Kwa ujumla japo wanawaita watu matapeli ila kati ya mkopeshaji na mkopaji taperi anajulikana ni nan nina kama hoja mbili 1.ni mkopo wa aina gani kiwango cha mkopo kinachotangazwa sicho kinachotolewa 2. Mtu unaomba mkopo unaulizwa utautumiaje unaandika kwa ajiri ya biashara then mkopo wanaokuja kupitisha ni kia si cha sh 5000 hawaishii hapo iyo 5000 inakuja kwa makato makubwa hapo hujaenda kwa wakala kutoa 3.ruhusa ya kukagua simu yanguwanapata wapi kwa mfano mimi mambo yakutishana siogopi
tabia yao hii ya kutukana ilinifanya nikapata mbinu ambayo nikishakopa hawaweza kuhack chochote ktk simu yangu ila kabla sijakopa huwa naficha contacts na kuacha chache ambazo haziko hewan,nikiipata tu hela hapohapo nafuta application🤣🤣🤣 hawataweza kumpigia mwingine baada ya kuwazingua isipokuwa mimi tu
Ni application gani ambayo inatumika pindi mtu aikupigia anauwezo wakuona namba zote ulowasiliana nazo iyo siku maana sio siri mke wangu anakandamiza na hili so brow kama unaijuwa tengeza vidio iwafae wote.
Wengine Wana Ofisi za Siri wamepanga Sinza Kwa Mugabe, yaani wamepanga nyumba ya kawaida sana kumbe ndani kuna WIZI wa mitandao unafanyika walihama Natai Plaza kukimbia Polisi mara Kwa mara wakahamia Sinza Kwa Mugabe hao ni SUNN LOAN au Ccc , Kila wanapohamia wanabadilisha Jina halafu wanajifanya wanatoa mikopo South Africa, kumbe ni wizi mtupu. Halafu wameajiri vijana wengi sana tunakoelekea ni kubaya Vijana wetu wanapewa ajira feki wanafundishwa utapeli wakiwa na umri mdogo. Huu ni Mtihani WALLAH, Allah atuepushe
Nashauri serikali izifungie hasa PesaX wana wafanyakazi wehu wanaanza kutukana kabla hata tarehe ya rejesho haijafika
Mi Naona hawa watu wanalindwa na mtu mkubwa yaani mtu mwenye wazifa mkubwa, hawawez wakawa wanajiamini kiasi hiko.
I takuwa imeeleweka
Kwer bro
Hakika
Kwa ujumla japo wanawaita watu matapeli ila kati ya mkopeshaji na mkopaji taperi anajulikana ni nan nina kama hoja mbili
1.ni mkopo wa aina gani kiwango cha mkopo kinachotangazwa sicho kinachotolewa
2. Mtu unaomba mkopo unaulizwa utautumiaje unaandika kwa ajiri ya biashara then mkopo wanaokuja kupitisha ni kia si cha sh 5000 hawaishii hapo iyo 5000 inakuja kwa makato makubwa hapo hujaenda kwa wakala kutoa
3.ruhusa ya kukagua simu yanguwanapata wapi kwa mfano mimi mambo yakutishana siogopi
Daah! Bro vinei kazi ipo
Atar sana
Kweli kabisa nimekuelewa
Hao mm Huwa sjarbu kabisa kwanza nawamind sana
Yeah
Naomba namba yako kaka yamenikuta sina amani hata kidogo
Yani
Mi naona bora serikali ingeifungia hii mitandao
Hata hivyo hawana vibali
Ni matapeli wakubwa hao ni USTAWI LOAN yaani unapewa 19000 kulipa 30000 Kwa siku 6 kweli au 32800 Kwa 50,000 HUU NI UTAPELI
Siku 6 ni ndogo sana na riba ni kubwa sana
Siku chache sana
Riba inazidi 50% Kwa siku 6 siku 7 wanaanza ongeza deni ,unaweza kopa 19k ukaja lipa 100k ,mikopo kandamizi hizi
Hawa wa mtandaoni wa mikopo wafungiwe tu
Dawa ni kuwalipa then unawafungulia kesi ya uhalifu wa mtandao maana wamekuhack wanaona ishu zako! Badae watakulipa wao pesa zaidi ya hizo
Vinei 🔥
Pamoja
Niwapeni Siri mnaweza funga wasione namba zako Wala msg zako nenda kwenye setting's kwenye permission. Toa app yoyote Ile access humo
@@FatmaYusud hupewi mkopo , kuona vitu vyako ni moja ya makubaliano
@@Vineime nimekopa alf nikafunga app zao kila kitu na lain nimetoa akuna msg wana kitu chochote
@@user-tg5ci7ej6osasa siwatakupeleka police kukukamata
Hawa ni rahisi tuna jambo lao mimi kila siku kwenye group natumiw recod za wadaiwa alafu tunawapigia simu tuna maswali tukiwauliza wanakuacha.
