JE WAKIRISTO MUNGU WENU NANI YESU AMEKATAA KUWA YEYE SIYE MUNGU NA HANA NASABU YA UUNGU | SHK MSELEM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #AdilTV #sheikhmselembinaly
    • JE WAKIRISTO MUNGU WEN...

Комментарии • 335

  • @samuelondieki9164
    @samuelondieki9164 Год назад +1

    Asante kwa kusoma kwamba atakuwa na nguvu hapa duniani mbaka ahela yesu huyo ,Mungu akufungulie zaidi kufunza juu yake

  • @jokhasimba586
    @jokhasimba586 Год назад +2

    Alhamdulillah tunamdhukur mung.kutujaliya.kuwa ktk dini ya uislam

  • @dani72130
    @dani72130 Год назад

    Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, hakuna Mungu wa Wakristo wala Mungu wa waislam.

  • @hamidmkwizu6379
    @hamidmkwizu6379 Год назад

    Maashaallah Allah akupe mwisho mwema

  • @ibrahimuhamisi6894
    @ibrahimuhamisi6894 Год назад

    Mungu akupe nguvu

  • @muhamedissa9477
    @muhamedissa9477 Год назад

    Mungu akupe umri mrefu akuna mungu mtu Wala wa kuzaliwa mungu mmoja tu

  • @abdullelectrical7803
    @abdullelectrical7803 Год назад +7

    Dini inayo kubalika mbele ya allah ni uislam na allah ndie afaae kuabudiwa

  • @jokhasimba586
    @jokhasimba586 Год назад +1

    Shekh allaah akupe.umri.mteef weny kutenda mema

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад +2

    Allah awazidishie kutupa elimu

  • @ramadhansimbila2666
    @ramadhansimbila2666 Год назад +1

    allwaahu akbar subhanallwah

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Mungu ni nani na kama haumjui Kwa kummwaminisha mtu,basi tambua Yesu ni Mungu. Mungu hawezi kujificha,wanaojificha ni majini na mashetani.Mungu Kwa njia ya Yesu ameonekana.Biblia. Yoh14:1..

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      Et mungu ndo alikuumba ama aliumba dunia yeye kaumbwa nanani tumboni mwa mariam mungu wakuket miez 9 tumboni mwa mwanadam mna ango lenu poleni

  • @yussfallow6048
    @yussfallow6048 Год назад

    Masha Allah akabr

  • @chuliztexsasmedia124
    @chuliztexsasmedia124 Год назад +1

    Allah awazidishie elmu na awalinde

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Год назад

    Mashaallah

  • @baysadam235
    @baysadam235 Год назад +1

    Allah Akbar🇲🇿🇹🇿

  • @stevendavid8054
    @stevendavid8054 Год назад

    Ukisoma neno la Mungu kwa kawaida uwezi elewa,Mungu akufunulie rohoni zaidi utaelewa zaidi habari Ya Yesu,na kusudi la Yeye kuja ulimwenguni,na kwanini mimba yake ni tofauti na manabii uliowasema Yesu ni watofauti na ni Mungu mwenyewe

    • @selemanimakau9026
      @selemanimakau9026 Год назад +1

      Soma tena nachambua vzri maandiko yani yesu atoke kwenye uchi wa mariam anyonye ale atailiwe alafu baadae aje awe mungu,tafakari upya.

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад +1

      Adam wa tofauti zaidi maana kaumbwa tu, hakuzaliwa na mtu yoyote. Hakuwa na mama wala baba. Bora yesu alikuwa na mama.
      Pia Adam kaumbwa kwa udongo. Hawa katoka kwa Adam hakuwa na wazazi pia. Sisi tumetokana na manii. Mbegu za kiume na mayai ya kike. Huo ndiyo uumbaji wa Mungu. Na wote una maajabu yake.

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      UNAUBWABWA WA AKULI WEWE ET MUNGU WAKUTOKA NANJIA CHAFU NIMUNGU WAVP POLE YAKO

  • @charleschivwad775
    @charleschivwad775 Год назад

    Ndio nyinyi mtaendelea kuitawala dunia, lakini mjue maisha ya dunia ni mafupi sana na mtachomwa kwenye Moto wa milele.

