Broo mbona mm nimefanya hivo mpka nika letewa zile za voicemail ila nikachukua sim yake kujaribu kumpgia mtu kwangu haingi na pia najaribu kujitoa haitoke na namber yake ndio imesevka voicemail
Sas kak tumekueleawa sasa nilikuwa na swali moja tu sasa tukiwa tunafanya hizo proses je! Hela hazihami mtu akinitumia au kumtumia na je ambazo zipo kwenye cm?
Naomba unisaidie Kuna baadhi ya namba nkipiga naambiwa hazipiatikani au zinatumika hata kama mtu nko nae karibu shida n nn maana hajaniblock Wala sjambrock
Naomba kuuliz ...mm nilitak kumdivate mtu .lakin nimetumia simu yang mwenye kuwek hizo namba ambazo ni##21# lakin sjui kama imetoka.....Sasa nisaidie nifanyaje ili niitoe
Kaka mi inaandika voice 255128 zingine zote not forwarded hii inamaanishaje kwenye voda tu nikibonyeza *#62# lkn kwa halotel nikibonyeza ivo zote zinasema not forwarded. Nifanyeje hio #21## inagoma
Dah!jamani asanteni sana nilikuwa nina md mrefu laini ya Airtel ikiwa haifanyi kazi asante sana!
Thank broh🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Dah asante sana asee
Ahsantee
Jamn mm niko nae mbali siwezi kushika sim yake nifanyej?
Kaka me nataka nipate sms zake
Mkuu uko sawa kbx
Kaka nimekubali kazi p1 sana
Vp brother Ilike it
Naomba hiyo application ya kuna sms za mpenzi wako
Asante sana jmn nilikuwa naambiwa namba yako imeelekezwa kweny namb nyingne n nilikuwa sijui n kipi cha kufanya
Asante sana yaan kila mtu ananiambia hupatikani kumbe daah
aksante enyoy naee
Nice
Uko pw Bro.
Kwa mtandao wa voda zinafeli call forwarding
Namna ya kuhakiki endapo mtu amekudivert
Mm nimemwkea akajua Kwa kua hakuna sm iliyokua inaingia kwake
Ahsante kwa kutufundisha.
MBA wananiambia invalid code
Jmn asanten xan
ukiwa unataka akipigiwa simu au akitumiwa sms ije kwako unafanyaje
Asante kaka,,mbna mmi nikijitoa inakataa
tazama hio ndugu ruclips.net/video/PN6d8fYLyoY/видео.html
Mm natak kumtoa kweny hy call divert maan nimemuwek mtu sasa natk nimtoe nam sijui maan simu yak ikizim watu wakipig inakuja kwang
inabidi ushike tena simu yake na uminye namba hizo za kutolea nilizoelekeza humo
Broo mbona mm nimefanya hivo mpka nika letewa zile za voicemail ila nikachukua sim yake kujaribu kumpgia mtu kwangu haingi na pia najaribu kujitoa haitoke na namber yake ndio imesevka voicemail
cheki video mpya
Kaka mimi naomba niwe napata sms zake na call zake
Hi me ndo nimemdaivet nataka nimtoe m2 nifanyaje boy
Duuuh God bless you bro imetoka namshukr mung kaka
Pamoja
👍👍👍 okay
@@Vinei habari
@@Vineikka kwema
Sas kak tumekueleawa sasa nilikuwa na swali moja tu sasa tukiwa tunafanya hizo proses je! Hela hazihami mtu akinitumia au kumtumia na je ambazo zipo kwenye cm?
