Mungu ni nani na kama haumjui Kwa kummwaminisha mtu,basi tambua Yesu ni Mungu. Mungu hawezi kujificha,wanaojificha ni majini na mashetani.Mungu Kwa njia ya Yesu ameonekana.Biblia. Yoh14:1..
Ukisoma neno la Mungu kwa kawaida uwezi elewa,Mungu akufunulie rohoni zaidi utaelewa zaidi habari Ya Yesu,na kusudi la Yeye kuja ulimwenguni,na kwanini mimba yake ni tofauti na manabii uliowasema Yesu ni watofauti na ni Mungu mwenyewe
Adam wa tofauti zaidi maana kaumbwa tu, hakuzaliwa na mtu yoyote. Hakuwa na mama wala baba. Bora yesu alikuwa na mama. Pia Adam kaumbwa kwa udongo. Hawa katoka kwa Adam hakuwa na wazazi pia. Sisi tumetokana na manii. Mbegu za kiume na mayai ya kike. Huo ndiyo uumbaji wa Mungu. Na wote una maajabu yake.
Mi nashangaa sana, waislam wana acha kujifunza dini yao wanawataja wakristo, yani bila ukristo uislamu hauendi au, angalia ibada zetu hatutaji waislam kabisa, labda kwenye mihadhara tu, nadhani Yesu sasa anazidi kuwatokea waislam kila kukicha.
Km Mungu aliekuumbeni kakutajeni ndani ya Qur'an sisi ni nani tusikutajeni na Kumbuk sisi tupo kukumbusheni kuwa hiyo Njia mnayofata sio sahihi maan hata Yesu hakuwahi kufata kabisaa
Ukristo ni imani ya jins ya kiroho zaid inafunua mambo ya kiroho hadi yaliyojificha nyuma ya pazia na uisilam ni imani iliyo kwa jins ya mwili ,hamuwez kujua maana ya Baba Mwana na Roho mtkatf kuwa ni Mungu mmoja, msihangaike na Yesu tu hata Roho matakatifu ni Mungu
Yesu aliwaambia wanafunzi wake kwaherini ninakwenda kwa baba ambae ni baba yenu pia, mungu wangu ni mungu wenu, kama ni mungu alimtaja mungu gani tena..pia alitakamka mungu wangu mbona unaniacha aliomba kwa mungu gani tena ili amsaidie, hawakumsulubu qurani inakataa ila yupo mbinguni atarudi uraiani afe kama kiumbe wengine.
2023 Hakuna kitu Wala Imani inayoweza kuushinda Ukristu.Yesu mwenywe alisema.Biblia Mt 16:16-18. Ni kama bahari haiwezekani kuikausha bahari Kwa kuchimba bwawa pembeni. Ukristu una watu 2.4 bilion unawezaje kuwashinda idadi hiyo.
Mungu ni moja tu allah yesu ni kumbe miongoni mwa mitume 25 ambae yesu ni 23 katika utume hiyo 25 kwa hiyo huyo sio mungu musipotee kisha mkapotosha vizazi vijavo munajukumu zito siku ya kiama wala hamna hesab
@@Ajumbotalent1 Mungu ni mmoja!!!! Quruan 4:79 nasi tumekutuma Kwa watu hili ukawe mtume na shaidi ni Allah jiulize hapo Nasi ni wakina Nani kama shaidi ni Allah?
@@Ajumbotalent1 Muhammad akumjua Yesu kristo ndo matokeo yake hayo na nyie waislamu mmekuwa hivyo hivyo Yesu alikuwa duniani kabla ya Muhammad miaka mia SITA ni kama Sasa mtu mwenye miaka 20 ni mtu mzima akitakakumjua Yerere atafute vitabu vyenye istoria ya mwl Yerere kama hajuikusoma hatakuwa kimuongelea Yerere atakuwa nadanganya Kama Muhammad alivyodanganya kuhusu Yesu Muhammad atupitabu wakristo alikuwa ajui kusoma na kuandika na sisi wakristo habari za Yesu kristo tunazisoma kwenye biblia waislamu njooni kwa Yesu kristo mtamfaamu vizuri ni nani
@@Ajumbotalent1 Muhammad akumjua Yesu kristo ndo matokeo yake hayo na nyie waislamu mmekuwa hivyo hivyo Yesu alikuwa duniani kabla ya Muhammad miaka mia SITA ni kama Sasa mtu mwenye miaka 20 ni mtu mzima akitakakumjua Yerere atafute vitabu vyenye istoria ya mwl Yerere kama hajuikusoma hatakuwa kimuongelea Yerere atakuwa nadanganya Kama Muhammad alivyodanganya kuhusu Yesu Muhammad atupitabu wakristo alikuwa ajui kusoma na kuandika na sisi wakristo habari za Yesu kristo tunazisoma kwenye biblia waislamu njooni kwa Yesu kristo mtamfaamu vizuri ni nani
@@yousupjabri7304 wewe unajichanganya mwenyewe halafu halafu hujui kitu kuhusu Mungu. Aliekuambia wewe Yesu ni Mungu Ni nani? Halafu tuambie huyo Allah ndie nani? Kwanini mtume wenu hakujua aendako? Je alitumwa na Mungu asie jua Yuko wapi?
@@venancemwanya4212 najichanganya au nyie na iman yenu inawachanganya ...yenyew hamuelew iman yenu ntakua mie...wenyewe mnatofautiana katika kuamin ntakua mie...nahuo ndio uhalisia wa iman yenu kutofautiana 🙈🙈!!wenzio katika koment wanasema yesu ni mungu tena kalibun wote walio koment..alicho andika mwnzio hapo juu kasema yesu aabudiwe ... pitia komenti za wakristo wenzio wanasema yesu ni mungu mwenyewe...wew unakana yesu sio mungu😥😥😥 sasa nikiwa mkristo niamin kipi yesu ni mungu au sio mungu...sababu kuna wakristu wanao amin yesu ni mungu na wapo wanao amin yesu sio mungu ....tufate lipi😖😖??aaah dada tuwen wakweli uliza mwislam yoyote dunian popote pale atakwambia mungu ni mmoja....hana sababu ya kumuelezea mwenyewe anajiyosheleza...wenyewe hamuelew unanambia mie ambae iman yangu imenyooka...