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      WALIOKOSEA ALLAH NDO WATACHOMWA

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Год назад +1

    Dini ya kweli ni uislam

  • @nurdingunnto1715
    @nurdingunnto1715 Год назад +1

    Kitab cha wakristo kimenyongeshwa sasa quran imekuja kuwafumbua macho wao wanaona tunawafatilia haya hivi punde watajua inshaallah

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Год назад +1

    Mi nashangaa sana, waislam wana acha kujifunza dini yao wanawataja wakristo, yani bila ukristo uislamu hauendi au, angalia ibada zetu hatutaji waislam kabisa, labda kwenye mihadhara tu, nadhani Yesu sasa anazidi kuwatokea waislam kila kukicha.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Год назад

      Km Mungu aliekuumbeni kakutajeni ndani ya Qur'an sisi ni nani tusikutajeni na Kumbuk sisi tupo kukumbusheni kuwa hiyo Njia mnayofata sio sahihi maan hata Yesu hakuwahi kufata kabisaa

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp Год назад

      Kiristo c dini bali ni jina last mtu

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      Iissa cnimtume wa ALLAH kwanini tucmtaje

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад +1

    Kweli wakristo ni vipofu,hata huyu sheikh vyote anavyo fafanua bado hawamwelewi subhannallah , mtamwelewa nani nyinyi

  • @Chekibob
    @Chekibob Год назад

    Yesu ni mwana wa Mungu msizingue

    • @abrahmanifarouckissa5662
      @abrahmanifarouckissa5662 Год назад

      Mungu hana mtotoooo

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Год назад +2

      Mungu hazai wala Hazaliwi Mungu ni Muumba Yusu Si Mungu ni Mtume WA Mungu kwa Wana wa Israili

    • @hassanabdalla2741
      @hassanabdalla2741 Год назад +1

      Yesu ni Mtume soma Waebrania 3:1, soma pia Yohana 7:3, Yhn 20:17, Yohana 8:54. Soma Isaya 40:28

    • @selemanimakau9026
      @selemanimakau9026 Год назад +1

      Unajua Sana Kuwayeye,alizaliwa alitoka kwenye tupu yamariyam,akanyonya ziwalamariyam, alikunya alikula, alitahihiliwa sass sofa ya uuuungu ikowapi?

    • @asiahamis7893
      @asiahamis7893 Год назад

      Ww km umelala amka yesu sio mwana wa mung m, mungu Hana mtoto Wala hakuzaliwa

  • @emanuelmsigwa1927
    @emanuelmsigwa1927 Год назад +1

    Ukristo ni imani ya jins ya kiroho zaid inafunua mambo ya kiroho hadi yaliyojificha nyuma ya pazia na uisilam ni imani iliyo kwa jins ya mwili ,hamuwez kujua maana ya Baba Mwana na Roho mtkatf kuwa ni Mungu mmoja, msihangaike na Yesu tu hata Roho matakatifu ni Mungu

    • @mazartajmohamed1437
      @mazartajmohamed1437 Год назад +1

      Yesu aliwaambia wanafunzi wake kwaherini ninakwenda kwa baba ambae ni baba yenu pia, mungu wangu ni mungu wenu, kama ni mungu alimtaja mungu gani tena..pia alitakamka mungu wangu mbona unaniacha aliomba kwa mungu gani tena ili amsaidie, hawakumsulubu qurani inakataa ila yupo mbinguni atarudi uraiani afe kama kiumbe wengine.

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    2023 Hakuna kitu Wala Imani inayoweza kuushinda Ukristu.Yesu mwenywe alisema.Biblia Mt 16:16-18. Ni kama bahari haiwezekani kuikausha bahari Kwa kuchimba bwawa pembeni. Ukristu una watu 2.4 bilion unawezaje kuwashinda idadi hiyo.

