Yanii planet Bongo mumenikumbusha mbali sana, nikiwa high skuli, huo wimbo wa waumiza moyo nilikuwa nautumia sana kumtuliza mpenzi wangu. PNC should come back
Kaka ulipotea muda mrefu sana ila bila shaka tunategemea ngoma kali kutoka kwako usituangushe mashabiki wako. Mana vijana siku hizi wa nakuja vizuri kimziki.
PNC interview kubwa sana hii salute planet bongo ayeeeeeeeer
Aliyeipiga beat ya Nalia ni producer yupi❤❤❤
Yanii planet Bongo mumenikumbusha mbali sana, nikiwa high skuli, huo wimbo wa waumiza moyo nilikuwa nautumia sana kumtuliza mpenzi wangu. PNC should come back
PNC my favorite artist forever
Shalapu sana brother
Huyo ni mwanangu from day UNO
Byser 👊👊👊💖
PNC ni noumaaa sana bado mzima sana heshima yng ni toka moyoni
Mbona is favourite song mpaka sasa
duh jamaa mkali sana
PNC unatisha bongo flavor og
Da nakumbuka enzi zile shule siku ya disco nyimbo ilikuwa matata sana pnc tunakumic sana watu wa kipindi kile
Fifi kacheka kusikia machunusi kibao big up pnc
Good
In 2018 bado namkumbuka pnc uku kenya
hiki kipaji et jmn kinakufa hvhv madee nakulaumu mnoo
Ulipotea kwenye game Sana rudii bro pnc
Kaka ulipotea muda mrefu sana ila bila shaka tunategemea ngoma kali kutoka kwako usituangushe mashabiki wako. Mana vijana siku hizi wa nakuja vizuri kimziki.
ngoma utazan ndo wana rerizee
Braza kwenye game upo fresh....mbona kimya muda huo wote wakati uwezo unao Kama vip endelea kuachia madude eeeh ivoooo
James Mwawesu ivooo
Mpaka leo huwa sielew tatizo la kufeli kimuzik kwa huyu jamaa,PNC ana kipaji sana
First to comment
Home boy mbona umepooza as if unastress
unaongea kwa huruma sana pnc. sijui kwa nini nasikia huruma sana
PLAN B kwel aisee
Shino style unatisha kaka