Yanga 1-0 Namungo | Highlights | NBC premier League 20/09/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Goli pekee la Mudathir Yahya dakika ya 88 limeipa Yanga ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliochezwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.

Комментарии • 169

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Год назад +10

    mechi ilikua ngumu, ila kuna makosa wanayafanya YANGA wanapoteza chance nying sana, hata kwenye mchezo wa Al-Mereikh

  • @anordmedson9832
    @anordmedson9832 Год назад +12

    Leo kwanza mm nipewe maua yangu jaman like kwa Wana yanga plz

  • @motv3468
    @motv3468 Год назад +11

    Wakwanza kucoment naomba like 100

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 6 месяцев назад +2

    kocha wetu ana vibe na yuko Emotional ktk furaaha tyuu 😂😂 yaani akifunga anashangilia saafi saanaa aiseee🎉🎉🎉🎉🎉 Proffessor Nabi alikua hasmile mwanzo mpk mwisho wa Mechi😂😂😂

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j Год назад +5

    Namungo kuikazia yanga mnapoteza muda wenu bure hamwezi kuokota point yoyote mbele ya Yanga labda huko madundukani

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 Год назад +4

    kama unaipenda yanga gonga like hapa

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 Год назад +5

    Yaan Namungo wamepaki nyuma ili wazuie 5G tuu😂

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 Год назад +4

    Huyu golie wa namungo na mwaka jana alikua na mbwembwe hiz hiz mwisho wa sku akafungw😅😅

  • @Giant_Original
    @Giant_Original Год назад +5

    Yangaaa ipo juu juu sanaaaaaaa 9 point na badooo 📸📸📸⬆️⬆️🏆🏆🏆

  • @IBRAHIMPINDULA
    @IBRAHIMPINDULA Год назад +3

    Watasema sana na bado hawajaona

  • @motv3468
    @motv3468 Год назад +58

    Namungo wamefungwa wanaumia Simba . 😂

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 Год назад +4

    Unapicheza na Yanga.chakufanya ni kupunguza idadi yamagori utakayo fungwa.Ila Yanga kumfunga mtu nilazima.Ukiroga haitaweza kuwaroga wote maana hata shabiki waYanga akiwa nje anaweza kufunga vilevile.

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Год назад +6

    Mmebanaaa mmeachiaaaaaaaa

  • @allymkazi2775
    @allymkazi2775 Год назад +4

    Mikolo imenuuunaaa mishavu Kama mimba za panya

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 Год назад +6

    Hi namungo ya leo ingecheza na Simba ,Simba wangekufa nyingi😀

    • @storytime1204
      @storytime1204 Год назад +1

      Kwaiyo mmeikubali show yao

    • @dicksonmlibwa3661
      @dicksonmlibwa3661 Год назад

      Kwa vile yanga psg au

    • @storytime1204
      @storytime1204 Год назад

      @@missnaah4757 kwaiyo show ilikua Kali?😂😂Simba hajawah kua na wakati mgumu na namungo we fatilia tu, yanga ndio hua anateseka na namungo

    • @catherinejohn8909
      @catherinejohn8909 Год назад

      ​@@storytime1204kwakuwa tawi lenu ndiomana kichuya anawa......ila sisi hatujariiiii muhimu wabane point tunabeba nyambafu

  • @nicksonalfredy-gr6wn
    @nicksonalfredy-gr6wn Год назад +5

    Azizi funguo msimu huu niwamoto sana uyu mwamba

  • @stapinuswilliam860
    @stapinuswilliam860 Год назад +5

    Like kwa pass ya aziz k dadek

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Год назад

      Like inakusaidia nn ww sasa yan mashabik wa yanga kwel maandaz😂😂😂😂

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Год назад +2

    Tofaut ya yanga na namungo Jana ilikuwa Ni jez tu,kongole kaze umeifanya Kaz yako vzur,

  • @EradiusTumuombe
    @EradiusTumuombe Год назад +3

    Hingekua simba wangepigwa tat zilo

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 Год назад +4

    Apo mwanzo mtangazaji umetisha sana🤗

    • @Julitha-vs9ee
      @Julitha-vs9ee Год назад +1

      Nilijua unatangazwa na mwarabu hahaaaaa.....

