Mazinge: BINTI tulikutana kwenye DALADALA akaleta kejeli, Hiki ndicho kilichomkuta

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 160

  • @jordanathumani5306
    @jordanathumani5306 2 года назад +14

    Mwenyezi mungu naomba unipe mwisho mwema Mimi pamoja na family yangu Ameen inshallah

  • @Sandra39823
    @Sandra39823 2 года назад +10

    Mwenyezi Mungu akubariki sana Mazinge

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 года назад

    Shukran Sheikh. Allah akuongoze. Na tafadhali fuata Sunnah ya mavazi isipatikane kwako isbaal

  • @اللهأكبر-ذ7ث3س
    @اللهأكبر-ذ7ث3س 3 года назад +9

    Mashallah allahu akilipwa pepo in Sha Allah

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange1483 3 года назад +3

    Nimefrai sana Allaah akulinde mazinge

  • @مريم-ه2ز9ق
    @مريم-ه2ز9ق 3 года назад +18

    Kwanza nimsukuru Allah kwa upumzi alinipa pili nimuombe huyo dada kwani alihadaiwa na Dunia tatu mola wangu aniongoze Mimi na vizazi viangu na wazazi wangu na ndugu zangu na mume wangu na humat Muhammad s.a.w

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 года назад +4

    Kuna history na story!! Mungu ni Pendo na Hapendi kabisa mwenye dhambi afe au apotee.

    • @niyiitunvirakamwaga3683
      @niyiitunvirakamwaga3683 2 года назад

      Mungu wetu anaitwaje vile?😅😅neema na rehema. Ingekuwa ivo wezi na wachawi wangekuwa wameisha😁

    • @maikoandrew58
      @maikoandrew58 2 года назад

      Hivi haya majinga yataacha lini kumsikiliza huyo mjinga

    • @khkhallfan664
      @khkhallfan664 2 года назад

      Huna akil ww kwa iyo wanakufa hawana dhambi

    • @ahmedsaid-rx1bb
      @ahmedsaid-rx1bb 2 года назад

      Amekufa kwa ahadi yake ila tatizo kamaliza na amali gani?

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 2 года назад

      Inategemea, kuna madhambi mengine Mungu hakuachi,.
      Farau na Herod mbona Mungu aliwauwa

  • @wilsonkakili2481
    @wilsonkakili2481 2 года назад +6

    Yesu aliwakumbatia hakuwaua

  • @eusterusaji1920
    @eusterusaji1920 2 года назад

    😀😀ustadhi Mazinge mi nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 года назад

    This Sheikh is Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, wants you to do. So you too can be SAVED!

  • @khamishamad5748
    @khamishamad5748 Год назад

    Vizur sn mungu awabariki

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 2 года назад

    Mashallah Sheikh

  • @saay4273
    @saay4273 3 года назад +5

    MashaaAllah

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 2 года назад +2

    Masha Allah Lakuwata ill Billah

  • @rastafare878
    @rastafare878 3 года назад +5

    Yaani sheikh ni kweli huku Zanzibar baadhi ya watanganyika wanavyokwenda uchi hata katika mwenzi mtukufu wa Ramadhan watanganyika wachache tu ndio wanaojistiri Na wengi katika hao ni Christians Sasa mi nauliza kuna dini ambayo inaruhusu watu wavae uchi

    • @masalsamwelmasal2255
      @masalsamwelmasal2255 2 года назад

      Usihusishe dini na uhalifu wa mtu binfsi, Alqaeda ni waislam, Al shaabab ni waislam, taaliban ni waislam, ISIS ni waislam
      Vipi tuhusishe Uislam na Ugaidi?

    • @rastafare878
      @rastafare878 2 года назад

      @@masalsamwelmasal2255 hilo ni kweli asilimia kubwa wanaovaa mavazi ya uchi ni Christians ingawa sio wote kama unahisi ni uongo Fanya utafiti

    • @danielmwakimi2416
      @danielmwakimi2416 2 года назад

      Kabla waarabu hawajaja kuwanunua wazee wenu na biashara ya utumwa mlikua mna jistiri?

