Niliona qadiriya ya ustadh faki but hizi zenu mashaallah hakuna upinzani hapa mpo juu mungu akuzidishieni sana mashaallah mashaallah nilikuwa nasubiri kwa hamu but leo nimekuoneni nimefurahi mno qasda nzuri sana. shukran
Allah Akbar Uislam nzuri na Mtume wetu Muhammad S.A.W akawe Rafiki yenu peponi .Na Allah awazidishie hakika kaswida nzuri na inaongeza Imaani kuwa juu, Baraka Fiikum Ustadh Hafidhi na wenzio
Ma sha allah, mi wallah wananimaliza hawa, kwanza mavazi wanajua kupangilia yanaendana na vionjo vya qasda, hakik mnajua sana. Kaz nzur na Allah awaongoze katk kazi zenu. Msije mkafarakana..
Mashaallah Allah awazidishie azidi kuwapa iman muzidi kutuletea qaswida nzuri nzuri zaidi awape nguvu na afya musichoke kutunza qaswida zingine zaidi Allah awabarik fil duniyah na kesho akhera
Masha Allah roho yangu yapoa sana nikisikiza qaswida zenu..napenda qaswida..huwa naziimba kipaji ninacho ila huwa najiimbia peke yangu nyumbani au kumuimbia mamangu....insha allah mungu awazidishie qaswida zenu ni mzuri sana..munaitumia sauti yenu nzuri Kwa njia ya halal...mungu awazidishie kipaji insha allah my brothers......from kenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Gasida nzur jiaminini ktk kazi zenu munaweza vuteni subra kila mukipata changamoto ktk kazi zenu ila aloonza kusoma hii kasida na yy Masha Allah anajitahdi Hafidh na Zungu kazi nzur kazeni kamba mumependeza nyoteee
Mashaallah walikhamndulillah kazi nzurii allah awajaalie kherry ya dunia na akhera""
Amina🤲
Mashaallah naipenda sana hi kaswaida kuisikiliza every time ipo good
Hii kawaida sitachoka kuiangaria kamwe maishan mwangu huu mwaka 2024 na bado naikubari❤
My best qaswidq in ahlul madina
Nzuriiiii sana hiii kasida 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mwenye ez mungu awazidishiye kipaji awaondolee nuksi za waja na majini walio wazunguka
Kazi nzuri❤❤❤🎉
Wazanzibar tuko vizur sana allah atuongoze zaidi
Fatma Khatib asat
Mashallah Allah awazidishie Amna napenda kweli kawaida zenu
Mashallah mashallah tabalakalaa ahlul madina
mashaaaallaaaaa imetulia sna kasida
Mashaallah tabarakallah ahlli madina all Awape umri merefu tuzidi kupata faraja kutoka kwenu inshaallah
Masha Allah alla awe pamoja nanyi
Masha'Allah I liked it 100%
Mashallah
Mashaallah qaswida nzuri sana
qaswida nzuri xana ustadh ulo soma qaswida uko vzr xana paka kwa kucheza
Ma shaa allah. Allah Awabariki leo na kesho kiama Amiin kwa haya yenu mafunzo
Masha allah tunasubiri ya mwakani ishaallah panapo uhai na uzima
Mashaallah
Mashaallah! Naisikiliz kila siku 2021
Masha Allah very nice
Maashaallah maashaallah kaswida nzuri
Ma shaa Allah qaswida zenu nzuri +254
Masha Allah jazakarau kheir baada yaher janatunaima
MASHALLAH QASWIDA NZURI
Masha Allah
Mko vizuri ahlul Madina qaswida zenu zinaelisha
Hafidh hongera kwa kaswida nazipenda sana kaswida zako Allah akulipe kila la kheri
Hongerani❤ ahalul Madina kw kaz nzur mnayofanya.... hakika nyiny ndo namb one tz n kote ulimwenguni mungu awazidishie🤲🏼
Masha Allah Allah awazidishie imaan me mwenyewe napapenda zenj basis tu
Mashaallah nice qaswida mungu awajaalie!!!!!!
alhul madina Allah awape maisha marefu inshallah napenda paswida zenu sana
Mashalwa
Mi nawapenda ahlul madina hadi naumwa daah hongereni saana
Niliona qadiriya ya ustadh faki but hizi zenu mashaallah hakuna upinzani hapa mpo juu mungu akuzidishieni sana mashaallah mashaallah nilikuwa nasubiri kwa hamu but leo nimekuoneni nimefurahi mno qasda nzuri sana. shukran
Allah Akbar Uislam nzuri na Mtume wetu Muhammad S.A.W akawe Rafiki yenu peponi .Na Allah awazidishie hakika kaswida nzuri na inaongeza Imaani kuwa juu, Baraka Fiikum Ustadh Hafidhi na wenzio
Mashaallah mashaallah Kwa elim hiyo nzur sana
Kiukwel nawapend Sana ndugu zangu Yan mko vizuri Sana natamani kila cku niwe nackiliz2
Ma sha allah, mi wallah wananimaliza hawa, kwanza mavazi wanajua kupangilia yanaendana na vionjo vya qasda, hakik mnajua sana. Kaz nzur na Allah awaongoze katk kazi zenu. Msije mkafarakana..