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      SASA NICFA MWAACHA MUNGU WENU ALIYE WAUMBA MWAMUABUDU BINADAMU MWENZENU ANAYE PUMUA KWA PUMZ ZA ALLAH

  • @saleherajabu6890
    @saleherajabu6890 Год назад

    Ayo mnayoyasema kwamba yesu nimungu ajayasema yesu bali paulo ndie aliesema kuwa yesu nimungu,

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Год назад

    Yesu kristo ni Mungu waislamu mkizidiwa kajinyonge atutaacha kumuabudu Yesu kristo

    • @Ajumbotalent1
      @Ajumbotalent1 Год назад

      Mungu ni moja tu allah yesu ni kumbe miongoni mwa mitume 25 ambae yesu ni 23 katika utume hiyo 25 kwa hiyo huyo sio mungu musipotee kisha mkapotosha vizazi vijavo munajukumu zito siku ya kiama wala hamna hesab

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      @@Ajumbotalent1 Mungu ni mmoja!!!! Quruan 4:79 nasi tumekutuma Kwa watu hili ukawe mtume na shaidi ni Allah jiulize hapo Nasi ni wakina Nani kama shaidi ni Allah?

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      @@Ajumbotalent1 Muhammad akumjua Yesu kristo ndo matokeo yake hayo na nyie waislamu mmekuwa hivyo hivyo Yesu alikuwa duniani kabla ya Muhammad miaka mia SITA ni kama Sasa mtu mwenye miaka 20 ni mtu mzima akitakakumjua Yerere atafute vitabu vyenye istoria ya mwl Yerere kama hajuikusoma hatakuwa kimuongelea Yerere atakuwa nadanganya Kama Muhammad alivyodanganya kuhusu Yesu Muhammad atupitabu wakristo alikuwa ajui kusoma na kuandika na sisi wakristo habari za Yesu kristo tunazisoma kwenye biblia waislamu njooni kwa Yesu kristo mtamfaamu vizuri ni nani

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      @@Ajumbotalent1 Muhammad akumjua Yesu kristo ndo matokeo yake hayo na nyie waislamu mmekuwa hivyo hivyo Yesu alikuwa duniani kabla ya Muhammad miaka mia SITA ni kama Sasa mtu mwenye miaka 20 ni mtu mzima akitakakumjua Yerere atafute vitabu vyenye istoria ya mwl Yerere kama hajuikusoma hatakuwa kimuongelea Yerere atakuwa nadanganya Kama Muhammad alivyodanganya kuhusu Yesu Muhammad atupitabu wakristo alikuwa ajui kusoma na kuandika na sisi wakristo habari za Yesu kristo tunazisoma kwenye biblia waislamu njooni kwa Yesu kristo mtamfaamu vizuri ni nani

    • @abrahmanifarouckissa5662
      @abrahmanifarouckissa5662 Год назад

      Mungu akuongoze kijana

  • @mosesuwimana6647
    @mosesuwimana6647 Год назад +2

    Jamani sikilizeni asiemwabudu Yesu Kristo huyo anaabudu miungu

    • @abdullelectrical7803
      @abdullelectrical7803 Год назад +3

      Ndungu acha kujidanganya: allah ndo mungu afaaye kuabudiwa

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Год назад

      @@abdullelectrical7803 Allah ndio nani? Cc hatumjui!

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Год назад

      @@yousupjabri7304 wewe unajichanganya mwenyewe halafu halafu hujui kitu kuhusu Mungu. Aliekuambia wewe Yesu ni Mungu Ni nani? Halafu tuambie huyo Allah ndie nani? Kwanini mtume wenu hakujua aendako? Je alitumwa na Mungu asie jua Yuko wapi?

    • @yousupjabri7304
      @yousupjabri7304 Год назад

      @@venancemwanya4212 najichanganya au nyie na iman yenu inawachanganya ...yenyew hamuelew iman yenu ntakua mie...wenyewe mnatofautiana katika kuamin ntakua mie...nahuo ndio uhalisia wa iman yenu kutofautiana 🙈🙈!!wenzio katika koment wanasema yesu ni mungu tena kalibun wote walio koment..alicho andika mwnzio hapo juu kasema yesu aabudiwe ... pitia komenti za wakristo wenzio wanasema yesu ni mungu mwenyewe...wew unakana yesu sio mungu😥😥😥 sasa nikiwa mkristo niamin kipi yesu ni mungu au sio mungu...sababu kuna wakristu wanao amin yesu ni mungu na wapo wanao amin yesu sio mungu ....tufate lipi😖😖??aaah dada tuwen wakweli uliza mwislam yoyote dunian popote pale atakwambia mungu ni mmoja....hana sababu ya kumuelezea mwenyewe anajiyosheleza...wenyewe hamuelew unanambia mie ambae iman yangu imenyooka...

