QADIRIA/KHUTBA YA NDOA OFFICIAL VIDEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 274

  • @HidayaOmar-l4k
    @HidayaOmar-l4k 5 дней назад

    Nyinyi wawili mkikaa pamoja mnapendeza sana na mnafanya vizuri sana lakini juma wewe si mchezo uko juu sana mashaallah mashaallah

  • @SakinaHabibu-n1o
    @SakinaHabibu-n1o 17 дней назад

    Mashaalah naipenda sana hii kaswida

  • @willywillium1273
    @willywillium1273 Год назад

    I wish inshaallaah siku moja nita jiunga qadiriya inshaallaah

  • @saidikingazi1995
    @saidikingazi1995 5 лет назад +6

    Yani qaswida imepangiliwa maneno yalioenda shule hakika mnajua maostadh zangu allah awanongoze katika kuelimisha umma allahumma aamiyn.

  • @NasmaahMahadhi-k6x
    @NasmaahMahadhi-k6x 2 месяца назад +1

    Natak kuuliza ndoa bila ya sheh ndoa afungisha babu mzaa baba amuuliz mwaaum umekubal ajib ndiy aulizwa mwanamk ajib ndiy Mar moj Kish aseme ndoa teal ishapit inahesabik ndoa au sio ndoa

  • @hadijabgapsanauyomamaamiri6381
    @hadijabgapsanauyomamaamiri6381 2 года назад

    kaz nzur manshallah mungu awaongoze nawapenda kwa ajili ya allah

  • @saidaliali634
    @saidaliali634 5 лет назад +4

    MASHALLHA KWA WALE WANANDOA INA UJMBE MKUBWA HII KASWAIDA AMAKWELI QADIRIA IPO KWA AJILI YA KUELIMISHA JAMII
    AHSANTE KIONGOZI FAKI & JUMA

  • @mariammganga6607
    @mariammganga6607 5 лет назад +6

    Mashallah SHEkHE Juma and SHEkHE Fakhu♥️👍🙏❤️

  • @HamadMwalim
    @HamadMwalim 24 дня назад

    Masha Allah alhamdulillah kaz mzur

  • @hassandarwesh641
    @hassandarwesh641 5 лет назад +3

    Allah Akbar wallah raha hongereni kwa burdani iliy beba ujumb mzitoo. aaaah (no meng sihabaaa)

  • @habibahamiss707
    @habibahamiss707 5 лет назад +3

    ❤❤❤❤ maa shaa Allah maa shaa Allah maa shaa Allah maa shaa Allah qaswida nzuri sana 👌👌👌👌👌👌😗😗😗😗😗😗💞💞💞💞💞💞😍😍😍😍

  • @abdulrahmanturki4137
    @abdulrahmanturki4137 Год назад

    Qadiria mambo Ni mazuri.
    Muimbaji Ana sauti powa.

  • @shaibunassirbakar2998
    @shaibunassirbakar2998 Год назад

    Mzur sana mupo vizir ndugu zangu

  • @maryammoj152
    @maryammoj152 4 года назад +1

    Nakukubali sn ujumbe umetufikiya mashaallah mashaallah

  • @Popo-nc8ig
    @Popo-nc8ig 7 месяцев назад

    Mashaallah nawapenda kwa ajili ya Allah ❤️

  • @mishinjama6684
    @mishinjama6684 3 года назад

    Mashaallah... qaswida nzuri xna ya mafunzo

  • @fathumramadhan7567
    @fathumramadhan7567 4 года назад +2

    Masha Allah yani sikosi kila siku kuisikiza mashahiri mazuri Alf mabrouk ❤️❤️❤️❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mudkhamis3078
    @mudkhamis3078 5 лет назад +4

    Maashallah, we juma hivi ilo koromeo lako likoje mbona kama la ajabu, dahh we hatari sna