Mashaallah Allah awajaze kheir
Mashalla Allah awazidishe kila la kheri
na mavaz mashallah mazur
mashallah mavazi mazuri sana kazi nzuri
Nimeipenda
+RASHID MUSSA Swadakta maneno yaoo hawa vijana tunatakiwa tufuate sheria
Mashaallah Allah awazidishie azidi kuwapa iman muzidi kutuletea qaswida nzuri nzuri zaidi awape nguvu na afya musichoke kutunza qaswida zingine zaidi Allah awabarik fil duniyah na kesho akhera
Amin kwa sote 🤲
Mashallah mashallah mashallah 👏
mashallwah haswa zinapendeza kaswida zao
ماشاء الله تبارك الله ♥️♥️ nawapenda sana jamani
Tunakupenda pia ❤️❤️
Mashaalah ♥️♥️♥️♥️♥️ naipenda Dana hii qaswida
Naipenda saaaaana hii qaswida nawapongeza
Mashallah qaswida nzur
mashallaha qaswida nzuri sana
yakhua yakhua mashaaallaah
Masha Allah roho yangu yapoa sana nikisikiza qaswida zenu..napenda qaswida..huwa naziimba kipaji ninacho ila huwa najiimbia peke yangu nyumbani au kumuimbia mamangu....insha allah mungu awazidishie qaswida zenu ni mzuri sana..munaitumia sauti yenu nzuri Kwa njia ya halal...mungu awazidishie kipaji insha allah my brothers......from kenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Qaswida nzuri sana
maashaallah mumependeza
Masha allaah nimezipenda sana qaswida zenu zinamafunzo mazuri
all situation good' thnkx ahlu madina verry nice
Mashallah qaswida nzuli
Masha allah nzuri sana
Mashaallah mashaallah nimeipenda tabarakanllahu
kasida zote mashaa llah nimezpendat
naipenda sana hii qaswida
wame act kama waemarate
waooo mashallah nzri sana kila saa naiskiliza
Khadijah Omar
bac idawnlod eti
mavazi yao yamependeza xn
mashauwa mugu awape kila laher ishawalwa
Hongera sana ipo vizr hii kasida
Mashallah. qaswida nzur sana
nice music
Mashalla
MASHALLAH ujumbe mzuri sana
Gasida nzur jiaminini ktk kazi zenu munaweza vuteni subra kila mukipata changamoto ktk kazi zenu ila aloonza kusoma hii kasida na yy Masha Allah anajitahdi Hafidh na Zungu kazi nzur kazeni kamba mumependeza nyoteee
shuu Al Gheithy
shuu Al Gheithy
Maashallah
Mashaallah. Khalifa nakupendaga sanaaaaaaaaaaaaa tu
Allah Allah Mashallah
Naamh
Mashaa 'Allah
Ma shaa Allah kaswida ukiskilza mpka unahmasika wallah
Nice kaswida
Rahma javi
km umewatch hii 2019 gonga like
Siichokii kuiyangaria 4will that sure nawapenda sana napenda qaswida zenu zotee mko vizurii
mashaallah nimeipenda qasidaa upo vzr afadhl tuwaone na wengin munasoma co shekh hafidh tu muko sawa nimependaa mashaaallah 😘😚😙😘😚😙😘😚😙😘😚😍
Latifa Mohd ok
Latifa upoo
Mashaallah yan sichok kuitazam hii kaswid
Masha Alla
Mashaallah mavaz mazuri sana inapendeza sana
Asia Alihamdulilah
Masha Allah Hakika kaswida zenu Ni nzuri Sana siskilizi kaswida zingine zaidi ya kaswida zenu nazipenda sana
Nair sana
Asumi Issa mbna mavaz wamefany mix kanzu za oman lkn vlemba wameeka styl ya saudia
+Oman Arab hahaha Kaka wanifurahisha kwani saudia wanavaa kanzu gani
Asumi Issa ......same here nazipenda sana qaswida zao hadi huwa naziandika kitabuni nikiziimba peke yangu❤❤❤❤
mashaallwah mola awzidishie kher mzid kutu burudisha kwa nshd nzur
MASHA ALLAH
Mashalaah
Naipenda
Sana
Mashaallah❤
mashaallah
mashaalah
Maashaallah..
Masha Allah mko pow sana
Maashaallah
😊😊❤😅
😊😊❤😅
Mashaaalalah
مشا الله 👏👏 الله يبارك فيكم
Maa Shaa Allaah
Qaswaida ndhuliiii
masha-Allah
Jasmine Idd mambo jasmine hujambo
Nimepennda mashaallah
masha allah. inaelimisha
woow masha ALLAH
maasha allah
mashallah nimeipenda sana hafidh unajitahid sana
shuklan mwenyezimungu akuzindishie kilaraheri asante n kwadarasa nzuli kilaraheri 🙌💓💔💕💗💟nawapendasana ndunguzangu waisilam 👭💗💞💟💕💖
nice kasida
Farida Farida njema sana
mashaalla nzuri