@@venancemwanya4212 wew unaniambia mie najua nn kuhc mungu...wew unajua nn...mwenyew hujui chochote ushasema yesu sio mungu!!! wakristo wenzio wanasema yesu ni mungu...kwa hivo mpaka hapo hunauhakika kua nani unae takiwa kumuabudu kulilingana na iman yako...umeuliza Allah ni nani...jibu ni( Mungu mmoja☝)..hafanani na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa ,,halali wala hashikwi na umauti,,yaan hafi... ni vyake vyote vilivyopo dunian na mbingun vimuabuduvyo na visivyo muabudu...nasisi waislamu tumemuamin yeye hatumshilikishi na chochote....na tumeamini mitume wake wote hatutofautishi yoyote baina yao wote tumewaamin..
Shida yako unasoma kitabu ya king james hujapata kusoma injili ya nabiii issa wewe uko kwa mfalme wa england king james wewe wajua kwanini alizuia bibilia zingne akandika yake
@@abrahmanifarouckissa5662 we uliye kufa ulijuaje kama yesu sio Mungu utu saidie wewe njo umejua ju ulikua umesha kufa unajua iyo siri ya kuwa yesu sio Mungu
Endeleeni kuchambua Imani za wengine badala ya kuwafundisha watu wenu Imani yenu , mnatusaidia kuwafanya waamini wenu waende kwa mwamposa kuchukua mafuta na kwa Geo Davie huko Arusha
Tuambie mtume Mohamed alizaliwa na nani na kwa nini hamtaki kumfuga mbwa na nn kinamfanya mumsujudie na hali mkijua Mungu yupo mtakalia Majungu tu wachawi wafuga majini
Tatizo la waislamu wote ni kwamba wanaamini sana wanavo ambiwa na ma sheikh wao. Ila wanashindwa kujua kwamba mungu alivaa mwili kama inavoelezwa kwenye 1timotheo 3:16. Kwa io yesu ni mungu na ilo halitobadilika abadani. Amna Aya yoyote ile from tul Fatima to tul Nas inayos3mq kwama Mohamad aliongea(alitumwa) ma mungu. (ISLAM) Ubatili mtupu
Kwanini Allah anampa Mwanadamu huyu mambo yakufanywa na yeye kuumba na kupulizia uhai kuona mambo ya mbele hizi ni sifa allmighty nafikiri tusome vitabu vilivyotangua Taurati na Injili hatuwezi kupata majawabu kwa kisa cha miaka 600 kabla kitabu anachotumia shehe huyu kutupa hii Hadithi
Mathayo 14:33 28:9 mathayo Yohana 20:28 1yohana 5:20 Isaya 9:6 Warumi 9:5 Wabrania 1:8 Waislamu Muhammad alikuwa ajui kusoma ndomaana akujua Yesu ni Mungu shetani alimtumia hili kupinga habari za Yesu kristo mwokozi atuwezi kumuacha Yesu kristo kwasababu ya hako kakitabu Quruan kanazindiwa na kitabu Cha zaburi kwenye sisi wakristo Quruan ni dafutari ya mazoezi waislamu njooni kwa Yesu mlango upo wazi ahujafungwa
@@bilaalmuhammad9499 kama alisomeshwa na uyo jibili wenu mbona akujua kusoma vitabu vyakina Musa Isa na mitume wengine uho ni uongo Mungu wa kweli ashidwi kuwezwaha kusoma haya maandishi ya kawaida kwenye vita kama biblia hiyo Quruan huyo Allah sio Mungu wa kweli Musa kaandika vitabu torati na Yesu aliandika na kusoma tunapata hizo taharifa kwenye biblia IPO wazi amuwezi kumsafisha Muhammad akasafishika ana matukio mengi ambyo mitume awakufanya ya ajabu kuoa mtoto wa miaka SITA
Ndugu Proches naomba ukayachunguze maandiko haya kwa lengo la kujua ukweli juu ya Yesu. Kwanza wale wote wanaomuita Yesu kuwa ni Mungu hao ni wafuasi wa Ibilisi. Soma Luka 4:8 na Mathayo 4:10. 2. Nafasi ya Yesu soma Isaya 44:24 na 40:28. 3. Chunguza na Aya hizi: 1Timotheo 2:5 na 6:16. Hesabu 23:19 Yohana 20:17, 17:3, 8:54. Waebrania 3:1. Maandiko yapo mengi ktk Biblia ila itumie akili yako vyema mkate laini ni kwa watoto na mkate mgumu ni kwa watu wazima. Naamini ww ni mtu mzima. Ahsante
Yesu ni mwana wa Mungu ..Acha kupotosha watu ..nyie muamini kile mnachokiamini ..na sisi wakristo tuamini tunachokiamini. Kwasababu sisi sote tunaemuomba ni mmoja ....wewe na Mimi hatujui yupi yupo sahihi katka dini yako na yangu ...ni Bora ubaki kimya kuliko kueneza uongo kujifanya unajua au ninajua 🤫🤐
Ni vyema ukatafuta ukweli ukaujua kuliko kumuabudu asiyestahili kuabudiwa..vipi waabudu kiumbe kilichozaliwa kama ulivyo wewe. Aliyekaa kwenye tumbo la mzazi vipi atakua mungu.? Allah mwenyezi mungu ni mmoja hajazaa Wala hakuzaliwa wala hana mshirika na Halali wa hasinzii na hana hiyo sifa
@@shabaniddy46 ndio maana nimesema wewe na Mimi hatujui yupi yupo sahihi sawa ...kutafta ukweli upi ikiwa kila momja anatetea dini yake au dhehebu lake ....wewe kama umeielewa sana uisilam basi na Mimi nimeelewa kuhusa ukristo ... Basi ni hivyo tu ... uisilam kuna kanununi zenu 🙏 basi msivuke mipaka .....nasema tena Bora ukae kimya kuliko ....
