MAKONDA AMSIMAMISHA GWAJIMA AFUNGUKA KULIPA KISASI KWA ADUI ZAKE WOTE - VIDEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #makonda
    #ccm
    #has_billion

Комментарии • 354

  • @hbtv_hasbillion
    @hbtv_hasbillion  11 месяцев назад +2

    MMEIONA NA HII? ➡️➡️➡️ ruclips.net/video/On4Dkp3qbjY/видео.htmlsi=iaE_QvIZ9BiuHkrD

    • @dezderynzyungu1454
      @dezderynzyungu1454 11 месяцев назад

      Mbona cheo Cha kawaida, na watu kinao wamesha kuwa nacho. Anasemaje hatalipa kisasi? Anawezaje kumfuata mtu kama Mimi, au nhwajima, au hata mwana ccm mwenzake.. Sioni line of command yake Ina madhara vp Kwa watu.

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 11 месяцев назад +2

    kwamauwaji ya wapinzani wako na jpm umewaomba msamaa na watz umewaomba msamaa cloud media???

  • @paskomilesjohn5892
    @paskomilesjohn5892 11 месяцев назад +1

    Nyie ni HB TV ni waongo mbona gwajima hapo hayupo, acheni izo.. kwanini mnakua waongo tutashindwa kuwaamini na siku nyingine..

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 11 месяцев назад +1

    Kama ccm haibebwi na polisi basi mwacheni mbarikiwa Mwakipesile

  • @gimongesaid4233
    @gimongesaid4233 11 месяцев назад +1

    Kama unamtetea Firauni basi huna akili maana Firauni laana alikuwa muovu

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 11 месяцев назад +1

    Hizi media za kijinga hizi kichwa cha habari na habari havifanani

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 11 месяцев назад +1

    Hauna pumuzi wewe yakuiweza chadema

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 11 месяцев назад +6

    ❤❤❤❤katika maisha ukimtanguliza Mungu Ni ushindi wa ajabu ubarikiwe🎉🎉

  • @JonathanMaliaki
    @JonathanMaliaki 11 месяцев назад +1

    Acha unafki ww unasema huna kisasi wakati Ben saa nane mpaka leo hatujui alipo

  • @BatromeoJoseph-w1b
    @BatromeoJoseph-w1b 11 месяцев назад +1

    Hv huyo Mungu anae tajwatajwa na makonda ni Mungu wa aina gan?? Kwa upande wangu mimi siamin kama ni Mungu wa mbingu na ardh hapana mpaka kesho

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 11 месяцев назад +4

    Bakiza maneno usiongee yote mungu sio wa kwako tu

  • @mputaostin3077
    @mputaostin3077 11 месяцев назад +11

    makonda Mungu akubariki sana hayo ni matokeo wema uliyemtendea Ndg yangu Pascal cassian alipopata ajali. wema unaishi.

  • @CharlesMbise-c1u
    @CharlesMbise-c1u 11 месяцев назад +1

    Huyu si ndo yuleeeeeeeee wa kipindi kile kuivamia clouds fm?

  • @eligidiusmakaka9975
    @eligidiusmakaka9975 11 месяцев назад +2

    Chadema haijawahi kukosa mafuta inachokosa ni Tume huru na katiba mpya, ruhusu mchakato wa katiba na Tume huru tuone nani anasimamaimara na nani anapeoesuka.

  • @borcherwilliamborchert3090
    @borcherwilliamborchert3090 11 месяцев назад +1

    Kumbe atapigwa kilakona umechelewa sana. Umedandia treni Kwa mbele chama kimeoza rushwa kilakona..

  • @EliasLetema-s7l
    @EliasLetema-s7l 11 месяцев назад +1

    Unalolote nyieee waccm wanaona watu kama nyaniii

  • @Mohamedmustafa-z9t
    @Mohamedmustafa-z9t 10 месяцев назад

    Hiyo inaitwa
    " USIYEMPENDA KAJA "

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 11 месяцев назад

    Maneno " ATAPIGWA KILA KONA" Ni siasa uchwara.

