QADIRIA/MUMEGUBU OFFICIAL VIDEO 2019

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 авг 2024
  • #qadiria #aqaz #mumegubu #qaswidampya2019

Комментарии • 355

  • @meenameddy6287
    @meenameddy6287 4 года назад +5

    Wanaume badilikeni jaman kama wanawake jaman sijaziona like zenu

  • @rahmahassan3235
    @rahmahassan3235 4 года назад +4

    MASHALLAAH ujumbe umewafika wanaume wote wenye tabia hizo

  • @shuhaidaomar3347
    @shuhaidaomar3347 5 лет назад +26

    hizi tabiya karibu nyumba zote zimeja mola ndie mwenye kutuongoza wa ume wake hali mojaa

  • @scayroad8500
    @scayroad8500 5 лет назад +8

    MASHAA LLAH UJUMBE UMEWAFIKIA WALENGWA ALLAH AWAJAALIE NANYI MSIWE MIONGONI MWA HIZO TABI MLIZOSEMA AMEEN.

  • @bibiemohammed9524
    @bibiemohammed9524 4 года назад +5

    Nimeeipenda mana inanihusu

  • @NurdinKishik
    @NurdinKishik 5 лет назад +5

    sijui kama mutakuja imba kaswida nzuri zaidi y hii

    • @rehemabakali494
      @rehemabakali494 4 года назад

      Kbs yaan wana kaswida nyingi lkn hii hatari

  • @husnatissa5796
    @husnatissa5796 4 года назад +4

    mashallah mashallah ujumbe mzur

  • @nadiyakisho2178
    @nadiyakisho2178 5 лет назад +3

    daaah kweli kabisa wapo wengi sn japo so wote akiwa ndani kununa gubu akitok njee ndo huchek utasem alilazimishwa kuoa

  • @aishasaleh3727
    @aishasaleh3727 5 лет назад +29

    Kwa hakika Masha Allah yani inafundisha kikweli maana ktk jamii zetu wamejaa wanaume dizaini hii, hongereni Aqaz

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan89 4 года назад +2

    Qasida Naiependa sana hii

  • @abubakaraweche33
    @abubakaraweche33 5 лет назад +113

    kama uchoki kuangalia kama mm bac gonga like hpo plz

  • @maydashaineng9403
    @maydashaineng9403 4 года назад +4

    Masha Allah mmependeza walahi wana aqaz mungu awalinde na husda za walimwengu aminiii

  • @Bantushine_film
    @Bantushine_film 5 лет назад +6

    Mtingo mpya umetoka mwaka huu usipe bila 👍👍❤️💯💯

  • @nailatyahmad7298
    @nailatyahmad7298 5 лет назад +11

    Mashaallah ujumbe kuntu maana kunawaume wamegeza wake zao kama watumwa

  • @abdulrahmanturki4137
    @abdulrahmanturki4137 3 месяца назад

    Jamani wanaume wa Leo tusiwe na hasira.
    Hasira hasara.

  • @hajisalum3494
    @hajisalum3494 4 года назад +2

    Safi sana ujumbe mzuri

  • @salummkubwa
    @salummkubwa 5 лет назад +10

    Aqaz ni industry ya vipaji na mafunzo kupitia nashed👍

  • @fatmahaji1394
    @fatmahaji1394 4 года назад +3

    Mashallah wanajitahidi sana

  • @saidaliali634
    @saidaliali634 5 лет назад +4

    Qadiria ahsateni kwa kaswaida yenye ujumbe na maadili mazuri
    Pia ahsante kiongozi FAKI kwa jitihada zako za kukuza vipaji vipya vya wasomaji wa kaswaida.
    MUNGU AWAJAALIE KILA LA KEHEIR

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 5 лет назад +4

    jamani wanaume wengine wana zambi duu siyo kwa roho mbaya hizo mkeo tunda la moyo wako uwe na falaja ila unamfanya hivyo

