NDOA NI NENO DOGO ILA LINA MAANA KUBWA SANA UKITOA N_ UNAPATA DOA, UKITOA D-_ UNABAKIWA NA OA UKITOA O-__ UNABAKIWA A daaaaahhhh tulizingatie Sana ili neno niite jullieth kutoka kihonda azimio mguru wa ndege
Pole mussa kwa yaliyokupata hila wanawake wa singida wanasifa mbaya ya kutorizika na mwanamme moja hiyo stori hemenikumbusa miaka ya nyuma kidogo kuna kijana jirani yangu alikuwa na binti moja wa singida alikuwa mrembo hila tabia almtesa sana yule kijana kama mussa alivyoteseka vijana nawashauri muwasikilize wazazi huyo mamake musa alishsgundua tabia mbaya ya huyo binti lakini mapenzi yalishamtawala pole sana mussa
Wee shika adabu yako na ikuzoee watu wa singida tuna Nini jiheshimu ulisha oa singida nzima Ika kuacha jiheshimu ovyo mbona sisi wengine tumeolewa tumetulia miaka sasa na hatuna Wanaume wengine ndo maana hichi ulicho kiandika hakuna mtu hata Moja Alie comment utumbo wako
Daa! Huyo rafiki yake si mtu mzuri na wala hampendi kwa ushauri huo na urafiki ikiwezekana angeusitisha tuu kwa kweli yaani kumtafutia danga maarufu mjini msanii na ampe milllionn moja bado kulipia hotel na gharama nyingine hiyo ela si Angela hata mama yake sijaona rafiki hapo tuwe makini na marafiki.
Mbona mnatusimaga sana watu wa singida ebu tuacheni kwani kuachwa ajabu Cha peke yako kaburi kaka unaogopa unaogopa waambie ni sisi watu wa singida ndo maana imeitwa singida big
nimepitia haya mambo .na nilichukua mda sana kukaa vizuri.yanatesa kupita kiasi
Polee mwaya
Hata mm bado yananitesa
huyu dada katuzalilisha sanaa wanawake mabkra😀😀
Ooooooh pole na mafua utapona dada vello❤❤❤❤
Asante da veroo daaah mapenzi hayaaa yanaumizaa mnooo nyieer
Duuuh pole sana mussa
Veeerooo assau tena Musa bwana
Pole sana mussa
Kuna vitu Vingi naendelea kujifunz katk safari ya maish yanguu
Hata mke wako pepo hanatumia kuku teza na rafiki yako adui pia Dunia mjambo mungu tusiindiye
Mhuu huyu rafiki naye nina was was naye
Dada vero km musa hajaoa naomba uniunganishie anioe hahahaha
😊😊😊
NDOA NI NENO DOGO ILA LINA MAANA KUBWA SANA UKITOA N_ UNAPATA DOA, UKITOA D-_ UNABAKIWA NA OA UKITOA O-__ UNABAKIWA A daaaaahhhh tulizingatie Sana ili neno niite jullieth kutoka kihonda azimio mguru wa ndege
Jamaniii tuwaze huyu dada msaniii ni nani au Hamisa 😂
Haha
Au wema
@@SalamaHorace humu katajwa anashape nzuri wema hata tako
Vero mwnza hatukupati tunateseka
Pole mussa kwa yaliyokupata hila wanawake wa singida wanasifa mbaya ya kutorizika na mwanamme moja hiyo stori hemenikumbusa miaka ya nyuma kidogo kuna kijana jirani yangu alikuwa na binti moja wa singida alikuwa mrembo hila tabia almtesa sana yule kijana kama mussa alivyoteseka vijana nawashauri muwasikilize wazazi huyo mamake musa alishsgundua tabia mbaya ya huyo binti lakini mapenzi yalishamtawala pole sana mussa
Wee shika adabu yako na ikuzoee watu wa singida tuna Nini jiheshimu ulisha oa singida nzima Ika kuacha jiheshimu ovyo mbona sisi wengine tumeolewa tumetulia miaka sasa na hatuna Wanaume wengine ndo maana hichi ulicho kiandika hakuna mtu hata Moja Alie comment utumbo wako
Duuuu mussa rafiki anakipeleka pabaya sasa
Huyu rafiki nae sio mtu mzuri
😂😂😂 kwanza alitaka Wakampumulie kisogo yule dogo wa texi
Yaani we mwanaume gani unamfuga mwanamke aliyeanza kukudharau namna hiyo
Kwa sababu ni mwanamke mrembo sana 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
@@vumi8371urembo hauna maana kama mtu hakuheshimu
Mbona kwenye radio fm yenu haishiki ??
😢😢😢
Singida oyeee, ila huyu rafiki nae
Hii cmulizi yafanana na ya nimemsaau jina bt exactly
Musa bwana 🤣🤣🤣🤣
Ametuzarilisha wanawake wa kiislamu hasa wa singida
Asije kupata ukimwi tu Mussa!😢
Kweli
Ndio maana naliheshimu jiji la dar es salaam
Kinachoniuma ni pale mwanaume anapomtafuta make wa kuoa akalata mladi make na mke apate kuolewa anapata Bora mume hii inauma lkn ufanyaje aisee
Ndo umeandikaje?
@@LailathSwedy-ul1hzna mimi najiuliza 😂
HASANTEE sana
Saidi ndope mpiga picha wa yombo kilakala tuko pamoja
Rafiki yako amekutoa kwenye majivu kakupeleka motoni
Kama na wwe umeona Esaau nyosha kidole juu😅😅😅
Yani Hadi ikanichanga nikawa nazidi kutafuta essau amechelewa kutoka studio inawezekana akachelewa sana
👆
Kweli wanawake wengine wapuuzi sana
@uujsjdis sks skjjsh jhhd jfgwis jsjshs?
Yaan anataka kumuua mtoto wa mamkwe
@@MeryJackson-tc9fq😊😊😊
@@MeryJackson-tc9fqkwani ajabu kufa mery Cha peke yako kaburi dada unaogopa unaogopa waambie ni sisi watu wa singida
Ina maana Kwa muda wote huo Dada Vero hawakuwa na mtoto
😊
Daa! Huyo rafiki yake si mtu mzuri na wala hampendi kwa ushauri huo na urafiki ikiwezekana angeusitisha tuu kwa kweli yaani kumtafutia danga maarufu mjini msanii na ampe milllionn moja bado kulipia hotel na gharama nyingine hiyo ela si Angela hata mama yake sijaona rafiki hapo tuwe makini na marafiki.
Mmh hii story Hadi machoz yamenitoka mmh Sisi wanawake 😢😢
😂😂😂
Duuh jamani 😥😥😥😥
❤❤❤🎉
Daaah 🙆minajuwa maumivu unayopitia ichi kitu nibora kuskia tu km ivi ila ila ila usiombeeee yakukute😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole muusa ila nilijua2 w/ke wengi wa singida hawajatulia ila alifanya busara kutotembea na huyo dada
Mbona mnatusimaga sana watu wa singida ebu tuacheni kwani kuachwa ajabu Cha peke yako kaburi kaka unaogopa unaogopa waambie ni sisi watu wa singida ndo maana imeitwa singida big
Marriage is scam 😅