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 11 месяцев назад

    NADHANI KUMPA MBOWE MAFUTA NI HABARI LKN WANGE ACHA MAJI WASHA WASHA NA MABOMU WAKATI WA MATOKEO YA UCHAGUZi
    Kuhesabu kura kuondoa mawakala kuengua wagombea waupinzani.wanainchi waachiwe kuchagua .kupita bila kupingwa isiwe kwa ccm tu

  • @irenengairo8225
    @irenengairo8225 11 месяцев назад

    Nivema angetumia udhaofu aliupata wakato uliopita kujirekebosha ingefaa xna

  • @seraphinjosephmboya3646
    @seraphinjosephmboya3646 10 месяцев назад

    Tangulini katibu mwenezi wa chama, ANAIAMURU serikali,, ? Kiongoz kama waziri mteule wa wananchi na raisi..?
    Wewe ni mteule tu hujapigiwa kura hata na wananchi.
    BASHITE NAKUPA UNABII.
    safari yako ya siasa ni fupi sana, utapotea na utaanguka kwa aibu.
    Aliyependejeza upewe hiyo nafasi alikutega upoteze iman na watu na mtego umeuvaa.. 😢😢😢

  • @seraphinjosephmboya3646
    @seraphinjosephmboya3646 10 месяцев назад

    Tangulini katibu mwenezi wa chama, ANAIAMURU serikali,, ? Kiongoz kama waziri mteule wa wananchi na raisi..?
    Wewe ni mteule tu hujapigiwa kura hata na wananchi.
    BASHITE NAKUPA UNABII.
    safari yako ya siasa ni fupi sana, utapotea na utaanguka kwa aibu.
    Aliyependejeza upewe hiyo nafasi alikutega upoteze iman na watu na mtego umeuvaa.. 😢😢😢

  • @wilsonkimaro-h3f
    @wilsonkimaro-h3f 11 месяцев назад +1

    NANI AWE MADARAKANI TUNAJUA SISI RAIA, KAMA CDM NIWATOA TAARIFA TUTAJUA MUDA SIIMREFU TUNAKAA GIZANI KAMA WEHU HALAFU UNADHUBUTU KUUONGEA HAYO WATZ WAKO NA MASHIDA MINGI UNATUAMBIA ELIMU BURE
    NAHISI CCM HAITAKIWI KUWA MADARAKANI HADI LEO HII

  • @harrywarren61
    @harrywarren61 11 месяцев назад

    😂😂😂 Mh apo sijaelewa wapeni vibali kumbe walinyimwa apo kama sijasikia vizuri walibaniwa vibari😂😂😂

  • @isayakazimoto3192
    @isayakazimoto3192 10 месяцев назад

    Mrudisheni sabaya serikalini hata yy alikuwa ni kiongozi shupavu

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 11 месяцев назад

    Apo Kwa kumchangia Mboe mafuta n'a kumpa uhuru nimekupa 5,hâta Mimi unanivutia Kwa Hoja hiyo

  • @musa-v3f
    @musa-v3f 11 месяцев назад +1

    CCM imekwisha sasa ktk watu wote Tanzania nzima wameona Bashite ndie anayefaa kuwaongoza?? mtu anayeishi kwa vyeti fake na utapeli mjini ..ni Aibu

  • @ombenipallangyo2627
    @ombenipallangyo2627 11 месяцев назад

    We acha kuanzisha fujo tuu,, ongea mambo Ya kujenga nchi. Hapo unakuwa kama Mtoto kweli ulikuwa umejificha Na hizo fujo hazikuwepo,, duu Masifa tuu

  • @JohnMmari-z7w
    @JohnMmari-z7w 6 месяцев назад

    Piga kaz ya watanzani viongoz wa chama wanachezea hela zetu.tunataka pesa zifanye kaz ya maendelewo.ķwa ujumla

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 11 месяцев назад +1

    Hakuna kitu hapo ccm ni ile ile

  • @kishosha_jr9849
    @kishosha_jr9849 11 месяцев назад

    Mbona title na kilichosemwa haiendani? Ninyi HB TV mna akili kweli? Ndo mnazani ni aina mojawapo ya kuvuta watu ili wafuatilie upumbavu wenu? Gwajima kwenye hiyo clip yupo wapi? Makonda kwenye hiyo clip kasema wapi ameahidi kulipa kisasi? Stupid, hopeless and nonsense media