  • @kassimallysharif6308
    @kassimallysharif6308 5 лет назад +4

    juma nakukubali sana kasida zako .unatisha sana ongeza juhud ili uwe juu zaidi ya ulipo

  • @habarikazanzibar3667
    @habarikazanzibar3667 5 лет назад +5

    Ma Sha Allah
    Kimya kingi kimeonekana maana yake, Ujumbe mumeupangilia AQAZ

  • @chidychidy5507
    @chidychidy5507 3 года назад +1

    Mashallah dah natama muda wote niangalie

  • @kakamkubwa9848
    @kakamkubwa9848 5 лет назад +2

    Sijui ata niwape tunzo gani naona kila ntayowapa haitofaa itakua ni ndogo kwa jitihada munayotufanyia ila bora niwaombe kwa Allah awape kila la kheri na awafanyie wepesi juu ya kazi zenu.... Mashallah uongozi wote wa Aqaz & Qadiria na pia niwapongeze wale waliofanikisha kazi zenu....

  • @nihifadhiabdul5211
    @nihifadhiabdul5211 5 лет назад +1

    mashallah nawapenda qadiria kwa kaswida zenu zina ujumbe ndan yke

  • @rijatiyahaya9643
    @rijatiyahaya9643 3 года назад

    Mashaallah hongereni sana kwa kz nzuri ya madili ya ndoa💞💞💞

  • @zobidaal4423
    @zobidaal4423 4 года назад +2

    Masha Allah kasda nzuri na inaujumbe mzuri sana asante ustadhi Juma Faki ujumbe umeshawafikia wanandoa kaz kwao waufanyie kazi

  • @DullaHamadi
    @DullaHamadi 4 месяца назад

    Kwa kwely kila nnapo skiaa kasd hii namkubuka snna marehem Bekka Thabit Allha amrehemu ananiliza sna Allha masamehe

  • @alikhatibshehe4764
    @alikhatibshehe4764 2 года назад

    Kazi inaenda tuu mpk leo

  • @ashuraali3099
    @ashuraali3099 5 лет назад +6

    Mashaallah, aqaz hamuna mpinzani

  • @jumakhamis5448
    @jumakhamis5448 5 лет назад +4

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 Mashallah Mashallah Mashallah Allahummaswalli wassalim wabarik alaih daaiman abadah

  • @abdul-azizally9952
    @abdul-azizally9952 5 лет назад +3

    Ahsante sheikh juma na swahib wako sheikh fak

  • @tibud9109
    @tibud9109 5 лет назад +4

    Mashaallah aqaz mnatishaaaaaaaaa

  • @mchamcha3431
    @mchamcha3431 4 года назад +1

    Nzuri Sana team Aqaz

  • @ZongaPingu-cv5fk
    @ZongaPingu-cv5fk 7 месяцев назад +1

    Kikweli mm nawashangaa wanao badili maadili ya kasida kuzifanya tarab ila sio vzr turudi kwenye mila zetu mifano tuna inayona kwa ustadh juma

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 5 лет назад +4

    mashaa Alla Qaswida nzuli nimeipenda mashaa Alla

  • @tatotambwe6085
    @tatotambwe6085 4 года назад +1

    Barak allah fy kuma

  • @chidychidy5507
    @chidychidy5507 3 года назад +1

    Qaswida nzur mashallah aqaz

  • @fatmakhamis8605
    @fatmakhamis8605 3 года назад +1

    Aloo juma tutakuwa hatuswali jmni kwa unavyoimba yaan Allah kakupa kipaji

  • @nailatyahmad7298
    @nailatyahmad7298 5 лет назад +1

    mashaallah maashaallah wallah mnaweza na ninawapenda kwajili ya Allah

  • @TwalaaTaib
    @TwalaaTaib 5 месяцев назад

    Allah akuzidishi mashairi mzuri sana MashaAllah ustadth juma Faki Mabruk Frm Kenya

