HECHE AUNGURUMA NYAMONGO" MKINICHAGUA 2025 FEDHA ZA CSR ZITARUDI KWA WATU WA NYAMONGO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 35

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 2 дня назад

    Heche mungu akubariki sana kwa kutoa misaada mikubwa kwa watu kama mimi kwenda chuon tena mimi na mke wangu mungu akubariki sana mungu akusaidie.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Месяц назад

    Point this is the voice of leadership into tanzania people

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад +4

    Chama Cha watu wengi Bila posho

  • @GeraldNyasembe-q2d
    @GeraldNyasembe-q2d 2 месяца назад +3

    ❤❤❤kamanda Heche wewe unabaya ❤❤❤❤kamanda ❤❤❤❤

  • @Nicolasmosereta
    @Nicolasmosereta 2 месяца назад +1

    Tarime mmeshindikana naona wakenya wamewaambukiza hii spirit

  • @JohnNyarara
    @JohnNyarara 2 месяца назад +2

    Man of the people:HECHE

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 2 месяца назад +1

    Peoples power ✌️✌️✌️✌️

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 2 месяца назад +2

    Tarime ni Tanzania nyingine

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 2 месяца назад +3

    Huyu ndiye Heche kamanda halisi wa Chadema asiye na BEI M/kiti aje

    • @plujoncylugano4611
      @plujoncylugano4611 2 месяца назад +1

      Upako na ushawishi alionao Mh.Heche ni mkubwa mno na siku akiwa M/kiti wa chama siku hiyo atavuma watu na chama kitakuwa na wanachama wengi wengi wengi sana

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 2 месяца назад +6

    tanganyika yote tungekuwa kama wakurya katiba mpya tungeshapata

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 2 месяца назад +2

    Jmn maisha magum ccm ndio chanzo kiukwel tumechoka kuongozw na wez miaka yote hiyo 61 ccm c mpumzike jmn wengine waongoze

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 месяца назад +1

    Mh. Heche umeshinda na mpaka kushindikana kbsa

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 2 месяца назад +1

    BRAVO KOMREDI HECHE....VIVA CHADEMA!

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 2 месяца назад +2

    Wakurya kiboko,hata polisi wamesepa siwaoni

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 2 месяца назад +3

    Waitara kavamiwa nyumbani kwake

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 2 месяца назад +2

    Kazini kwa Waitara kuna kazi tena ngumu

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 2 месяца назад

    heche Ni mwisho

  • @user-zt7rx7xc7h
    @user-zt7rx7xc7h Месяц назад +1

    Washa moto mburula akimbie

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 2 месяца назад +3

    Waitara kazi anayo

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 месяца назад +2

    Waitara must go

  • @user-tx5nc4zq4g
    @user-tx5nc4zq4g 2 месяца назад +1

    Heche tupo pamoja kamanda

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад +2

    Magufuli alichangia sana kuua demokrasia yaani angeacha kuwe na demokrasia huru hadi sasa upinzani ungekuwa mbali sana na hivyo nchi yetu ingekuwa imara sana.

    • @irambadc5167
      @irambadc5167 2 месяца назад

      Tzania haina upinzani,ila ccm ina mashemeji

    • @geey7893
      @geey7893 2 месяца назад

      Hakuna UPINZANI Tanzania Mzee. Msimlaumu Magu

  • @TheresiaMao-h9j
    @TheresiaMao-h9j 2 месяца назад +1

    Pipooooos pawaaaaa

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 2 месяца назад +2

    Sasa waitara atapita wap 😂😂😂

  • @barakamwasenga2143
    @barakamwasenga2143 Месяц назад

    Simba wa mkoa wa mara

  • @noelyhaule5695
    @noelyhaule5695 2 месяца назад

    Like faza

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 2 месяца назад

    Inzi wamedhaamza kujiandikisha muda mrefu sana

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 2 месяца назад +1

    CCM imeshachoka bc tu

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 2 месяца назад

    Saivi 2025 heche ndie nuru yatarime