  • @godfreyfredrickmbajo1147
    @godfreyfredrickmbajo1147 Год назад +7

    Pasi za ki aziz Ni Kama messi

  • @ChristopherClement-py8tf
    @ChristopherClement-py8tf Год назад +5

    simba walikuwa wanataka to draw

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Год назад +1

    Yanga wacheze V-pass! v-pass! v-pass! nyingi watafunga magoal mengi na pia waingie kwenye box ndipo wa shoot sababu kwenye box ni eneo la kujidai

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Год назад

      Ww unaweza kucheza v pass au mdomo tu😅😅😅😅

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl Год назад +3

    Mmh. Makolo. Wanahangaika. Na. YANGA. Wanaacha. Ya. Kwao. Tuacheni. YANGA. Yetu. Endeleeni. Na. Mambo. Yenu. Tuacheni. YANGA. Yetu. Kwani. Goli. 5. Point. 3. Goli. 1. Point. 3. Nini. Cha. Ajabu. Makolo. Mnaumia. Nini? Ngoma. Hujaalikwa. Wewe. Unaivalia. Kibwaya. Ina. Hu?

    • @innocenthaulee
      @innocenthaulee Год назад

      Ukute alieandika inahu ni mwanaume😅

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​@@innocenthauleeCHOOKO HUYO 😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      WEWE CHAKULAA BWABWA MCHELE MCHELE WEWE 😂😂😂😂😂 TOPOLOOOOOOO 😂😂

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 Год назад +1

    Huyu Aziz naye aambiwe sio kila mpira wakufungwa unapigwa shuti kubwa chopu mpira basi

  • @hajially4527
    @hajially4527 Год назад +5

    Yanga tunahangaika na mambo yetu ila jirani anaacha yake anahangaika na yanga

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 Год назад +2

    Yanga bingwa tena insha'Allah

  • @BulyControl
    @BulyControl Год назад +4

    Jamani hii ni yanga ama bacelona

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      HUO NI UTUMBO WA NGURUWE TU 😂😂😂

  • @sharifapazi3259
    @sharifapazi3259 Год назад +2

    Namungo noma mashab8ki wenu mewatoa kafara lkn mefungwa yanga kasafiri na mashab8ki zao Rwanda hakuna hata aliye vunjika mguu

  • @ShamsaSaidi-u9l
    @ShamsaSaidi-u9l Год назад +3

    Penda sana yanga yangu daima mbele nyuma mwiko

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      WEWE UNAPENDA YANGA AU UNAPENDA ULE MWIKO WA NYUMA 😂😂😂😂😂😂

  • @sungwasamson277
    @sungwasamson277 Год назад +1

    kama hamtaki kupost Bora muwe mnaacha kweli dakika 10 🤔🤔🤔🙄🙄🙄

  • @johamdia
    @johamdia Год назад +3

    Uyu yaoyao goli 1 asist 2 hatar

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Год назад +4

    Refarii aliwabeba saaaaana Namungo walistahiri kadi nyekundu

  • @asnatimwidin5443
    @asnatimwidin5443 Год назад +3

    Wamebana wameachia wenyewe

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +3

    Nyie mipasi ya yanga uwanjani ni maraha matupuu,na enjoy😂😂❤

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      UTANIPA ILE KITU NAMESA MWENSAKE??? 😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤

  • @Khamisasaa-x8i
    @Khamisasaa-x8i Год назад +2

    MAKOLO WANAFURAHIA NAMUNGO KUWA HAWAJAFUNGWA TANO

  • @JoshuaeliasLugwisha
    @JoshuaeliasLugwisha Год назад +1

    Nihatary juu ya hatary yanga Levi nyingine saizi

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Год назад +1

    Simba Yanga ikifungwa nafuu kwao.
    Na Yanga wakifungwa Simba ni nafuu.