  • @yakoubvpmohd9727
    @yakoubvpmohd9727 3 года назад +1

    Mashaallah allah awabaarik kwa kz kbw muliyoifanya

  • @hassankofa1234
    @hassankofa1234 2 года назад +2

    ما شاء الله أدام الله فيكم الخير في العلم

  • @SafinaAbbas-es6ox
    @SafinaAbbas-es6ox 8 месяцев назад +1

  • @binnyangemedia1
    @binnyangemedia1 5 лет назад

    Boss MVP hapa naomba nipigie au nitumie noyako tuongee

  • @issamohd9955
    @issamohd9955 5 лет назад +1

    Mashaallah nimeipenda sanaa hii kaswida

  • @ZuuAbuu-q1g
    @ZuuAbuu-q1g 11 месяцев назад +1

    Mashaallah ❤❤

  • @nassorrashid2857
    @nassorrashid2857 3 года назад +1

    Ndio burdan zangu nyumban kwangu kawsida za aqaz maana wamekamilika kila sector

  • @mrsmohammadnguche4165
    @mrsmohammadnguche4165 5 лет назад +3

    Mashaallah zenjibari ntakuja sikumoja kujakutembelea hicho chuo in shaaallah

  • @chidychidy5507
    @chidychidy5507 3 года назад +1

    Allah awajalie saan aqaz

  • @ashamrutu7217
    @ashamrutu7217 5 лет назад +4

    Mashaallah ujumbe mzuri sana.

  • @sleyymmaha6697
    @sleyymmaha6697 3 года назад

    Ahsante kwa ujumbe

  • @mudathirsaid872
    @mudathirsaid872 4 года назад

    Hii kasida naipenda kuliko iko p Sana .

  • @nurdinmkilisi9402
    @nurdinmkilisi9402 Год назад

    Andika jina la huyo ustaazi utaziona

  • @monatomamonatoma3308
    @monatomamonatoma3308 2 года назад

    Mashallah mashallah kwa hutba ya ndoaimetulia

  • @salumali7031
    @salumali7031 4 года назад +1

    Unajua mabroo mko saw sana na mumshkuru mpga beat wenu jamaa yuko swa sanaaaa then we jamaa unajua mana una melody za kaswida big up

  • @Aminahamad-pm8rv
    @Aminahamad-pm8rv 10 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @AzimaraShabani
    @AzimaraShabani Год назад

    ❤❤❤❤❤ napenda san

  • @bubbleminho9092
    @bubbleminho9092 5 лет назад +4

    Mashaa Allah 💜💜💜kasida nzuri Mashaa Allah

  • @hamadsaidi4902
    @hamadsaidi4902 5 лет назад +3

    Hongera fundi

  • @mohdmwarab7707
    @mohdmwarab7707 Год назад

    Kazi nzur mashaallah

  • @jumakhamis5448
    @jumakhamis5448 5 лет назад +2

    Yaani hii ni qasda imetisha hatari Juma na Faki Allah awahifadhi na waislamu Wote wa Zanzibar mzidi kutupa nashdi zenye kutufunza Sana. Allah atubarik sote. Napenda kuwaanasihi waislam kuwaunga mkono wanaqadiria

    • @hamidjuma4621
      @hamidjuma4621 5 лет назад +1

      Ndugu yngu habar yko, mi ningekushauri kwanza ukapata mda kujua ni nn nasheed na nn musiki kwaio jitahid ulitafte hilo kwanza ...... Maana hii haina tofaut na tetema ya diamond maana kna musiki na kule upo ule ule huku kidogo hamna wanawake wliokaa uchi!!

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 лет назад

      Hamid B sasa umeijuaje tetema?unaamrisha mema wasahau nafsi yako?

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 лет назад

      Hamid B na huku umekuja kufanyje naona na wew umo

    • @hamidjuma4621
      @hamidjuma4621 5 лет назад

      @@aliyomar9140 najaribu kuweka sawa kwamba tusijidanganye kua kuna utofaut wa hapa na tetema.....

