HESHIMA YA BONGO FLEVA - " Mr. Blue anionyesha ukarimu nisio tegemea" PNC

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 26

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 2 года назад +2

    PNC interview kubwa sana hii salute planet bongo ayeeeeeeeer

  • @nofatwamasha3475
    @nofatwamasha3475 9 месяцев назад

    Aliyeipiga beat ya Nalia ni producer yupi❤❤❤

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 6 лет назад +2

    Yanii planet Bongo mumenikumbusha mbali sana, nikiwa high skuli, huo wimbo wa waumiza moyo nilikuwa nautumia sana kumtuliza mpenzi wangu. PNC should come back

  • @noblezeprezdaa2881
    @noblezeprezdaa2881 3 года назад +1

    PNC my favorite artist forever

  • @Ndahekenya
    @Ndahekenya Год назад

    Shalapu sana brother

  • @baburishard4470
    @baburishard4470 6 лет назад

    Huyo ni mwanangu from day UNO
    Byser 👊👊👊💖

  • @shabanmgonella9902
    @shabanmgonella9902 6 лет назад +2

    PNC ni noumaaa sana bado mzima sana heshima yng ni toka moyoni

  • @swalehbakari5637
    @swalehbakari5637 6 лет назад

    Mbona is favourite song mpaka sasa

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 6 лет назад +3

    duh jamaa mkali sana

  • @fanvansase6233
    @fanvansase6233 6 лет назад +2

    PNC unatisha bongo flavor og

  • @edsonluambano3552
    @edsonluambano3552 5 лет назад +1

    Da nakumbuka enzi zile shule siku ya disco nyimbo ilikuwa matata sana pnc tunakumic sana watu wa kipindi kile

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 6 лет назад +1

    Fifi kacheka kusikia machunusi kibao big up pnc

  • @jumahassan8667
    @jumahassan8667 2 года назад

    Good

  • @dotykenya7175
    @dotykenya7175 5 лет назад +2

    In 2018 bado namkumbuka pnc uku kenya

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 5 лет назад +2

    hiki kipaji et jmn kinakufa hvhv madee nakulaumu mnoo

  • @omarchuma6135
    @omarchuma6135 6 лет назад +1

    Ulipotea kwenye game Sana rudii bro pnc

  • @abdulrahmanilikavala7317
    @abdulrahmanilikavala7317 6 лет назад +2

    Kaka ulipotea muda mrefu sana ila bila shaka tunategemea ngoma kali kutoka kwako usituangushe mashabiki wako. Mana vijana siku hizi wa nakuja vizuri kimziki.

  • @geofreyjohn1039
    @geofreyjohn1039 6 лет назад +1

    ngoma utazan ndo wana rerizee

  • @jamesmwawesu8167
    @jamesmwawesu8167 6 лет назад +1

    Braza kwenye game upo fresh....mbona kimya muda huo wote wakati uwezo unao Kama vip endelea kuachia madude eeeh ivoooo

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 6 лет назад +1

    Mpaka leo huwa sielew tatizo la kufeli kimuzik kwa huyu jamaa,PNC ana kipaji sana

  • @omarchuma6135
    @omarchuma6135 6 лет назад

    First to comment

  • @maulidrehani
    @maulidrehani 6 лет назад +1

    Home boy mbona umepooza as if unastress

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 6 лет назад +2

    unaongea kwa huruma sana pnc. sijui kwa nini nasikia huruma sana

  • @allenpeter5298
    @allenpeter5298 5 лет назад

    Shino style unatisha kaka