    • @yousupjabri7304
      @yousupjabri7304 Год назад +1

      @@venancemwanya4212 wew unaniambia mie najua nn kuhc mungu...wew unajua nn...mwenyew hujui chochote ushasema yesu sio mungu!!! wakristo wenzio wanasema yesu ni mungu...kwa hivo mpaka hapo hunauhakika kua nani unae takiwa kumuabudu kulilingana na iman yako...umeuliza Allah ni nani...jibu ni( Mungu mmoja☝)..hafanani na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa ,,halali wala hashikwi na umauti,,yaan hafi... ni vyake vyote vilivyopo dunian na mbingun vimuabuduvyo na visivyo muabudu...nasisi waislamu tumemuamin yeye hatumshilikishi na chochote....na tumeamini mitume wake wote hatutofautishi yoyote baina yao wote tumewaamin..

  • @swahibually8349
    @swahibually8349 Год назад

    Jamani naombeni kama kuna anaejua kitabu anachotumia Sheikh Musellemu,ni kitabu Gani?

  • @johnkisubi8974
    @johnkisubi8974 Год назад

    Yesu ni Mungu ata mupinge, matayo 25 :1

    • @Ajumbotalent1
      @Ajumbotalent1 Год назад

      hakuna aminie matayo hicho ni kitabu kama vitabu vyengin vinavosomwesha mashulen sio kitabu cha mung kama munavosema

    • @abrahmanifarouckissa5662
      @abrahmanifarouckissa5662 Год назад +3

      Subiri ufe kama yesu ni mungu

    • @makhanguwakhutu2408
      @makhanguwakhutu2408 Год назад +1

      Shida yako unasoma kitabu ya king james hujapata kusoma injili ya nabiii issa wewe uko kwa mfalme wa england king james wewe wajua kwanini alizuia bibilia zingne akandika yake

    • @johnkisubi8974
      @johnkisubi8974 Год назад

      @@abrahmanifarouckissa5662 we uliye kufa ulijuaje kama yesu sio Mungu utu saidie wewe njo umejua ju ulikua umesha kufa unajua iyo siri ya kuwa yesu sio Mungu

    • @johnkisubi8974
      @johnkisubi8974 Год назад

      @@makhanguwakhutu2408 alafu iyo kitabu unacho soma njo musa alio andika ?

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Год назад

    Endeleeni kuchambua Imani za wengine badala ya kuwafundisha watu wenu Imani yenu , mnatusaidia kuwafanya waamini wenu waende kwa mwamposa kuchukua mafuta na kwa Geo Davie huko Arusha

    • @selemanimakau9026
      @selemanimakau9026 Год назад

      Wewe na hao wanaodnda kwa mwamposa wote ni sawa tu,kwasababu munamjua munaemuabudu,furaieni tu dunia yajayo yanafurahisha.

    • @abeidrashid9993
      @abeidrashid9993 Год назад

      Imani ni sehemu ya kuamini pia kinachosemwa

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      Shauryao iyo wafata moto imani zao zko chini lkn lamuhimu yesu ni mtume😂😂cmungu alipitiya kwenye uchi

  • @coolpara8192
    @coolpara8192 Год назад

    Ww ndio usipoteze watu hujuwi kitu Yesu hawez kuwa mwana wa mungu

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      Umemckia wap amesema yesu nimwana wa mungu

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 Год назад

    Yohana 17:1 .4

  • @sospeterndaga9806
    @sospeterndaga9806 Год назад

    Tuambie mtume Mohamed alizaliwa na nani na kwa nini hamtaki kumfuga mbwa na nn kinamfanya mumsujudie na hali mkijua Mungu yupo mtakalia Majungu tu wachawi wafuga majini

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      Nani anamsujidia Mtume Muhammad. Kama unadhani ni waislam hiyo si kweli

    • @nurdingunnto1715
      @nurdingunnto1715 Год назад

      Mbona unakua mkali teena wew chukua point hapoo hakuna vidole juu hyo kweli mtupu