kwani ww una dini haya tuambie dini yako inaitwaje nikupe msimbazi ukiijua halafu sisi waislam mungu wetu ni ALLAH wa kwako anaitwaje ili tuwe na mungu mmoja jibu hayo
@@catherinescott9113 waislam dini yao inaitwa. islam 3:19 quran ya kwako inaitwaje ili uwe na uhakika ndio maana ww huna uhakika maana dini huna kama unayo itaje hapa
Wewew kizeee umeishiwa Kwan nawahuni wanazeheka ww aliyekwambia Yesu wetu anakuhusu nasharubu zako la fagio ww abudubyanayo kuhusu afu huyo Isa Nini mariamu unaye musema siyo yesu wadanganye mbumbumbu kama ww ila wasomi na wanajua chakwanza yesu Kwa Kwa kiarabu anaitwa shoshua na siyo Isa kizee wewe afu Koo wanazotoka tofauti mama yake Isa anatoka ukoo wa walawi ambaye ni dada yake na harunu ndgye Musa afu yesu ukoo wa yuda huyo Isa wenu kazaliwa chin ya mtende yesu kwenye ziziz la ngo'ombe Sasa ww yamekushinda nawenzio nadhani nivyema mungejadili kwann Toka kwanza Mungu aliku waua nyie ambapo Toka mwanzo nyie uhalisia wenu niwafilisiti acheni uongo afu bible haiwahusu nyie munajipendekeza afu Mungu wetu siwenu nyie bibulia yetu inakataa Sasa nivyema msome yanayo wahusu
Sasa tutana teseka nanini kafiri mkubwa hii dunia tuliikuta natutaicha nyinyi mnaona kama mko peponi shenzi kazi kutembeza wanawake zenu uchi manakwenda chooni na mapepa kinyesi kinabakia kenye matako yenu islam ndio mungozo wa hii Dunia mafunzo mema nasio kupiga mikelele
Dunia ni Pepo ya Makafiri(wakristo)na ni Gereza la Waislamu,kwaiyo wakristo pepo ynu ipo hapa hapa Duniani Akhera hamna chenu jitafakar ndugu fanya maamuz Usije ukatesek hapa duniani na akhera pia.
Ni mkrusti alikuambia Yesu ni Mungu? Wakristo wanaamini Yesu ni mtumie wa Mungu na hivyo alizaliwa Kwa uwezo wa Mungu na Kwahiyo ni Mwana wa Mungu. Hayo Madevu yasikufanye ushindwe kuelewa yaliyoandikwa na kuchukua kipande tuu na kukielezea. Ikiwezekana nyoka hizo Ndevu kwani zinakuathiri kiuelewa.
We kwanza hujitambui ukiwa una jitambua angalia comment vzr pitia tna vzr utaona jinsi unavo enda tofaut na wakiristo wenzio, maana wengine wana sema mwana wa Mungu wengnie wana sema ni Mungu, so itakua hamji elewi kwa maelezo yenu
Ushapigika mwangalie mwenzio alokoment apo juu anasema mungu alivaa mwili wa mtu na ushahidi katoa apo wa aya na ww unasem ni mtume sas tumsikilize nani
Hawa masheke wako kupotosha tu watu hapa na kukariri akili ndogo hawa jamaa cjui kama elimu ya kawaida waliosoma au wamebaki tu kukarir hii kurani yao tu wakristo hatusemi yesu ni mungu wetu Bali tunasema yesu ni mwana wa mungu ambaye alikufa msalabali kwa ajil ya kutuokoa kutoka dhambi ya asili. Eleweni vitu kwa mapana yake mnaboa mnapobakia kukarir nendeni mkasome ata shule za gombaru tu
@@mudighurayra uislamu ulianzishwa kati miaka ya 600 lakini cjui kama utanielewa maana najua akili ni ile mgando kukarir badala ya kuelewa ukriato ulianza miaka ya 2022 iliyopita kwaiyo nyie ni kama tu chama cha siasa kinachojikongoja kutafuta wafuasi elewa
Niwapi umemuona huyo mungu mwingine kaandikwa zaidi ya yesu biblia yote inamuongelea yesu mwenye kitabu cha majina ni mwana atakayekuja kunyakuwa watu ni mwana kila mahali ni mwana ndio mana nyie wa kiristo mna mtukuza yy mwanzo mwisho
Muhammad anajuta alichokifundisha hapa duniani ndomaana mka Leo majini ni waislamu sisi wakristo tunayaita mapepo na Yesu kristo alitufundi kuyafukuza mapepo mashetani waislamu ni ndugu zenu majanga hayo
Ukristo ni imani ya jins ya kiroho zaid inafunua mambo ya kiroho hadi yaliyojificha nyuma ya pazia na uisilam ni imani iliyo kwa jins ya mwili ,hamuwez kujua maana ya Baba Mwana na Roho mtkatf kuwa ni Mungu mmoja, msihangaike na Yesu tu hata Roho matakatifu ni Mungu
"Kwa hakika wamekufuru waliosema;M/Mungu ni wa tatu wa Utatu,hali hakuwa Mungu ila Mungu Mmoja na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema,kwa yakini itawakamata adhabu Chungu wale wanaokufuru"(Aya ya 73 Sura ya 5)Qur'an, kuweni makini nudgu zetu hata ndacha kashtuk saiv kwa kuukataa utatu.
