RIPOTI YA LEO MUSSA VOLUME 10

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024

Комментарии • 52

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 2 месяца назад +1

    Mussa mungu amlinde kabisa

  • @nancygitonga3282
    @nancygitonga3282 3 месяца назад +1

    Pole sana kakangu Mussa, nimeumia sana sana juu ya mates uliyo ipataga. Your mummy was right all along, how I wish you listened to her for a moment

  • @ChoraAmina
    @ChoraAmina 7 месяцев назад +2

    Mussa alijaaliwa moyo wa kipekee sana

  • @Nuruvitalis
    @Nuruvitalis Год назад +6

    Nimejifunza kitu kwenye hii simulizi Mungu akubariki dada vero

  • @zayabdala-ky9dg
    @zayabdala-ky9dg 5 месяцев назад +1

    Duh mafunzo makubwa sana tunajifunza pole sana musa nimeamini malipo duniani

  • @dhafakisina5895
    @dhafakisina5895 Год назад +3

    Pole kaka mussa lakini wanawake wema wapo kaka

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 Год назад +5

    Wanawake ndio chanzo Kikubwa Cha matatizo hapa Duniani..... WANAUME wenzangu Tuendelee kuamini Mungu ndio Kila kitu

  • @JoycePeter-z6k
    @JoycePeter-z6k Год назад +2

    Tujifunze kuwa tukiwatenda ubaya watu wema ni moja kwa moja tunakuwa tumemgusa Mungu. Hivyo tuwatendee wema watu wote na kuto kulipa kisasi.

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 Год назад +1

    pole sana Mussa, dunia tunayo dhiki ila tumtumaini Mungu muumba wa mbingu na nchi ni yeye pekee atatushindia.

  • @monicadamiani8493
    @monicadamiani8493 Год назад +3

    Nimejifunza Kitu Kikubwa Sana Kupitia Hii Simulizi Ya Mussa Na Wala Sijutiii Kujifunza Kupitia Hii Simulizi

  • @pendojohnson8470
    @pendojohnson8470 Год назад +2

    Nyie mungu hutupa njia pasipo njia

  • @joycenyalandu-vt6qt
    @joycenyalandu-vt6qt Год назад +10

    Mnipe like jaman😂😂😂😂

  • @jacklinegodifrey8607
    @jacklinegodifrey8607 Год назад +1

    Pole na hongera kwa maamuzi Mussa

  • @PaulinaMhoja
    @PaulinaMhoja Год назад +3

    Kumbe had bar kuna Mke mwema,,,,,Mungu wa ajabu

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 11 месяцев назад

    Inafundisha, hatari ya kukataa ushauri wa mzazi, chagua marafiki kulingana na mazoea yao, ushauri wao, Pia mlinzi aliona mapema hatari iliyopo mbele mke wa musa alivyo na marafiki wa hovywo, tamaa ya mkwe, pia jambo zuri sana kuacha mambo mikononi mwa Mungu ZAIDI KATIKA STORY HII HAKUNA USHIRIKINA NIMEFURAHI SIPENDI STORY USHIRIKINA

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 Год назад +2

    Kumbe mimi niko very strong enhee
    Binafsi kimuonekana ninaonekana mtu mwenye watu wengi sana kwenye mzunguko wangu but in reality inapokuja mambo ya matatizo yangu huwa nayamaliza kimyakimya pasi kushirikisha wengine na huwa ninapitia ktk magumu yote kiujasiri kabisa.
    Kikubwa ninachokilinda ni moyo wangu kutokuumia na kusababisha ugonjwa wa akili hivyo nimekuwa mtu wa kupuuzia vitu sana na naamini kuwa hakuna kipya chini ya jua na zaidi sana kuna expire date ya kila jambo.
    Hata hivyo nimpe pole na hongera Musa kwa hayo aliyoyapitia.