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 11 месяцев назад +11

    Kweli kabisa hii ni sauti ya madhabahuni pa mungu

    • @LameckMbele-k3f
      @LameckMbele-k3f 11 месяцев назад

      Makonda ni yule yule taperi muuaji wa watu kwenye viroba fukweni mwa baharI

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 11 месяцев назад

      ​@@LameckMbele-k3funateseka ukiona hivyo na wewe ni muuaji

    • @MartinNdingo-bw6wt
      @MartinNdingo-bw6wt 11 месяцев назад

      Kweli. Jina mungu liogopwe

    • @MartinNdingo-bw6wt
      @MartinNdingo-bw6wt 11 месяцев назад

      Angalia yako

    • @MartinNdingo-bw6wt
      @MartinNdingo-bw6wt 11 месяцев назад

      Mtenda mema ajikwezi

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 11 месяцев назад

    Huyu Mtoto wa Hayati Dr Magufuli ndiye kwa sasa ataweza kukinusu Chama Chaguzi zijazo Ccm imeona mbali kumpata huyu Kijana

  • @jestinaluvanda-jm4tc
    @jestinaluvanda-jm4tc 11 месяцев назад

    Ameruhusu mikutano alafu wanamchamba tena😅😅

  • @JaffariBuyogera
    @JaffariBuyogera 11 месяцев назад

    Ukienda kwa mtindo huo sasa tutafika mbali hongera

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 11 месяцев назад

    Nimesoma comment nikabaki nacheka 😂 Umemw unakata kila siku, maji yanakata kama tanesco na dawasko wanashindana kukata, tozo kila kona wengi hawajui kwasababu hawafatilii na hawataki kujua. Kila sekta imebana halafu watu wanacomment madudu. Siasa mchezo..... 😂 Haya bana mimi simo nimeongea tu.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 11 месяцев назад

    Mchungaji bana hahahahahh. Mchamungu anasema unachagua mwenyewe kama unyenyekevu au rafu na uhuni 😮 au tukae mezani 😅😅😅😅😅😅

  • @AllymaMushehe
    @AllymaMushehe 11 месяцев назад

    Hakuna Chocho ujee ujionee kama raisi wananyasika fibaja mnoo

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 11 месяцев назад +1

    Ccm haina tena viongozi inaokota wakina bashite kuwa wasemaji😂

  • @kombomakame7576
    @kombomakame7576 11 месяцев назад +4

    Ukweli kaka yng makonda kama uliteleza basi ni ktk kukamilisha ubinaadam wko lakn siku zote nimekua naamini uwezo wko wa kiutendaji na nakuombea mungu akuongoze ktk majukumu yko....
    Taifa hujengwa kwa upendo

  • @SaidHamad-d3n
    @SaidHamad-d3n 11 месяцев назад

    Ama kweli ccm Haina dira huyu muhuni wamemresha kwenye madaraka tobaaa

  • @ClementVenance
    @ClementVenance 11 месяцев назад +3

    Wandishi angalieni mbona mnaweka Mambo ya gwajima

    • @ErominiTemba
      @ErominiTemba 11 месяцев назад

      Mama mkubuke sabaya Yuko vizur

  • @romaycer
    @romaycer 7 месяцев назад

    UHUNI MTUPU WATANZANIA TUNASAFARI NDEFU SANA YA MABADILIKO

  • @allanswai3620
    @allanswai3620 10 месяцев назад

    Kibali cha mikutano hakitolewi na polisi, bali kilisharolewa na katiba, polisi hupewa taarifa tu kwaajili ya kutoa ulinzi. Tujitambue na kuilinda katiba.

