Kwa upande wa mama naweza kusema sio mbaya ila anatakiwa anapo wagomba watot walio Fanya kosa kubwa kama hilo bas azidish hasira kihisia sura na hata maneno
Kweli huyu mama ni puka!umonita unaenda hadi kukopa!!kwani hivi hujui mtoto wako kama kabadilika hadi uambiwe??wazazi sm tym tunayumba.FUNZO SAANA MICHEZO HII
Movie nzuri ila tabia ya kukaa wiki nzima hujatoa kazi aiseeee haipendez kama unatoa kazi fanya kama jua kali tujue Kila jumangap kazi inatoka tuwe tunaingia Sasa mtu wiki Hadi watu wanasahau walipoishia
Mwakatobe unatukosea sana jaman sisi tunataka tu enjoy afu ww unachelewesha kazi daaah sema haina noma kazi nzuri❤❤❤❤
Dah nimeipenda hii huyu mama yupo poww na kazi yake na mwenyekiti upo sahihi
Nakupenda sana mwakatobe ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nankubali sana mwakatobe 👌♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mwakatobe aka Dharmendra tunakutambua Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Eyes on you my good actor Mwakatobe, big up.
Nakubali sana
Kazi nzuri bro mwakatobe big up sana
Great job mwakatobe
Naipenda sana hii kazi kaka😍😍mi kama msanii wa movie nmeielewa sana#teamwakatobe
Yani mwakatobe unanipa Raha sana nakupenda bure kazi nzuri sana❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 MUCH LOVE FROM KENYA 🇰🇪
fun mkubwa kutoka Kenya nakukubali kinoma mwakatobe we jitu la motoni kweli.
Nakubali mzee mchawi
NYAMSHIMO ANACHUKULIA POA HATAKI KUZINGATIA WAHUNI😂
Tuko pamoja mwisho
Mwakatobe na pashabe kayakanyaga😂😂😂
Mwakatobe na pua lake hilo kaa tako😂😂kazi nzuri man💪
Niko ndani Kwa mpigo 👍👍👍👍👍💃💃💃🇰🇪
mwakatobe wewe ni mwenda wazi mu ma ni kicha😂😂😂😂😂😂😂
kazi mzuli mwakatobe,،❤❤❤❤❤❤❤😢😮😅😅😊
Kaz mzuri sana mwakatobe
Salamu zangu ziimufikie nyashimo 😂kanipendeza anajuwa kazi yake🇰🇪🇰🇪
Kwa upande wa mama naweza kusema sio mbaya ila anatakiwa anapo wagomba watot walio Fanya kosa kubwa kama hilo bas azidish hasira kihisia sura na hata maneno
Pamoja n'a yote kumbuka ni Mama mkwe wake ndio Maana hawezi zidisha kivyangu IKO Sawa💃
Wakwanza😊
Mwakatobe champion anajuwa kisha anajuwa tena
❤❤❤
Congratulations 👍 mwakatobe
Bola pashambe aigize tu uchawi,akiigiza kawaida apendez😂😂😂
Umontaaa tenaa akatiii mwanaooo kibakaaaa😅
❤❤❤❤❤ ilove san askali wangu mwakatobe
Naomba katizame hi account ya mkonga pro uwangalie siries nzuri sana
Mwakatobe na pashambe hawajawahi kuelewana😂😂😂😂😂😂
😂😂😂kadamshi Asante mwakatobe😂❤❤❤
😂😂😂 mwakatobe elelooo umenasa
Bigwa ma katobwe😂😂😂
Mwakatobe huna baya❤❤
Mtu mzima dawa japo hakai Pharmacy 😅😅😅
Goog job mwakatobe ❤
😂😂😂😂Much love mwakatobe
Unatukalisha sana mwakatobe
Ni danga kama mdangaji🤣🤣 mwengine ila farasi umepoaaa
Nampenda huyo malio
Ila.mwakatobeeee kazini kwanguuu kuna kaziii😅
Makange ya taili la gali mh!!!😂😂😂
Mwenyekiti 😂😂😂eti na mimi sikutaki hapa kijijini 😂
Mwenyekiti sio mtu mzuri na yeye kajikuta amnataki kijijini amenichekesha 😅😅😅
Kamama kenyewe kana mabarobaro lkn karembo
Jmn nisaidieni nielew Maan Huy mgambo anaitwa afande Maku au 😅😊😂😅
Ndiyo 😂😂😂
Ni momi
Like zangu jmniiii
Mwakatobe unable kazi gani ww yakupeana
Hilo senge kwel, sa WATOTO ZAKO ndio nini 😄😄
Kweli huyu mama ni puka!umonita unaenda hadi kukopa!!kwani hivi hujui mtoto wako kama kabadilika hadi uambiwe??wazazi sm tym tunayumba.FUNZO SAANA MICHEZO HII
Ila saizi umetucheleweshea Sana
Mwakatobe Mwamba ni Mtu na Nusu 🎉🎉🎉🎉🎉
Toeni kazi bwana
Pashambe movie hii umekuwa mpole sio kawaida yako nishazoea kukuona kwenye uchawi zaid😅
Wa kwanza toka 🇧🇮🇧🇮 naomba 10like pls
😂
Ila mwakatobe bwan
Kwan mlinz amevaa shimiz😅😅❤
Wa kwanza Leo kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mwakatobe nipe mpangaji wako
Kaka unachelewa sana kutoa Next Epesod 🥹
Unachelewesha Sana love from 🇧🇮
Oya nyamshimo apo enyewe shega
Much love🎉🎉🎉from kinshasa
Mwakatobe❤❤ nalingiyo trop
Big boss soon najua uko mle ndani 😂
Mwakatobe nitakupa dadaa
Mbn hamn muendelezo
@Mwakatobe to the world 🎉
Mwakatobe we nifundi sana 🤣🤣
Tanzania elimu bure
mwakatobe unachelewesha sana ww,
Pashambe kawa mchawi
Mikwakweli bimigomba ananikosha saana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huo ubwege kazaaaa
Movie nzuri ila tabia ya kukaa wiki nzima hujatoa kazi aiseeee haipendez kama unatoa kazi fanya kama jua kali tujue Kila jumangap kazi inatoka tuwe tunaingia Sasa mtu wiki Hadi watu wanasahau walipoishia
tuna penda kazi yako
Nakubali
❤️❤️❤️❤️🇨🇩🇨🇩🇨🇩
One love ❤❤❤💯💯
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ndio imeisha au?
Mwakatobe jini
Kaz nzur
❤❤❤❤❤🎉
😅canada
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
😅😅😅😂😂😂😅
😂😂😂😂😂😂
It's time to unsubscribe
❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