SAIKOLOJIA YA MWANAMKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Ndoa nyingi zinaingia katika migogoro na hatimae kuvunjika kwa sababu ya wanaume wengi hawawafahamu wake zao.

Комментарии • 42

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 9 месяцев назад +8

    MashaAllaah tabaraAllaah yaani Sheikh wetu naona umetosoma vizuri kabisa na Allaah akujaze khery na baraka zake uzidi kuelimisha jaami

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 8 месяцев назад +2

    Kipindi hichi nikizuri sana viendelee vipindi kama hivi..na uyu shehe mashalah anajua Sana kufundisha mungu amjalie Kila her

  • @karimirambona1766
    @karimirambona1766 8 месяцев назад +12

    Sasa ulikuwa wapi myaka yote hii, kwanini nilikuwa sijakufaham? Mbona mafunzo mazuri hivi ? Nimefatilia kipengele kile cha saikolojia ya mwanaume na hiki cha mwanamke alhamdulillah nimefaidika zaidi. Allah akulipe kila la kheri sheikh wetu ❤

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 8 месяцев назад

      Tena hii maada ingekuwa ndefu sana. Ndio maana baadhi ya nchi za kiislam kama Uturuki, wameanza kuwafundisha Waalimu wa madrasa elimu ya saikolojia kiislam. Kwa sababu hii elimu ilianzishwa na sisi Waislam and ili zungumzwa kwa kirefu sana miaka hiyo ya mwanzo wa ustaarabu.
      I hope ataendelea kutoa series ili kuwaelimisha waislam kwa kutumia hadithi na Quran.

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma 8 месяцев назад

      Allahmaamini

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma 8 месяцев назад

      Iyo ya wanaume naioataje nimeitafuta sijaipata

    • @ZasamNamwago
      @ZasamNamwago 7 месяцев назад

      Inaitwa Ivo ivo ingia hapo kweny akaunt yake utaona IPO juu ya hii ya mwanamke​@@Aidhjuma

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz 7 месяцев назад +2

    Sheikh wangu umenifurahisha sana yaani Allah akuzidishie kheri sheikh wangu wafundishe vema wanaume

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 8 месяцев назад +5

    Maa shaa Allahu.. shekh wetu Asante sana. Jazakallahu khayran kwa elimu hii

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 7 месяцев назад +3

    Mashaallah tabarakaah
    Shukran Sheikh wetu mawaiza mazuri
    😂😂😂mungu akupe afya njema Naumri mrefu inshaallah

  • @khalifakilungo
    @khalifakilungo Месяц назад +1

    Hakika huyu shehe anamaidha mazuri sana

  • @mahmoudmfaume8042
    @mahmoudmfaume8042 9 месяцев назад +15

    Summary kuhusu Saikolojia ya Mwanamke:
    Vitu vya msingi (basic) alivyonavyo mwanamke;
     Anatumia hisia (hisia zake ziko karibu) zaidi kuliko logic (kufikiri kwa mpangilio).
     Anaweza kufanya mambo matatu, manne au zaidi kwa wakati mmoja tofauti na mwanaume.
    Matarajii ya ndoa kwa wanawake:
    1. Utulivu.
    2. Mapenzi (kwa maana pana) na huruma.
    3. Kuthaminiwa na kushukuriwa.
    4. Kujenga familia bora.
    Mambo 4 ni katika furaha ya ndoa:
    1. Mke mwema.
    2. Makazi mapana (Nyumba ya kujitosheleza).
    3. Jirani mwema.
    4. Kipando (Usafiri).

    • @nuurul-anwar1901
      @nuurul-anwar1901 8 месяцев назад

      hujaweka vizuri kalima zako

    • @mahmoudmfaume8042
      @mahmoudmfaume8042 8 месяцев назад

      Ulitaka niwekeje?@@nuurul-anwar1901

    • @mahmoudmfaume8042
      @mahmoudmfaume8042 8 месяцев назад

      Ulitaka niwekeje? em weka na zako tuone. Unataka unipangie jinsi ya kucomment? unafikiri sawa kweli??

    • @esthersawiga9979
      @esthersawiga9979 7 месяцев назад

      M

  • @hihf3592
    @hihf3592 9 месяцев назад +2

    Yani shekhe utasema umeigiy ndan kwetu ukaona mapenz tunayakosa kwawamezetu Allah ukuzidishiy kila lakherii insha allah

  • @anathshabani2952
    @anathshabani2952 7 месяцев назад +1

    Umeongea vizuri sana Sheikh, asante sana, Allah akubariki na akuongezee busara na maarifa

  • @OthumanIddy-s4r
    @OthumanIddy-s4r Месяц назад

    mashaallah

  • @mariamjuma3684
    @mariamjuma3684 7 месяцев назад +1

    Tabarakallah

  • @aishaz1
    @aishaz1 2 месяца назад

    Asante sana

  • @muhibugmail.com2024
    @muhibugmail.com2024 9 месяцев назад +1

    Ooooh Dr. Bila shaka hata uzito wa ubong ktk ya Me na Ke n tofauti. Asante kwa Elim kubwa umetupatia.....

  • @AaWe-ze9ho
    @AaWe-ze9ho 8 месяцев назад +1

    Ruqaia suluta :mashaallah allah akulipe kher

  • @assiahassan2671
    @assiahassan2671 8 месяцев назад +2

    Jazaka'Allah Kher

  • @nazraseiban1082
    @nazraseiban1082 9 месяцев назад +2

    MashaAllah Tabarakallah❤

  • @ramadhanngowa2888
    @ramadhanngowa2888 8 месяцев назад +1

    Asalam alaikum Sheikh nimeshukuru Kwa mawaidha mazuri lkn utie mkazo kwenye mawasiliano na waume wawe na mda na wake zao In Shaa Allah

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do 9 месяцев назад +2

    Kweli kabisaa

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 8 месяцев назад

    Mashallah..Allah ibaric

  • @thedon8467
    @thedon8467 9 месяцев назад

    Ni jambo zuri hili mashaallah tabarakallah

  • @zawadihagabimana1712
    @zawadihagabimana1712 8 месяцев назад

    Mafunzo mazuli kabisa jazakallah haira

  • @rehemaomarsaid
    @rehemaomarsaid 9 месяцев назад

    Mashallah Allah akuzidishie,

  • @user-ux3zu1ls8u
    @user-ux3zu1ls8u 4 месяца назад

    Mashalla

  • @salmaalbarwani5649
    @salmaalbarwani5649 9 месяцев назад

    Jazakaa Allahu kheri

  • @AishaSaoud-m4i
    @AishaSaoud-m4i 7 месяцев назад

    Hakika swadakta 💯

  • @MugishaAssumani
    @MugishaAssumani 9 месяцев назад +1

    ukweli kabisa

  • @AishaSaoud-m4i
    @AishaSaoud-m4i 7 месяцев назад

    Shekh namba yako ya simu huweki kwa darsa kuku pataje?

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 8 месяцев назад +2

    Shekh shamsi Acha kudanganya watu hakuna bidaah nzury na bidaah mbaya bidaah ni bidaah tu😢

    • @nazraseiban1082
      @nazraseiban1082 8 месяцев назад

      Heshima ni kitu cha bure...

    • @ahz6907
      @ahz6907 8 месяцев назад

      Ushafeli ktk maisha yako punguza makasiriko basi 😂

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 8 месяцев назад

      Khusnulkhuq inaonekana ktk mazungumzo ...kuwa na heshima kidogo😢

    • @kundeigang3879
      @kundeigang3879 8 месяцев назад

      Mzee WA bidaa hhhhhh