Ohooo jamani hii simulizi mwishoni mbona kama ni Mimi kabisa 🤔 Nilikuwa naota ndoto za kutisha nikapewa Rosary na maji ya Baraka na Padre na Kila kitu kiliishia hapo Mungu ni mwema
Mara nyingi watu hufikir mapadri hawaombei lkn ukiwa ndani ya imani ndo unaujua ukweli, hakika Mungu ni mkuu kwa kila gumu unalolipitia hapa duniani, Bwana ufanya mlango wa kutokea.
Yaaaan na mm nmeanz kuota ndot kam za esau za shule mara nmechelew mtiihan nikachwekwa teeen baad ya sku kadhaaa hap sjajua ni kwakua hii story nilihiweka kichwan au
❤🎉 Tunajifunza mengi da vero, mengine yanatokea katika maisha yetu, japo hatujakufikishia lakini wanaoleta story hapo wanatuwakilisha kabisa 😢😢 Mungu ni mwema 🙏
Ni kweli kabisa, hakuna uganga wala uchawi juu ya Israel.❤❤❤
Ohooo jamani hii simulizi mwishoni mbona kama ni Mimi kabisa 🤔
Nilikuwa naota ndoto za kutisha nikapewa Rosary na maji ya Baraka na Padre na Kila kitu kiliishia hapo Mungu ni mwema
Angalia ,Nenda kanisani,mda unaluhusu, Ni MUNGU TU
Nasadiki kwa Kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume 🙏 Hongera sana Essau kwa kuwa na mwisho mwema.
Asante Dada Vero, sifa na utukufu ni kwa Mungu.
Imani yako iweke kwa Mungu sio kanisa, ubarikiwe
Nilijua mwisho wa mateso ya Esau ni pale tu atakapopata nafasi ya kumjua Mungu, Glory To God 🙏🙏🙏Tuwe na imani tumjue Mungu wetu 🙏🙏🙏💝Amina
Ndio maana nampenda sana Huyu MUNGU, Ana mambo makuu sana
Mungu wetu ni mwema kila wakti
Watu hawaamin Catholic but this testimony ikawabadilishe dhehebu lolote ukimwamini Mungu wa kweli unapona , Nguvu ya Mama Maria mpaka nmelia
hakika hakuna kinacho shindikan mbele zake mungu dada vero simulizi zako zimenitoa sehem nyingine mungu akubariki sana
🙏🙏ila uwe unawahi kutupostia dada etu, tunasubiri kwa ham kweli❤❤❤Mungu akutunze
Kabisa
Mungu ndo kila kitu kwenye maisha yetu alisema tu muombe lolote kupitia jina lake nae atatupa amen
Mara nyingi watu hufikir mapadri hawaombei lkn ukiwa ndani ya imani ndo unaujua ukweli, hakika Mungu ni mkuu kwa kila gumu unalolipitia hapa duniani, Bwana ufanya mlango wa kutokea.
Pole sana essau pia hongera sana kwa kupambana dada Vero Asante kwa elimu mungu akubariki sana
Wow!ameyashinda Mungu ni mwema kila wakati
Amen Amen! Mungu nimwema atuokoe nakila maovu, Ahsantee sana Da Veronica amanii ya Bwana Yesu iwe nawe kila wakati 😊😊!!! Pia msalimie ESSAU
Kweli Ile nguvu wanganga walikuwa wakizunguzis Iko ndani Yako ilikuwa ya mungu
Jamani da Vero umejua kututeka khaa😂😂😂. Asante dada Wakwanza
TUMSIFU YESU KRISTO, HAKIKA MUNGU NI MWEMA
Yaaaan na mm nmeanz kuota ndot kam za esau za shule mara nmechelew mtiihan nikachwekwa teeen baad ya sku kadhaaa hap sjajua ni kwakua hii story nilihiweka kichwan au
Asante Mungu kwa Matendo Makuu
Daah! Kumbe wanaosikiliza Moja kwa Moja radioni wanapata sinulizi kamili!! Maana hapa imekatishwakatishwa sana!!
