Daaa we baba barikiwa sana yani kila nikiingia katika page yako lazima nitoke na kipya sikuwahi ulijua hili mim ni bluu na mwenza wangu ni kijani basi hakuna kitu kinachoharibika nimefurahi sana kulisikia hili somo
Asante sana mwalimu Joel, Amen 🙏🏼 Mimi Ni Green, je natakiwa rangi gani ili niweze kufanikiwa Naomba msaada wako. Nawaza blue + orange nawahitaji wote 🤔!
Mimi ni Blue na muhitaji sana orange…. Maana naendeshwa an hisia na nipo slow kwenye kuamua kufanya kitu. Na rangi ninayoipenda ni Royal Blue sujui ni kwasababu mimi ni wa September (sapphire)😅
Tunavipateje vitabu vyalko vya Timing Malengo yako!? Sisi wa Mikoani. Pia tu naomba kama unaifisi za Kanda Uwe unatujulisha Kenya Epsod zako ili tuweze Kuvipata kirahisi. Mfano. Mbeya, Kwanza, Arusha, Dodoma.
Daaa we baba barikiwa sana yani kila nikiingia katika page yako lazima nitoke na kipya sikuwahi ulijua hili mim ni bluu na mwenza wangu ni kijani basi hakuna kitu kinachoharibika nimefurahi sana kulisikia hili somo
Thanks you sir niko Gold
Joel hii nikweri kabisa,mm ni gold mume wangu ni orange,but maisha na hawa watu ni ngumu sana.
Asante sana mwalimu Joel, Amen 🙏🏼
Mimi Ni Green, je natakiwa rangi gani ili niweze kufanikiwa Naomba msaada wako. Nawaza blue + orange nawahitaji wote 🤔!
Mungu ni Mwema Sana Mimi Hapa Nisha Jiona Kabisa Ni Gold🌟🌟🌟 Kabisa
Waooo pamoja
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, mm ni Gold na mume wangu ni blue, Thank you very much kwa kutufundisha
Gold naitaji blue❤ ubarikiwe bure kaka joel nakupenda bure
Mungu azid kukuinua sichok kukufwatilia ❤ mim ni blue na gold kidog
Ubarikiwe sana kaka kwa somo zuri, kupitia somo ili litanisaidia namna ya kuhusiana na watu
Maana mm nishajijua mimi ni rangi ipi.
Is Gold
Asante bro mungu akubariki sana..
Natamani siku moja nikuone mungu anipe kibari umenibadirisha sana
Ukienda kumwona nipitie Mimi mwenyew nataka nitengeneze bango niweke dkn kwangu ILi kila anae pita nimuelezee
Kaka angu hii inanihusu mimi..🙏🏿🙏🏿💪🏿
Am greeen😂
Mwenzangu😂
Kaka Upon vizuri Sana
Mimi Nana Ni Gold nahitaji green
Gold mtupu frampa boy
Balikiwa Sana Kaka Joel🙏🏽🙏🏽,me blue. kila nikifungua page yako lazima nitoke na mmb mapya ,
Shukrani 🙏🏽
blue color
Najiona kwenye Gold.
Green 😂😂 Duh nakubali sana
Barikiwa sanaaaa nanauka
Gold is good
Shukraan kaka Joel
Mimi ni blue I think nahitaji gold ili twende sawa👍 Asante sana Mungu akupe maisha marefu 🙏🙏🙏
Gold
Barikiwa kaka,mimi ni blue
Umeniandikia Meseji kwa herufi kubwa 😁 chanzo cha kuachana
Mimi ni Gold...Namtaka Green akamilishe mapungufu kidogo
Nakufatilia bro Joel
Nimesikiliza kwa umakini na nimejigundua nipo kwenye kundi la GOLD
I am blue,I need gold or green to make a perfect match.
Mimi gold wife blue asante sana Coach hivi sasa tuna miaka 30 ya ndoa! Kumbe ilikuwa ni chemistry nzuri
Nashukuru sana kwa darasa zuri kaka @Joel Nanauka. Mimi Ni Green🟢
Safiiii👏🏻👏🏻
Mimi ni Gold
Green 💚
Kaka J skuiz unakua chibonge.
Wao so nice
Amina sana
BLUE HEBU NJOENI KWANZA JAMANI MM BLUE 😢KABISA JAMANI KABISAAAA
Je hizi personality zinaweza baadliika (mean kuna uwezo wakubadili personality)
Ni ngumu sana juu ni tabia na nadhani tabia haina dawa.
