Mwanamke: Ndoa Ni Sanaa; Cheza Nafasi Yako Kikamilifu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #nikah #ndoa #sheikh #bakwata

Комментарии • 108

  • @AbdiNdayishimiye
    @AbdiNdayishimiye 28 дней назад +1

    Mafundisho mazuli scheikh wetu Allah akuhifadhi

  • @zubedakibira6036
    @zubedakibira6036 4 месяца назад +1

    Mashallah

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz 7 месяцев назад +7

    Tunajitahidi sana kuwapenda waume zetu lakini mmh wanaume. wa sasa sio wote hawapendeki unajitahidi kwa Kila jambo lakini mmh tunashindwa sheikh wangu na uadilifu pia hawana hasa waliooa wake zaidi ya ya mmoja

    • @fatumahasani1255
      @fatumahasani1255 7 месяцев назад

      ♥️♥️♥️kewli dada yan hawapendeki unajitahidi kila uwezavyo I lakin wapi

  • @MwajumaBakari-it7zh
    @MwajumaBakari-it7zh 6 месяцев назад +2

    Jazakallah khaila

  • @user-qu8kp9lb6b
    @user-qu8kp9lb6b 7 месяцев назад +6

    Masha'Allah ❤❤❤❤❤kheri sheikh wetu Allah atujaalie tue miongoni mwa wake wema kw waume zetu iwe kheri duniani na kesho akhera ❤❤❤❤❤❤

  • @user-mt8ve8ub2q
    @user-mt8ve8ub2q 6 месяцев назад +2

    Amiina shekhe niwe mke mwema alaah anijaalie mume mwema

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  6 месяцев назад

      Allahumma Aamin 🤲🏾 In Shaa Allah utapata Mume mwema mwenye kheri nawe

  • @user-em4ei3iw6g
    @user-em4ei3iw6g 8 месяцев назад +14

    Mwanaume mwingine kakerwa nje hasira zinakuja kuisha kwa mke wake anakuja kakunja sura hata kama twaambiwa kapu letu la mema limetoboka lkn mwanamke anajua kupenda sana pale na wewe unapojitolea kwake sio mume mke anaumwa habari nae hana siku yeye akiumwa afanywe kama mfalme hapo kweli mke atakuwa na furaha na mume wake

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz 7 месяцев назад +4

    Masheikh wetu mashallah mnatufundisha sana wanawake kuhusu kuwatihi waume zetu mashallah tunamshukuru lakini tunawaomba muwafundisha wanaume zetu wajibu na haki ya wake zao wasmbieni kuwa hatujaolewa kwaajili ya kufanya kazi za ndani maana tunaachika sababu ya kupika na kuosha vyombo muwafundisha kuwa wanawake tunawasaidia tuu natuwahurumia tuu

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  7 месяцев назад

      Zipo clip ambazo Sheikh Shams amezungumzia umuhimu wa wanaume kuwajibika kwa wake zao. Fuatilia videos zipo humu. Shukraan

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 8 месяцев назад +5

    Masha Allah sheikh shukran sana kwana sahanzuri Allah atujaliye kuwa wake wema

  • @user-mb5jx6wp6v
    @user-mb5jx6wp6v 7 месяцев назад +3

    Nice mashaallah Shukran sanaa tumefarijika tutajitahidi na kuelimika Allah atuwezeshe kuwakirimu

  • @judithkuziwa2924
    @judithkuziwa2924 4 месяца назад +1

    Wanaume wasasa ni changamoto shekh shukuran hawana 😢 mtu unajitahid ila dah

  • @user-uz6lc9re2m
    @user-uz6lc9re2m 7 месяцев назад +4

    Allah kuzidixhee elimu yenye maufaa duniani naakhera

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 7 месяцев назад +3

    Shekh Wetu usiwatetee wanaume wenzio kwakifupi hawana Shukran unamthamini a naona Huna pakwenda kudekezwa nakupendwa tunahitaji sote tudekezane sote tupendane sote

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  7 месяцев назад

      Tazama video nyingine amezungumza na wanaume kuelezea haki za wanawake

  • @user-yq9yn1dr6x
    @user-yq9yn1dr6x 7 месяцев назад +1

    Pole sana dada malipo ni duniani ipo cku watakukumbuka

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 7 месяцев назад +2

    Mashaallah tabarakaah kiss Kiss
    Shukran Sheikh wetu mawaiza mazuri
    Mungu akupe afya njema Naumri mrefu inshaallah 😂😂😂

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 7 месяцев назад +3

    Mashaalah Allah anijaalie na mie nipate wa kufanana inshaallah

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  7 месяцев назад

      Allahumma Aamin 🤲🏾 In Shaa Allah utampata zidisha Dua hususan Al Istighara

  • @user-ti7pm4xk5e
    @user-ti7pm4xk5e 7 месяцев назад +1

    Mashallah Mashallah

  • @user-uk4tx6hi2s
    @user-uk4tx6hi2s 6 месяцев назад +1

    😢mawaidha mazuri shekhe

  • @mariamsefu825
    @mariamsefu825 8 месяцев назад +4

    Wapo wanaume ukiwashukuru ukuambia huna haja ya kunishukuru ni wajibu wangu ,lkn tupo tunao shukuru

