RIPOTI YA EO ESSAU VOLUME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 90

  • @DominaJoackim
    @DominaJoackim Год назад +4

    Ni kweli kabisa, hakuna uganga wala uchawi juu ya Israel.❤❤❤

  • @AgnesAgathon-bc8ht
    @AgnesAgathon-bc8ht Год назад +12

    Ohooo jamani hii simulizi mwishoni mbona kama ni Mimi kabisa 🤔
    Nilikuwa naota ndoto za kutisha nikapewa Rosary na maji ya Baraka na Padre na Kila kitu kiliishia hapo Mungu ni mwema

    • @GODFREY-je9xq
      @GODFREY-je9xq Год назад

      Angalia ,Nenda kanisani,mda unaluhusu, Ni MUNGU TU

  • @rhodalucas5187
    @rhodalucas5187 Год назад +8

    Nasadiki kwa Kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume 🙏 Hongera sana Essau kwa kuwa na mwisho mwema.
    Asante Dada Vero, sifa na utukufu ni kwa Mungu.

  • @Baddlah2011
    @Baddlah2011 Год назад +4

    Nilijua mwisho wa mateso ya Esau ni pale tu atakapopata nafasi ya kumjua Mungu, Glory To God 🙏🙏🙏Tuwe na imani tumjue Mungu wetu 🙏🙏🙏💝Amina

  • @reginaringo5167
    @reginaringo5167 Год назад +5

    Ndio maana nampenda sana Huyu MUNGU, Ana mambo makuu sana

  • @ivethakalya-ne7lb
    @ivethakalya-ne7lb 5 месяцев назад

    Mungu wetu ni mwema kila wakti

  • @dafrosamsonge2007
    @dafrosamsonge2007 Год назад +9

    Watu hawaamin Catholic but this testimony ikawabadilishe dhehebu lolote ukimwamini Mungu wa kweli unapona , Nguvu ya Mama Maria mpaka nmelia

  • @naimamalekela812
    @naimamalekela812 Год назад +2

    hakika hakuna kinacho shindikan mbele zake mungu dada vero simulizi zako zimenitoa sehem nyingine mungu akubariki sana

  • @SarahTete
    @SarahTete Год назад +5

    🙏🙏ila uwe unawahi kutupostia dada etu, tunasubiri kwa ham kweli❤❤❤Mungu akutunze

  • @jacklinemassawe9028
    @jacklinemassawe9028 Год назад +1

    Mungu ndo kila kitu kwenye maisha yetu alisema tu muombe lolote kupitia jina lake nae atatupa amen

  • @esnajuma3543
    @esnajuma3543 Год назад +1

    Mara nyingi watu hufikir mapadri hawaombei lkn ukiwa ndani ya imani ndo unaujua ukweli, hakika Mungu ni mkuu kwa kila gumu unalolipitia hapa duniani, Bwana ufanya mlango wa kutokea.

  • @EmmaMosses-i2k
    @EmmaMosses-i2k Год назад +2

    Pole sana essau pia hongera sana kwa kupambana dada Vero Asante kwa elimu mungu akubariki sana

  • @sperabais
    @sperabais Год назад +2

    Wow!ameyashinda Mungu ni mwema kila wakati

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Год назад +1

    Amen Amen! Mungu nimwema atuokoe nakila maovu, Ahsantee sana Da Veronica amanii ya Bwana Yesu iwe nawe kila wakati 😊😊!!! Pia msalimie ESSAU

  • @user-kp9ll1qu5n
    @user-kp9ll1qu5n Год назад +2

    Kweli Ile nguvu wanganga walikuwa wakizunguzis Iko ndani Yako ilikuwa ya mungu

  • @AzizaFirozi
    @AzizaFirozi Год назад +2

    Jamani da Vero umejua kututeka khaa😂😂😂. Asante dada Wakwanza

  • @stevenruvugo5525
    @stevenruvugo5525 Месяц назад

    TUMSIFU YESU KRISTO, HAKIKA MUNGU NI MWEMA

  • @joyniabella5985
    @joyniabella5985 10 месяцев назад

    Yaaaan na mm nmeanz kuota ndot kam za esau za shule mara nmechelew mtiihan nikachwekwa teeen baad ya sku kadhaaa hap sjajua ni kwakua hii story nilihiweka kichwan au

  • @ConsoPal
    @ConsoPal Год назад +1

    Asante Mungu kwa Matendo Makuu

  • @christinaabelmwaipungu-5727
    @christinaabelmwaipungu-5727 Год назад

    Daah! Kumbe wanaosikiliza Moja kwa Moja radioni wanapata sinulizi kamili!! Maana hapa imekatishwakatishwa sana!!