  • @Anonymous23216
    @Anonymous23216 Год назад

    Tatizo la waislamu wote ni kwamba wanaamini sana wanavo ambiwa na ma sheikh wao. Ila wanashindwa kujua kwamba mungu alivaa mwili kama inavoelezwa kwenye 1timotheo 3:16. Kwa io yesu ni mungu na ilo halitobadilika abadani. Amna Aya yoyote ile from tul Fatima to tul Nas inayos3mq kwama Mohamad aliongea(alitumwa) ma mungu. (ISLAM) Ubatili mtupu

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Год назад

      Mungu anatahiriwa anakatwa jando
      😅😅😅

    • @asiakheir8684
      @asiakheir8684 Год назад

      Wewe hujielèwi waislam wanahifadhi msahafu mzima,niambie mkristo aliye hifadhi bible

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      Ni mungu alikuumba wewe mungu wakupita kwenye uchi ulimuona wap una akili tmamu

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      ​@@barakashaban9698et mungu aliye umba dunia na binadamu wake watake kumuua maajabu kweli

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 Год назад +3

    Dini ambayo atatuwokoa sisi ni uislamu tuu mkitaka msitake

  • @cgelege4088
    @cgelege4088 Год назад

    Kwanini Allah anampa Mwanadamu huyu mambo yakufanywa na yeye kuumba na kupulizia uhai kuona mambo ya mbele hizi ni sifa allmighty nafikiri tusome vitabu vilivyotangua Taurati na Injili hatuwezi kupata majawabu kwa kisa cha miaka 600 kabla kitabu anachotumia shehe huyu kutupa hii Hadithi

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Год назад

    Mathayo 14:33
    28:9 mathayo
    Yohana 20:28
    1yohana 5:20
    Isaya 9:6
    Warumi 9:5
    Wabrania 1:8
    Waislamu Muhammad alikuwa ajui kusoma ndomaana akujua Yesu ni Mungu shetani alimtumia hili kupinga habari za Yesu kristo mwokozi atuwezi kumuacha Yesu kristo kwasababu ya hako kakitabu Quruan kanazindiwa na kitabu Cha zaburi kwenye sisi wakristo Quruan ni dafutari ya mazoezi waislamu njooni kwa Yesu mlango upo wazi ahujafungwa

    • @bilaalmuhammad9499
      @bilaalmuhammad9499 Год назад

      Hujitambui kwa upeo wako manabii wameenda primary school?

    • @bilaalmuhammad9499
      @bilaalmuhammad9499 Год назад

      Mitume husomeshwa kwa njia ya wahay

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      @@bilaalmuhammad9499 kama alisomeshwa na uyo jibili wenu mbona akujua kusoma vitabu vyakina Musa Isa na mitume wengine uho ni uongo Mungu wa kweli ashidwi kuwezwaha kusoma haya maandishi ya kawaida kwenye vita kama biblia hiyo Quruan huyo Allah sio Mungu wa kweli Musa kaandika vitabu torati na Yesu aliandika na kusoma tunapata hizo taharifa kwenye biblia IPO wazi amuwezi kumsafisha Muhammad akasafishika ana matukio mengi ambyo mitume awakufanya ya ajabu kuoa mtoto wa miaka SITA

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      @@bilaalmuhammad9499 Musa alikulia ikulu ya misiri Kwa farao ikulu awakai vilaza

    • @hassanabdalla2741
      @hassanabdalla2741 Год назад

      Ndugu Proches naomba ukayachunguze maandiko haya kwa lengo la kujua ukweli juu ya Yesu. Kwanza wale wote wanaomuita Yesu kuwa ni Mungu hao ni wafuasi wa Ibilisi. Soma Luka 4:8 na Mathayo 4:10.
      2. Nafasi ya Yesu soma Isaya 44:24 na 40:28.
      3. Chunguza na Aya hizi:
      1Timotheo 2:5 na 6:16.
      Hesabu 23:19
      Yohana 20:17, 17:3, 8:54.
      Waebrania 3:1.
      Maandiko yapo mengi ktk Biblia ila itumie akili yako vyema mkate laini ni kwa watoto na mkate mgumu ni kwa watu wazima. Naamini ww ni mtu mzima.
      Ahsante

