RIPOTI YA LEO ESSAU VOLUME 05

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 63

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 11 месяцев назад +6

    nimepitia haya mambo .na nilichukua mda sana kukaa vizuri.yanatesa kupita kiasi

  • @ishamsuya3263
    @ishamsuya3263 11 месяцев назад +3

    huyu dada katuzalilisha sanaa wanawake mabkra😀😀

  • @mamaGolden09
    @mamaGolden09 11 месяцев назад +2

    Ooooooh pole na mafua utapona dada vello❤❤❤❤

  • @winfridakaaya2758
    @winfridakaaya2758 11 месяцев назад

    Asante da veroo daaah mapenzi hayaaa yanaumizaa mnooo nyieer

  • @MeryJackson-tc9fq
    @MeryJackson-tc9fq 11 месяцев назад +1

    Duuuh pole sana mussa

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 11 месяцев назад +1

    Veeerooo assau tena Musa bwana

  • @zaharaabduly4679
    @zaharaabduly4679 11 месяцев назад +2

    Pole sana mussa

  • @SalumuZomba-xb5bz
    @SalumuZomba-xb5bz 11 месяцев назад +2

    Kuna vitu Vingi naendelea kujifunz katk safari ya maish yanguu

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 11 месяцев назад

    Hata mke wako pepo hanatumia kuku teza na rafiki yako adui pia Dunia mjambo mungu tusiindiye

  • @maryammaryam444
    @maryammaryam444 11 месяцев назад +2

    Mhuu huyu rafiki naye nina was was naye

  • @ThomasUrassa-ec5gy
    @ThomasUrassa-ec5gy 11 месяцев назад +1

    Dada vero km musa hajaoa naomba uniunganishie anioe hahahaha

  • @JulliethMhando-me6hq
    @JulliethMhando-me6hq 11 месяцев назад +1

    NDOA NI NENO DOGO ILA LINA MAANA KUBWA SANA UKITOA N_ UNAPATA DOA, UKITOA D-_ UNABAKIWA NA OA UKITOA O-__ UNABAKIWA A daaaaahhhh tulizingatie Sana ili neno niite jullieth kutoka kihonda azimio mguru wa ndege

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl1568 11 месяцев назад +3

    Jamaniii tuwaze huyu dada msaniii ni nani au Hamisa 😂

  • @EvelynIsaya-k2w
    @EvelynIsaya-k2w 11 месяцев назад

    Vero mwnza hatukupati tunateseka

  • @EvelynIsaya-k2w
    @EvelynIsaya-k2w 11 месяцев назад

    Pole mussa kwa yaliyokupata hila wanawake wa singida wanasifa mbaya ya kutorizika na mwanamme moja hiyo stori hemenikumbusa miaka ya nyuma kidogo kuna kijana jirani yangu alikuwa na binti moja wa singida alikuwa mrembo hila tabia almtesa sana yule kijana kama mussa alivyoteseka vijana nawashauri muwasikilize wazazi huyo mamake musa alishsgundua tabia mbaya ya huyo binti lakini mapenzi yalishamtawala pole sana mussa

    • @user-yp9vo4js9f
      @user-yp9vo4js9f 11 месяцев назад

      Wee shika adabu yako na ikuzoee watu wa singida tuna Nini jiheshimu ulisha oa singida nzima Ika kuacha jiheshimu ovyo mbona sisi wengine tumeolewa tumetulia miaka sasa na hatuna Wanaume wengine ndo maana hichi ulicho kiandika hakuna mtu hata Moja Alie comment utumbo wako

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 11 месяцев назад +1

    Duuuu mussa rafiki anakipeleka pabaya sasa

  • @AzratRahma-fm7sw
    @AzratRahma-fm7sw 11 месяцев назад +1

    Huyu rafiki nae sio mtu mzuri

    • @polycarpykavishe9001
      @polycarpykavishe9001 11 месяцев назад

      😂😂😂 kwanza alitaka Wakampumulie kisogo yule dogo wa texi

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 11 месяцев назад +5

    Yaani we mwanaume gani unamfuga mwanamke aliyeanza kukudharau namna hiyo

    • @vumi8371
      @vumi8371 11 месяцев назад +1

      Kwa sababu ni mwanamke mrembo sana 😂😂😂😂😂

    • @maryammaryam444
      @maryammaryam444 11 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @noelkalinga
      @noelkalinga 11 месяцев назад

      @@vumi8371urembo hauna maana kama mtu hakuheshimu

  • @walesmndolwa4614
    @walesmndolwa4614 11 месяцев назад +1

    Mbona kwenye radio fm yenu haishiki ??