  • @mwangechojohn3792
    @mwangechojohn3792 Год назад +1

    Asante sana dada veronika mungu akutunze love from kenya

  • @carolinemtey9715
    @carolinemtey9715 Год назад +1

    Natamani nami nipate hivyo vitabu

  • @felisterseverin4291
    @felisterseverin4291 Год назад +1

    Ahsante uwezo wa Mungu ni mkuu kuliko binadamu

  • @GroliaKihunrwa
    @GroliaKihunrwa Год назад

    Mungu yupo mahali popote, inategemea unamtazama nani. Ukiimtazama Mungu ktk uhitaji wako kwa imani atakujibu

  • @ireneherman76
    @ireneherman76 Год назад +1

    Sikutegemea kuish friday I thought next week 😅😅😅 Our God is able ohoo😊

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Год назад +2

    Yees da veronika pamoja sana ni wakwanza kwa leo

  • @victoriamathew6860
    @victoriamathew6860 11 месяцев назад

    Mungu atanaki kua Mungu milele YOTE💪💪💪

  • @lauraalex7409
    @lauraalex7409 Год назад +1

    Woooh Hatimaye Tumemtafuta Padre 🙏🙏🙏

  • @IbrahimMohamed-eq4ek
    @IbrahimMohamed-eq4ek 11 месяцев назад

    👊💯💯💯💯👊👊

  • @user-wn1xt3ks3m
    @user-wn1xt3ks3m Год назад

    Love you mungu ❤❤❤❤❤ Allah ndokila kitu

  • @rithamgaya1466
    @rithamgaya1466 Год назад

    Ubarikiwe Sana dada Vero kwa kweli tunajifunza sana

  • @nancygitonga3282
    @nancygitonga3282 Год назад +1

    True victory is from God. Bwana apewe sifa

  • @NisileMjwanga
    @NisileMjwanga Год назад +1

    Hakika stori ya Essau mm nimejifunza kumtegemea Mungu

  • @NeemaKatoto-un6ic
    @NeemaKatoto-un6ic Год назад

    Asante dada tunajifunza mengi sana 🙏mungu akupatie siku njema tukutane juma tatu

  • @edwardjoseph6100
    @edwardjoseph6100 11 месяцев назад +1

    GLORY BE TO ALMIGHTY GOD 🙏🙏

  • @christinaabelmwaipungu-5727
    @christinaabelmwaipungu-5727 Год назад

    Mungu wetu ni mwema sana

  • @menahallie5301
    @menahallie5301 Год назад

    ❤🎉 Tunajifunza mengi da vero, mengine yanatokea katika maisha yetu, japo hatujakufikishia lakini wanaoleta story hapo wanatuwakilisha kabisa 😢😢 Mungu ni mwema 🙏

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl1568 Год назад +1

    Pole sana esau na pole kwa yote huyu padri atakuwa ni mwamposa 😅davero ubarikiwe sana dada

    • @treyvissy9854
      @treyvissy9854 Год назад

      Mwamposa anakuwaje padri sasa ?

    • @drvidah7030
      @drvidah7030 Год назад

      Mwamposa sio padri

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Год назад

      Ndio nini kimetokea? Apostle kuna muujiza hapa 🤔🤗

  • @fora2009
    @fora2009 Год назад

    Dah sister vero hii dunia ni mtihani from Belgium

  • @hadidjaissa9154
    @hadidjaissa9154 Год назад

    ❤dada imenivusha sana hii simulizi jaman ,mungu akubariki sana

  • @glorycharles
    @glorycharles Год назад +2

    Jamani Veronica Kuna mda nasikiliza Hadi nahisi tupo live😅😅

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад

    Sis vero Asante kwakuakilisha story hii...Hakika wakati wa Mungu ndo wakati sahii tumuani yeye akuna kinacho mshida Essau ubarikiwe