Asante sana dada veronika mungu akutunze love from kenya
Natamani nami nipate hivyo vitabu
Ahsante uwezo wa Mungu ni mkuu kuliko binadamu
Mungu yupo mahali popote, inategemea unamtazama nani. Ukiimtazama Mungu ktk uhitaji wako kwa imani atakujibu
Sikutegemea kuish friday I thought next week 😅😅😅 Our God is able ohoo😊
Yees da veronika pamoja sana ni wakwanza kwa leo
Mungu atanaki kua Mungu milele YOTE💪💪💪
Woooh Hatimaye Tumemtafuta Padre 🙏🙏🙏
👊💯💯💯💯👊👊
Love you mungu ❤❤❤❤❤ Allah ndokila kitu
Ubarikiwe Sana dada Vero kwa kweli tunajifunza sana
True victory is from God. Bwana apewe sifa
🙏🙏🙏🙏
Hakika stori ya Essau mm nimejifunza kumtegemea Mungu
Asante dada tunajifunza mengi sana 🙏mungu akupatie siku njema tukutane juma tatu
GLORY BE TO ALMIGHTY GOD 🙏🙏
Mungu wetu ni mwema sana
❤🎉 Tunajifunza mengi da vero, mengine yanatokea katika maisha yetu, japo hatujakufikishia lakini wanaoleta story hapo wanatuwakilisha kabisa 😢😢 Mungu ni mwema 🙏
Pole sana esau na pole kwa yote huyu padri atakuwa ni mwamposa 😅davero ubarikiwe sana dada
Mwamposa anakuwaje padri sasa ?
Mwamposa sio padri
Ndio nini kimetokea? Apostle kuna muujiza hapa 🤔🤗
Dah sister vero hii dunia ni mtihani from Belgium
❤dada imenivusha sana hii simulizi jaman ,mungu akubariki sana
Jamani Veronica Kuna mda nasikiliza Hadi nahisi tupo live😅😅
Sis vero Asante kwakuakilisha story hii...Hakika wakati wa Mungu ndo wakati sahii tumuani yeye akuna kinacho mshida Essau ubarikiwe
Ndio maana wake waganga walisema kuna nguvu ndani yake maskini duuu Mungu mkubwa saana
😢😢😢daaah hakika tunajifunza mengi sana
YA RABBY ALIHAMNDULILLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu ni mwema na yuko karibu kuliko damu yetu
😢mmh
Mungu ni mwema
Glory be to God 🙏🤲
Mkasa mzuri sana,
Asanteeee sana.
Amina nimejifunza sana nitamtumikia Mungu siku zote hapa duniani
🙏🙏🙏🙏
Jamanii kama kuna siku nimehaha kama kuku anaetaka kutaga jinsi navochungulia
Aiyeeeeee 😊😊😊barikiwa da vero
Nakupnd 🥰
Mm mwenyewe ndoto zinatesa kwelikweli
Asante dada Vero, may God bless you
Hatimaee jaman
Asante Vero wng napenda saut yako💞💞
Da Vero hili tatizo la kututumia hadithi siku ya 365 litaisha lini??😢😢😢.nilijua lamuda tu kumbe limekuwa la kudumu🤔
Glory to God,big up kwako Vero❤
Finally mweeh
Asantee dada da vero
Shetani ana mikwara hana msaada bora alikataa angemtoa baba yake ingekuja zamu ya watoto wake
Simulizi nimsuri sana
Mungu ana nguvu sana🙏🏿
🙏🙏🙏🙏
Ewaaah essau karejea 😂
Thank you da Verooo
Hakuna mganga wakweli wote ni giza tu
Thank you GOD
Ameen 🙏🙏
Ila sijaelewa maana ulisema amefika shuleni Sasa ilikuwaje ikarudia tena
Imekatishwa hapo kati, nilisikuliza mojamoja alhamisi na ijumaa, hapa imekatishwa sana!
Jaman na mimi sasa nipo kama essau kwani nina tabia za ndoto nanikiota ndoto huwa zinakuwa za ukweli pia nakosa amani sio utani ninajifunza kitu hapa
Mtafute YESU atakuppnya ...Amen
❤❤❤🎉🎉🎉
👏
😘😘😘😘
Hakuna jambo linalo mshinda Mungu
AMINA KUBWA KABISA❤
Simulizi nimsuri sana
Sema simulizi nzuri sio msuri 😮