  • @wtnyambizi9876
    @wtnyambizi9876 Год назад +2

    hio ya manyanya Red card kabisa dah

  • @EradiusTumuombe
    @EradiusTumuombe Год назад +2

    Yang nikikos kikubwa san wanayanga

  • @ElifadhiliMchome
    @ElifadhiliMchome Год назад +3

    🎉

  • @WilsonKihanga-jb5fb
    @WilsonKihanga-jb5fb Год назад +1

    Hivi kii azizi ana nini kwa kuwapa matobo wenzake😂😂😂

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Год назад +5

    Hizi timu ambazo wanapaki bus nyuma waache

  • @ShijaMinyalo-st5xy
    @ShijaMinyalo-st5xy Год назад +1

    Yaani mpaka waseme Kwa yanga hii watasema tu

  • @stanza_media
    @stanza_media Год назад +1

    Point 3 muhimu

  • @izvibez6823
    @izvibez6823 Год назад +1

    MUDA wa maajabu🐐

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 Год назад +1

    Jmn wachezaji walikuwa na uchovu wa Rwanda

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Год назад

      Acha uongo ww...uchovu ndio nn sasa...Rwanda hapo juu wangeenda uingereza je😂😂😂😂

  • @RashidDioniz
    @RashidDioniz Год назад +2

    Ukwel ndo huo

  • @HappyNgowi-ke6xv
    @HappyNgowi-ke6xv Год назад +1

    Bonge la goli

  • @kibokutiwanatanyika1540
    @kibokutiwanatanyika1540 Год назад +1

    Tujuane hapa kwa utofauti wa mashabiki wa mpira na mashabiki magoli wa upande wa pili vile🙈

  • @Khamisasaa-x8i
    @Khamisasaa-x8i Год назад +1

    MTABAKI HIVYO HIVYO TANO ZIKO WAPI ILA KIUKWELI MAKOLO MMEUMIA

  • @hajially4527
    @hajially4527 Год назад +2

    Mpaka mseme 😅😅😅

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Год назад +2

    Y❤❤❤nga 🎉

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +3

    Kupigwa apigwe namungo ,kulalamika alalamike Dunduka 😂😂iyi ni shida

    • @magrethyeremia2279
      @magrethyeremia2279 Год назад

      Yaaan wameumia saaaam saaana🤣🤣🤣🤣

    • @innocenthaulee
      @innocenthaulee Год назад

      Nyuma mwiko nan kalalamika😅

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​@@innocenthauleeSI WATUPE TU ILE KITU NAMESA MWENSAKE 😂😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤

    • @innocenthaulee
      @innocenthaulee Год назад +1

      @@salimmalaka256 kabisa kitu tope😅

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      @@innocenthaulee 😄 🤣 😂 😆

  • @nicolebitendelo1420
    @nicolebitendelo1420 Год назад +1

    💚💚💚💛💛💛💛

  • @abdallahbwanga2670
    @abdallahbwanga2670 Год назад +3

    Huna jipya aumie Sumba kwa lip

  • @JacklineManyama
    @JacklineManyama Год назад +2

    Namungo rough tu

  • @SteveAdam-j2g
    @SteveAdam-j2g Год назад +4

    Aziz K is on fire 🔥🔥🔥

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Год назад

    Wananchi wa Kaanga chips😅😅😅 yanga Vs namungo

  • @muna1165
    @muna1165 Год назад +1

    Bado hamja SEMA mpaka mseme

  • @MamuDar-eo6ys
    @MamuDar-eo6ys Год назад +3

    Asante chama langu yanga oyeee ila tumekosa mengi walikuwa na papara

    • @magrethyeremia2279
      @magrethyeremia2279 Год назад +2

      Kabisaaa ila hmna shida point tatu muhimu😂😂😂😂

    • @JeronimoSimon65
      @JeronimoSimon65 Год назад +2

      Wala sio papara, ila lazima uwasifie defenders wa Namungo. Wamefanya kazi yao vizuri. Ila uzuri wa team kubwa, kosa moja tu unaadhibiwa na team kubwa inashinda dakika yoyote kuanzia ya kwanza mpaka zile za nyongeza 😂

