SABABU YA KULAANIWA WANA WAISRAIL NISAAI 153 - 158 SHEIKH MSELEM BIN ALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 25

  • @AmryKatigili-br8sz
    @AmryKatigili-br8sz Год назад +5

    Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh: nakukubal sana shekh: mselem Ally. Umejaa hekma ya maongez ya Elim maalifa na subira mash-allah: M/mungu akupe kauli thabit na mwisho mwema ukutane kipenz cha Allah subuhna'allah wata'allah: Mtume muhammad s.w.s. Amiiiin yabira'allahmin.

  • @khatibrashid172
    @khatibrashid172 Год назад +3

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @YahayarajabuSamambo-wh7fs
    @YahayarajabuSamambo-wh7fs 11 месяцев назад +3

    Allah. Akuzidishie ilmu

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Год назад +4

    SADAQTA SHEIKH MSELEM

  • @Erasto-m9c
    @Erasto-m9c 3 месяца назад +1

    Allah akulipe kher maalim msellem ally

  • @MinahHassan-kx4mo
    @MinahHassan-kx4mo 5 месяцев назад +1

    Alhamdulillah mwenyezimungu amuondoleeee maradhi na akupe afya ili utuelimishe kila siku

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 9 месяцев назад +1

    MashaAllah TabarakahAllah

  • @swalekhabdulkadir4144
    @swalekhabdulkadir4144 5 месяцев назад +1

    Mashaallah ❤❤❤❤

  • @YakoubuAmejuma
    @YakoubuAmejuma 6 месяцев назад +1

    Jazakallah

  • @NASSORALLY-x7c
    @NASSORALLY-x7c Год назад +3

    Mashallah

  • @amneseif410
    @amneseif410 Год назад +3

    SubhanAllah

  • @dallatode8295
    @dallatode8295 7 месяцев назад +1

    Ma sha Allah

  • @ogloc8831
    @ogloc8831 7 месяцев назад +1

    Masha Allah

  • @MohammedKilambo-h4h
    @MohammedKilambo-h4h 7 месяцев назад +1

    Wayslam tusome

  • @FarYawaka
    @FarYawaka Год назад +2

    Mashallah sheikhe mselm

  • @MaryamIssa-y7v
    @MaryamIssa-y7v 11 дней назад +1

    Uzanzibari sio Uislaam wala Uislaam sio uzanzibar wala uislaam haukuanzia Zanzibar.

  • @HassanSubi-s9b
    @HassanSubi-s9b Год назад +1

    Asalaam aleikum simba kujua hicho ni kitabu gani yaani kinaitwaje jina lake

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 9 месяцев назад +1

    Na sabab ya wa zanzibar kullaniwa ni ubaguz

    • @ummyremmy-pc9cy
      @ummyremmy-pc9cy 7 месяцев назад

      Na wana ubaguzi kweli,,,,hawapendi watu wengine wasiokua wazanzibar

    • @ummyremmy-pc9cy
      @ummyremmy-pc9cy 7 месяцев назад

      Na kweli

    • @MaryamIssa-y7v
      @MaryamIssa-y7v 11 дней назад

      Mbona tunaowana jamani shida nn​@@ummyremmy-pc9cy

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 9 месяцев назад +1

    Mawaidha mazur lakn wa zanzibar ubaguzi, utume wa Muhammad ni kuondoa ubaguz kuungansha ma kabra yoote kuwa ndugu,mbona nyie mnakuwa na ubaguz imefka hatuwa ya kufungwa miaka kwa ubaguz kuwachukia wanadam wenzenu kwel nyie waislam?

    • @AbName-f5w
      @AbName-f5w 9 месяцев назад

      Uislqmu haukuja kwa wazanzibar ilq wa2 wote,m2 akimbaguwa muislqmu mwenzake huyo c miongoni mwa waislqmu,uislqmu ni dini kaka uzanzibar ni taifa usichanganye mada

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 8 месяцев назад

      ​@@AbName-f5w...jamaa anaufinyu sana wa kuelewa Bora ulivyomuelewesha km atakuwa ni mwenyekuelewaa.!