Mngejikiti Kujitafakari Imani Mnaliyo Nayo Inasimamia Haki Za Mnyezi Mungu Kuliko Kuchunguza Chunguza, Watu Na Imani Zao, Mimi Niliupenda Sana Uislamu Na niliamini Ni Ni Dini Ya Haki Ila Ndugu Zangu , Usuda Na Majungu, Na Asadi Zetu Waislamu Kwa Sasa Kwa Sisi Turioslimu , Tunafika Kuogopa Ndugu Zetu Umoja Hatuna Asadi na kusengenyana Unafikiri Watu Wanapenda Ukristu, Hapana Kinawafanya Wakae Wamwachie Mungu Asadi Katika Imani Ya Kislamu , Nikubwa , Mimi Nimekuwa Katika ukristu Toka Nadhaliwa Nilislimu Mpaka Sasa Amani Sina Vita Niwaislamu , Usengenyaji Chuki Dhihaka Mpaka Unakuta Unatamani Kutoswali. Imani Za kuchafuana tu Hebu Tujiulize Twaswali La Nisifa Ya Swala Imani Huruma Hatuna
Asante kwa kusoma kwamba atakuwa na nguvu hapa duniani mbaka ahela yesu huyo ,Mungu akufungulie zaidi kufunza juu yake
Alhamdulillah tunamdhukur mung.kutujaliya.kuwa ktk dini ya uislam
Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, hakuna Mungu wa Wakristo wala Mungu wa waislam.
Maashaallah Allah akupe mwisho mwema
Mungu akupe nguvu
Mungu akupe umri mrefu akuna mungu mtu Wala wa kuzaliwa mungu mmoja tu
Dini inayo kubalika mbele ya allah ni uislam na allah ndie afaae kuabudiwa
Shekh allaah akupe.umri.mteef weny kutenda mema
Allah awazidishie kutupa elimu
allwaahu akbar subhanallwah
Mungu ni nani na kama haumjui Kwa kummwaminisha mtu,basi tambua Yesu ni Mungu. Mungu hawezi kujificha,wanaojificha ni majini na mashetani.Mungu Kwa njia ya Yesu ameonekana.Biblia. Yoh14:1..
Et mungu ndo alikuumba ama aliumba dunia yeye kaumbwa nanani tumboni mwa mariam mungu wakuket miez 9 tumboni mwa mwanadam mna ango lenu poleni
Masha Allah akabr
Allah awazidishie elmu na awalinde
Mashaallah
Allah Akbar🇲🇿🇹🇿
Ukisoma neno la Mungu kwa kawaida uwezi elewa,Mungu akufunulie rohoni zaidi utaelewa zaidi habari Ya Yesu,na kusudi la Yeye kuja ulimwenguni,na kwanini mimba yake ni tofauti na manabii uliowasema Yesu ni watofauti na ni Mungu mwenyewe
Soma tena nachambua vzri maandiko yani yesu atoke kwenye uchi wa mariam anyonye ale atailiwe alafu baadae aje awe mungu,tafakari upya.
Adam wa tofauti zaidi maana kaumbwa tu, hakuzaliwa na mtu yoyote. Hakuwa na mama wala baba. Bora yesu alikuwa na mama.
Pia Adam kaumbwa kwa udongo. Hawa katoka kwa Adam hakuwa na wazazi pia. Sisi tumetokana na manii. Mbegu za kiume na mayai ya kike. Huo ndiyo uumbaji wa Mungu. Na wote una maajabu yake.
UNAUBWABWA WA AKULI WEWE ET MUNGU WAKUTOKA NANJIA CHAFU NIMUNGU WAVP POLE YAKO
Ndio nyinyi mtaendelea kuitawala dunia, lakini mjue maisha ya dunia ni mafupi sana na mtachomwa kwenye Moto wa milele.
WALIOKOSEA ALLAH NDO WATACHOMWA
Dini ya kweli ni uislam
Unajuaje kwa nini ziko dini mbili
@@rosemarytikiti1514 dini ziko zaidi ya mbili duniani
Kitab cha wakristo kimenyongeshwa sasa quran imekuja kuwafumbua macho wao wanaona tunawafatilia haya hivi punde watajua inshaallah
Mi nashangaa sana, waislam wana acha kujifunza dini yao wanawataja wakristo, yani bila ukristo uislamu hauendi au, angalia ibada zetu hatutaji waislam kabisa, labda kwenye mihadhara tu, nadhani Yesu sasa anazidi kuwatokea waislam kila kukicha.
Km Mungu aliekuumbeni kakutajeni ndani ya Qur'an sisi ni nani tusikutajeni na Kumbuk sisi tupo kukumbusheni kuwa hiyo Njia mnayofata sio sahihi maan hata Yesu hakuwahi kufata kabisaa
Kiristo c dini bali ni jina last mtu
Iissa cnimtume wa ALLAH kwanini tucmtaje
Kweli wakristo ni vipofu,hata huyu sheikh vyote anavyo fafanua bado hawamwelewi subhannallah , mtamwelewa nani nyinyi
Yesu ni mwana wa Mungu msizingue
Mungu hana mtotoooo
Mungu hazai wala Hazaliwi Mungu ni Muumba Yusu Si Mungu ni Mtume WA Mungu kwa Wana wa Israili
Yesu ni Mtume soma Waebrania 3:1, soma pia Yohana 7:3, Yhn 20:17, Yohana 8:54. Soma Isaya 40:28
Unajua Sana Kuwayeye,alizaliwa alitoka kwenye tupu yamariyam,akanyonya ziwalamariyam, alikunya alikula, alitahihiliwa sass sofa ya uuuungu ikowapi?