  • @SumaiyKassu
    @SumaiyKassu 11 месяцев назад

    Nadhan umejifunza kutokana na makosa uliyo yafanya😂

  • @VictorZimba-kg3xr
    @VictorZimba-kg3xr 11 месяцев назад

    Wanaccm wezangu tunashangilia nini hapo

  • @thc7542
    @thc7542 11 месяцев назад

    Kwani huyu jamaa anacheo gani? Atalipaje kisasi ata akiamua?

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946 11 месяцев назад +7

    Washetani dhahiri ,na WA mungu dhahiri kauli zako ndiyo hukumu yako, tubu mbele za mungu na watanzania

  • @EliahMbwama
    @EliahMbwama 11 месяцев назад

    Herazetu ndio mnazicheze hinvyo

  • @joycegeorge-mf5kn
    @joycegeorge-mf5kn 11 месяцев назад +4

    Huu ni unyenyekevu wa hali ya juu na Mungu akusaidie

  • @ThomasMankambila
    @ThomasMankambila 11 месяцев назад

    Unatudanganya usowako unaonyesha bado unajeuri ww hujuwi siasa kuwamakini usijar ukaboronga,gusta misingi na taratibu za chama na usiingize mambobinafsi

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 11 месяцев назад

    Awali Mungu amekuonya kwa kukalisha benji miaka mitatu, onyo la pili kwa ukaidi wako ni kifo, hata kwa ajali. Jifunze ubabe wa Magu umeishia wapi?

  • @johnrambo9642
    @johnrambo9642 11 месяцев назад

    Ninachomkubali huyu mwamba nijasiri anatema cheche kwa ujasiri sijawah kuacha kumkubali makonda hoieee kiufup uongoz anaujuaa tuache maneno meng najua kutawala

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 11 месяцев назад +9

    Mafanikio ya "...urefu wa kamba yake" leo nimeyaona. Daladala kituo cha kwanza cha kuwaachia trafiki polisi pesa ni Bandari, 2.polisi ufundi, 3. Sabasaba 4. Mtongani, 5. Mission. Kote huko konda ndiye anayekwenda kutoa PESA na si dereva, yeye hubakia amekaa. Mpaka tunamaliza pesa ya mwisho kabla ya Zakheim, konda machozi yanamlenga lenga. Bila soni polisi wanasimamisha kila dala dala. Hivi serikali ipo wapi? Kamera zinazoongelewa zipo wapi? Ccm mnajimaliza.

    • @hassanparamana2215
      @hassanparamana2215 11 месяцев назад

      kwann usiwarekodi urushe mtandaoni wajionee wenyewe viongozi nchi inavyo angushwa na baadhi ya watu na sio ccm watu kama hao waziri mkuu anawatafuta hao...embu tuwe na kitu cha kujiuliza mfano konda katoa pesa hivyo vituo ulivyo visema buku buku gari ina makosa kweli kwann asiandikiwe cheti yaani fine yenye risiti akalipia ndani ya 24 hrs kipi bora kuwapa wale polisi buku buku au kuichangia nchi yako mapato ktk sector ya barabara na kama ni kosa kubwa gari ipekwe kituoni au ndio mpaka afe mtu tena ndio roho nyeupe ausio kwasababu gari mbovu mtu anaileta road kisha anampa polisi buku ili apige round imepiga mzinga pale watu 7, 8 wamevuta sasa hapa tunairaumu ccm hapo unatakiwa kujiuliza kwann yule kakamatwa hana kosa gani??? 💪🇹🇿🇦🇪

  • @koroneljohnstone2009
    @koroneljohnstone2009 10 месяцев назад

    Kweli katibu wangu wa chama cha mapinduzi

  • @bwilumarigo
    @bwilumarigo 10 месяцев назад

    Kaka yako mbowe au baba yako acha sifa wewe bado wewe ni mtoto mdogo wewe

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 8 месяцев назад

    Ktkt vitu alivo fanya mama Samia nikutuletea makonda jembe lamajembe shoka lamashoka uyu ni mtume Toka mbingun

  • @ellychacha2417
    @ellychacha2417 10 месяцев назад

    Mbona huyu ndugu anakitu chakufanya nchini Mugu akutie nguvu

  • @SadatyIddy-i1v
    @SadatyIddy-i1v 10 месяцев назад

    Ww ufah kuwa kiongoz aliye kusapot ujinga wako amekufa leo unaongea hayo tabia yako haiwez badilika kamwe

