Yanga 1-0 Namungo | Highlights | NBC premier League 20/09/2023
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Goli pekee la Mudathir Yahya dakika ya 88 limeipa Yanga ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliochezwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
mechi ilikua ngumu, ila kuna makosa wanayafanya YANGA wanapoteza chance nying sana, hata kwenye mchezo wa Al-Mereikh
Leo kwanza mm nipewe maua yangu jaman like kwa Wana yanga plz
Wakwanza kucoment naomba like 100
kocha wetu ana vibe na yuko Emotional ktk furaaha tyuu 😂😂 yaani akifunga anashangilia saafi saanaa aiseee🎉🎉🎉🎉🎉 Proffessor Nabi alikua hasmile mwanzo mpk mwisho wa Mechi😂😂😂
Namungo kuikazia yanga mnapoteza muda wenu bure hamwezi kuokota point yoyote mbele ya Yanga labda huko madundukani
kama unaipenda yanga gonga like hapa
Yaan Namungo wamepaki nyuma ili wazuie 5G tuu😂
Huyu golie wa namungo na mwaka jana alikua na mbwembwe hiz hiz mwisho wa sku akafungw😅😅
Yangaaa ipo juu juu sanaaaaaaa 9 point na badooo 📸📸📸⬆️⬆️🏆🏆🏆
Watasema sana na bado hawajaona
Namungo wamefungwa wanaumia Simba . 😂
Swadaqta
😂😂😂 yaan daaa
💚💛💛💛💚💚
Choko kweli ww
Apo. sasa
Unapicheza na Yanga.chakufanya ni kupunguza idadi yamagori utakayo fungwa.Ila Yanga kumfunga mtu nilazima.Ukiroga haitaweza kuwaroga wote maana hata shabiki waYanga akiwa nje anaweza kufunga vilevile.
MSHIRIKINA WEWE
@@salimmalaka256😂😂😂😂😂
Bwabwaja fc
Mmebanaaa mmeachiaaaaaaaa
Mikolo imenuuunaaa mishavu Kama mimba za panya
Hi namungo ya leo ingecheza na Simba ,Simba wangekufa nyingi😀
Kwaiyo mmeikubali show yao
Kwa vile yanga psg au
@@missnaah4757 kwaiyo show ilikua Kali?😂😂Simba hajawah kua na wakati mgumu na namungo we fatilia tu, yanga ndio hua anateseka na namungo
@@storytime1204kwakuwa tawi lenu ndiomana kichuya anawa......ila sisi hatujariiiii muhimu wabane point tunabeba nyambafu
Azizi funguo msimu huu niwamoto sana uyu mwamba
Like kwa pass ya aziz k dadek
Like inakusaidia nn ww sasa yan mashabik wa yanga kwel maandaz😂😂😂😂
Tofaut ya yanga na namungo Jana ilikuwa Ni jez tu,kongole kaze umeifanya Kaz yako vzur,
Hingekua simba wangepigwa tat zilo
Apo mwanzo mtangazaji umetisha sana🤗
Nilijua unatangazwa na mwarabu hahaaaaa.....
Pasi za ki aziz Ni Kama messi
Ikobwaz
Oya balaa
MESI WA RUFIJI KWA MZEE MPILI AU 😂😂😂😂😂😂😂😂
simba walikuwa wanataka to draw
UNA BASHA WAKO SIMBA KAKWAMBIA HIVO???
Yanga wacheze V-pass! v-pass! v-pass! nyingi watafunga magoal mengi na pia waingie kwenye box ndipo wa shoot sababu kwenye box ni eneo la kujidai
Ww unaweza kucheza v pass au mdomo tu😅😅😅😅
Mmh. Makolo. Wanahangaika. Na. YANGA. Wanaacha. Ya. Kwao. Tuacheni. YANGA. Yetu. Endeleeni. Na. Mambo. Yenu. Tuacheni. YANGA. Yetu. Kwani. Goli. 5. Point. 3. Goli. 1. Point. 3. Nini. Cha. Ajabu. Makolo. Mnaumia. Nini? Ngoma. Hujaalikwa. Wewe. Unaivalia. Kibwaya. Ina. Hu?
Ukute alieandika inahu ni mwanaume😅
@@innocenthauleeCHOOKO HUYO 😂😂😂
WEWE CHAKULAA BWABWA MCHELE MCHELE WEWE 😂😂😂😂😂 TOPOLOOOOOOO 😂😂
Huyu Aziz naye aambiwe sio kila mpira wakufungwa unapigwa shuti kubwa chopu mpira basi
Yanga tunahangaika na mambo yetu ila jirani anaacha yake anahangaika na yanga
Mambo hayawahusu wanahangaika saaana saaan,watachonga saaana
UTOPOLO MACHOOKO NYIE
Yanga bingwa tena insha'Allah
Jamani hii ni yanga ama bacelona
HUO NI UTUMBO WA NGURUWE TU 😂😂😂
Namungo noma mashab8ki wenu mewatoa kafara lkn mefungwa yanga kasafiri na mashab8ki zao Rwanda hakuna hata aliye vunjika mguu
Penda sana yanga yangu daima mbele nyuma mwiko
WEWE UNAPENDA YANGA AU UNAPENDA ULE MWIKO WA NYUMA 😂😂😂😂😂😂
kama hamtaki kupost Bora muwe mnaacha kweli dakika 10 🤔🤔🤔🙄🙄🙄
Uyu yaoyao goli 1 asist 2 hatar
Refarii aliwabeba saaaaana Namungo walistahiri kadi nyekundu
Wape ww sasa mchaw mmoja weeee
Wamebana wameachia wenyewe
Nyie mipasi ya yanga uwanjani ni maraha matupuu,na enjoy😂😂❤
UTANIPA ILE KITU NAMESA MWENSAKE??? 😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤
MAKOLO WANAFURAHIA NAMUNGO KUWA HAWAJAFUNGWA TANO
Nihatary juu ya hatary yanga Levi nyingine saizi
Simba Yanga ikifungwa nafuu kwao.