    • @stephenmnkande8192
      @stephenmnkande8192 2 года назад +1

      Hii ni kauli ya kibaguzi. Wewe unawabagua Watanzania na hufai kwa amani ya Nchi. Pia suala la mavazi ya mtu ni binafsi ilimradi tu havunji sheria za nchi yetu ambayo haina Dini bali waumini wake ni wa dini mbalimbali.

    • @rastafare878
      @rastafare878 2 года назад +2

      @@stephenmnkande8192 hii sio kauli ya kibaguzi kama unahisi huo ni uhuru mtu kuvaa anvyotaka ,hizo ni anasa tu Na kuendekeza starehe , hakuna hata dini Moja inayoruhusu mavazi ya uchi ndio maana mauchafu Kila kukicha yanazidi , kuabudu ni kweli uhuru wa mtu lakini kuvaa mavazi ya heshima sio uhuru ni Lazima haswa , kwani kama nilivyosema hakuna dini inayoruhusu uvaaji uchi, ni wenyenu tu munavyojifanyisha

  • @khamissalim7437
    @khamissalim7437 3 года назад +5

    SubhanALLAH

  • @ismailponda1269
    @ismailponda1269 2 года назад +1

    Ya Allah tupe mwisho mwema amiiin

  • @aminathakambulatablaise2286
    @aminathakambulatablaise2286 2 года назад +2

    Maashaallah

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +4

    Subhallah Allah akbar

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 3 года назад +3

    Allahu Akbr

  • @jabirijuma7236
    @jabirijuma7236 2 года назад

    Munguu nimwemaa

  • @zahirrajan1905
    @zahirrajan1905 3 года назад +1

    Mashaallah umenona mazinge

  • @bakarirutengwe3036
    @bakarirutengwe3036 2 года назад +2

    INSHA'ALLAH

  • @khalfanhemed945
    @khalfanhemed945 3 года назад +2

    Mashallah

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 2 года назад +1

    Ninachojua Mungu hauwi wenye dhambi bali anawaonyesha wajue kweli na kutubu kisha wamtumikie,ingekuwa Mungu anauwa Kila mtenda dhambi dunia ingebaki tupu

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 3 года назад +3

    Subhannallah

  • @dulleyjuma842
    @dulleyjuma842 3 года назад +3

    ALLAH AKBARU

  • @wamburawamba5181
    @wamburawamba5181 3 года назад +3

    Kumbe munakubali ufufuo kama nihivo
    Shariti mumwamini yesu kristo

    • @alasadkassimu16
      @alasadkassimu16 3 года назад +3

      Waislam wote wanamwaamini yesu mwana wa mariam kama mtume wa mungu ,
      Na Waislam wote wanaamini ufufuo kwasababu hiyo ni siku ya kiama siku watu wote watafufuliwa

    • @adamuipingika8468
      @adamuipingika8468 3 года назад +1

      Ndugu waislam wot tunamwamin nabii isa ( yesu) shaur yenu ambao hamjitambui

    • @stephenmnkande8192
      @stephenmnkande8192 2 года назад

      @@alasadkassimu16 ni kweli kabisa Waislamu wote wanamwamini Issa bin Maryam kuwa ni Mtume na Nabii wa Mungu pekee ambaye alizaliwa kimiujiza bila kuwa na Baba Duniani. Pia alizaliwa na bikira mariam kwa roho takatifu. Ni nabiii pekee ambaye aliweza kufinyanga matope na kutengeneza vitoto vya ndege kwa udongo na kisha kuvipulizia na kuwa ndege kamili.

