Sasa ulikuwa wapi myaka yote hii, kwanini nilikuwa sijakufaham? Mbona mafunzo mazuri hivi ? Nimefatilia kipengele kile cha saikolojia ya mwanaume na hiki cha mwanamke alhamdulillah nimefaidika zaidi. Allah akulipe kila la kheri sheikh wetu ❤
Tena hii maada ingekuwa ndefu sana. Ndio maana baadhi ya nchi za kiislam kama Uturuki, wameanza kuwafundisha Waalimu wa madrasa elimu ya saikolojia kiislam. Kwa sababu hii elimu ilianzishwa na sisi Waislam and ili zungumzwa kwa kirefu sana miaka hiyo ya mwanzo wa ustaarabu. I hope ataendelea kutoa series ili kuwaelimisha waislam kwa kutumia hadithi na Quran.
Summary kuhusu Saikolojia ya Mwanamke: Vitu vya msingi (basic) alivyonavyo mwanamke; Anatumia hisia (hisia zake ziko karibu) zaidi kuliko logic (kufikiri kwa mpangilio). Anaweza kufanya mambo matatu, manne au zaidi kwa wakati mmoja tofauti na mwanaume. Matarajii ya ndoa kwa wanawake: 1. Utulivu. 2. Mapenzi (kwa maana pana) na huruma. 3. Kuthaminiwa na kushukuriwa. 4. Kujenga familia bora. Mambo 4 ni katika furaha ya ndoa: 1. Mke mwema. 2. Makazi mapana (Nyumba ya kujitosheleza). 3. Jirani mwema. 4. Kipando (Usafiri).
MashaAllaah tabaraAllaah yaani Sheikh wetu naona umetosoma vizuri kabisa na Allaah akujaze khery na baraka zake uzidi kuelimisha jaami
Kipindi hichi nikizuri sana viendelee vipindi kama hivi..na uyu shehe mashalah anajua Sana kufundisha mungu amjalie Kila her
Sasa ulikuwa wapi myaka yote hii, kwanini nilikuwa sijakufaham? Mbona mafunzo mazuri hivi ? Nimefatilia kipengele kile cha saikolojia ya mwanaume na hiki cha mwanamke alhamdulillah nimefaidika zaidi. Allah akulipe kila la kheri sheikh wetu ❤
Tena hii maada ingekuwa ndefu sana. Ndio maana baadhi ya nchi za kiislam kama Uturuki, wameanza kuwafundisha Waalimu wa madrasa elimu ya saikolojia kiislam. Kwa sababu hii elimu ilianzishwa na sisi Waislam and ili zungumzwa kwa kirefu sana miaka hiyo ya mwanzo wa ustaarabu.
I hope ataendelea kutoa series ili kuwaelimisha waislam kwa kutumia hadithi na Quran.
Allahmaamini
Iyo ya wanaume naioataje nimeitafuta sijaipata
Inaitwa Ivo ivo ingia hapo kweny akaunt yake utaona IPO juu ya hii ya mwanamke@@Aidhjuma
Sheikh wangu umenifurahisha sana yaani Allah akuzidishie kheri sheikh wangu wafundishe vema wanaume
Maa shaa Allahu.. shekh wetu Asante sana. Jazakallahu khayran kwa elimu hii
Mashaallah tabarakaah
Shukran Sheikh wetu mawaiza mazuri
😂😂😂mungu akupe afya njema Naumri mrefu inshaallah
Hakika huyu shehe anamaidha mazuri sana
Summary kuhusu Saikolojia ya Mwanamke:
Vitu vya msingi (basic) alivyonavyo mwanamke;
Anatumia hisia (hisia zake ziko karibu) zaidi kuliko logic (kufikiri kwa mpangilio).
Anaweza kufanya mambo matatu, manne au zaidi kwa wakati mmoja tofauti na mwanaume.
Matarajii ya ndoa kwa wanawake:
1. Utulivu.
2. Mapenzi (kwa maana pana) na huruma.
3. Kuthaminiwa na kushukuriwa.
4. Kujenga familia bora.
Mambo 4 ni katika furaha ya ndoa:
1. Mke mwema.
2. Makazi mapana (Nyumba ya kujitosheleza).
3. Jirani mwema.
4. Kipando (Usafiri).
hujaweka vizuri kalima zako
Ulitaka niwekeje?@@nuurul-anwar1901
Ulitaka niwekeje? em weka na zako tuone. Unataka unipangie jinsi ya kucomment? unafikiri sawa kweli??
M
Yani shekhe utasema umeigiy ndan kwetu ukaona mapenz tunayakosa kwawamezetu Allah ukuzidishiy kila lakherii insha allah
Umeongea vizuri sana Sheikh, asante sana, Allah akubariki na akuongezee busara na maarifa
mashaallah
Tabarakallah
Asante sana
Ooooh Dr. Bila shaka hata uzito wa ubong ktk ya Me na Ke n tofauti. Asante kwa Elim kubwa umetupatia.....
Ruqaia suluta :mashaallah allah akulipe kher
Jazaka'Allah Kher
MashaAllah Tabarakallah❤
Asalam alaikum Sheikh nimeshukuru Kwa mawaidha mazuri lkn utie mkazo kwenye mawasiliano na waume wawe na mda na wake zao In Shaa Allah
Nakuunga mkono
Kweli kabisaa
Mashallah..Allah ibaric
Ni jambo zuri hili mashaallah tabarakallah
Mafunzo mazuli kabisa jazakallah haira
Mashallah Allah akuzidishie,
Mashalla
Jazakaa Allahu kheri
Hakika swadakta 💯
ukweli kabisa
Shekh namba yako ya simu huweki kwa darsa kuku pataje?
Shekh shamsi Acha kudanganya watu hakuna bidaah nzury na bidaah mbaya bidaah ni bidaah tu😢
Heshima ni kitu cha bure...
Ushafeli ktk maisha yako punguza makasiriko basi 😂
Khusnulkhuq inaonekana ktk mazungumzo ...kuwa na heshima kidogo😢
Mzee WA bidaa hhhhhh