HESHIMA YA BONGO FLAVA - "Sijafulia Mkwanja bado upo" MR. NICE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 ноя 2017
  • Kwenye Heshima ya Bongo Flava, Mr. Nice mfalme wa 'TAKEU' akifunguka Hustle zake za muziki mpaka alipofikia hapa alipo na nini anafanya nje ya muziki wake..
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 14

  • @robertmarunda9094
    @robertmarunda9094 5 лет назад

    Mzee TAKEU Style

  • @youngxhadah7951
    @youngxhadah7951 5 лет назад

    huyu jamaa anafanana na mista misifa dully sax

  • @albywamandalinho
    @albywamandalinho 6 лет назад +1

    Mkongwe msani wangu bado yupo sawa

  • @swimmermoddy3263
    @swimmermoddy3263 2 года назад

    Mike tee yupo kweli

  • @sirmwita3351
    @sirmwita3351 6 лет назад +1

    nimelipia 100 zangu nyingi sana kwenda kuangalia huyu jamaa kwenye kumbi za TV, for sure haitakaa ijirudie kwa msanii yyt atusue kama Mr nice. asiekujua atabisha.

  • @rahimmaumba4504
    @rahimmaumba4504 6 лет назад

    Muacheni huyo kutoka mbali huyo jamaa anajua maisha katurusha Sana.....

  • @shafiikanyinyi4285
    @shafiikanyinyi4285 5 лет назад

    Kuna watu walipiga pesa sana kipindi chake huyu jamaa

  • @jaquubjummah7538
    @jaquubjummah7538 6 лет назад +1

    My childhood hero... Love you

  • @rollupfashion.
    @rollupfashion. 6 лет назад

    Haaaaahaaa nice hatar

  • @frankcreme1898
    @frankcreme1898 6 лет назад

    heshima ya bongo aletwe chid chuma chid Benz

  • @abdulghanomari8079
    @abdulghanomari8079 5 лет назад

    Mike tee lini

  • @rahimmaumba4504
    @rahimmaumba4504 6 лет назад

    Huyo alianza kuwa staa Kabla ya kuimba alikua mcheza shoo kwa macheni bar

  • @o.groundtv3691
    @o.groundtv3691 6 лет назад

    Ni mda sasa na A.Y aje kama vip aje ni venance ized

  • @stevenromanos5290
    @stevenromanos5290 6 лет назад

    Piga collabo na kibaa.....