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 2 года назад

    Yesu ni Mungu

  • @rajabuselemanifunke8990
    @rajabuselemanifunke8990 3 года назад +2

    Yarabi tukinge na adhabu iumizayo

  • @lamerckmsuya5513
    @lamerckmsuya5513 2 года назад +1

    Daaaah!!!!!! it pain Alimpiga kitu

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 3 года назад +4

    Subhanallah 😢

  • @eliudkwesigabo9321
    @eliudkwesigabo9321 2 года назад +3

    Waongo nenda zenu Mungu wetu sio was visasi

    • @jumahilali2309
      @jumahilali2309 2 года назад +2

      Nenda Kwa mwamposa ukaibiwe tuachie dini yetu

    • @IBRAHIMABDUonlineTV
      @IBRAHIMABDUonlineTV 2 года назад +1

      Kasome kwanza halafu ndio ujue cha kuandika kijana

  • @omarathuman5813
    @omarathuman5813 3 года назад +6

    Allahamndulillah

  • @muyongahassan2251
    @muyongahassan2251 2 года назад

    Ni vizuri jinsi aliumia

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 3 года назад +1

    Nimecheka sanaa

  • @abdillahhussein3020
    @abdillahhussein3020 2 года назад +1

    AllahuAkbar

  • @khamissalim7437
    @khamissalim7437 3 года назад +2

    AMEEN YA Rabbi

  • @rukiahakim8296
    @rukiahakim8296 3 года назад +1

    Subhana llah

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 2 года назад +2

    Yaa Allah yaa rabi anta ilahi

  • @haydarhamad6532
    @haydarhamad6532 3 года назад +2

    Subhanallah😞

  • @mrjeyjamal6288
    @mrjeyjamal6288 3 года назад +1

    love you mazinge

  • @azizchui7232
    @azizchui7232 2 года назад

    Mnusuru Allah na Allah atakunusuru

  • @magwaza8904
    @magwaza8904 2 года назад +1

    Unajuaje kama ni Mungu alimuuwa.? Maana na Majini nayo huwa yanauwa.

    • @muhalakibwana4026
      @muhalakibwana4026 2 года назад

      Elimu ndogo kazi ya kuua ya mungu mengine yote huwa sababu tu

  • @emanusrubaba3486
    @emanusrubaba3486 2 года назад +4

    Uyo binti alitupiwa majin tu yakamuua wala sio Mungu alie muua, siuwa mnafanya ata kwa albadili kwan mmeanza Leo ayo mambo!!?

    • @mwola
      @mwola 2 года назад

      Kwa kutuita wapagani...Bwana MUNGU YESU akupige Kichaa na wasiwasi hadi ile siku utatubu mbele zake ..
      Soma Kitabu cha KUMBUKUMBU LA TORATI 28:28.

  • @alfredmkare6144
    @alfredmkare6144 2 года назад +1

    Sasa huyo mzee c ni mchawi ama

  • @hamisimuhammad6225
    @hamisimuhammad6225 3 года назад

    Takbir

  • @militonaxson6505
    @militonaxson6505 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 unadanganya watu mazinge muongo

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 2 года назад

    Huwoo ndio ukweli anaebisha mungu amnusuru

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusom kuandoka gusa picha yang hapo kama hautojali

  • @baltazaririchard3197
    @baltazaririchard3197 2 года назад

    Safi san mjitu mingin ina milarau san

  • @vanessajohn6046
    @vanessajohn6046 2 года назад

    🙏🙏🙏

  • @thetruedoorandlife3217
    @thetruedoorandlife3217 2 года назад +1

    Usipo kubali kuokaka hata huo ufufuo hutauona

  • @mathayohagwa5643
    @mathayohagwa5643 2 года назад

    Hapo ni uchawi wa kiarabu

  • @kulwamussa3612
    @kulwamussa3612 2 года назад +1

    Nguo zautupu huvaliwa sana %95 niwapagani wakristo kwasababu wanapinga maandiko yabibilia hufata matamanio yawanadam

  • @masungwasalumu1278
    @masungwasalumu1278 2 года назад +2

    Mlimlushia uchawi mbona zamani watu walikua wanatembea uchi matako nje wanaziba mbeleni tu sio ramadhani wala shabani acheni ujinga wenu hapa

  • @abdillaahirichardkasisi8691
    @abdillaahirichardkasisi8691 3 года назад +1

    Ivi visa va Kweli

    • @zanzibarspice8686
      @zanzibarspice8686 2 года назад

      Yy ndie aliekuwepo Kikawaida Kumuuliza swali Mtu kama huyu sala kama Hilo unahisi ni jambo gn?