Ww km umelala amka yesu sio mwana wa mung m, mungu Hana mtoto Wala hakuzaliwa
Ukristo ni imani ya jins ya kiroho zaid inafunua mambo ya kiroho hadi yaliyojificha nyuma ya pazia na uisilam ni imani iliyo kwa jins ya mwili ,hamuwez kujua maana ya Baba Mwana na Roho mtkatf kuwa ni Mungu mmoja, msihangaike na Yesu tu hata Roho matakatifu ni Mungu
Yesu aliwaambia wanafunzi wake kwaherini ninakwenda kwa baba ambae ni baba yenu pia, mungu wangu ni mungu wenu, kama ni mungu alimtaja mungu gani tena..pia alitakamka mungu wangu mbona unaniacha aliomba kwa mungu gani tena ili amsaidie, hawakumsulubu qurani inakataa ila yupo mbinguni atarudi uraiani afe kama kiumbe wengine.
2023 Hakuna kitu Wala Imani inayoweza kuushinda Ukristu.Yesu mwenywe alisema.Biblia Mt 16:16-18. Ni kama bahari haiwezekani kuikausha bahari Kwa kuchimba bwawa pembeni. Ukristu una watu 2.4 bilion unawezaje kuwashinda idadi hiyo.
SASA NICFA MWAACHA MUNGU WENU ALIYE WAUMBA MWAMUABUDU BINADAMU MWENZENU ANAYE PUMUA KWA PUMZ ZA ALLAH
Ayo mnayoyasema kwamba yesu nimungu ajayasema yesu bali paulo ndie aliesema kuwa yesu nimungu,
Yesu kristo ni Mungu waislamu mkizidiwa kajinyonge atutaacha kumuabudu Yesu kristo
Mungu ni moja tu allah yesu ni kumbe miongoni mwa mitume 25 ambae yesu ni 23 katika utume hiyo 25 kwa hiyo huyo sio mungu musipotee kisha mkapotosha vizazi vijavo munajukumu zito siku ya kiama wala hamna hesab
@@Ajumbotalent1 Mungu ni mmoja!!!! Quruan 4:79 nasi tumekutuma Kwa watu hili ukawe mtume na shaidi ni Allah jiulize hapo Nasi ni wakina Nani kama shaidi ni Allah?
@@Ajumbotalent1 Muhammad akumjua Yesu kristo ndo matokeo yake hayo na nyie waislamu mmekuwa hivyo hivyo Yesu alikuwa duniani kabla ya Muhammad miaka mia SITA ni kama Sasa mtu mwenye miaka 20 ni mtu mzima akitakakumjua Yerere atafute vitabu vyenye istoria ya mwl Yerere kama hajuikusoma hatakuwa kimuongelea Yerere atakuwa nadanganya Kama Muhammad alivyodanganya kuhusu Yesu Muhammad atupitabu wakristo alikuwa ajui kusoma na kuandika na sisi wakristo habari za Yesu kristo tunazisoma kwenye biblia waislamu njooni kwa Yesu kristo mtamfaamu vizuri ni nani
@@Ajumbotalent1 Muhammad akumjua Yesu kristo ndo matokeo yake hayo na nyie waislamu mmekuwa hivyo hivyo Yesu alikuwa duniani kabla ya Muhammad miaka mia SITA ni kama Sasa mtu mwenye miaka 20 ni mtu mzima akitakakumjua Yerere atafute vitabu vyenye istoria ya mwl Yerere kama hajuikusoma hatakuwa kimuongelea Yerere atakuwa nadanganya Kama Muhammad alivyodanganya kuhusu Yesu Muhammad atupitabu wakristo alikuwa ajui kusoma na kuandika na sisi wakristo habari za Yesu kristo tunazisoma kwenye biblia waislamu njooni kwa Yesu kristo mtamfaamu vizuri ni nani
Mungu akuongoze kijana
Jamani sikilizeni asiemwabudu Yesu Kristo huyo anaabudu miungu
Ndungu acha kujidanganya: allah ndo mungu afaaye kuabudiwa
@@abdullelectrical7803 Allah ndio nani? Cc hatumjui!
@@yousupjabri7304 wewe unajichanganya mwenyewe halafu halafu hujui kitu kuhusu Mungu. Aliekuambia wewe Yesu ni Mungu Ni nani? Halafu tuambie huyo Allah ndie nani? Kwanini mtume wenu hakujua aendako? Je alitumwa na Mungu asie jua Yuko wapi?
@@venancemwanya4212 najichanganya au nyie na iman yenu inawachanganya ...yenyew hamuelew iman yenu ntakua mie...wenyewe mnatofautiana katika kuamin ntakua mie...nahuo ndio uhalisia wa iman yenu kutofautiana 🙈🙈!!wenzio katika koment wanasema yesu ni mungu tena kalibun wote walio koment..alicho andika mwnzio hapo juu kasema yesu aabudiwe ... pitia komenti za wakristo wenzio wanasema yesu ni mungu mwenyewe...wew unakana yesu sio mungu😥😥😥 sasa nikiwa mkristo niamin kipi yesu ni mungu au sio mungu...sababu kuna wakristu wanao amin yesu ni mungu na wapo wanao amin yesu sio mungu ....tufate lipi😖😖??aaah dada tuwen wakweli uliza mwislam yoyote dunian popote pale atakwambia mungu ni mmoja....hana sababu ya kumuelezea mwenyewe anajiyosheleza...wenyewe hamuelew unanambia mie ambae iman yangu imenyooka...
