Upako na ushawishi alionao Mh.Heche ni mkubwa mno na siku akiwa M/kiti wa chama siku hiyo atavuma watu na chama kitakuwa na wanachama wengi wengi wengi sana
Magufuli alichangia sana kuua demokrasia yaani angeacha kuwe na demokrasia huru hadi sasa upinzani ungekuwa mbali sana na hivyo nchi yetu ingekuwa imara sana.
Heche mungu akubariki sana kwa kutoa misaada mikubwa kwa watu kama mimi kwenda chuon tena mimi na mke wangu mungu akubariki sana mungu akusaidie.
Point this is the voice of leadership into tanzania people
Chama Cha watu wengi Bila posho
❤❤❤kamanda Heche wewe unabaya ❤❤❤❤kamanda ❤❤❤❤
Tarime mmeshindikana naona wakenya wamewaambukiza hii spirit
Man of the people:HECHE
Peoples power ✌️✌️✌️✌️
Tarime ni Tanzania nyingine
Huyu ndiye Heche kamanda halisi wa Chadema asiye na BEI M/kiti aje
Upako na ushawishi alionao Mh.Heche ni mkubwa mno na siku akiwa M/kiti wa chama siku hiyo atavuma watu na chama kitakuwa na wanachama wengi wengi wengi sana
tanganyika yote tungekuwa kama wakurya katiba mpya tungeshapata
😂😂
Kweli kabisa ndugu
Jmn maisha magum ccm ndio chanzo kiukwel tumechoka kuongozw na wez miaka yote hiyo 61 ccm c mpumzike jmn wengine waongoze
Mh. Heche umeshinda na mpaka kushindikana kbsa
BRAVO KOMREDI HECHE....VIVA CHADEMA!
Wakurya kiboko,hata polisi wamesepa siwaoni
Waitara kavamiwa nyumbani kwake
Kazini kwa Waitara kuna kazi tena ngumu
heche Ni mwisho
Washa moto mburula akimbie
Waitara kazi anayo
Waitara must go
Heche tupo pamoja kamanda
Magufuli alichangia sana kuua demokrasia yaani angeacha kuwe na demokrasia huru hadi sasa upinzani ungekuwa mbali sana na hivyo nchi yetu ingekuwa imara sana.
Tzania haina upinzani,ila ccm ina mashemeji
Hakuna UPINZANI Tanzania Mzee. Msimlaumu Magu
Pipooooos pawaaaaa
Sasa waitara atapita wap 😂😂😂
Simba wa mkoa wa mara
Like faza
Inzi wamedhaamza kujiandikisha muda mrefu sana
CCM imeshachoka bc tu
Saivi 2025 heche ndie nuru yatarime