Ndo maana awajawah kunipa mkopo 😂😂😂😂
Naomba msada unisaidie namba Yako yamenikuta pia
Naomba msada namba yako
Me walinitangaza tapeli mwizi,na nikundiwa group lenye namba za muhimu wakanichafua,alafu bado wanaomba hela nikilipa waniite mbwa
Walipe 2😂😂😂
😅😅😅
Na Mimi imenikuta wamewatumia watu wangu wa karibu na Mimi waniite mbwa kama nitawalipa
Uncle nitumie NAMBA yako ya WhatsApp
@@glorygaluma7715pole G hao wapumbavu sana
Wala waambia ndugu zangu nime kopa milioni 1 kumbe nilikopa 35000 hawafai hata kidogo
Wanazingua
Pole sana
Na mimi nilikopa Alafu siku ya malipo nikashindwa kulipa deni hilo Alafu nikafuta app zao
Hawa kukusumbua
Naomba no yako plz
@@DayaxRBws1tc, naomba namba yako nikuilize kitu kaka maana daah!
😅😅😅😅😅
Kweli
Jamn wekaka we mi nimelia Sana jamn
😀umelia kwanin sas
@@Vineikama app ya Zim Cash Yan apan jmn
Oya hawa dawa usitumie simu unayokopea
Nikweli kabisaa
Oy mwanangu hii ni Hatarii
Noma sana kaka
sina hamu nao wamesambaza sms kua tapeli kisa 2000,,hawafai kabisa
Wajichanganye wanipe mm mkopo awataona kitu Yani nawafanyia block up mbwa hawa
Wewe kupewa sahau😅😅
@@Vinei 😂😂😂
Hivyohivyo mm waliniita mwizi na tapeli wa mitandaoni
Pole sana
Kwa nini wanatukana! Wengine ni watu wazima wanaambulia mitusi😢
Bora kutokopa Kwenye hizo apps
tabia yao hii ya kutukana ilinifanya nikapata mbinu ambayo nikishakopa hawaweza kuhack chochote ktk simu yangu ila kabla sijakopa huwa naficha contacts na kuacha chache ambazo haziko hewan,nikiipata tu hela hapohapo nafuta application🤣🤣🤣 hawataweza kumpigia mwingine baada ya kuwazingua isipokuwa mimi tu
Ukatili🥲
Ni application gani ambayo inatumika pindi mtu aikupigia anauwezo wakuona namba zote ulowasiliana nazo iyo siku maana sio siri mke wangu anakandamiza na hili so brow kama unaijuwa tengeza vidio iwafae wote.
Wengine Wana Ofisi za Siri wamepanga Sinza Kwa Mugabe, yaani wamepanga nyumba ya kawaida sana kumbe ndani kuna WIZI wa mitandao unafanyika walihama Natai Plaza kukimbia Polisi mara Kwa mara wakahamia Sinza Kwa Mugabe hao ni SUNN LOAN au Ccc , Kila wanapohamia wanabadilisha Jina halafu wanajifanya wanatoa mikopo South Africa, kumbe ni wizi mtupu. Halafu wameajiri vijana wengi sana tunakoelekea ni kubaya Vijana wetu wanapewa ajira feki wanafundishwa utapeli wakiwa na umri mdogo. Huu ni Mtihani WALLAH, Allah atuepushe
Duh
Umenifungua😂
Duuh...!
Mimi waliniboa sana niliacha kuwalipa kwa sababu nilikopa elf 70 wakanitumia elf 45 yaan siwalipi mpaka wamalizie kunipa hela yote niliyo kopa
Noma sana
Je ukifut app yao bado wanawez kufatilia na kuon kila kitu chak au?
Ndio. Maana wanakua bado na access ya imei za hiyo simu
Hawaoni vipya ila wanakuanavyo vyote
Kwnn hawafungiwi wanatukna saana
Kwa kuwapata ndio mtihani
Naomba kuzungumza na ww kuna kitu nataka unisaidie
0624741607 namba hio kaka
Hello, mm pia naweza ongea ww kaka
Duuuuuuuuuh hatariiiiii
Noma
Je ukitoa laini kwenye cm watakupata?
Labda uivunje
Kama nimeuza cm au natumia cm ndogo
Hawapati taarifa zako mpya
Mbona hupatikan
WhatsApp nipo mda wote
@@Vinei hv ucpo walipa watakufanya nn brooh vinei
Liba zao ni kubwa mh nilikoma
Noma sana
Naomba namba yako ya WhatsApp please
0624741607
@@Vinei ckupati kaka hata WhatsApp