Qadiria ahsateni kwa kaswaida yenye ujumbe na maadili mazuri Pia ahsante kiongozi FAKI kwa jitihada zako za kukuza vipaji vipya vya wasomaji wa kaswaida. MUNGU AWAJAALIE KILA LA KEHEIR
Mashaaallah!Wamejaaa tele wa sampulii hii mana raha ya ndoa ufurahi na mumeo,ila wakuta mume akirudi nyumbani watamani kuzimiaa kwa mdomoo teeeh,acheni kwenu pamoja na baadhi ya wanawake pia wapo
Jalibuni kubadili aidia ya uimbaji kaswida staili moja imetushosha nendeni na wakati hamuoni wenzetu Indonesia kaswida moja mahazi tofauti na kila muimbaji ataiimba kwa mauzo yake inapendeza sana badilikeni sio kila kaswida harusr harusi vitu viko vingi vya kuxungumzia
Wanaume badilikeni jaman kama wanawake jaman sijaziona like zenu
MASHALLAAH ujumbe umewafika wanaume wote wenye tabia hizo
hizi tabiya karibu nyumba zote zimeja mola ndie mwenye kutuongoza wa ume wake hali mojaa
Mm sina la kusema
MASHAA LLAH UJUMBE UMEWAFIKIA WALENGWA ALLAH AWAJAALIE NANYI MSIWE MIONGONI MWA HIZO TABI MLIZOSEMA AMEEN.
Nimeeipenda mana inanihusu
sijui kama mutakuja imba kaswida nzuri zaidi y hii
Kbs yaan wana kaswida nyingi lkn hii hatari
mashallah mashallah ujumbe mzur
daaah kweli kabisa wapo wengi sn japo so wote akiwa ndani kununa gubu akitok njee ndo huchek utasem alilazimishwa kuoa
Kwa hakika Masha Allah yani inafundisha kikweli maana ktk jamii zetu wamejaa wanaume dizaini hii, hongereni Aqaz
Maashaallah
Qasida Naiependa sana hii
kama uchoki kuangalia kama mm bac gonga like hpo plz
Ya re ya rere
Abubakar Aweche tutajitahid kuchunguza waume wa kutuoa
Hongeren sana kadiria kwa kutoa ujumbe mzito kwa waume wenye ngungu kma hao
Mume gubu imefunika mko juu walaah
Maa ShaaAllah 👍 v.nice song and dance.
Masha Allah mmependeza walahi wana aqaz mungu awalinde na husda za walimwengu aminiii
Mtingo mpya umetoka mwaka huu usipe bila 👍👍❤️💯💯
Mashaallah ujumbe kuntu maana kunawaume wamegeza wake zao kama watumwa
👍
Jamani wanaume wa Leo tusiwe na hasira.
Hasira hasara.
Safi sana ujumbe mzuri
Aqaz ni industry ya vipaji na mafunzo kupitia nashed👍
Mashallah wanajitahidi sana
Qadiria ahsateni kwa kaswaida yenye ujumbe na maadili mazuri
Pia ahsante kiongozi FAKI kwa jitihada zako za kukuza vipaji vipya vya wasomaji wa kaswaida.
MUNGU AWAJAALIE KILA LA KEHEIR
hongereni sanaaa kadiria kwaujumbe mzuri
jamani wanaume wengine wana zambi duu siyo kwa roho mbaya hizo mkeo tunda la moyo wako uwe na falaja ila unamfanya hivyo
Naipenda sana jaman funzo tosha kwa wanaume waelewa
Jama ujumbe kwa waume wenye magubu muache😀😀😀
Amina Hassani mumepata mdomo eee nitamleta Shehe nyundo sasaiv
Amina Hassani
Mashallah good Job 👏🥰🥰🙏👍🥰
Mashallah qaswida nzuri Sana 🕍🙏
Mimi nina miaka 28 sijaolew nawaogopa sana wanaume wanavowatesa wanawale 😢
Mashaallah Ujumbeh👌👌👌 Jazaqallah Khair Madrasat Qaidiria
Masha allah kaswida nzuri sana
Duuu Ahsanteni sana yaani wanaume wengine hawana hata huruma khaaaa!!!
Masha allah.. Haya jama wanaume tabia hii c nzuri tubadilike...
Asalamu aleykum mashallah kasida mashallah
Yaskitisha sana kenya wanaume wako hivyo hajui kuenzi familiya zao subhana Allah
0796500457
mashaallh
Mashallah kaswida nzuri na ujumbe wake unafundisha mume gubu🙏🙏
Ahsantu
Hakika mumeweza aki
Hongera kwa style yenu mmeiga vizuri michezo ya kiarabu sichoki kusikiliza na kutizama narudia rudia tu mpaka sabofa linakoma
Kama umepata mume bora kama mie piga like hapa🙏🙏🙏
Mashaaallah mola awazidishie
Nmeipendaaaaaaaah
Allha awajare maisha marfu
😙
N.a. mimi sichoki kuagalia
Mashaallah ujumbe mzuri
mashaallah lakin mbona ana gubu kweli inabidi tuchunguze waume watakao tuoa inshaallah 🙏🙏🙏
Hh sio sote wengine wapole
P
Mh ni kweli bana
Mashaallah walah raha😁😁😁
Mmecheza lkama waarabu
Kweli kabisas
Mashallah hellu wallah ..