  • @claudiajosephmselle5091
    @claudiajosephmselle5091 11 месяцев назад

    Nimejifunz kikubwa sana

  • @GeorgeKessy
    @GeorgeKessy 25 дней назад

    Yamenikuta hayo ya Mussa ila mimi Mama ndo alinionganisha kwa binti yake 😢. Mwaka wa nne sasa naishi mwenyewe yaliyonikuta mungu ndo anajua.

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад

    Mungu ni mwema jamani mama mzizi mungu a barikiwe Sana pole ndugu Kwa mapito masito

  • @fora2009
    @fora2009 Год назад +1

    Rafiki mchezi sana

  • @ChoraAmina
    @ChoraAmina 7 месяцев назад

    Ndivyo ilivyo watu wema na wastaarabu huandamwa sana na changamoto

  • @castalinamichael7349
    @castalinamichael7349 Год назад +2

    Wa kwanz leo

  • @hadija_makange
    @hadija_makange Месяц назад

    Aki malipo nihapahapa duniani nimeamini

  • @FaridRukundo-ds7pg
    @FaridRukundo-ds7pg Год назад

    ume pitia mateso makubwa sana bwana Mussa.hukustaili abadan kufanyiwa unyama kama uyo.Popote ulipo upate faraja na umpate atakae kua mkee wa ukweli akupende kwa dhati.Dunia duara..

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад

    HASANTEE
    Hasante sana dada Veronica hasante pia kwa kijana muusa kwa ushuhuda na mapito aliyoyapitia hii ni kweli huwa yanawatokea vijana wengi lkn Kuna baazi huwa wanashindwa uvumilivu name kuchukua maamuzi magumu mwisho wa siku wanajikia pabaya

  • @HAKHISALUMU
    @HAKHISALUMU 11 месяцев назад

    Hivi kupenda kubaya

  • @lisakisamo9418
    @lisakisamo9418 Год назад

    Tunajifinza mengi sana kupitia simulizi. Pole Musa

  • @crizeyaden6158
    @crizeyaden6158 Год назад +1

    Napataje namba ya Mussa jamaniiii 😭😭😭

  • @joycelaizer4600
    @joycelaizer4600 Год назад +1

    Musa mie sijaolewa kama hujaoa em tuoane. Am very kind 😊😊😊😊

  • @lightymmary22lightymmary27
    @lightymmary22lightymmary27 Год назад

    Mmmh mapito uliopitia Ni makubwa pole Sana Mussa

  • @crizeyaden6158
    @crizeyaden6158 Год назад +1

    Mussa kama utasoma hapa Naomba nijibu kwa e-mail pls Sitaki unioe ila nitafute tuu 😂😂😂

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Год назад +1

    Pole sanaa mussa😭

  • @FarajaJoel-hg3yy
    @FarajaJoel-hg3yy Год назад

    Hii story mwisho inachekeshaaa, eti tunafumaniana🙌😂😂😂

  • @linajoseph5296
    @linajoseph5296 Год назад +2

    Rip Mrs Musa

  • @minaelimbonea7570
    @minaelimbonea7570 Год назад

    Hi story imenifundish kitu jamn

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад

    Pole sana kaka

  • @TeddyMsigwa-o8n
    @TeddyMsigwa-o8n Год назад

    Hakika Ni funzo kubwa kwetu vijana,!

  • @Teresiamwagange
    @Teresiamwagange 9 месяцев назад

    Duh inahuzunish

  • @lizysimon7374
    @lizysimon7374 11 месяцев назад

    Da vero jamani

  • @bahaticharisa2847
    @bahaticharisa2847 Год назад

    dada Vero nakusikiliza nikiwa Saudi Arabia musa pole San

  • @joycelaizer4600
    @joycelaizer4600 Год назад

    Pole Musa

  • @maryamChumas
    @maryamChumas Год назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @complex7582
    @complex7582 Год назад +1

    Mbona namba 9 hakuna