Na Yanga wakifungwa Simba ni nafuu.
hio ya manyanya Red card kabisa dah
Yang nikikos kikubwa san wanayanga
🎉
Hivi kii azizi ana nini kwa kuwapa matobo wenzake😂😂😂
Hizi timu ambazo wanapaki bus nyuma waache
Yaani baada wachenze mpira wanapaki bus
Na we paki baskel yako wivu tu😂😂😂😂
Yaani mpaka waseme Kwa yanga hii watasema tu
Point 3 muhimu
MUDA wa maajabu🐐
Jmn wachezaji walikuwa na uchovu wa Rwanda
Acha uongo ww...uchovu ndio nn sasa...Rwanda hapo juu wangeenda uingereza je😂😂😂😂
Ukwel ndo huo
Bonge la goli
Tujuane hapa kwa utofauti wa mashabiki wa mpira na mashabiki magoli wa upande wa pili vile🙈
MTABAKI HIVYO HIVYO TANO ZIKO WAPI ILA KIUKWELI MAKOLO MMEUMIA
Mpaka mseme 😅😅😅
Y❤❤❤nga 🎉
Kupigwa apigwe namungo ,kulalamika alalamike Dunduka 😂😂iyi ni shida
Yaaan wameumia saaaam saaana🤣🤣🤣🤣
Nyuma mwiko nan kalalamika😅
@@innocenthauleeSI WATUPE TU ILE KITU NAMESA MWENSAKE 😂😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤
@@salimmalaka256 kabisa kitu tope😅
@@innocenthaulee 😄 🤣 😂 😆
💚💚💚💛💛💛💛
Huna jipya aumie Sumba kwa lip
Namungo rough tu
Aziz K is on fire 🔥🔥🔥
Wananchi wa Kaanga chips😅😅😅 yanga Vs namungo
Bado hamja SEMA mpaka mseme
Asante chama langu yanga oyeee ila tumekosa mengi walikuwa na papara
Kabisaaa ila hmna shida point tatu muhimu😂😂😂😂
Wala sio papara, ila lazima uwasifie defenders wa Namungo. Wamefanya kazi yao vizuri. Ila uzuri wa team kubwa, kosa moja tu unaadhibiwa na team kubwa inashinda dakika yoyote kuanzia ya kwanza mpaka zile za nyongeza 😂
@@magrethyeremia2279saana ndugu yangu muhimu points 3
furaha yetu simba waumie
KHAMSA ZIKO WAPI LWO?!🐸
Points 3upo
Khamsa zinakuja kwako jiandae
😂😂 khamsa zmelala
Point 3. Ndo ushindani. Yanga inajipanga zaidi na mechi ya El merekh. Tuingie makundi.
Nyie mbon hamna
Walidhani watuweza ,namungo hao 😅😅😅
Wameloa wameloa 😂😂😂😂
Huyu aziz ki hilo tobo mmmh
Namungo hongereni sana kwa kuuvunja mnara wa 5G waliojigamba nao
Kesho una sare wewe
Aijalishi cha muhimu point 3
@@salmamlokela1987Leo hiyo? Muhimu point 3😅😅
Unaumia ukiwa wapi,point tati muhimuuuu
@@magrethyeremia2279akiwa msimbazi
Kwan vep
sasa hayomagoli yakowapi
Point 3
Unauliza magol point 3 ni muhimu
Yaani mpaka waseme Kwa yanga hii watasema tu
WALIJUWA DROO NA AHADI ZENU MLIZO WAAHIDI HAMKUFANIKIWA MAKOLO NA WAMEUMIA
Yanga champion
Nihuruma2 mana wana msiba namung
WANA MSIBA KAMA MAREKH??
HATA MUWASAIDIE VIPI HATA MTIE MKONO VIPI POINT TATU MUHIMU
💚💚
nammeponea chupuchupu hamna timu
Ww ndo una timu
@@salumhiyari8906TOPOLOOOOOOO ZOGO TU HAMNA TIMU
Jamani eee yanga wachezaji wenzenu voo naona mnacheza rafu kama tumekuja vitani dah hatri hii
Mashoot ya ki jana hayakuwa yamoto km tulivyozoea
Sasa unamwambia nani hapa...c umwambie mwnyw akoleze moto ili yasipoe tena😂😂😂😂
💚💚💚💚💚✍️
Wamekazaaaa ...dah wamechemka mwishooooni
Mudathir anampigia kocha simu
Naipenda yanga
Simba mtachongaa saaana goli Moja ni point mjue jmn
Mbna nyie utopolo ndio mnaimba simba kaumia ni wapi mlionea wakiumia
@@JacksonLaizer-zv4seHAO MATOPOLO NI MALAYA NA WASENGE HAWAACHI TABIA ZAO 😂😂😂😂😂
TOPOLOOOOOOO UTANIPA ILE KITU NAMESA MWENSAKE??? 😂😂😂😂😂
💚💛💚💛
😅😅😅 alloooooh hatar
Kiko wapii😀
Poit 3
Yanga badosana kwaufungaji
Bado tunajipangaaaaa
Mech 3 goli 11. Unataka nn tena
@@ramadhanhemed9931 yaan wanaumiaaaaa na badooo
@@magrethyeremia2279KUMBE NYIE MKISEMA SIMBA MBOVU MNAKUWA MNAUMIAEE 😂😂😂MATOPOLOOOOO 😂😂😂
Utopolo 5 namungo 0