  • @HahaHerman-tx1cf
    @HahaHerman-tx1cf 4 месяца назад

    Naipenda sana jaman funzo tosha kwa wanaume waelewa

  • @aminahassani2179
    @aminahassani2179 5 лет назад +9

    Jama ujumbe kwa waume wenye magubu muache😀😀😀

  • @mariammganga6607
    @mariammganga6607 4 года назад +3

    Mashallah good Job 👏🥰🥰🙏👍🥰

  • @zawiaUlotu-dr7kl
    @zawiaUlotu-dr7kl Год назад +1

    Mashallah qaswida nzuri Sana 🕍🙏

  • @fatumamahamed-g5f
    @fatumamahamed-g5f 27 дней назад

    Mimi nina miaka 28 sijaolew nawaogopa sana wanaume wanavowatesa wanawale 😢

  • @muskhabislamsalum382
    @muskhabislamsalum382 5 лет назад +4

    Mashaallah Ujumbeh👌👌👌 Jazaqallah Khair Madrasat Qaidiria

  • @ahlambadru4726
    @ahlambadru4726 5 лет назад +2

    Masha allah kaswida nzuri sana

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 5 лет назад +11

    Duuu Ahsanteni sana yaani wanaume wengine hawana hata huruma khaaaa!!!

  • @OmarAhmed-eq9rk
    @OmarAhmed-eq9rk 5 лет назад +29

    Masha allah.. Haya jama wanaume tabia hii c nzuri tubadilike...

    • @fatmamohammad9934
      @fatmamohammad9934 4 года назад

      Asalamu aleykum mashallah kasida mashallah

    • @naswihaali1028
      @naswihaali1028 4 года назад

      Yaskitisha sana kenya wanaume wako hivyo hajui kuenzi familiya zao subhana Allah

    • @naswihaali1028
      @naswihaali1028 4 года назад

      0796500457

  • @ashatabibu7951
    @ashatabibu7951 5 лет назад +4

    mashaallh

  • @hamidaissa4769
    @hamidaissa4769 5 лет назад +9

    Mashallah kaswida nzuri na ujumbe wake unafundisha mume gubu🙏🙏

  • @aishadulla7364
    @aishadulla7364 Год назад +1

    Hakika mumeweza aki

  • @ukhtyashurasakinamnyoti1786
    @ukhtyashurasakinamnyoti1786 5 лет назад +6

    Hongera kwa style yenu mmeiga vizuri michezo ya kiarabu sichoki kusikiliza na kutizama narudia rudia tu mpaka sabofa linakoma

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 лет назад +13

    Kama umepata mume bora kama mie piga like hapa🙏🙏🙏

  • @buitheawadhi8273
    @buitheawadhi8273 5 лет назад +4

    Mashaaallah mola awazidishie

  • @halimamusa7912
    @halimamusa7912 4 года назад +1

    Nmeipendaaaaaaaah

  • @ashajuma3150
    @ashajuma3150 5 лет назад +2

    Allha awajare maisha marfu

  • @marafundujenzi4315
    @marafundujenzi4315 5 лет назад +5

    N.a. mimi sichoki kuagalia

  • @pilikibwana9036
    @pilikibwana9036 5 лет назад +4

    Mashaallah ujumbe mzuri

  • @kidotifetty8929
    @kidotifetty8929 5 лет назад +33

    mashaallah lakin mbona ana gubu kweli inabidi tuchunguze waume watakao tuoa inshaallah 🙏🙏🙏

  • @asiaa5196
    @asiaa5196 5 лет назад +5

    Mashaallah walah raha😁😁😁

  • @alinaalina5044
    @alinaalina5044 Год назад +1

    Mmecheza lkama waarabu

  • @aishadulla7364
    @aishadulla7364 Год назад +1

    Kweli kabisas

  • @zuwenamohd4372
    @zuwenamohd4372 5 лет назад +7

    Mashallah hellu wallah ..

  • @saidahassan4953
    @saidahassan4953 5 лет назад +5

    Mashallah mashallah

  • @aminaissa484
    @aminaissa484 4 года назад +2

    Masha Allah mpo vizur

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 5 лет назад +7

    Mashaaallah!Wamejaaa tele wa sampulii hii mana raha ya ndoa ufurahi na mumeo,ila wakuta mume akirudi nyumbani watamani kuzimiaa kwa mdomoo teeeh,acheni kwenu pamoja na baadhi ya wanawake pia wapo

  • @kwekwetsuma3524
    @kwekwetsuma3524 10 месяцев назад +1

    Mashallah ❤❤❤

  • @haithamabdallah1699
    @haithamabdallah1699 5 лет назад +5

    Masha allah, mwenye anasema ni bidaa atuletee dalili zilizo za wazi ili tujue na sio kuiga tu, wallah aghalam