@@minaaminaa1781 tabia haina dawa ila sikuna namna ya kureplace tabia fulani kwa kuingia kwenye uraibu wa tabia fulani
Gold.
Pengezi kwa wazazi wako ..... na kwako shukran ubarikiwe
Ameen Ameen Ahsante sana
God bless you brother
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen
Yaani hii orange ni kama umeniongelea mm hakuna hata kimoja nilichokosa😂😂😂
Yani mi hapo ni orange 💯
Good leo nimetambua kuwa mimi ni ORANGE 🍊 axante 💯🙏
Hongera sana kwa kujitambua👏🏻👏🏻
Asante Sana nimejijua leo mm ni bluu
@@joelnanaukaAsante🎉
🔥🔥🔥
Mini blue color.
Mke wangu ni orange mimi ni gold nifanyeje.
Hivi vitabu vyako tunavipataje tulio nje ya Tanzania?
Blue colour 🎉❤
Am green sir joel..ebu nishauri mke wa namna gani anani fit apo😢
Green
Mimi gold mke wangu orange bac nahic niko vizuri.
asee nimejiina ni green 100%
🎉🎉
Mimi najiona kwenye Green nina hitaji watu wa BLUE
Leo nimeelewa kwa nini nazozana sana na mtoto wangu,kumbe yy ni orange hana hisia hajali wala nini.
Mimi hapo blue 💙
🔵 BLUE kabisa hapa😂
Daaa, mbona mimi nipo kwenye magroup matatu tofauti yaani Blue,Gold na Green?
😅😅😅😅😅😅😅😅
Mimi ni 🔵 blue. Na gold ndani yake gold
Mimi ni bluu
mimi ni Blue walah
Am typical GREEN...
Dominant colour Yangu ni Blue
Blue 🔵
Kumbe mimi ni Gold corol(melacolin)mke wangu ni orange(sungwin
Mimi ni Green
Mbona tumo kote inakuwaje?
Asante kaka apa mm ni blue 99% lkn kwa swala la biashara ni orange lkn nimejifunza niwe na wa kala gani ili mambo yaende.
Blue. Pia nahitaji mtu wa green
Blue nimimi Waka huja msema mwingine Sasa nifanyeje kuji balance?
Blue hyo nahitaj gold
Mimi ni blue kabisaa ila Nina vi element vya kidogo gold nadhani namuhitaji green
Je gold na green wana mapungufu gani?
Kaka Joe Mimi ni orange 🧡 please help me 😂❤
ASANTE
Aisee mimi ni orange kabisa, hapa naitaji msaada ili kuweza kuwa sawa
Me langi yangu ni Gold namwitaji green color
BLUE COLOR
Orange nipo hapa😂😂😂😂
Mm ni blue colour
Mimi yangu blue aisee ila iyo orange naona sifa zote husband anazo
Brother me Ni blue
Mimi ni gold,na nimejipenda kua gold nahitaji blue.
Mimi ni Blue na muhitaji sana orange…. Maana naendeshwa an hisia na nipo slow kwenye kuamua kufanya kitu. Na rangi ninayoipenda ni Royal Blue sujui ni kwasababu mimi ni wa September (sapphire)😅
Safi Hongera kwa kujijua na kujua unachohitaji
Mimi no gold ni mimisi orange
am green color, need blue color. Thanks
Mm mbona nipo blue automatic na yellow kidogo??
Hongera kwa kujitambua 👏🏻👏🏻
iam blue😂😂
Im green
Swali kwako life coucher je unaweza kuwa co-color?
Zuj,h,h,h,h,h,h,h,h,h,,h,,,,,,h,,
Ila orange jmn.Yaan kuandika meseji kwa herufi kubwa ni kosa
My dominant color is green 😂
Tunavipateje vitabu vyalko vya Timing Malengo yako!? Sisi wa Mikoani. Pia tu naomba kama unaifisi za Kanda Uwe unatujulisha Kenya Epsod zako ili tuweze Kuvipata kirahisi. Mfano. Mbeya, Kwanza, Arusha, Dodoma.
Green😂
Typical orange😂
na hii orange ina watu wengi😅😅😅 ushindani mwingi
😅😅
your contact brother unipe ushauri
Gold