Mashallah mashallah
Masha Allah mpo vizur
Mashaaallah!Wamejaaa tele wa sampulii hii mana raha ya ndoa ufurahi na mumeo,ila wakuta mume akirudi nyumbani watamani kuzimiaa kwa mdomoo teeeh,acheni kwenu pamoja na baadhi ya wanawake pia wapo
Mashallah ❤❤❤
Masha allah, mwenye anasema ni bidaa atuletee dalili zilizo za wazi ili tujue na sio kuiga tu, wallah aghalam
Haitham Abdallah mambo vp
naaam mashallah❤❤❤
Mashallah inafundisha sanaa
Naipenda xana kuiskiliza hii qaswida hongereni xana
Mashallah
Masha Allah masha Allah mungu awabariki nzidikuvindi sha jamiii
Mashaalla kazi nzuri ❤❤❤❤
🎉🎉❤❤🎉🎉
Ma sha Allah MUNGU awazidishie mpate kila lenye kheir mnalolitaka.napenda sana Qaswida zenu wana Qadiria❤
Marshaallah
Dada miaka 28 😢 hujaolewa unakasolo zako bali si kuogopa wanaume
Jaman wanaume wenye hiyo mijitabia muache mashaallah kaswida nzur sana sichoki kuiangalia
Vizuri Mungu Akujalirni
mashallah
Nice Utulivu sana ktk Qasida kuliko kurukaruka...safii
mashaaallah
MashaAllah MashaAllah Allah awazidishie umri Aqaz mzidi kutuelimisha... mijidume kama hii ipo tna weng sna
Masha Allah kweli wamefanya kazi inaoyo fundisha watu hongereni akazi
😆😆
Njaa a
Mm nimeipenda xan kwa kweli mmetenda haki!
Kama unaikumbuka kaxda ya PEKE YK CHUMWA kpnd hiko Fakih Mbarouk yupo mxitar wa nyuma wanaita bezi,gonga like ap
Waume jaman mtabdilika ama ndo ivoooo??
Mashaallaah Aqaz
Ujumbe umefika kwa waume 😊😊waume aya yacheni jamn
nmeipenda wallah waume wenye hzii tabia wafanye hima kuondoa
Yaaan bong la kiswid ..❤😂😂❤❤❤
mashaallah kwa burudan na elimu mnayoitoa allah awadumishe daima
Yaaan kwa africa mashariki hamna kama qadiria ujumbe mzur
Mashaallah gubu nalo kweli ujumbe umewapata mnaimani wakickiza aya watajifuza
Jalibuni kubadili aidia ya uimbaji kaswida staili moja imetushosha nendeni na wakati hamuoni wenzetu Indonesia kaswida moja mahazi tofauti na kila muimbaji ataiimba kwa mauzo yake inapendeza sana badilikeni sio kila kaswida harusr harusi vitu viko vingi vya kuxungumzia
Wataka waimbe style gan wew singeli au
mashallah.......imenitoa machzi...kazi nzr...
Mashaallah, asanteni sana hii noma
Jamn mshallh kaka mungu akuazid kukup uzim
Day sjui niseme nini haswa mnanikoxhaga ata nikiwa na hasira nikixkiliza tu kkaswida zenu bas nakua mpole
Peter Laurency hhahah wewe unakoshwa heee
Jazaqallahu kheri
mashaallah aqaz mp juu
mashallah inapndeza
Nikweliiii kabisaa sio tabia nzr kuwa na gubu si kwa waume hata kwa wakeee
Hongeren hongereni Sana waume kama Hawa wamejaaa kwahihiyo niujumbe maridhawa
Masha Allah
Machozi yamenilenga mno dah jamani ,sichok kuitazama kwa kwel.
Maashallah ujumbe umefika
mashaallah
Daah izo sauti za gong mpk moyn kbisaa😘😘
wahadha asallam slleykumu
Waume haya achen
Safi sana qadiria nawakubali sana
Kasda nzur mashallah, ila ustaz Hafidhi ni no 1 zanzibar
Sikweli
Sikweli
So kwl angalia sharire na bite hafidh wanapga ngoma
Mashaallah hakika kazi nzuri Allah awafanyie wepesi wa kila jambo haswa katika kazi zenu inshaallah
Mashaall Alaah kaswida nzr
Hongereni sana kaswida Nzuri nimeipenda
da wanaume wet muta elimiia hii inatosha
asalam aleykum sauda omary, km ushatumiw na me ntumie 0622 040364
mnaimba ya maana kweli kuliko wale waimbaji za mapenzi shukran.
Mashaallah
Mashallah qadiria Allah awajaze kila kher
Yaani mpka huruma wanaume badilikeni msiwe hivo wanawake ni walezi wenu kuweni na huruma dah
Nikuja kuakodi siku ya harusi yangu
Hongereni Sana wapnzi kileja nime wamiss hatari nawapenda sana on dey tuta onana c u
Mashaallah
Jamn hashi hamu wanaume wengin haw utu kun baadh wanajali
Nimeipenda sanaa
Maashallah