Jinsi ya kujitoa kwenye Call Forwarding 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • Tazama jinsi ya kujitoa kwenye call forwarding au jinsi ya kujitoa kwenye call divert kiurahisi sana. video ya kwanza nilitaja code baadhi lakin katika video nimekuweka codes zote zinazotumika kutoa call forwarding.

Комментарии • 20

  • @digitalelisha
    @digitalelisha Год назад +1

    Ahsante kaka unatusaidia sana , tusaidie na jinsi ya ku hack text za mtu 😁

  • @Msoker
    @Msoker Год назад +1

    Kaka umetisha kaka hongera 🎉🎉

  • @ElishaEzira-jh7zx
    @ElishaEzira-jh7zx 9 месяцев назад +1

    Asante kaka nimefanikisha

  • @ChocllatteMedia
    @ChocllatteMedia Год назад

    Tisha Sana Bro 🔥🔥🔥

  • @ShuliOmary
    @ShuliOmary Месяц назад +1

    Mbona mm nikitaka kutoa inaniletea call fording erasures was succeful

    • @Vinei
      @Vinei  Месяц назад

      Mana ake umefanikiwa

  • @eliajames-mf6rx
    @eliajames-mf6rx Год назад +4

    Nataka jinsi ya kuweka

    • @Vinei
      @Vinei  Год назад +3

      sawa

    • @chloedamas6384
      @chloedamas6384 3 месяца назад

      Cm yangu iko call forward naomba cod nitoe maan nisipopatikana mim wanampata mtu mwingine

  • @supermwinula8531
    @supermwinula8531 9 месяцев назад +1

    Oa we jamaa ni mchawi.. Nimefanikisha bana

  • @user-vl3zn6sh1d
    @user-vl3zn6sh1d Год назад +2

    Kaka nifunze jinsi ya kujitoa cool forwarding watssap

    • @sabbichristopher3613
      @sabbichristopher3613 6 месяцев назад +1

      Whatsapp meneja au business hakuna wa kuihaki kwa jinsi ilivyotengenezwa, labda kama unatumia whatsapp GB na zingne kama hzo

  • @juliansowani1176
    @juliansowani1176 6 месяцев назад +1

    Nitatumia code zipe kublock sms zangu zisisomwe na mtu mwingine😅

    • @Vinei
      @Vinei  6 месяцев назад

      Fungia na password file la sms

  • @AmosiBerned
    @AmosiBerned 4 месяца назад +1

    Kuna mtu yupo mkoani alinia haki nikitaka kutoa nifanyeje

    • @Vinei
      @Vinei  4 месяца назад

      Maelezo yapo hayo

  • @PeterMalekela-gg6ly
    @PeterMalekela-gg6ly Год назад +1

    Kaka umetumia simu au laptop kuedit iyo video naomba uniambie

    • @Vinei
      @Vinei  Год назад

      nimetumia simu

  • @RebeccaEmanuel-vz2bx
    @RebeccaEmanuel-vz2bx Год назад

    M nataka ya kusoma SMS bla yy kujua