  • @maishaedward3628
    @maishaedward3628 2 года назад

    Hakuna kitu kama hicho uongo huoo

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    Mh 🙄

  • @emmanuelngewa8894
    @emmanuelngewa8894 2 года назад

    daaah imani hizi na mafundisho yake shetani amepotosha mafundisho ya Mwenyezi Mungu, watu wanafundishwa kuwa mtu ukifa haufi kabisa, unakuwa unawaona tu wanao kuomblezea na ukizikwa unakutana na Malaika wana kuhoji maswali daaah...nani atuokoe na haya machafuko ya mafundisho?

  • @loudcrytv8949
    @loudcrytv8949 2 года назад

    ruclips.net/video/9tm8ystvIqw/видео.html
    Mazinge atangaza kubatizwa

  • @maishaedward3628
    @maishaedward3628 2 года назад

    Kwa utakatifu upi ulionao mpaka MUNGU asikie maombi yako hivi nyie mnadhani MUNGU ni shangazi au binamu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @petermagoye8324
    @petermagoye8324 3 года назад +5

    Waislam hamfungagi kabisaa ila mnadalisha majira ya kula

    • @milomohmooh9212
      @milomohmooh9212 3 года назад +4

      Wewe una mpango gani kuuchafua uislam au we ongea uwezavyo mungu anakuona

    • @aminarashidi4757
      @aminarashidi4757 3 года назад +4

      karibu uusome uislamu ,maneno yako ni ya kukariri.

    • @اللهأكبر-ذ7ث3س
      @اللهأكبر-ذ7ث3س 3 года назад +3

      Waislamu tunagufunga nashangaa yesu kafunga siku 40 bila ya kunywa na kunywa nyinyi mnashindwavkufunga

    • @اللهأكبر-ذ7ث3س
      @اللهأكبر-ذ7ث3س 3 года назад +3

      Waislamu hatuna chuki na wakristo ila ukiona izo coment za wakristo balaa

    • @najmahyerkhan2157
      @najmahyerkhan2157 3 года назад

      Funga siku arobaini ufe umfate wako

  • @stivutitus963
    @stivutitus963 2 года назад

    Mbon usemi atoka pwan yanww hunaakl

  • @stivutitus963
    @stivutitus963 2 года назад

    huna lolote kafrww

  • @khubeybjandal7435
    @khubeybjandal7435 3 года назад +1

    Pumbav zenu vitamb vimetoka kwa kula pesa za watu, Allah, atawalipa kwa upumbav wenu!

    • @jumahilali2309
      @jumahilali2309 2 года назад +2

      Wakina mwamposa mbona amuwambiii

    • @mudysule5495
      @mudysule5495 2 года назад +1

      Wee kima kwl ww bc nenda kasifie diamond tu uko na raivan km huon mchango wao kwenye dini hao watu

    • @IBRAHIMABDUonlineTV
      @IBRAHIMABDUonlineTV 2 года назад

      Wale pesa wamekuwa panya??

  • @elibarikiclement4385
    @elibarikiclement4385 2 года назад

    Uongo mtupu

  • @pascalbalex5142
    @pascalbalex5142 3 года назад

    Unandanganya wewe

    • @jumahilali2309
      @jumahilali2309 2 года назад +1

      Nenda Kwa mama mposa ukaibiwe tuachie dini yetu

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 3 года назад +2

    Mashallhaaa

  • @azizchui7232
    @azizchui7232 2 года назад

    Allah Akbar

  • @meekman1805
    @meekman1805 3 года назад +2

    Maashallah!