@@venancemwanya4212 wew unaniambia mie najua nn kuhc mungu...wew unajua nn...mwenyew hujui chochote ushasema yesu sio mungu!!! wakristo wenzio wanasema yesu ni mungu...kwa hivo mpaka hapo hunauhakika kua nani unae takiwa kumuabudu kulilingana na iman yako...umeuliza Allah ni nani...jibu ni( Mungu mmoja☝)..hafanani na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa ,,halali wala hashikwi na umauti,,yaan hafi... ni vyake vyote vilivyopo dunian na mbingun vimuabuduvyo na visivyo muabudu...nasisi waislamu tumemuamin yeye hatumshilikishi na chochote....na tumeamini mitume wake wote hatutofautishi yoyote baina yao wote tumewaamin..
Jamani naombeni kama kuna anaejua kitabu anachotumia Sheikh Musellemu,ni kitabu Gani?
Yesu ni Mungu ata mupinge, matayo 25 :1
hakuna aminie matayo hicho ni kitabu kama vitabu vyengin vinavosomwesha mashulen sio kitabu cha mung kama munavosema
Subiri ufe kama yesu ni mungu
Shida yako unasoma kitabu ya king james hujapata kusoma injili ya nabiii issa wewe uko kwa mfalme wa england king james wewe wajua kwanini alizuia bibilia zingne akandika yake
@@abrahmanifarouckissa5662 we uliye kufa ulijuaje kama yesu sio Mungu utu saidie wewe njo umejua ju ulikua umesha kufa unajua iyo siri ya kuwa yesu sio Mungu
@@makhanguwakhutu2408 alafu iyo kitabu unacho soma njo musa alio andika ?
Endeleeni kuchambua Imani za wengine badala ya kuwafundisha watu wenu Imani yenu , mnatusaidia kuwafanya waamini wenu waende kwa mwamposa kuchukua mafuta na kwa Geo Davie huko Arusha
Wewe na hao wanaodnda kwa mwamposa wote ni sawa tu,kwasababu munamjua munaemuabudu,furaieni tu dunia yajayo yanafurahisha.
Imani ni sehemu ya kuamini pia kinachosemwa
Shauryao iyo wafata moto imani zao zko chini lkn lamuhimu yesu ni mtume😂😂cmungu alipitiya kwenye uchi
Ww ndio usipoteze watu hujuwi kitu Yesu hawez kuwa mwana wa mungu
Umemckia wap amesema yesu nimwana wa mungu
Yohana 17:1 .4
Tuambie mtume Mohamed alizaliwa na nani na kwa nini hamtaki kumfuga mbwa na nn kinamfanya mumsujudie na hali mkijua Mungu yupo mtakalia Majungu tu wachawi wafuga majini
Nani anamsujidia Mtume Muhammad. Kama unadhani ni waislam hiyo si kweli
Mbona unakua mkali teena wew chukua point hapoo hakuna vidole juu hyo kweli mtupu
Tatizo la waislamu wote ni kwamba wanaamini sana wanavo ambiwa na ma sheikh wao. Ila wanashindwa kujua kwamba mungu alivaa mwili kama inavoelezwa kwenye 1timotheo 3:16. Kwa io yesu ni mungu na ilo halitobadilika abadani. Amna Aya yoyote ile from tul Fatima to tul Nas inayos3mq kwama Mohamad aliongea(alitumwa) ma mungu. (ISLAM) Ubatili mtupu
Mungu anatahiriwa anakatwa jando
😅😅😅
Wewe hujielèwi waislam wanahifadhi msahafu mzima,niambie mkristo aliye hifadhi bible
Ni mungu alikuumba wewe mungu wakupita kwenye uchi ulimuona wap una akili tmamu
@@barakashaban9698et mungu aliye umba dunia na binadamu wake watake kumuua maajabu kweli
Dini ambayo atatuwokoa sisi ni uislamu tuu mkitaka msitake
kwaiyo unaabudu dini!!
Dini hsiwezi kumwokoa binadamu hila YESU KRISTO tu pekee ndiye mwokozi
Kwanini Allah anampa Mwanadamu huyu mambo yakufanywa na yeye kuumba na kupulizia uhai kuona mambo ya mbele hizi ni sifa allmighty nafikiri tusome vitabu vilivyotangua Taurati na Injili hatuwezi kupata majawabu kwa kisa cha miaka 600 kabla kitabu anachotumia shehe huyu kutupa hii Hadithi
Mathayo 14:33
28:9 mathayo
Yohana 20:28
1yohana 5:20
Isaya 9:6
Warumi 9:5
Wabrania 1:8
Waislamu Muhammad alikuwa ajui kusoma ndomaana akujua Yesu ni Mungu shetani alimtumia hili kupinga habari za Yesu kristo mwokozi atuwezi kumuacha Yesu kristo kwasababu ya hako kakitabu Quruan kanazindiwa na kitabu Cha zaburi kwenye sisi wakristo Quruan ni dafutari ya mazoezi waislamu njooni kwa Yesu mlango upo wazi ahujafungwa
Hujitambui kwa upeo wako manabii wameenda primary school?
Mitume husomeshwa kwa njia ya wahay
@@bilaalmuhammad9499 kama alisomeshwa na uyo jibili wenu mbona akujua kusoma vitabu vyakina Musa Isa na mitume wengine uho ni uongo Mungu wa kweli ashidwi kuwezwaha kusoma haya maandishi ya kawaida kwenye vita kama biblia hiyo Quruan huyo Allah sio Mungu wa kweli Musa kaandika vitabu torati na Yesu aliandika na kusoma tunapata hizo taharifa kwenye biblia IPO wazi amuwezi kumsafisha Muhammad akasafishika ana matukio mengi ambyo mitume awakufanya ya ajabu kuoa mtoto wa miaka SITA
@@bilaalmuhammad9499 Musa alikulia ikulu ya misiri Kwa farao ikulu awakai vilaza
Ndugu Proches naomba ukayachunguze maandiko haya kwa lengo la kujua ukweli juu ya Yesu. Kwanza wale wote wanaomuita Yesu kuwa ni Mungu hao ni wafuasi wa Ibilisi. Soma Luka 4:8 na Mathayo 4:10.
