Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh: nakukubal sana shekh: mselem Ally. Umejaa hekma ya maongez ya Elim maalifa na subira mash-allah: M/mungu akupe kauli thabit na mwisho mwema ukutane kipenz cha Allah subuhna'allah wata'allah: Mtume muhammad s.w.s. Amiiiin yabira'allahmin.
Mawaidha mazur lakn wa zanzibar ubaguzi, utume wa Muhammad ni kuondoa ubaguz kuungansha ma kabra yoote kuwa ndugu,mbona nyie mnakuwa na ubaguz imefka hatuwa ya kufungwa miaka kwa ubaguz kuwachukia wanadam wenzenu kwel nyie waislam?
Uislqmu haukuja kwa wazanzibar ilq wa2 wote,m2 akimbaguwa muislqmu mwenzake huyo c miongoni mwa waislqmu,uislqmu ni dini kaka uzanzibar ni taifa usichanganye mada
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh: nakukubal sana shekh: mselem Ally. Umejaa hekma ya maongez ya Elim maalifa na subira mash-allah: M/mungu akupe kauli thabit na mwisho mwema ukutane kipenz cha Allah subuhna'allah wata'allah: Mtume muhammad s.w.s. Amiiiin yabira'allahmin.
Allah akuhifadhi sheikh wetu
Allah. Akuzidishie ilmu
SADAQTA SHEIKH MSELEM
Allah akulipe kher maalim msellem ally
Alhamdulillah mwenyezimungu amuondoleeee maradhi na akupe afya ili utuelimishe kila siku
MashaAllah TabarakahAllah
Mashaallah ❤❤❤❤
Jazakallah
Mashallah
SubhanAllah
Ma sha Allah
Masha Allah
Wayslam tusome
Mashallah sheikhe mselm
Uzanzibari sio Uislaam wala Uislaam sio uzanzibar wala uislaam haukuanzia Zanzibar.
Asalaam aleikum simba kujua hicho ni kitabu gani yaani kinaitwaje jina lake
Quran
Na sabab ya wa zanzibar kullaniwa ni ubaguz
Na wana ubaguzi kweli,,,,hawapendi watu wengine wasiokua wazanzibar
Na kweli
Mbona tunaowana jamani shida nn@@ummyremmy-pc9cy
Mawaidha mazur lakn wa zanzibar ubaguzi, utume wa Muhammad ni kuondoa ubaguz kuungansha ma kabra yoote kuwa ndugu,mbona nyie mnakuwa na ubaguz imefka hatuwa ya kufungwa miaka kwa ubaguz kuwachukia wanadam wenzenu kwel nyie waislam?
Uislqmu haukuja kwa wazanzibar ilq wa2 wote,m2 akimbaguwa muislqmu mwenzake huyo c miongoni mwa waislqmu,uislqmu ni dini kaka uzanzibar ni taifa usichanganye mada
@@AbName-f5w...jamaa anaufinyu sana wa kuelewa Bora ulivyomuelewesha km atakuwa ni mwenyekuelewaa.!