  • @aminayusufu1918
    @aminayusufu1918 6 месяцев назад +1

    Mashaaa allah tabarakallahu...awa wanaume ukishazaaa tu anakwambia mambo yamebadilika yuko ubize na kazin mpakaa mwisho na sis tunakuwa bize na kulea baadae unaskia anakwambia mapenzi yamehamia kwa mtoto heheheheh

  • @harunaathumani1672
    @harunaathumani1672 8 месяцев назад +2

    Kazi nzurii

  • @user-im8pr5cj3n
    @user-im8pr5cj3n 6 месяцев назад +1

    Asante shehe

  • @sagboison6297
    @sagboison6297 6 месяцев назад +1

    Aisee mimi bpnavyoona huyu mwanaume nilienae ananidharau sana imefika hatua hata sipati hamu ya mapenzi kwakwe kabisaa😢 aiseee basi tu

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  6 месяцев назад

      Pole Sana. Kama mmefunga ndoa waone Viongozi wako wa dini wakusaidieni kutatua tofauti zenu

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 7 месяцев назад +2

    Lkn shekhe awe anakuletea jmn wengine hawanunui sasaxhuko kupenda na nn

  • @user-hx7iz2ig9w
    @user-hx7iz2ig9w 7 месяцев назад +1

    😂😂😂😂eti tabia zakikiume wallah

  • @SWEETIEMgeni
    @SWEETIEMgeni 7 месяцев назад +2

    WANAUME WA SIKU HIZI HATA UMMBEMBELEZE NI BURE SHEKH MANA WENYEWE TU HAWATUBEMBELEZI

  • @aminasaid6555
    @aminasaid6555 7 месяцев назад +1

    Ni kweli ila ni wabinafsi maana hutaka yasemwe yao tu ila ya upande wao kwa wanawake hawataki yasemwe na yakisemwa huyapinga

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  7 месяцев назад

      Zipo clip zilizozungumzia ya wanaume pia. Fuatilia videos zetu unufaike

  • @WenyaYohana
    @WenyaYohana 6 месяцев назад +1

    Shkh wanaume wa cku hizi wanamsemo wanawake ni wengi ukipenda unapita hivi

  • @Judith892
    @Judith892 6 месяцев назад +1

    Wanaume wenyewe hawana muda wa kubembeleza mke. Wako bize na yasoyostahili

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 7 месяцев назад +2

    Ahsante sana kwa kipindi kizur

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 7 месяцев назад +1

    Sheikh hayo yote mie ninayo alhamdulillahi.

  • @gcgjghh6989
    @gcgjghh6989 6 месяцев назад

    Wanaume wengine visirani hata ukimfanyia nini hakuoni na hata sisi wanawake tunapenda kudekezwa na kupendwa nyege kunyegezana

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  6 месяцев назад

      Hakika. Hata hivyo kama ni mumeo wa ndoa usichoke kutimiza wajibu wako.

    • @gcgjghh6989
      @gcgjghh6989 6 месяцев назад

      @@al-aqsamediaonline1489 in shaa Allah

  • @irenekanini9431
    @irenekanini9431 7 месяцев назад +1

    Heheeeee😂

  • @user-md6vl2vq6g
    @user-md6vl2vq6g 7 месяцев назад +2

    Sheikh mim yote niliyafnya ila mwisho aliniona kama sina thamni kwake mwisho kusema sitaki kupendwa sana

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  7 месяцев назад

      Allah akujaalie upate mwingine mwenye kheri na wewe. Usikate Tamaa, maisha yana mafunzo makubwa mno.

  • @user-hx7iz2ig9w
    @user-hx7iz2ig9w 7 месяцев назад +2

    Kwanini nasi twapenda tudekezwe mtu anaujauzito miezi 7 ama 9 utaskia nataka chapati😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ukisema no vweeeeee kinawaka

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 7 месяцев назад +1

    Shekh km ww upo hivo unaona wema wamkeo sio wote wengine ukijishusha ndo amepata njia yakukukandamiza kilasiku atakwambia hn mwisho subrah inakutoka waambie nawao watufanyie hivo waone tutavopendana

  • @asyasaid5012
    @asyasaid5012 8 месяцев назад +3

    Asalam Aleikum Mm hata kidongo natua asate shukran lkn wao hawasubutu?

