Madhara ya App za Mikopo kwa njia simu : Utashangaa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • Fahamu haya kuhusu app za mikopo mitandaoni, mikopo ya haraka kwa njia ya simu.
  • НаукаНаука

Комментарии • 96

  • @phantom9221
    @phantom9221 Месяц назад +3

    Nashauri serikali izifungie hasa PesaX wana wafanyakazi wehu wanaanza kutukana kabla hata tarehe ya rejesho haijafika

  • @icenty107
    @icenty107 3 месяца назад +4

    Mi Naona hawa watu wanalindwa na mtu mkubwa yaani mtu mwenye wazifa mkubwa, hawawez wakawa wanajiamini kiasi hiko.

  • @WalkersTech1
    @WalkersTech1 3 месяца назад +5

    I takuwa imeeleweka

  • @PeterPetro-pt2jc
    @PeterPetro-pt2jc 3 месяца назад +3

    Kwer bro

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Hakika

  • @JerwinJosephat
    @JerwinJosephat Месяц назад +1

    Kwa ujumla japo wanawaita watu matapeli ila kati ya mkopeshaji na mkopaji taperi anajulikana ni nan nina kama hoja mbili
    1.ni mkopo wa aina gani kiwango cha mkopo kinachotangazwa sicho kinachotolewa
    2. Mtu unaomba mkopo unaulizwa utautumiaje unaandika kwa ajiri ya biashara then mkopo wanaokuja kupitisha ni kia si cha sh 5000 hawaishii hapo iyo 5000 inakuja kwa makato makubwa hapo hujaenda kwa wakala kutoa
    3.ruhusa ya kukagua simu yanguwanapata wapi kwa mfano mimi mambo yakutishana siogopi

  • @meboncent9868
    @meboncent9868 3 месяца назад +3

    Daah! Bro vinei kazi ipo

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Atar sana

  • @BahatiShekibula-yk3qt
    @BahatiShekibula-yk3qt 3 месяца назад +2

    Kweli kabisa nimekuelewa

  • @VedastoKeya-vt8pf
    @VedastoKeya-vt8pf 3 месяца назад +1

    Hao mm Huwa sjarbu kabisa kwanza nawamind sana

  • @Frankmwinuka
    @Frankmwinuka 3 месяца назад +2

    Yeah

  • @marykasanzu2533
    @marykasanzu2533 17 дней назад +3

    Naomba namba yako kaka yamenikuta sina amani hata kidogo

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 3 месяца назад +5

    Mi naona bora serikali ingeifungia hii mitandao

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад +2

      Hata hivyo hawana vibali

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 3 месяца назад +5

    Ni matapeli wakubwa hao ni USTAWI LOAN yaani unapewa 19000 kulipa 30000 Kwa siku 6 kweli au 32800 Kwa 50,000 HUU NI UTAPELI

    • @JninjaH2R
      @JninjaH2R 3 месяца назад

      Siku 6 ni ndogo sana na riba ni kubwa sana

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад +1

      Siku chache sana

    • @JninjaH2R
      @JninjaH2R 3 месяца назад +1

      Riba inazidi 50% Kwa siku 6 siku 7 wanaanza ongeza deni ,unaweza kopa 19k ukaja lipa 100k ,mikopo kandamizi hizi

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 3 месяца назад +3

    Hawa wa mtandaoni wa mikopo wafungiwe tu

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 2 месяца назад +2

    Dawa ni kuwalipa then unawafungulia kesi ya uhalifu wa mtandao maana wamekuhack wanaona ishu zako! Badae watakulipa wao pesa zaidi ya hizo

  • @nettrekker
    @nettrekker 3 месяца назад +2

    Vinei 🔥

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Pamoja

  • @FatmaYusud
    @FatmaYusud Месяц назад +3

    Niwapeni Siri mnaweza funga wasione namba zako Wala msg zako nenda kwenye setting's kwenye permission. Toa app yoyote Ile access humo

    • @Vinei
      @Vinei  Месяц назад

      @@FatmaYusud hupewi mkopo , kuona vitu vyako ni moja ya makubaliano

    • @user-tg5ci7ej6o
      @user-tg5ci7ej6o 22 дня назад

      ​@@Vineime nimekopa alf nikafunga app zao kila kitu na lain nimetoa akuna msg wana kitu chochote

    • @patricktozzo4444
      @patricktozzo4444 День назад

      ​@@user-tg5ci7ej6osasa siwatakupeleka police kukukamata

  • @PauloysterMollelyster
    @PauloysterMollelyster 2 месяца назад +1

    Hawa ni rahisi tuna jambo lao mimi kila siku kwenye group natumiw recod za wadaiwa alafu tunawapigia simu tuna maswali tukiwauliza wanakuacha.