  • @zakarialuhemeja4179
    @zakarialuhemeja4179 11 месяцев назад +4

    Tunakuthamini, Tunakuamini . Chapa kazi mafuta wapewe na uruke anga la juu kuliko uliyempatia mafuta

  • @josephsira1276
    @josephsira1276 11 месяцев назад

    Hhahàhahahahahahhaa cjawahi kukuelewa ww kabsa

  • @VedastusCharles-ge4zp
    @VedastusCharles-ge4zp 11 месяцев назад +4

    Mtu anaemjua Mungu hatakiwi kuongea habari za dharau wala humjui Mungu

  • @johnmilly2737
    @johnmilly2737 11 месяцев назад

    Mdomo wako unatamka huwezi lipa kisasi lakin sura yako inaonesha kuwa na hasira na watu flani, chondechonde tunaomba sana usije tumia madaraka yako kama fimbo ukumbuke cheo ni dhamana tu.

  • @evelynmsoma764
    @evelynmsoma764 10 месяцев назад +2

    Kwa kweli mbowe aruke,GLORY TO GOD,MAKONDA UBARIKIWE

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola7253 10 месяцев назад

    Kama kweli hambebwi na polisi na sheria, ebu kubalini mabadiliko ya katiba ili kupata katiba mya.

  • @reubenmwakalinga7362
    @reubenmwakalinga7362 10 месяцев назад

    Mpaka umetaja kisasi ni bayana kuwa unawaza na ukiwaza utatenda

  • @EliahMbwama
    @EliahMbwama 11 месяцев назад

    Kama mnatujari rekebisheni katiba

  • @evarestkway-md1qn
    @evarestkway-md1qn 11 месяцев назад

    Lkn musitumie bunduki mkamuua mbowe

  • @WilfredRweyemamu-rp5re
    @WilfredRweyemamu-rp5re 11 месяцев назад

    Bora pole pole anapointi za maana,huyu mmmmmm

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 11 месяцев назад

    Makonda aelekezwe maana ya uenezi kwenye chama

  • @leonardsanare6834
    @leonardsanare6834 11 месяцев назад

    Katika mtu anaekuwa kikwanzo na watu ni wewe wakati unakimbiakimbia Leo umesahau cyo cheo ni Cha mda tu endelea kumfuwatilia mbowe maana hata lissu unajuwa ishu yake ya kupikwa risass

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 11 месяцев назад

    Hapo kumsifia Samia ndo nakwazika

  • @JoyceKalago
    @JoyceKalago 10 месяцев назад

    Makonda anaongelea kwenye ulimi

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 11 месяцев назад

    KUWA KATIBU MWENEZI NDO AMSIMAMISHE GWAJIMA? 😂😂😂😂SIDHANI KAMA HIKI CHEO NI KIKUBWA KIASI HICHO

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 11 месяцев назад

    Wewe ni nani unaetoa maagizo serikarin

  • @killiankingDr
    @killiankingDr 10 месяцев назад

    Ni Mungu yupi huyo unayemzungumzia?

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 11 месяцев назад +1

    Kamuombe msamaha Lissu na familia ya waliopotezwa na ubashiti na unyama wako na aliyekuumba na huyu aliyekufufua

  • @joshuamwalusambo2391
    @joshuamwalusambo2391 11 месяцев назад +1

    Hamna hoja mna ubabe ,mnatuongoza kibabe

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 8 месяцев назад

    Ww nimtu wamungu baba achana nao hao mungu ndo anajua thamani yako

  • @jeremiahkavakule8354
    @jeremiahkavakule8354 11 месяцев назад +2

    Mama ikupendeza Sabaya muone Sabaya ni Jembe la CCM

  • @FelisterKisendi-yb7uj
    @FelisterKisendi-yb7uj 11 месяцев назад +7

    Hakuna siku Mungu ameiacha Tanzania na watu wake!