  • @catherinescott9113
    @catherinescott9113 Год назад +1

    Yesu ni mwana wa Mungu ..Acha kupotosha watu ..nyie muamini kile mnachokiamini ..na sisi wakristo tuamini tunachokiamini. Kwasababu sisi sote tunaemuomba ni mmoja ....wewe na Mimi hatujui yupi yupo sahihi katka dini yako na yangu ...ni Bora ubaki kimya kuliko kueneza uongo kujifanya unajua au ninajua 🤫🤐

    • @shabaniddy46
      @shabaniddy46 Год назад +4

      Ni vyema ukatafuta ukweli ukaujua kuliko kumuabudu asiyestahili kuabudiwa..vipi waabudu kiumbe kilichozaliwa kama ulivyo wewe. Aliyekaa kwenye tumbo la mzazi vipi atakua mungu.? Allah mwenyezi mungu ni mmoja hajazaa Wala hakuzaliwa wala hana mshirika na Halali wa hasinzii na hana hiyo sifa

    • @catherinescott9113
      @catherinescott9113 Год назад

      @@shabaniddy46 ndio maana nimesema wewe na Mimi hatujui yupi yupo sahihi sawa ...kutafta ukweli upi ikiwa kila momja anatetea dini yake au dhehebu lake ....wewe kama umeielewa sana uisilam basi na Mimi nimeelewa kuhusa ukristo ... Basi ni hivyo tu ... uisilam kuna kanununi zenu 🙏 basi msivuke mipaka .....nasema tena Bora ukae kimya kuliko ....

    • @kabwangaselemani5228
      @kabwangaselemani5228 Год назад

      Soma biblia usisomewe mistari

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад +1

      kwani ww una dini haya tuambie dini yako inaitwaje nikupe msimbazi ukiijua halafu sisi waislam mungu wetu ni ALLAH wa kwako anaitwaje ili tuwe na mungu mmoja jibu hayo

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад

      @@catherinescott9113 waislam dini yao inaitwa. islam 3:19 quran ya kwako inaitwaje ili uwe na uhakika ndio maana ww huna uhakika maana dini huna kama unayo itaje hapa

  • @coolpara8192
    @coolpara8192 Год назад

    Hakuna dini ya kikristo hii dini niyanani

  • @rehemajohnbosco5191
    @rehemajohnbosco5191 Год назад

    Wewew kizeee umeishiwa Kwan nawahuni wanazeheka ww aliyekwambia Yesu wetu anakuhusu nasharubu zako la fagio ww abudubyanayo kuhusu afu huyo Isa Nini mariamu unaye musema siyo yesu wadanganye mbumbumbu kama ww ila wasomi na wanajua chakwanza yesu Kwa Kwa kiarabu anaitwa shoshua na siyo Isa kizee wewe afu Koo wanazotoka tofauti mama yake Isa anatoka ukoo wa walawi ambaye ni dada yake na harunu ndgye Musa afu yesu ukoo wa yuda huyo Isa wenu kazaliwa chin ya mtende yesu kwenye ziziz la ngo'ombe Sasa ww yamekushinda nawenzio nadhani nivyema mungejadili kwann Toka kwanza Mungu aliku waua nyie ambapo Toka mwanzo nyie uhalisia wenu niwafilisiti acheni uongo afu bible haiwahusu nyie munajipendekeza afu Mungu wetu siwenu nyie bibulia yetu inakataa Sasa nivyema msome yanayo wahusu

  • @kisangageorgethomasi2830
    @kisangageorgethomasi2830 Год назад

    Utateseka sana na sisi ndio tumeitawala Dunia ww endelea kuumia roho yako

    • @mariamshaban4518
      @mariamshaban4518 Год назад

      Ww kisanga dunia ni starehe ndogo tu yenye kumalizika itawale dunia ila tambua utakufa

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 Год назад

      @@mariamshaban4518 kizazi akifi kitaendelea kurithi utawala

    • @mzeeomary5780
      @mzeeomary5780 Год назад

      Sasa tutana teseka nanini kafiri mkubwa hii dunia tuliikuta natutaicha nyinyi mnaona kama mko peponi shenzi kazi kutembeza wanawake zenu uchi manakwenda chooni na mapepa kinyesi kinabakia kenye matako yenu islam ndio mungozo wa hii Dunia mafunzo mema nasio kupiga mikelele

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 Год назад

      @@mzeeomary5780 kuchamba na maji sio kwenda peponi

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Год назад

      Dunia ni Pepo ya Makafiri(wakristo)na ni Gereza la Waislamu,kwaiyo wakristo pepo ynu ipo hapa hapa Duniani Akhera hamna chenu jitafakar ndugu fanya maamuz Usije ukatesek hapa duniani na akhera pia.