  • @braizerdylan940
    @braizerdylan940 3 месяца назад +2

    Ndo maana awajawah kunipa mkopo 😂😂😂😂

  • @DoricaMgogo
    @DoricaMgogo 17 дней назад +1

    Naomba msada unisaidie namba Yako yamenikuta pia

    • @DoricaMgogo
      @DoricaMgogo 17 дней назад +1

      Naomba msada namba yako

  • @AgnesOtaigo
    @AgnesOtaigo 3 месяца назад +10

    Me walinitangaza tapeli mwizi,na nikundiwa group lenye namba za muhimu wakanichafua,alafu bado wanaomba hela nikilipa waniite mbwa

    • @swabiaa1489
      @swabiaa1489 3 месяца назад +1

      Walipe 2😂😂😂

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад +1

      😅😅😅

    • @glorygaluma7715
      @glorygaluma7715 3 месяца назад +1

      Na Mimi imenikuta wamewatumia watu wangu wa karibu na Mimi waniite mbwa kama nitawalipa

    • @othmanbilyamin2878
      @othmanbilyamin2878 3 месяца назад +1

      Uncle nitumie NAMBA yako ya WhatsApp

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 2 месяца назад

      ​@@glorygaluma7715pole G hao wapumbavu sana

  • @ibrahfadhili435
    @ibrahfadhili435 3 месяца назад +3

    Wala waambia ndugu zangu nime kopa milioni 1 kumbe nilikopa 35000 hawafai hata kidogo

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад +1

      Wanazingua

    • @JninjaH2R
      @JninjaH2R 3 месяца назад +1

      Pole sana

  • @DayaxRBws1tc
    @DayaxRBws1tc 3 месяца назад +4

    Na mimi nilikopa Alafu siku ya malipo nikashindwa kulipa deni hilo Alafu nikafuta app zao

  • @Naomysinkonde-t8i
    @Naomysinkonde-t8i 23 дня назад +1

    Jamn wekaka we mi nimelia Sana jamn

    • @Vinei
      @Vinei  20 дней назад

      😀umelia kwanin sas

    • @Naomysinkonde-t8i
      @Naomysinkonde-t8i 19 дней назад

      @@Vineikama app ya Zim Cash Yan apan jmn

  • @edwardJohannes-jf5nr
    @edwardJohannes-jf5nr Месяц назад +3

    Oya hawa dawa usitumie simu unayokopea

  • @Ishizwemedia
    @Ishizwemedia 3 месяца назад +1

    Oy mwanangu hii ni Hatarii

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад +1

      Noma sana kaka

  • @erickvahaye2123
    @erickvahaye2123 3 месяца назад +1

    sina hamu nao wamesambaza sms kua tapeli kisa 2000,,hawafai kabisa

  • @braizerdylan940
    @braizerdylan940 3 месяца назад +2

    Wajichanganye wanipe mm mkopo awataona kitu Yani nawafanyia block up mbwa hawa

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Wewe kupewa sahau😅😅

    • @braizerdylan940
      @braizerdylan940 3 месяца назад

      @@Vinei 😂😂😂

  • @AMINIMAKOA
    @AMINIMAKOA 3 месяца назад +2

    Hivyohivyo mm waliniita mwizi na tapeli wa mitandaoni

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Pole sana

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 24 дня назад +1

    Kwa nini wanatukana! Wengine ni watu wazima wanaambulia mitusi😢

    • @Vinei
      @Vinei  20 дней назад

      Bora kutokopa Kwenye hizo apps

  • @hamisimkoma7380
    @hamisimkoma7380 3 месяца назад +2

    tabia yao hii ya kutukana ilinifanya nikapata mbinu ambayo nikishakopa hawaweza kuhack chochote ktk simu yangu ila kabla sijakopa huwa naficha contacts na kuacha chache ambazo haziko hewan,nikiipata tu hela hapohapo nafuta application🤣🤣🤣 hawataweza kumpigia mwingine baada ya kuwazingua isipokuwa mimi tu

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Ukatili🥲

  • @mohammedprince9016
    @mohammedprince9016 3 месяца назад +1

    Ni application gani ambayo inatumika pindi mtu aikupigia anauwezo wakuona namba zote ulowasiliana nazo iyo siku maana sio siri mke wangu anakandamiza na hili so brow kama unaijuwa tengeza vidio iwafae wote.