2. Nafasi ya Yesu soma Isaya 44:24 na 40:28.
3. Chunguza na Aya hizi:
1Timotheo 2:5 na 6:16.
Hesabu 23:19
Yohana 20:17, 17:3, 8:54.
Waebrania 3:1.
Maandiko yapo mengi ktk Biblia ila itumie akili yako vyema mkate laini ni kwa watoto na mkate mgumu ni kwa watu wazima. Naamini ww ni mtu mzima.
Ahsante
Yesu ni mwana wa Mungu ..Acha kupotosha watu ..nyie muamini kile mnachokiamini ..na sisi wakristo tuamini tunachokiamini. Kwasababu sisi sote tunaemuomba ni mmoja ....wewe na Mimi hatujui yupi yupo sahihi katka dini yako na yangu ...ni Bora ubaki kimya kuliko kueneza uongo kujifanya unajua au ninajua 🤫🤐
Ni vyema ukatafuta ukweli ukaujua kuliko kumuabudu asiyestahili kuabudiwa..vipi waabudu kiumbe kilichozaliwa kama ulivyo wewe. Aliyekaa kwenye tumbo la mzazi vipi atakua mungu.? Allah mwenyezi mungu ni mmoja hajazaa Wala hakuzaliwa wala hana mshirika na Halali wa hasinzii na hana hiyo sifa
@@shabaniddy46 ndio maana nimesema wewe na Mimi hatujui yupi yupo sahihi sawa ...kutafta ukweli upi ikiwa kila momja anatetea dini yake au dhehebu lake ....wewe kama umeielewa sana uisilam basi na Mimi nimeelewa kuhusa ukristo ... Basi ni hivyo tu ... uisilam kuna kanununi zenu 🙏 basi msivuke mipaka .....nasema tena Bora ukae kimya kuliko ....
Soma biblia usisomewe mistari
kwani ww una dini haya tuambie dini yako inaitwaje nikupe msimbazi ukiijua halafu sisi waislam mungu wetu ni ALLAH wa kwako anaitwaje ili tuwe na mungu mmoja jibu hayo
@@catherinescott9113 waislam dini yao inaitwa. islam 3:19 quran ya kwako inaitwaje ili uwe na uhakika ndio maana ww huna uhakika maana dini huna kama unayo itaje hapa
Hakuna dini ya kikristo hii dini niyanani
Wewew kizeee umeishiwa Kwan nawahuni wanazeheka ww aliyekwambia Yesu wetu anakuhusu nasharubu zako la fagio ww abudubyanayo kuhusu afu huyo Isa Nini mariamu unaye musema siyo yesu wadanganye mbumbumbu kama ww ila wasomi na wanajua chakwanza yesu Kwa Kwa kiarabu anaitwa shoshua na siyo Isa kizee wewe afu Koo wanazotoka tofauti mama yake Isa anatoka ukoo wa walawi ambaye ni dada yake na harunu ndgye Musa afu yesu ukoo wa yuda huyo Isa wenu kazaliwa chin ya mtende yesu kwenye ziziz la ngo'ombe Sasa ww yamekushinda nawenzio nadhani nivyema mungejadili kwann Toka kwanza Mungu aliku waua nyie ambapo Toka mwanzo nyie uhalisia wenu niwafilisiti acheni uongo afu bible haiwahusu nyie munajipendekeza afu Mungu wetu siwenu nyie bibulia yetu inakataa Sasa nivyema msome yanayo wahusu
Utateseka sana na sisi ndio tumeitawala Dunia ww endelea kuumia roho yako
Ww kisanga dunia ni starehe ndogo tu yenye kumalizika itawale dunia ila tambua utakufa
@@mariamshaban4518 kizazi akifi kitaendelea kurithi utawala
Sasa tutana teseka nanini kafiri mkubwa hii dunia tuliikuta natutaicha nyinyi mnaona kama mko peponi shenzi kazi kutembeza wanawake zenu uchi manakwenda chooni na mapepa kinyesi kinabakia kenye matako yenu islam ndio mungozo wa hii Dunia mafunzo mema nasio kupiga mikelele
@@mzeeomary5780 kuchamba na maji sio kwenda peponi
Dunia ni Pepo ya Makafiri(wakristo)na ni Gereza la Waislamu,kwaiyo wakristo pepo ynu ipo hapa hapa Duniani Akhera hamna chenu jitafakar ndugu fanya maamuz Usije ukatesek hapa duniani na akhera pia.
Ni mkrusti alikuambia Yesu ni Mungu? Wakristo wanaamini Yesu ni mtumie wa Mungu na hivyo alizaliwa Kwa uwezo wa Mungu na Kwahiyo ni Mwana wa Mungu. Hayo Madevu yasikufanye ushindwe kuelewa yaliyoandikwa na kuchukua kipande tuu na kukielezea. Ikiwezekana nyoka hizo Ndevu kwani zinakuathiri kiuelewa.
