Niliwai kutumiwa SMS na tapeli alieituma ktk kioo inaonekana namba ya mtu niliesav namba yke kumbe sie nilipopiga SIM ikaita ile namba ngeni hapo uyo alofanya huo utundu alifanya je
Unajua nnakubali Nazi yako lkn nivizur ungefanya ukamalizia mm kiukwel Nina mke wangu na simu take hatak ni ikamate kwaio nataka izo kod ni mchunguze ni nini kina endelea kwenye sim yake
Kama sis tuko zingine ichi tutafanyaje
Naitwa yona kutoka moshi nataka cod ilinipate sms anazo2miwa mpenz wangu pamoja na coll anazopigiwa
MMh! Me naona ni waongo awa awana hishu wanamaliza MB za watu.
Sasa kwa Wale aliyo inje ya inchi
Tuna fanyaje?
Nyie mnazngua akun cha maan ap ebu kaen na mjijadil kwanz maan amuwez we kla unavyofany msg azfki waongo san ninyi
Niliwai kutumiwa SMS na tapeli alieituma ktk kioo inaonekana namba ya mtu niliesav namba yke kumbe sie nilipopiga SIM ikaita ile namba ngeni hapo uyo alofanya huo utundu alifanya je
Asa kama mm natumia halotel inakuaj brow
Je , inchini DRC code ni hizohizo ama la !
Naitwa Eric kutoka Burundi binaendekaje
Mimi natumia Tigo na yeye anatumia halotel
Mbona watu wanalalamika wanafanya ivo ila hamna chochote
Waongo tu mbn nimejaribu imeshindikan mnataka kumaliza bando mnatupotezea muda
Maneno kama yote action 0...kaz gan
Huyu anatoa namba za simu msimtumie hela ni tapeli
Je ukitaka asijue kabisa kama ume muunga make ye ukimuunga kwenye sim yake anawekewa kimshare sa ukitaka asiwekewe kimshare unafanyaje
Mbn nimefanya hivy lkin amn chchte haraf hizo cod nafanyia kwa cm yang au yakwake sijaelewa
Mbna nimejaribu la😊kin hakuna kituu mhuuuu hamfaiiii
Kama unatumia mtn Rwanda ama mtn Uganda itakuwa aje
Amna kitu ujng2 mnawaza kusubscribe
Naomb nisaidie naunga cwez mm natumia airtel yey tigo
Ukisha andika hizo namba jinis ya kuzitoah
Naomba unisaidie mimi niko Kenya yeye anatumia airtel na mimi airtel please nijibu 🙏
Mhh me nataka code za Aertel huyo mtu ni halotel anatumia🤔🤔
Sasa hapo unatakiwa utumie cm ya myusika au maana mi naetaka kumuunga ivi Yuko mbali naomba jibu
Mbona munafundisha kudaiveti tu kutoa mbona hamtufundishi
wacha kumalizia watu muda kwa vitu msivyojua
Nice
Brother ninaswal hiv mitandao ikifanan unatumia kod ileile ya mtandao husik
Ss wengine ni wakenya twatumia safarcom je itakuaje??
Jamani nyie mmetoa maelezo mengi mpaka nimefunga laini zangu
Mimi nataka jinsi ya kujitoa kama nimefanyiwa hivo
Mie nishajaribu sn lkn sijafanikiwa .
Amna kitu hapo mzee maneno mengin no action
Waongo tu. Wanataka hela ya mitandao
Tunawafata san sis kutoka Burundi tunaomb mtufunz jinsi utamufum mpenz wako
Ndio
Hivi kwa nn unalazimisha tukupigie, si ufundishe tu hapo, au na wewe ndo unataka utudivert kwako ili uone mesej zetu za tigopesa?
Umeongea pointi tena tuwemakin
Hahahaahaaaaa umenifurahisha ila umeongea point ☝
Huna maana mpuuzi tu, oo nipigie ili?
