RIPOTI YA LE MOHAMED VOLUME 08

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 49

  • @esthershija5442
    @esthershija5442 Год назад +30

    Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hizi simulizi mwisho wa siku Mungu ni Mungu tu na atabaki kuwa Mungu. Haijalishi unapita kwenye mapito gani usiabudu miungu mingine bali mkabidhi Mungu wako yaliyo yote mazuri na magumu nae atakupigania na utashinda. Yatupasa kuwa na Imani kubwa na Mungu wetu na tuwe wavumilivu kusubiri Mungu wetu atende.

  • @zuwenanyoso9110
    @zuwenanyoso9110 6 месяцев назад +1

    Simulizi imejaa mafunzo mengi sana na kubwa ya yote nikumuamini mungu mmoja tu na kukubali kua hana mshirika

  • @fora2009
    @fora2009 Год назад +3

    Mungu ni mwema mtengemee sana mungu kila kitu

  • @jacklinemassawe9028
    @jacklinemassawe9028 Год назад +2

    Wa kwanza Asante kwa mafundisho

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 Год назад +2

    Ahsante Veronica,nimejifunza kitu kwa Mohamed,nimesibitisha kuwa Waganga na wachawi ni walewale,nawanawasiliana,Naviongozi wa dini mitume na manabii wa nawasiliana na Mungu na Malaika, ila vyote vinahitaji kusimama mwenyewe kwa miguu miwili,ukijiegemeza kwa Mungu siokua utabweteka nakokunakazi, itatakiwa usalikilamara,usimame,upigane uwe msafi wa mwili na roho,utoe sadaka,nk,kilasehem ningumu,hayo ya Mohamed yanaitwa maagano na mikataba.

  • @kakukili6173
    @kakukili6173 Год назад +1

    Mungu atabaki kuwa Mungu hakika

  • @MaryamuMahondo
    @MaryamuMahondo Год назад +3

    Duu Kweli mungu ni mungu wa wote wenye mwili tumtegemee yeye

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Год назад

      Unaposema mungu unamanisha miungu unapaswa kusema MUNGU au Mungu

  • @Sarah-v1v6p
    @Sarah-v1v6p Год назад +1

    Nisome kama Sarah nipo Tabora manispaa nakupenda sana da Veronica simulizi hakika simulizi zako zinenitoa hatua moja kwenda nyingine

  • @erastonzogela1405
    @erastonzogela1405 10 месяцев назад

    Mungu atusaidie sana kwenye mapito ya njia zetu

  • @PhilipoYusuph
    @PhilipoYusuph Год назад

    Dada Asante Kwa story nzuri zenyekufunza dah saut yako mpaka naiga usemaji wako unajuaa❤

  • @dynessiadd-ny5hy
    @dynessiadd-ny5hy Год назад +3

    wa kwanza

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 Год назад +2

    Nahuyo Mgonjwa akipona huyo Mganga atakufa,naakifa mgonjwa mganga atapona.ndiyo maagano yalivyo.

  • @QueenRemigi-xk4vu
    @QueenRemigi-xk4vu 2 месяца назад

    Tunaomb namb z mohamedi

  • @SALMAS-s3d
    @SALMAS-s3d Год назад +2

    Nakupata uzuri da vero nikiwa zng UGHAIBUNI MASCAT OMAN nisome kama SAYUNI MWAVIKA ❤

  • @maryumamapunda8910
    @maryumamapunda8910 Год назад +1

    Na mm nimewahi❤

  • @chichigrilltz7707
    @chichigrilltz7707 Год назад +1

    Nakusikiliza kutoka Nottingham 🇬🇧… Endelea kutuelimisha, Ila sikuhizi unazirusha kWa wakat sana hadi Raha.

  • @luckiesum9773
    @luckiesum9773 Год назад

    Daaah Muhamed bora angemsikiliza tuu huyoo kaka coz huwezi jua Mungu haji kama alivyo bali anakuja kama binadamu na huyo kaka ni mmoja wapo alie tumwa na Mungu kwako but kw sasa huwezi amini coz nguvu za giza zimewakamata😢

  • @teddymassawe2834
    @teddymassawe2834 Год назад

    Asante mdogo wangu Vero simulizi inafundisha sana,

  • @user-gx8je4fp5b
    @user-gx8je4fp5b Год назад +6

    Ivi mnaosemaga wa kwanza kuna nn mnapata?

  • @winfridakaaya2758
    @winfridakaaya2758 Год назад +2

    Asantee da vero❤❤❤❤

  • @saidindope4617
    @saidindope4617 11 месяцев назад

    Dada tuko pamoja Saidi ndope mpiga picha wa yombo kilakala

  • @ashasaid7436
    @ashasaid7436 Год назад

    Second

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 Год назад +1

    Tunaomba namba za Mohamed

  • @user-fp3tq7in2j
    @user-fp3tq7in2j Год назад

    Tuko pamoja saana

  • @MariahAndrew
    @MariahAndrew Год назад +1

    Cjachelewa

  • @teddymassawe2834
    @teddymassawe2834 Год назад

    Waende wakaombewe

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Год назад

    Minaamini utakuwa tu umekosea masherti 😢

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Год назад

    🙏🙏

  • @teddymassawe2834
    @teddymassawe2834 Год назад

    Waende Kwa mamposa wataisha

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Год назад +1

      Jmn mbona unauwelewa mdogo ivo hayo ni matukio yaliyopita, Sijui umeelewa? Ww sikiliza tukio la miaka 6 imepita ila leo ndo unasimuliwa

    • @hasnanadhiru2168
      @hasnanadhiru2168 Год назад

      Wataenda mwaya, wamesoma Ujumbe wako

    • @CuttyZerish
      @CuttyZerish 5 месяцев назад

      Kwaniwamposa ndo mungu?