  • @MwajumaLwassa
    @MwajumaLwassa Месяц назад +1

    Wengine Wana Ofisi za Siri wamepanga Sinza Kwa Mugabe, yaani wamepanga nyumba ya kawaida sana kumbe ndani kuna WIZI wa mitandao unafanyika walihama Natai Plaza kukimbia Polisi mara Kwa mara wakahamia Sinza Kwa Mugabe hao ni SUNN LOAN au Ccc , Kila wanapohamia wanabadilisha Jina halafu wanajifanya wanatoa mikopo South Africa, kumbe ni wizi mtupu. Halafu wameajiri vijana wengi sana tunakoelekea ni kubaya Vijana wetu wanapewa ajira feki wanafundishwa utapeli wakiwa na umri mdogo. Huu ni Mtihani WALLAH, Allah atuepushe

  • @jeradytech928
    @jeradytech928 2 месяца назад +2

    Umenifungua😂

  • @AMO_BUSINESS
    @AMO_BUSINESS 3 месяца назад +2

    Duuh...!

  • @KapiraNelson
    @KapiraNelson 2 месяца назад +1

    Mimi waliniboa sana niliacha kuwalipa kwa sababu nilikopa elf 70 wakanitumia elf 45 yaan siwalipi mpaka wamalizie kunipa hela yote niliyo kopa

    • @Vinei
      @Vinei  2 месяца назад

      Noma sana

  • @chrispinmramba7660
    @chrispinmramba7660 3 месяца назад +3

    Je ukifut app yao bado wanawez kufatilia na kuon kila kitu chak au?

    • @theoriginals3240
      @theoriginals3240 3 месяца назад

      Ndio. Maana wanakua bado na access ya imei za hiyo simu

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Hawaoni vipya ila wanakuanavyo vyote

  • @ashaally159
    @ashaally159 3 месяца назад +1

    Kwnn hawafungiwi wanatukna saana

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Kwa kuwapata ndio mtihani

  • @WinnerNgowi-qi4wr
    @WinnerNgowi-qi4wr 3 месяца назад +1

    Naomba kuzungumza na ww kuna kitu nataka unisaidie

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад +1

      0624741607 namba hio kaka

    • @VickyMkina
      @VickyMkina Месяц назад

      Hello, mm pia naweza ongea ww kaka

  • @uniquemwalo
    @uniquemwalo 3 месяца назад +1

    Duuuuuuuuuh hatariiiiii

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Noma

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro1125 2 месяца назад +1

    Je ukitoa laini kwenye cm watakupata?

    • @Vinei
      @Vinei  2 месяца назад

      Labda uivunje

  • @ShidaTupu-jf7em
    @ShidaTupu-jf7em 3 месяца назад +1

    Kama nimeuza cm au natumia cm ndogo

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Hawapati taarifa zako mpya

  • @VickyMkina
    @VickyMkina Месяц назад +1

    Mbona hupatikan

    • @Vinei
      @Vinei  Месяц назад

      WhatsApp nipo mda wote

    • @VickyMkina
      @VickyMkina Месяц назад

      @@Vinei hv ucpo walipa watakufanya nn brooh vinei

  • @kelchas_music_production
    @kelchas_music_production 3 месяца назад +1

    Liba zao ni kubwa mh nilikoma

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      Noma sana

  • @user-ct4fk3sd2b
    @user-ct4fk3sd2b 3 месяца назад +4

    Naomba namba yako ya WhatsApp please

    • @Vinei
      @Vinei  3 месяца назад

      0624741607

    • @VickyMkina
      @VickyMkina Месяц назад

      @@Vinei ckupati kaka hata WhatsApp