  • @myself4128
    @myself4128 11 месяцев назад +2

    Nasikitika sana Watu walivo wepesi wa Kusahau mapema!wanashangilia CCM tena yaani nchi ya wajinga sana hii,Makonda Muuaji mkubwa anashangiliwa! Yaani CCM imejaa Uozo mtupu sioni Jipya! Samia kamrudiaha makonda ili kuimarisha Fitina za Uchaguzi sababu Hakubaliki hatumtaki...Msiamini wanasiasa wanatumia dini kuwalaghai watu hawafai!!!!!!CCM hatuitakiiiiii

    • @rehemamlenga4937
      @rehemamlenga4937 10 месяцев назад

      Tupe ushahidi was maneno yako acha makasiriko ukweli unauma

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 11 месяцев назад +6

    Dizaini naona kama.kauli zako haziendani na mungu

  • @EmanuelMollel-i6u
    @EmanuelMollel-i6u 6 месяцев назад

    Tuko pamoja mtuu wa mungu😂😂😂😂

  • @saidchaula1947
    @saidchaula1947 10 месяцев назад

    Tapeli mwizi mwongo mwuwaji

  • @kamongosanga71
    @kamongosanga71 7 месяцев назад

    Mimi sielewi gajima apo kwenye maandishi Yana mana gani au ujinga wawandishi acheni sifa zaikijinga kiasi Leo ii una kisasi wasio kua nakumbukumbu nawewe ndio wata elewa ayo maneno

  • @catherineHenryMalila
    @catherineHenryMalila 11 месяцев назад +1

    Tatizo wewe unajiona kana kwamba ulikosewa...lakini kiukwili nawe umeumiza wengi...na suluhusho ni kuomba msamaha...kumbuka watu wakikuona na kukusikiliza wanakumbuka ulivyo waumiza...JITAHIDI KUTUMIA POLITE LANGUAGE...SASA KAMA WEWE NI MNYENYEKEVU CHUNGA KAULI ZAKO...

  • @robertulimboka9543
    @robertulimboka9543 11 месяцев назад +1

    Jitahidini kuwa welevu wazuri katika uandishi sio tu kwa kuwa mnataka views nyingi mnapotosha umma tite ya habari ni tofauti na content yenyewe husika mnajiharibia tutawaona waongo muda wote.

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 11 месяцев назад

    Daudi Albert bashite

  • @meryevance6744
    @meryevance6744 11 месяцев назад

    Analolote huyo muhuaji

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 11 месяцев назад

    Watu waliokufa juu yako vipi?

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 11 месяцев назад +1

    Achana na mbowe

  • @NestoryMakune
    @NestoryMakune 11 месяцев назад

    Hakuna kitu wewe ni mdhambi tu

  • @Blessedhopefamily
    @Blessedhopefamily 11 месяцев назад

    kuiagiza serikali inayohusika na vibali

  • @WABELOYA
    @WABELOYA 11 месяцев назад

    Unataka kuvuka mipaka hapo siyo patakatifu hapo.

  • @SlemanSalvador
    @SlemanSalvador 10 месяцев назад

    Naanza kukuelewa makonda

  • @simbamsonde4822
    @simbamsonde4822 11 месяцев назад

    namuomba magufuli dah

  • @johanessmwijage1192
    @johanessmwijage1192 11 месяцев назад +2

    Nafikiri nikwasabab watanzania na wasomi wote atujitambui maana maaendeleo ya siasa sio kuongozwa na chama kimoja mabadiliko yasiasa kwa faida ya watanzania wote nivyema kueko na haki ya kikatiba ili hamani tuzodi kuidumisha

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 11 месяцев назад +10

    Uko vizuri sana makonda Mungu akuinue saaaana

    • @eunicemaganga4350
      @eunicemaganga4350 11 месяцев назад

      Mungu aendelee kukutumia na ulinzi wake uwe juu yako nenda kwafanye ulichoitiwa na mwenyezi Mungu

  • @WilfredRweyemamu-rp5re
    @WilfredRweyemamu-rp5re 11 месяцев назад

    Hauna mamlaka hayo,wewe