Siyo haki ni kunyume cha sheria;unakuwa unaenda kinyume na privacy ya mpenzi wako;anaweza kukushtaki!!nyie mnazingua tu
Mnatuzingua 2 nyinyi
We unaboa sana ungefundisha soma na kumaliza habr kutafutana Tena ya nn si uwemuwaz kama umeamua kufundish video Zako nying huwa ynafanya hvyo y
Unajua nnakubali Nazi yako lkn nivizur ungefanya ukamalizia mm kiukwel Nina mke wangu na simu take hatak ni ikamate kwaio nataka izo kod ni mchunguze ni nini kina endelea kwenye sim yake
Ww ni muongo xana tafuta kazi yakufanya
Hiv jaman matus ni Yann ? Mtu umeamua mwenyewe kuangalia hii Chanel hukulazimishwa ukiona haikufai si ukaangalie vitu vingine mitandaon
Hata mm naona
Mbona imekuwa Kama utapel hivi
Mbn sijafanikuwa
Huyu nitapeli hana lolote msimtumiye pesa nitapeli
We jomba funga juu cjui wafunza nn mwanzo apo
jamanii mbona me nmefanya but simu zangu na sms zangu zote ndo zinaingia kwenye sm yake yy?
Dada nitafute
@@adiakasimu1448nimekutafuta nashida
mbona naweka lakin akipgiw haionesh
Je nitigo kwenda eatel
Mimi nataka kudivert massage za mpezi wangu ama calls ziigie kwa simu yagu
Nyie wasenge ni waongo
Mbona maelezomengi
Unataja haraka sana namba
Unakela unataka mtandao mmojatuu unaanza kutaja ma namva yako
Ok
Mbona nimefany ivo lakin haziingii
Tako
mbona hii namba yako haiendi
Mbn napiga hzo naomba zako naambiwa sip sahibi
Kwendraaaa ukooo.ujui kitu www
Mm mbona nimeweka sija pata majibu
Ahxante xana kwa mafunzo mema
Niko nje ya inje utaweza nisaidia
umeua boss
nani akupigie simu tapeli
Kunguni nyie njaa inawasumbua
Mutupeee code za mtn ku mtn rwanda
kwa hilo sina shaka mkuu wangu
oi mambo mnayo yafanya sio sas uwoo niwizi nimewapayia ela zangu hamraki kunifanyia kazi yangu
Kuma
Nimeipenda ila bahat mbaya maelekezo yeni hayaendan na na kazi yenyewe
Eb nielekeze na mm kidg bas
Maana mm sjamuelew kabsa
Mimi nataka msg tu
acha usenge
Jamani huyu kk ni tapel
Anatafuta wateja ili apate riziki lakini hamna lolote mwizi wa mb zetu tu wala siwezi kusubscribe hii channel ya wahuni
Kaka najuaje
Nisome ili zinisaidie nini Mimi sasa
Hamna lolote apo
Hamna llot 😂😂😂
Waongoo
Naitwa happines elisha kutoka kigoma naomba cod ili nipate sms anazotumiwa mpenz wang
Mambo hepi
Natamani kupendwa Kaka nisayidiy n'a codé Ila mpenzi wangu awe n'a eshima
Mbona mimi sim zangu ndo zinakwenda kwake wewe unazingua
Anazingua
Wapuuzi ty
Hey
hao wasenge2
Mnazingua
sasa kwann nizisome
Urejeo WA tundulisu
Waongo😂
mafala nyinyi
we fala 2
Tapeli we we
Number yako ingii
Safaricom
Kamasisi hatumie tigo bita Endekaije?
Tiga simu
Piga simu
@@xplustz kwaiyo nikwenye cm yako au yauyo mtu
.Kama natumia safaricom je?
Ninyi matapeli nimepiga mkaniambia huduma inalipiwa nimelipa kwa sasa sm yangu mmeibulok
Acheni uchoko
me natumia mtandao wa halotel mbona inagoma?
we ni mpumbavu kabisa umekosa kazi za kufanya
😅
Asante kwa somo
Feki lesson
Uongo mtupu tuuu
wajingasana
Acha kumalizia watu mb zao na upotoshaj wako huo wa kijinga
Nice