    • @catherinejohn8909
      @catherinejohn8909 Год назад +1

      ​@@magrethyeremia2279saana ndugu yangu muhimu points 3

  • @gwakisasimon14
    @gwakisasimon14 Год назад +1

    furaha yetu simba waumie

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Год назад +2

    KHAMSA ZIKO WAPI LWO?!🐸

  • @SalumAndallah
    @SalumAndallah Год назад +1

    Walidhani watuweza ,namungo hao 😅😅😅

  • @LightMeck-e8j
    @LightMeck-e8j Год назад +3

    Huyu aziz ki hilo tobo mmmh

  • @SILVANUSMAHANDA
    @SILVANUSMAHANDA Год назад +5

    Namungo hongereni sana kwa kuuvunja mnara wa 5G waliojigamba nao

  • @BrunoWaston-fx3yn
    @BrunoWaston-fx3yn Год назад +1

    Kwan vep

  • @CharlesLutandula
    @CharlesLutandula Год назад +1

    sasa hayomagoli yakowapi

  • @ShijaMinyalo-st5xy
    @ShijaMinyalo-st5xy Год назад

    Yaani mpaka waseme Kwa yanga hii watasema tu

  • @Khamisasaa-x8i
    @Khamisasaa-x8i Год назад

    WALIJUWA DROO NA AHADI ZENU MLIZO WAAHIDI HAMKUFANIKIWA MAKOLO NA WAMEUMIA

  • @yangacongosupporter6051
    @yangacongosupporter6051 Год назад +2

    Yanga champion

  • @Rbtzoff
    @Rbtzoff Год назад +1

    Nihuruma2 mana wana msiba namung

  • @Khamisasaa-x8i
    @Khamisasaa-x8i Год назад

    HATA MUWASAIDIE VIPI HATA MTIE MKONO VIPI POINT TATU MUHIMU

  • @nicksonalfredy-gr6wn
    @nicksonalfredy-gr6wn Год назад +1

    💚💚

  • @CharlesLutandula
    @CharlesLutandula Год назад +1

    nammeponea chupuchupu hamna timu

  • @mbarakapandu101
    @mbarakapandu101 Год назад +1

    Jamani eee yanga wachezaji wenzenu voo naona mnacheza rafu kama tumekuja vitani dah hatri hii

  • @azizambise
    @azizambise Год назад

    Mashoot ya ki jana hayakuwa yamoto km tulivyozoea

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Год назад

      Sasa unamwambia nani hapa...c umwambie mwnyw akoleze moto ili yasipoe tena😂😂😂😂

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 Год назад

    💚💚💚💚💚✍️

  • @bozbun3994
    @bozbun3994 Год назад

    Wamekazaaaa ...dah wamechemka mwishooooni

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 Год назад

    Mudathir anampigia kocha simu

  • @DeoMunezero-um7th
    @DeoMunezero-um7th Год назад

    Naipenda yanga

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +1

    Simba mtachongaa saaana goli Moja ni point mjue jmn

    • @JacksonLaizer-zv4se
      @JacksonLaizer-zv4se Год назад

      Mbna nyie utopolo ndio mnaimba simba kaumia ni wapi mlionea wakiumia

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      ​@@JacksonLaizer-zv4seHAO MATOPOLO NI MALAYA NA WASENGE HAWAACHI TABIA ZAO 😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      TOPOLOOOOOOO UTANIPA ILE KITU NAMESA MWENSAKE??? 😂😂😂😂😂

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 Год назад

    💚💛💚💛

  • @AkilahSiye
    @AkilahSiye Год назад

    😅😅😅 alloooooh hatar

  • @JeronimoSimon65
    @JeronimoSimon65 Год назад +1

    Kiko wapii😀

  • @JustineBukanu
    @JustineBukanu Год назад +3

    Yanga badosana kwaufungaji

    • @magrethyeremia2279
      @magrethyeremia2279 Год назад +1

      Bado tunajipangaaaaa

    • @ramadhanhemed9931
      @ramadhanhemed9931 Год назад

      Mech 3 goli 11. Unataka nn tena

    • @magrethyeremia2279
      @magrethyeremia2279 Год назад

      @@ramadhanhemed9931 yaan wanaumiaaaaa na badooo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      ​@@magrethyeremia2279KUMBE NYIE MKISEMA SIMBA MBOVU MNAKUWA MNAUMIAEE 😂😂😂MATOPOLOOOOO 😂😂😂

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Год назад

    Utopolo 5 namungo 0