Duuu haya kumbe mipira yetu itakuwa haiendelei wasemaji wanatakiwa wajikosoe wafocus kwenye mpira ili timu zetu zisonge mbele leo simba kesho yanga lakini kuna haja gani kubeba ujinga wa mwenzako wakati unaujua
Hivi mbona tunautoto mwingi kwenye mambo ya msingi kweli msemaji unaungana kushabikia ujinga wakati timu yetu hata sisi bado kweli mpira wa tanzania niutoto kabisa
Mpira wetu huu...😅
Duuu haya kumbe mipira yetu itakuwa haiendelei wasemaji wanatakiwa wajikosoe wafocus kwenye mpira ili timu zetu zisonge mbele leo simba kesho yanga lakini kuna haja gani kubeba ujinga wa mwenzako wakati unaujua
Hivi mbona tunautoto mwingi kwenye mambo ya msingi kweli msemaji unaungana kushabikia ujinga wakati timu yetu hata sisi bado kweli mpira wa tanzania niutoto kabisa
Mmmmh ndiyo utani wenyewe huo itakuwa umsikilizagi Ahmed Ally
Itakua haumuoni Ahmed Ally ww anavyofanya