  • @halimams2127
    @halimams2127 4 года назад +2

    naaam mashallah❤❤❤

  • @yusufuhamad2625
    @yusufuhamad2625 4 года назад +1

    Mashallah inafundisha sanaa

  • @mwanamisaomar346
    @mwanamisaomar346 5 лет назад +3

    Naipenda xana kuiskiliza hii qaswida hongereni xana

  • @layasalim9969
    @layasalim9969 5 лет назад +4

    Mashallah

  • @faridaabdallah7620
    @faridaabdallah7620 5 лет назад +2

    Masha Allah masha Allah mungu awabariki nzidikuvindi sha jamiii

  • @NadzuwaAmina
    @NadzuwaAmina 2 месяца назад

    Mashaalla kazi nzuri ❤❤❤❤

  • @alimashaban6318
    @alimashaban6318 5 лет назад +3

    Ma sha Allah MUNGU awazidishie mpate kila lenye kheir mnalolitaka.napenda sana Qaswida zenu wana Qadiria❤

  • @sophiaangel6771
    @sophiaangel6771 4 года назад +2

    Marshaallah

  • @AnualiSamboni
    @AnualiSamboni 22 дня назад

    Dada miaka 28 😢 hujaolewa unakasolo zako bali si kuogopa wanaume

  • @amillahqueeen5586
    @amillahqueeen5586 4 года назад

    Jaman wanaume wenye hiyo mijitabia muache mashaallah kaswida nzur sana sichoki kuiangalia

  • @omarykhamis6567
    @omarykhamis6567 5 лет назад +4

    Vizuri Mungu Akujalirni

  • @rizikichitanda6583
    @rizikichitanda6583 4 года назад +4

    mashallah

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 5 лет назад +4

    Nice Utulivu sana ktk Qasida kuliko kurukaruka...safii

  • @neemagambere9987
    @neemagambere9987 4 года назад +2

    mashaaallah

  • @mesabendo7581
    @mesabendo7581 5 лет назад +8

    MashaAllah MashaAllah Allah awazidishie umri Aqaz mzidi kutuelimisha... mijidume kama hii ipo tna weng sna

  • @ramamambo4082
    @ramamambo4082 5 лет назад +12

    Kama unaikumbuka kaxda ya PEKE YK CHUMWA kpnd hiko Fakih Mbarouk yupo mxitar wa nyuma wanaita bezi,gonga like ap

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 5 лет назад +5

    Mashaallaah Aqaz

  • @hawahawa6915
    @hawahawa6915 4 года назад

    Ujumbe umefika kwa waume 😊😊waume aya yacheni jamn

  • @khartoumkhart4881
    @khartoumkhart4881 5 лет назад +3

    nmeipenda wallah waume wenye hzii tabia wafanye hima kuondoa

  • @MustafaKalele
    @MustafaKalele 5 месяцев назад

    Yaaan bong la kiswid ..❤😂😂❤❤❤

  • @aminaramadhan3778
    @aminaramadhan3778 5 лет назад +3

    mashaallah kwa burudan na elimu mnayoitoa allah awadumishe daima

  • @omarpandu5506
    @omarpandu5506 5 лет назад

    Yaaan kwa africa mashariki hamna kama qadiria ujumbe mzur

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 лет назад +1

    Mashaallah gubu nalo kweli ujumbe umewapata mnaimani wakickiza aya watajifuza

  • @saidmaulid7668
    @saidmaulid7668 4 года назад

    Jalibuni kubadili aidia ya uimbaji kaswida staili moja imetushosha nendeni na wakati hamuoni wenzetu Indonesia kaswida moja mahazi tofauti na kila muimbaji ataiimba kwa mauzo yake inapendeza sana badilikeni sio kila kaswida harusr harusi vitu viko vingi vya kuxungumzia

    • @Jamalybella
      @Jamalybella Месяц назад

      Wataka waimbe style gan wew singeli au

  • @saumujuma1385
    @saumujuma1385 5 лет назад +1

    mashallah.......imenitoa machzi...kazi nzr...