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Год назад

    Ni mkrusti alikuambia Yesu ni Mungu? Wakristo wanaamini Yesu ni mtumie wa Mungu na hivyo alizaliwa Kwa uwezo wa Mungu na Kwahiyo ni Mwana wa Mungu. Hayo Madevu yasikufanye ushindwe kuelewa yaliyoandikwa na kuchukua kipande tuu na kukielezea. Ikiwezekana nyoka hizo Ndevu kwani zinakuathiri kiuelewa.

    • @hassanomary9825
      @hassanomary9825 Год назад

      Ndevu sinahusikaje hapa

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Год назад

      We kwanza hujitambui ukiwa una jitambua angalia comment vzr pitia tna vzr utaona jinsi unavo enda tofaut na wakiristo wenzio, maana wengine wana sema mwana wa Mungu wengnie wana sema ni Mungu, so itakua hamji elewi kwa maelezo yenu

    • @kibangakiba1127
      @kibangakiba1127 Год назад

      Unamjua vizuri uyo kristo au unajiita mfuasi wake tu siku ukija kujuwa utaelewa achakudanganywa na wachungaji

    • @kibangakiba1127
      @kibangakiba1127 Год назад

      Kiristo sio yesu bali kiristo ni mwanamke kahaba na yeye ndio anajiita mungu anamtumia yesu vibaya yani kiristo ni ile ROHO iliyoingia kwa mariamu

    • @yohana1242
      @yohana1242 Год назад

      Ushapigika mwangalie mwenzio alokoment apo juu anasema mungu alivaa mwili wa mtu na ushahidi katoa apo wa aya na ww unasem ni mtume sas tumsikilize nani

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Год назад

    Hawa masheke wako kupotosha tu watu hapa na kukariri akili ndogo hawa jamaa cjui kama elimu ya kawaida waliosoma au wamebaki tu kukarir hii kurani yao tu wakristo hatusemi yesu ni mungu wetu Bali tunasema yesu ni mwana wa mungu ambaye alikufa msalabali kwa ajil ya kutuokoa kutoka dhambi ya asili. Eleweni vitu kwa mapana yake mnaboa mnapobakia kukarir nendeni mkasome ata shule za gombaru tu

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Год назад +1

      Sjapata kuona watu ambao hmna akili kama nyie katika maisha yangu yte,

    • @johnsulle4679
      @johnsulle4679 Год назад

      @@mudighurayra uislamu ulianzishwa kati miaka ya 600 lakini cjui kama utanielewa maana najua akili ni ile mgando kukarir badala ya kuelewa ukriato ulianza miaka ya 2022 iliyopita kwaiyo nyie ni kama tu chama cha siasa kinachojikongoja kutafuta wafuasi elewa

    • @kibangakiba1127
      @kibangakiba1127 Год назад

      Niwapi umemuona huyo mungu mwingine kaandikwa zaidi ya yesu biblia yote inamuongelea yesu mwenye kitabu cha majina ni mwana atakayekuja kunyakuwa watu ni mwana kila mahali ni mwana ndio mana nyie wa kiristo mna mtukuza yy mwanzo mwisho

    • @kibangakiba1127
      @kibangakiba1127 Год назад

      Mungu wenu mnamzalilisha mnamtembeza uchi akiwa shingo upande kinyonge vile alafu mlivo shikwa akili mkawa mnaliabudu lile sanamu kweli

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Год назад +1

      @@johnsulle4679 sasa nikulize kama yesu ni mwana wa Mungu je huyo Mungu ambae mna Muabudu nyie ni Mungu gani

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba Год назад

    Mnateseka nini na wakristu jamani

    • @shaibumpinga5225
      @shaibumpinga5225 Год назад

      Mnaonewa huruma mmepotea!

