna kitu kama hicho uongo huoo
Mh 🙄
daaah imani hizi na mafundisho yake shetani amepotosha mafundisho ya Mwenyezi Mungu, watu wanafundishwa kuwa mtu ukifa haufi kabisa, unakuwa unawaona tu wanao kuomblezea na ukizikwa unakutana na Malaika wana kuhoji maswali daaah...nani atuokoe na haya machafuko ya mafundisho?
WEWE usiumie saana Bali subir ufe ndo utajua hujui
ruclips.net/video/9tm8ystvIqw/видео.html
Mazinge atangaza kubatizwa
Kwa utakatifu upi ulionao mpaka MUNGU asikie maombi yako hivi nyie mnadhani MUNGU ni shangazi au binamu
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Waislam hamfungagi kabisaa ila mnadalisha majira ya kula
Wewe una mpango gani kuuchafua uislam au we ongea uwezavyo mungu anakuona
karibu uusome uislamu ,maneno yako ni ya kukariri.
Waislamu tunagufunga nashangaa yesu kafunga siku 40 bila ya kunywa na kunywa nyinyi mnashindwavkufunga
Waislamu hatuna chuki na wakristo ila ukiona izo coment za wakristo balaa
Funga siku arobaini ufe umfate wako
Mbon usemi atoka pwan yanww hunaakl
huna lolote kafrww
Pumbav zenu vitamb vimetoka kwa kula pesa za watu, Allah, atawalipa kwa upumbav wenu!
Wakina mwamposa mbona amuwambiii
Wee kima kwl ww bc nenda kasifie diamond tu uko na raivan km huon mchango wao kwenye dini hao watu
Wale pesa wamekuwa panya??
Uongo mtupu
Unandanganya wewe
Nenda Kwa mama mposa ukaibiwe tuachie dini yetu
Mashallhaaa
Miss Rukia hujambo
Allah Akbar
Maashallah!