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Год назад

    Ndio maana wake waganga walisema kuna nguvu ndani yake maskini duuu Mungu mkubwa saana

  • @AsmaAlly-xh9de
    @AsmaAlly-xh9de Год назад

    😢😢😢daaah hakika tunajifunza mengi sana

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h 10 месяцев назад

    YA RABBY ALIHAMNDULILLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад

    Mungu ni mwema na yuko karibu kuliko damu yetu

  • @wanyendakuta8912
    @wanyendakuta8912 9 месяцев назад

    😢mmh

  • @user-nw6uq6xm2n
    @user-nw6uq6xm2n Год назад

    Mungu ni mwema

  • @petermillanzi960
    @petermillanzi960 Год назад +1

    Glory be to God 🙏🤲

  • @lightnessmsangi3148
    @lightnessmsangi3148 Год назад

    Mkasa mzuri sana,
    Asanteeee sana.

  • @Genziassociates
    @Genziassociates Год назад

    Amina nimejifunza sana nitamtumikia Mungu siku zote hapa duniani

  • @mariahamor1775
    @mariahamor1775 Год назад +1

    Jamanii kama kuna siku nimehaha kama kuku anaetaka kutaga jinsi navochungulia

  • @shaluuanthony1836
    @shaluuanthony1836 Год назад

    Aiyeeeeee 😊😊😊barikiwa da vero

  • @NasraTiffah
    @NasraTiffah Год назад

    Nakupnd 🥰

  • @rosemilingi7860
    @rosemilingi7860 Год назад

    Mm mwenyewe ndoto zinatesa kwelikweli

  • @nancygitonga3282
    @nancygitonga3282 Год назад

    Asante dada Vero, may God bless you

  • @gladnesskajela7263
    @gladnesskajela7263 Год назад +1

    Hatimaee jaman

  • @FurahaNyanda-cg9nc
    @FurahaNyanda-cg9nc Год назад

    Asante Vero wng napenda saut yako💞💞

  • @rainadecompas5211
    @rainadecompas5211 Год назад +1

    Da Vero hili tatizo la kututumia hadithi siku ya 365 litaisha lini??😢😢😢.nilijua lamuda tu kumbe limekuwa la kudumu🤔

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Год назад

    Glory to God,big up kwako Vero❤

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 Год назад

    Finally mweeh

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Год назад

    Asantee dada da vero

  • @EliaMwaijumba
    @EliaMwaijumba Год назад

    Shetani ana mikwara hana msaada bora alikataa angemtoa baba yake ingekuja zamu ya watoto wake

  • @VeronikaJerome-wr8yz
    @VeronikaJerome-wr8yz Год назад

    Simulizi nimsuri sana

  • @monicanzali
    @monicanzali Год назад

    Mungu ana nguvu sana🙏🏿

  • @collinstemba6040
    @collinstemba6040 Год назад +1

    Ewaaah essau karejea 😂

  • @doricehungu5817
    @doricehungu5817 Год назад

    Thank you da Verooo

  • @GODFREY-je9xq
    @GODFREY-je9xq Год назад +1

    Hakuna mganga wakweli wote ni giza tu

  • @luciabado2471
    @luciabado2471 Год назад

    Thank you GOD

  • @happyyohana9881
    @happyyohana9881 Год назад

    Ameen 🙏🙏

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 Год назад

    Ila sijaelewa maana ulisema amefika shuleni Sasa ilikuwaje ikarudia tena

  • @ashasingiye3438
    @ashasingiye3438 Год назад

    Jaman na mimi sasa nipo kama essau kwani nina tabia za ndoto nanikiota ndoto huwa zinakuwa za ukweli pia nakosa amani sio utani ninajifunza kitu hapa

  • @margretmonday4617
    @margretmonday4617 Год назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ibrahimkawina8100
    @ibrahimkawina8100 Год назад

    👏

  • @GRACEMUSHI-ds5sj
    @GRACEMUSHI-ds5sj Год назад

    😘😘😘😘

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 Год назад

    Hakuna jambo linalo mshinda Mungu

  • @VeronikaJerome-wr8yz
    @VeronikaJerome-wr8yz Год назад

    Simulizi nimsuri sana

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Год назад

      Sema simulizi nzuri sio msuri 😮