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад

      @@shaibumpinga5225sisi wakiristo hatutaki tuonewe huruma na makafiri kama nyinyi tuacheni na ukiristo wetu ambao tunaimani utatupeleka mbinguni

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Год назад

      @@ramadhanmahongole9293 katika dini yetu ime tufundisha tukulinganieni ili muokoke na adhabu za Allah hakika Allah ana adhabu kali mno

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад

      @@mudighurayra adhabu hiyo mtapata nyinyi waislamu ambao bado hamjamuamini yesu kiristo kuwa bwana na mokozi wa maisha yenu

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад

      @@mudighurayra nakushauri mrudie yesu na umkili kabla khiama hakijafika ili uongoke uepukane na moto🔥🔥wa jehannam

  • @johnmizunguofficial
    @johnmizunguofficial Год назад

    Kumbuka shehe wewe unapotosha INJIRI usipokiri kuwa yesu ni bwana utahukumiwa

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Год назад +1

      Umedsnganywa wewe, hata nawe ni bwana, ama wewe ni bibi?

    • @zakiyaidrisa7161
      @zakiyaidrisa7161 Год назад

      @@Sheba4651 wana macho hawaoni wana masikio hawasikii Hao ni kama wanyama

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      Ukiongozwa kiongozi asiyejua kusoma na kuandika kama Muhammad ndomaana Hawa waislamu wote ni viraza

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      Muhammad anajuta alichokifundisha hapa duniani ndomaana mka Leo majini ni waislamu sisi wakristo tunayaita mapepo na Yesu kristo alitufundi kuyafukuza mapepo mashetani waislamu ni ndugu zenu majanga hayo

    • @fransiskamwinuka4750
      @fransiskamwinuka4750 Год назад

      Kila mtu aamini kile anachoamini. Kuna sababu gani ya kuweka mjadala kuhusu suala la dini na imani za watu?

  • @emanuelmsigwa1927
    @emanuelmsigwa1927 Год назад +1

    Ukristo ni imani ya jins ya kiroho zaid inafunua mambo ya kiroho hadi yaliyojificha nyuma ya pazia na uisilam ni imani iliyo kwa jins ya mwili ,hamuwez kujua maana ya Baba Mwana na Roho mtkatf kuwa ni Mungu mmoja, msihangaike na Yesu tu hata Roho matakatifu ni Mungu

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Год назад

      "Kwa hakika wamekufuru waliosema;M/Mungu ni wa tatu wa Utatu,hali hakuwa Mungu ila Mungu Mmoja na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema,kwa yakini itawakamata adhabu Chungu wale wanaokufuru"(Aya ya 73 Sura ya 5)Qur'an, kuweni makini nudgu zetu hata ndacha kashtuk saiv kwa kuukataa utatu.

    • @stevendavid8054
      @stevendavid8054 Год назад

      Huyo alie wekwa ekaluni ni samweli,ili amtumikie Mungu

    • @asiakheir8684
      @asiakheir8684 Год назад

      Ndoo unavodanganywa na walimu wako

    • @williamchina6355
      @williamchina6355 Год назад

      Mngejikiti Kujitafakari Imani Mnaliyo Nayo Inasimamia Haki Za Mnyezi Mungu Kuliko Kuchunguza Chunguza, Watu Na Imani Zao, Mimi Niliupenda Sana Uislamu Na niliamini Ni Ni Dini Ya Haki Ila Ndugu Zangu , Usuda Na Majungu, Na Asadi Zetu Waislamu Kwa Sasa Kwa Sisi Turioslimu , Tunafika Kuogopa Ndugu Zetu Umoja Hatuna Asadi na kusengenyana Unafikiri Watu Wanapenda Ukristu, Hapana Kinawafanya Wakae Wamwachie Mungu Asadi Katika Imani Ya Kislamu , Nikubwa , Mimi Nimekuwa Katika ukristu Toka Nadhaliwa Nilislimu Mpaka Sasa Amani Sina Vita Niwaislamu , Usengenyaji Chuki Dhihaka Mpaka Unakuta Unatamani Kutoswali. Imani Za kuchafuana tu Hebu Tujiulize Twaswali La Nisifa Ya Swala Imani Huruma Hatuna

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 8 месяцев назад

      HAKUNA CHA ROHO MTAKATFU WALA MOYO WALA MAINI😂😂 MUNGU NI MMOJA TU NA NI JABAR MFALME NA AKIMU WA CKU YA KIAMA UYO YESU PIA NIMUUKUMIWA