  • @TikTokwin-xi8cd
    @TikTokwin-xi8cd 6 месяцев назад +1

    Mimi nimesema mpaka nikachoka yeye hajawayisema Asante kwangu hata nifanyenini

  • @user-gj4lw8rh3h
    @user-gj4lw8rh3h 7 месяцев назад +2

    Mm ckuzote naambiwa sin shukuran koz nikitakacho ccho anipacho koz zawadi zitoke kwangu ziende kwa kimada lkn akija kwangu ana chochote sasa nashidwa ata akifafa nn kiekweli shukuran yangu yuapata kwenye penz tu bc akimaliza atasubur sana

  • @hubbahmukhtar6052
    @hubbahmukhtar6052 6 месяцев назад

    Jamani wengine wanafanya yooote haya na bado wanaonekana wabaya tena na kusingiziwa maneno ya karaha mpaka unajutia kuaga kwenu.

  • @user-cj6pw8zd4e
    @user-cj6pw8zd4e 8 месяцев назад +15

    Lakini sheikh wanaume niliokutana nao mimi nikiwaheshimu kuwathamini wanayoyafanya mwisho naambulia kudharaulika na kuonekana huna pa kwenda mpaka sasa sielewi

    • @zainabuali9915
      @zainabuali9915 8 месяцев назад +4

      Pole sana dada. Fanya wajibu wako malipo utayapat t wema hauozi

    • @user-yu5wj4wu7r
      @user-yu5wj4wu7r 7 месяцев назад +1

      Sheikh mums akihamaki kuhusu mkewe mwengine anaempenda zaidi kwangu anahama,kila akioa ananifanyia hivo,nam I simwitI anarudi mwenyewe.

    • @hamisisalmah8764
      @hamisisalmah8764 7 месяцев назад +2

      Pole Mwenyezi Mungu atakulipa fil dunya walakhera in Sha Allah

    • @zuhuraakida5932
      @zuhuraakida5932 7 месяцев назад

      I have the same problems!😢😢

    • @KhananiGharib
      @KhananiGharib 7 месяцев назад

      Dah pole sana

  • @rahmasaeed6860
    @rahmasaeed6860 7 месяцев назад +2

    Mwanamme mwengine atakuletea chakula lkn maisha ya ndani maudhi aliyo nayo ,dharau zote anakufanyia hajui kutengeneza furaha ndani kwa mke wala watoto, na hata ukimfanyia nini kwake ni baya je mume huyu unakaa nae vp?

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  7 месяцев назад

      Kuwa na subira, wasiliana na Sheikh aliye karibu amwite lakini kubwa kaa naye kwa upendo uongee naye; In Shaa Allah atabadilika.

    • @NusraHozza-qp8yy
      @NusraHozza-qp8yy 6 месяцев назад +1

      Na hao ndo wengi katika hii dunia kiukwel wanakatisha tamaa

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  6 месяцев назад

      @@NusraHozza-qp8yy Kikubwa ni kuwa na subira na kuchukua hatua za kutafuta suluhusho la tatizo.

    • @NusraHozza-qp8yy
      @NusraHozza-qp8yy 6 месяцев назад +1

      @@al-aqsamediaonline1489 inshaALLAH ila ni mtihani unakuta ulishamuitia watu mara kadhaa inabidi kuacha

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  6 месяцев назад

      @@NusraHozza-qp8yy Unaishi Mkoa gani?

  • @user-lh8zr2nx9e
    @user-lh8zr2nx9e 7 месяцев назад

    Shekh Mimi wanaume ninaokutana nao hawajui wajibu wao kwangu Moja Kila kitu nanunua mwenyew chakula mavazi ugongwa kod na wajibu wangu namtimizia bila shaka Sasa huyu nimfanyaje

  • @user-ps7mz9yl5w
    @user-ps7mz9yl5w 7 месяцев назад +1

    Shkh mm napambana nafanya mengi lakini bado mwanaume haoni na zinaa pia anaenda kufanya

  • @lilyshamis3396
    @lilyshamis3396 7 месяцев назад +1

    Hawabebeki kama mzigo wamawe

  • @user-hw2ri4ft6t
    @user-hw2ri4ft6t 7 месяцев назад

    Tunayapokea haya mafunzo
    Ila pia tunaomba yawepo na ya wanaume

    • @al-aqsamediaonline1489
      @al-aqsamediaonline1489  7 месяцев назад

      Shukraan. In Shaa Allah Hivi karibuni tutaandaa mafunzo ya Wake Kwa Waume

  • @aishabarua6857
    @aishabarua6857 7 месяцев назад +2

    Hizo cream shekeh, sio haramu😮

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 7 месяцев назад

    mashallah

  • @user-we2qy5ow1o
    @user-we2qy5ow1o 7 месяцев назад

    Shehe mm mumewangu anapenda wanawake amani kwenyendoa sina nampenda natupo wakewawili ila wanawake kilasiku SMS zamapenzi kwenyesimuyake

  • @user-yq9yn1dr6x
    @user-yq9yn1dr6x 7 месяцев назад +2

    Pole sana dada malipo ni duniani ipo cku watakukumbuka