Hazihami kakq
Naomba unisaidie Kuna baadhi ya namba nkipiga naambiwa hazipiatikani au zinatumika hata kama mtu nko nae karibu shida n nn maana hajaniblock Wala sjambrock
Kama hawaja ku block hapo nashindwa kuelewa sababu, jaribu kuwapigia huduma kwa wateja waeleze uwende tatizo ni kwao
Mmi Nashida kua ukionge n mtu au chatting mna watu watu nao waongea ssa sielewi nn shida.plz help me
Itakua umewasha Talk Back
Mm bro natk kuzuia forwaing 📞
Broo nisaidie kujitoa kwenye sms forwarding
Asante sana
Pamoja
Ndio Kuna mtu alifundisha
Nasikia inaonyesha
Paka meseji zilizokuwa zinasikilizwa
brother mbona bado inaaandika call forwarding on conditional
check new video
apo sawa
Jamn mm nmempgia haiit naambiwa forwad
Labda nataka KUFUNGUA kilicho semwa na niliye munganisha na call forwarding, nafanyaje?
Huwez
Axante xan
Kaka me niliweka sasa natak kuitoa na nikipga no ##21# aitok au mpaka nibinye kweny cm yake
Naitaji msaada wa iyo app ya kudownload call na sms zote zote zije kwang jina lake inaitwaje
hakuna app ya kudownload call na sms
Kweniakuna njia ambayo namba za mtu ambaye nataka kmdivat nikaweka kwenye cm yangu bila kubweka namba zangu kwenye cm yake
Hakuna na haitokuwepo
Bro yakwangu kila nikitoa nikijaribu kumpigia mtu inaniandikia call foadin
Minya #22#
Ntumie namb Ako tuongee maana mm najitoa lakni naona bdo
Me nimejiunganisha kwny sm sasa najitoaje kwenye sm yake
Chukua sim yake minya hizo namba
Naomba kuuliz ...mm nilitak kumdivate mtu .lakin nimetumia simu yang mwenye kuwek hizo namba ambazo ni##21# lakin sjui kama imetoka.....Sasa nisaidie nifanyaje ili niitoe
Umetoa hapo
Umetoa hapo
Me nimejiunganisha bila me mwenyewe kujua
Broo mm nmeungansha ila sasa sm zote znakuja kwangu na sjui jns ya kuziluhusu ziende na kweke please nisaidie naumbuka mm
Inabidi ukatoe kwa ulie muwekea
😀😀😀Mwana kulitafta
Mwanangu Ww noma wengne wababaishaji kiufup awjui
Pamoja kaka
Je sms inakuwaje
Mimi Shida inayonsumbua ukipgiwa cm ukiacha kupokea anapokea mwenye namba ulie muganisha sasa mm natakakujitoa nijitoaje kwenye mfumohuu
Yaaan kama mmi ikoivyo kama umepta ufumbivu nahitji kujitoa nammi
Minya #21#
Minya #21#
Kaka mi nimeshajalibu lakini sioni Kama imeunganishika
je naweza kutoa mm niliye
Natak kutoa brother
cheki video mpya
hello bro nataka niunganishe shem wako ila nataka na sms ziwe zina nifikia ni save cod
Mbona ninejarib hajakubl
Aloohabari nimeunganisha nambayamkewangu iliniwezekupata simuzake nimekosea nikipigiwamimi nikichelewa kupokea simu inaendakwake jee nirekebisheje naombamsaada
Minya code za kujitoa Kwenye sim yako
Asante nimependa somo lako
🙏🙏 shukran
@@Vinei hello mkuu 🙋🙋🙋
Mimi kuna mtu akinipigia inakuwa busy
Wewe ni mkweli kabisaaaaa
Nokifanyikiwa ndakushukuru
Mm nakuskiliza ila najalibu inagomaaa
Mwalimu nilitaka niulize mwenzi wako akiwa mbali na wewe utafanya je Ili upate kujuwa Yale yote ?
Hapo hakuna namna
Broo mim nikipiga xm nikichelewa kupookea ana pokea mtumwingine nafanyaje iliitoke
Minya #21#
Na je kujua private number kwenye namba ya Airtel
okay subiri utajibiwa kak ngu
Lakini nimejaribu kutoa ila bado nikipiga inaandika call forwarding on conditional.