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 лет назад +1

      Hamid B Allah atubaarik

  • @yunussally8233
    @yunussally8233 4 года назад

    Yani kama na mimi vile nipo napenda cana kaswid mama mpemba

  • @AbdillahDante
    @AbdillahDante 5 месяцев назад

    Nakubal kaz iyo imeend shulee

  • @abdoolshakuruswalehe546
    @abdoolshakuruswalehe546 3 месяца назад

    Nimekuja Mara moja hapa leo 2024 mwez July, nimeimis hii qaswida

    • @HassaniAbdi-l6c
      @HassaniAbdi-l6c 2 месяца назад

      Jamn mm hii naipenda San qaswida hii aaah🤲🙏

  • @alikhatibshehe4764
    @alikhatibshehe4764 2 года назад

    Kazi nzuri

  • @fatmambaraka43
    @fatmambaraka43 4 года назад

    Allah awazidishie mutuelimishe na sisi tukiingia ndoani tuingie kwa kheir

  • @bugahamada4300
    @bugahamada4300 5 лет назад +2

    big up aqaz mupo juu sana

  • @idatali3897
    @idatali3897 5 лет назад +1

    Nice imependeza kwl

  • @ibrahimodoii9693
    @ibrahimodoii9693 2 года назад

    Asante for this

  • @angelanjila3185
    @angelanjila3185 5 лет назад +1

    Masha allah hongereni kwakz nzur

  • @hidayabura8575
    @hidayabura8575 4 года назад +1

    Mashaallah kaswida nzur sana

  • @mishg6483
    @mishg6483 5 лет назад +1

    Mashaallah mko vizur hasaaaaaaaa

  • @JusminAbdhuli-tf5ep
    @JusminAbdhuli-tf5ep Год назад +1

    Mashallah tabarakallah

  • @SalmaSalum-d7z
    @SalmaSalum-d7z 4 месяца назад

    Ukhty dida

  • @faridajuma881
    @faridajuma881 4 года назад +1

    Asante sana ustadhi juma

  • @Fadhili-x6g
    @Fadhili-x6g Год назад

    Ama kwa hakika nimepata funzo kweli

  • @qal6469
    @qal6469 3 года назад

    Masha Allah barakallahu fiik wajazakallahu khair

  • @SaeedBakari-vt9il
    @SaeedBakari-vt9il 7 месяцев назад

    Maaaashallah😊

  • @youmnaaboubakar9671
    @youmnaaboubakar9671 5 лет назад +2

    AQZA MASAALLAH KWAKWELII MAMBO NI🔥🔥🔥🔥

  • @QwieeenamaranthiniTanzania
    @QwieeenamaranthiniTanzania 4 месяца назад

    Manshallah ❤

  • @shakilaseif3510
    @shakilaseif3510 5 лет назад +1

    Masha allah nimeipenda sanaaa

  • @abdirahman7321
    @abdirahman7321 4 года назад +3

    May the blessings of the Almighty shower on you...well read...it sound great

    • @maryamnice3205
      @maryamnice3205 4 года назад

      Mashaallh mungu Azidi kuwapa nguvu

    • @mubamikur4941
      @mubamikur4941 2 года назад

      Mashalhaa alha awape elimu zaidi yahy

  • @fatumabaruti1134
    @fatumabaruti1134 Год назад

    Mashaallah Mashaallah

  • @kwekwetsuma3524
    @kwekwetsuma3524 Год назад

    Mashallah ❤❤❤❤

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 5 лет назад +3

    Wamejitahidi kidogo ila mambo hayanogi tanzania one hayupo sheikh HAFIDH tukitaka tusitake