Ndevu sinahusikaje hapa
We kwanza hujitambui ukiwa una jitambua angalia comment vzr pitia tna vzr utaona jinsi unavo enda tofaut na wakiristo wenzio, maana wengine wana sema mwana wa Mungu wengnie wana sema ni Mungu, so itakua hamji elewi kwa maelezo yenu
Unamjua vizuri uyo kristo au unajiita mfuasi wake tu siku ukija kujuwa utaelewa achakudanganywa na wachungaji
Kiristo sio yesu bali kiristo ni mwanamke kahaba na yeye ndio anajiita mungu anamtumia yesu vibaya yani kiristo ni ile ROHO iliyoingia kwa mariamu
Ushapigika mwangalie mwenzio alokoment apo juu anasema mungu alivaa mwili wa mtu na ushahidi katoa apo wa aya na ww unasem ni mtume sas tumsikilize nani
Hawa masheke wako kupotosha tu watu hapa na kukariri akili ndogo hawa jamaa cjui kama elimu ya kawaida waliosoma au wamebaki tu kukarir hii kurani yao tu wakristo hatusemi yesu ni mungu wetu Bali tunasema yesu ni mwana wa mungu ambaye alikufa msalabali kwa ajil ya kutuokoa kutoka dhambi ya asili. Eleweni vitu kwa mapana yake mnaboa mnapobakia kukarir nendeni mkasome ata shule za gombaru tu
Sjapata kuona watu ambao hmna akili kama nyie katika maisha yangu yte,
@@mudighurayra uislamu ulianzishwa kati miaka ya 600 lakini cjui kama utanielewa maana najua akili ni ile mgando kukarir badala ya kuelewa ukriato ulianza miaka ya 2022 iliyopita kwaiyo nyie ni kama tu chama cha siasa kinachojikongoja kutafuta wafuasi elewa
Niwapi umemuona huyo mungu mwingine kaandikwa zaidi ya yesu biblia yote inamuongelea yesu mwenye kitabu cha majina ni mwana atakayekuja kunyakuwa watu ni mwana kila mahali ni mwana ndio mana nyie wa kiristo mna mtukuza yy mwanzo mwisho
Mungu wenu mnamzalilisha mnamtembeza uchi akiwa shingo upande kinyonge vile alafu mlivo shikwa akili mkawa mnaliabudu lile sanamu kweli
@@johnsulle4679 sasa nikulize kama yesu ni mwana wa Mungu je huyo Mungu ambae mna Muabudu nyie ni Mungu gani
Mnateseka nini na wakristu jamani
Mnaonewa huruma mmepotea!
@@shaibumpinga5225sisi wakiristo hatutaki tuonewe huruma na makafiri kama nyinyi tuacheni na ukiristo wetu ambao tunaimani utatupeleka mbinguni
@@ramadhanmahongole9293 katika dini yetu ime tufundisha tukulinganieni ili muokoke na adhabu za Allah hakika Allah ana adhabu kali mno
@@mudighurayra adhabu hiyo mtapata nyinyi waislamu ambao bado hamjamuamini yesu kiristo kuwa bwana na mokozi wa maisha yenu
@@mudighurayra nakushauri mrudie yesu na umkili kabla khiama hakijafika ili uongoke uepukane na moto🔥🔥wa jehannam
Kumbuka shehe wewe unapotosha INJIRI usipokiri kuwa yesu ni bwana utahukumiwa
Umedsnganywa wewe, hata nawe ni bwana, ama wewe ni bibi?
@@Sheba4651 wana macho hawaoni wana masikio hawasikii Hao ni kama wanyama
Ukiongozwa kiongozi asiyejua kusoma na kuandika kama Muhammad ndomaana Hawa waislamu wote ni viraza
Muhammad anajuta alichokifundisha hapa duniani ndomaana mka Leo majini ni waislamu sisi wakristo tunayaita mapepo na Yesu kristo alitufundi kuyafukuza mapepo mashetani waislamu ni ndugu zenu majanga hayo
Kila mtu aamini kile anachoamini. Kuna sababu gani ya kuweka mjadala kuhusu suala la dini na imani za watu?
Ukristo ni imani ya jins ya kiroho zaid inafunua mambo ya kiroho hadi yaliyojificha nyuma ya pazia na uisilam ni imani iliyo kwa jins ya mwili ,hamuwez kujua maana ya Baba Mwana na Roho mtkatf kuwa ni Mungu mmoja, msihangaike na Yesu tu hata Roho matakatifu ni Mungu
"Kwa hakika wamekufuru waliosema;M/Mungu ni wa tatu wa Utatu,hali hakuwa Mungu ila Mungu Mmoja na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema,kwa yakini itawakamata adhabu Chungu wale wanaokufuru"(Aya ya 73 Sura ya 5)Qur'an, kuweni makini nudgu zetu hata ndacha kashtuk saiv kwa kuukataa utatu.
Huyo alie wekwa ekaluni ni samweli,ili amtumikie Mungu
Ndoo unavodanganywa na walimu wako
Mngejikiti Kujitafakari Imani Mnaliyo Nayo Inasimamia Haki Za Mnyezi Mungu Kuliko Kuchunguza Chunguza, Watu Na Imani Zao, Mimi Niliupenda Sana Uislamu Na niliamini Ni Ni Dini Ya Haki Ila Ndugu Zangu , Usuda Na Majungu, Na Asadi Zetu Waislamu Kwa Sasa Kwa Sisi Turioslimu , Tunafika Kuogopa Ndugu Zetu Umoja Hatuna Asadi na kusengenyana Unafikiri Watu Wanapenda Ukristu, Hapana Kinawafanya Wakae Wamwachie Mungu Asadi Katika Imani Ya Kislamu , Nikubwa , Mimi Nimekuwa Katika ukristu Toka Nadhaliwa Nilislimu Mpaka Sasa Amani Sina Vita Niwaislamu , Usengenyaji Chuki Dhihaka Mpaka Unakuta Unatamani Kutoswali. Imani Za kuchafuana tu Hebu Tujiulize Twaswali La Nisifa Ya Swala Imani Huruma Hatuna
HAKUNA CHA ROHO MTAKATFU WALA MOYO WALA MAINI😂😂 MUNGU NI MMOJA TU NA NI JABAR MFALME NA AKIMU WA CKU YA KIAMA UYO YESU PIA NIMUUKUMIWA