  • @ashuraali3099
    @ashuraali3099 5 лет назад +4

    Mashaallah, asanteni sana hii noma

  • @Asmini-xp5ld
    @Asmini-xp5ld 4 месяца назад

    Jamn mshallh kaka mungu akuazid kukup uzim

  • @peterlaurency2807
    @peterlaurency2807 5 лет назад +19

    Day sjui niseme nini haswa mnanikoxhaga ata nikiwa na hasira nikixkiliza tu kkaswida zenu bas nakua mpole

    • @alikhamic5983
      @alikhamic5983 5 лет назад

      Peter Laurency hhahah wewe unakoshwa heee

  • @zawadialfani3766
    @zawadialfani3766 4 года назад +3

    Jazaqallahu kheri

  • @aishaally9742
    @aishaally9742 4 года назад +2

    mashaallah aqaz mp juu

  • @nihifadhiabdul5211
    @nihifadhiabdul5211 5 лет назад +3

    mashallah inapndeza

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 5 лет назад +3

    Nikweliiii kabisaa sio tabia nzr kuwa na gubu si kwa waume hata kwa wakeee

    • @hidayaabdallah3341
      @hidayaabdallah3341 5 лет назад

      Hongeren hongereni Sana waume kama Hawa wamejaaa kwahihiyo niujumbe maridhawa

  • @aboumsouth6498
    @aboumsouth6498 4 года назад +2

    Masha Allah

  • @muniraabbas4752
    @muniraabbas4752 4 года назад +1

    Machozi yamenilenga mno dah jamani ,sichok kuitazama kwa kwel.

  • @ilyasmuhsin3285
    @ilyasmuhsin3285 5 лет назад +4

    Maashallah ujumbe umefika

  • @bahatihussen9089
    @bahatihussen9089 5 лет назад +5

    Daah izo sauti za gong mpk moyn kbisaa😘😘

  • @ashakhamis7207
    @ashakhamis7207 4 года назад

    Waume haya achen

  • @yussufmakame6396
    @yussufmakame6396 4 года назад

    Safi sana qadiria nawakubali sana

  • @muhamedmuva302
    @muhamedmuva302 5 лет назад +2

    Kasda nzur mashallah, ila ustaz Hafidhi ni no 1 zanzibar

  • @rashidikarisa8679
    @rashidikarisa8679 5 лет назад +7

    Mashaallah hakika kazi nzuri Allah awafanyie wepesi wa kila jambo haswa katika kazi zenu inshaallah

  • @omaniwomen7563
    @omaniwomen7563 4 года назад

    Mashaall Alaah kaswida nzr

  • @SaudaOmary-jr5tm
    @SaudaOmary-jr5tm 5 лет назад +2

    Hongereni sana kaswida Nzuri nimeipenda

    • @rehemamichael5288
      @rehemamichael5288 5 лет назад

      da wanaume wet muta elimiia hii inatosha

    • @zulfajuma9897
      @zulfajuma9897 5 лет назад

      asalam aleykum sauda omary, km ushatumiw na me ntumie 0622 040364

  • @allyferej8654
    @allyferej8654 4 года назад

    mnaimba ya maana kweli kuliko wale waimbaji za mapenzi shukran.

  • @mamahidaya9566
    @mamahidaya9566 Год назад +2

    Mashaallah

  • @rukiarubwa7094
    @rukiarubwa7094 4 года назад

    Mashallah qadiria Allah awajaze kila kher

  • @rasykizanjbari4996
    @rasykizanjbari4996 4 года назад

    Yaani mpka huruma wanaume badilikeni msiwe hivo wanawake ni walezi wenu kuweni na huruma dah

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa1069 5 лет назад +5

    Nikuja kuakodi siku ya harusi yangu

  • @salamasharif9702
    @salamasharif9702 5 лет назад +6

    Hongereni Sana wapnzi kileja nime wamiss hatari nawapenda sana on dey tuta onana c u

  • @Asmini-xp5ld
    @Asmini-xp5ld 2 месяца назад

    Jamn hashi hamu wanaume wengin haw utu kun baadh wanajali

  • @sadaathumani3099
    @sadaathumani3099 5 лет назад +2

    Nimeipenda sanaa

  • @JusminAbdhuli-tf5ep
    @JusminAbdhuli-tf5ep Год назад +1

    Maashallah