    • @uweismohammed6959
      @uweismohammed6959 5 лет назад +1

      Sikweli

    • @shehahamad8156
      @shehahamad8156 5 лет назад

      Yaani nyinyi hamna mpizani kwakweli Qasida nzuri na ujumbe mzuri

    • @mudkhamis3078
      @mudkhamis3078 5 лет назад

      Kila m1 naufundi wake ila aqaz kwangu asa wako juu, kwa7b wasomaji wake wanauwezo wakusoma kitu usichoweza kukiigizia na uo ndoufundi ila hafidhi hana atakaposoma mimi nisiweze kumuigizia utofauti itakuwa ni sauti tu yeye atakuwa na sauti yke namimi nitakuwa na sauti yang, lkn kiongizi fak au juma fak sio utofauti wa sauti tu hata kuigizia nitashindwa km ataamua kutaka kusoma ili nishindwe uwezo uo hafidh hana na uo ndoufudi wa hali ya juu

    • @mudkhamis3078
      @mudkhamis3078 5 лет назад

      Tuna no yko ya whatsap kuna qaswida nikurushie ikisha ww mwenyewe utakubali haya maneno yngu kuwa kwa kiwango chake wako km yeye mana naamini wewe utabisha na kusema ni hafidhi kumbe wala si hafidhi asaa, jamaa kila kitu km hafidhi kuanzia usomaji mpaka sauti hakuna tofauti

    • @mindiathuman8778
      @mindiathuman8778 4 года назад

      Mud Khamis nirushie nami whatsaap0746537880

  • @khartoumkhart4881
    @khartoumkhart4881 5 лет назад +1

    mashaa allah aqaz nawapenda bure wallah

  • @bintykigan7014
    @bintykigan7014 5 лет назад +1

    Mashaa Allah Aqaz

  • @bintichausa4744
    @bintichausa4744 5 лет назад +1

    MashaaAllah ujumbe mzuri san

  • @Armsdady
    @Armsdady 5 лет назад +3

    Jamn kuna kaswida naiomba cjui kwa jina inaitwaj alisoma ust Salim rashid kuna kibwagizo kinasema wanaqadiria tumejawa na faraja jamn anaeijuia aniambie jina la hio qaswida plz

  • @ZongaPingu-cv5fk
    @ZongaPingu-cv5fk 7 месяцев назад

    Kswida nzuri

  • @aminhakhamisi7742
    @aminhakhamisi7742 5 лет назад +1

    mashaallah napenda qaswidah zenu sjw nazipataj audio zake

  • @pp1153
    @pp1153 5 лет назад +1

    Iko sawa ❤❤❤👏👏👏

  • @suleimanmwalimu3018
    @suleimanmwalimu3018 5 лет назад +2

    walio wengi wanaipenda sana bidaa zama hizi za sasa

    • @azizially1592
      @azizially1592 5 лет назад

      Suleiman Mwalimu Ni kweli kabisa maneno yako kwa sababu dini hatuna kabisa katika mioyo yetu tumebakiwa na dini ya baba ni muislam na mm ni muislam

  • @hamisiramadhan3010
    @hamisiramadhan3010 3 года назад

    Jazakumullahulkhayrah

  • @tumadhraiddyomary9716
    @tumadhraiddyomary9716 5 лет назад +3

    Hongera ustadh Juma na Fakih mashallah mukovizur yaan daaah 😍😍😍😍😍😍

  • @ramadhanikola3899
    @ramadhanikola3899 5 лет назад +1

    swadactor hery ziende kwao

  • @rashidsalum1569
    @rashidsalum1569 5 лет назад +2

    qasida iko poa jamani

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 года назад

    Hii ndio Zanzibar braha kama zotee

  • @fadhililigome2342
    @fadhililigome2342 2 года назад

    Good job

  • @mussamole1168
    @mussamole1168 5 лет назад

    Hongereni sana kazi nzuri sanaaaaaaaaaaaaaa

  • @JAMILAsaid-fm1nc
    @JAMILAsaid-fm1nc 5 месяцев назад

    😢mashaalah