Tazama hapo ruclips.net/video/PN6d8fYLyoY/видео.html
Vipi kiongozii
Kama unataka kusoma sms za mpenzi wako unafanyaje bro kunakua Kuna codi zake au?...
Hapana
Kak nimejaribu kujitoa lakini naon bado inagom inaniandikia call forwarding on the condition
minya laini zote
Kaka mi inaandika voice 255128 zingine zote not forwarded hii inamaanishaje kwenye voda tu nikibonyeza *#62# lkn kwa halotel nikibonyeza ivo zote zinasema not forwarded. Nifanyeje hio #21## inagoma
We ndo mkweli wengine waongo
Vp ni kwl au
Nd at me sjuh
Dah me kunadem ananisumbua
naomb namba kuna inshu private mkuu
Samahani kaka mimi nataka akipigiwa call zake na messg zake zije kwangu nakuomba unisaidie
Utakufa na plesha acha tu hayo yalite
Mm nmetoa hvo lkn bado ananiambia anaona sm zinazopigwa zinaenda kwake
Bas anakutishia tu
Bona kwangu haifanyi naomba usaidizi ama inatengemea na mtandao,, naomba unijulixhe tafadhali
ulitumia code gan
@@Vinei nilitumia **21#
Je mtuakipigiwa uwe unasikiamazungumzo yake
Cm yng nimefanya hizo code ya kujitoa lkn bado kuna maneno nayaona kila nikipiga cm,ni CALL FORWADING NA ON CONDITIONAL je Nini zaid?
Hata mm ndio hvy hvy
##21#
Mm nataka unielekeze nimemuweka mtu nataka nimtue please
Hata me
Kaka mm laini yangu mtu akinipigia inasema laini imezuiliwa je tatizo nini kaka
Jaribu kuwapigia wa mtandao
Mbona inakataa kuunganisha
Mm lain yangu Ina call barred nataka niiondoshe Lakin sijui unafanyaje bro
Jaribu hizo
#35*0000#
Zimigoma weka lain kwenye sim ya button, sim za button kwenye Settings kuna call barring setting
Kama upo nje
je kama unapiga smu unaambiwa namba unayo piga imeelekezwa kwingine nifanyeje ili kujitoa
inabidi ajitoe huyo unae mpigia
Vinei naomba namba yako please
Kaka mimi nikimpigia mtu inaniandikia ivyo CALL FORWADING ON CANDITIONAL nini iki kaka nisaidie
Vp umefanikiwa kuitoa
Tazama hii mpya ruclips.net/video/PN6d8fYLyoY/видео.html
Nimejrb kujitoa imekataa bdoinaenderea nikipgiwa nispopokea mmi shds
hakikisha unaminya #004# kwenye lain zote
Asante
Pamoja
Hii ni kwa mtandao Gani??
All
Me nahitaji ni some sms za mpenzi wangu bila yeye kujua
Lazima uwe na app na yye pia
Utakuja jifia
Kama nataka sms zije kwangu nifanyeje
Huwez
Unafanyaje ili utambue kama mtu amekudivert kwenye simu yako
Mimi naitaj sms zake nafanyaje Mana sielewi
Meseji zake unazitakia nini? Mbona unalazimisha kufa mapema?
Asante bro
okay enyoy na kazi
Naomba unisaidie namba yako asante sana
0624741607
Mwamba tusaidie namba yako
Sas mbon nikitoa haitok
Broo mm cm yng imeandk fowarding
Hapo jitoe
MBNA Nikiandika##21# nadhindikana kuondowa
cheki mpya
Jee kama Niko mbali na siwezi kushika sm yake
Hapo kuna ugumu
Je Kama unaetaka kumdaiveji yupo mbali unafanyaj?????
Hapo ngumu kwa uwezo wa kawaida
Wewe ni mkweli
🤳🤳🙏🙏🙏
hey
Nakubali Ina unawe a utanipa no yako
0624741607