  • @naomichallo9766
    @naomichallo9766 9 месяцев назад

    😢😢😢

  • @jacklinegodifrey8607
    @jacklinegodifrey8607 11 месяцев назад +1

    Singida oyeee, ila huyu rafiki nae

  • @BintHassan-o1y
    @BintHassan-o1y 11 месяцев назад

    Hii cmulizi yafanana na ya nimemsaau jina bt exactly

  • @vumi8371
    @vumi8371 11 месяцев назад +2

    Musa bwana 🤣🤣🤣🤣

  • @HAKHISALUMU
    @HAKHISALUMU 10 месяцев назад

    Ametuzarilisha wanawake wa kiislamu hasa wa singida

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 11 месяцев назад +4

    Asije kupata ukimwi tu Mussa!😢

  • @oscarlemamaringo8081
    @oscarlemamaringo8081 11 месяцев назад

    Ndio maana naliheshimu jiji la dar es salaam

  • @sperabais
    @sperabais 11 месяцев назад +1

    Kinachoniuma ni pale mwanaume anapomtafuta make wa kuoa akalata mladi make na mke apate kuolewa anapata Bora mume hii inauma lkn ufanyaje aisee

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 11 месяцев назад

    HASANTEE sana

  • @saidindope4617
    @saidindope4617 11 месяцев назад

    Saidi ndope mpiga picha wa yombo kilakala tuko pamoja

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 11 месяцев назад +1

    Rafiki yako amekutoa kwenye majivu kakupeleka motoni

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah4497 11 месяцев назад +2

    Kama na wwe umeona Esaau nyosha kidole juu😅😅😅

    • @glorycharles
      @glorycharles 11 месяцев назад

      Yani Hadi ikanichanga nikawa nazidi kutafuta essau amechelewa kutoka studio inawezekana akachelewa sana

    • @bukuratanchande4588
      @bukuratanchande4588 11 месяцев назад

      👆

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 11 месяцев назад +2

    Kweli wanawake wengine wapuuzi sana

    • @satwanthoogan6429
      @satwanthoogan6429 11 месяцев назад

      @uujsjdis sks skjjsh jhhd jfgwis jsjshs?

    • @MeryJackson-tc9fq
      @MeryJackson-tc9fq 11 месяцев назад +1

      Yaan anataka kumuua mtoto wa mamkwe

    • @FatimaRamadan-s4f
      @FatimaRamadan-s4f 11 месяцев назад

      ​@@MeryJackson-tc9fq😊😊😊

    • @user-yp9vo4js9f
      @user-yp9vo4js9f 11 месяцев назад

      ​@@MeryJackson-tc9fqkwani ajabu kufa mery Cha peke yako kaburi dada unaogopa unaogopa waambie ni sisi watu wa singida

  • @lilianmwaiteleke2025
    @lilianmwaiteleke2025 11 месяцев назад +1

    Ina maana Kwa muda wote huo Dada Vero hawakuwa na mtoto

  • @ashasaid7436
    @ashasaid7436 11 месяцев назад +1

    😊

  • @ClaraTemba
    @ClaraTemba 11 месяцев назад

    Daa! Huyo rafiki yake si mtu mzuri na wala hampendi kwa ushauri huo na urafiki ikiwezekana angeusitisha tuu kwa kweli yaani kumtafutia danga maarufu mjini msanii na ampe milllionn moja bado kulipia hotel na gharama nyingine hiyo ela si Angela hata mama yake sijaona rafiki hapo tuwe makini na marafiki.

  • @user-ex1db8bz1l
    @user-ex1db8bz1l 11 месяцев назад

    Mmh hii story Hadi machoz yamenitoka mmh Sisi wanawake 😢😢

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 11 месяцев назад

    Duuh jamani 😥😥😥😥

  • @bintimrope
    @bintimrope 11 месяцев назад +1

    ❤❤❤🎉

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 11 месяцев назад

    Daaah 🙆minajuwa maumivu unayopitia ichi kitu nibora kuskia tu km ivi ila ila ila usiombeeee yakukute😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @omarfauz1877
    @omarfauz1877 11 месяцев назад +1

    Pole muusa ila nilijua2 w/ke wengi wa singida hawajatulia ila alifanya busara kutotembea na huyo dada

    • @user-yp9vo4js9f
      @user-yp9vo4js9f 11 месяцев назад

      Mbona mnatusimaga sana watu wa singida ebu tuacheni kwani kuachwa ajabu Cha peke yako kaburi kaka unaogopa unaogopa waambie ni sisi watu wa singida ndo maana imeitwa singida big

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb 11 месяцев назад

    Marriage is scam 😅