Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Ndojo kaya kitambo ,kipindii hicho machalii sana sisi .Bado tupo schole .nakumbuka sana
Noma sana mziki wazani ni heshima ya bongo freva kweli..
Walinishawishi kununua album yao kipindi chao, nawaamini sana. Kiufupi mie ni shabiki wao. Moja kati ya uungano nnaouamini sana 100%
R.I.P ndojo
Ngoma ya Dingi ni moja ya Ngoma kali hakuna kutokea tz kwani Domokaya katembea bila chorus hii kitu noma na Ujumbe kwa familia zetu
Khaleed Mustafah kweli bro chorus mbili tu mwanzo na mwisho
wanautamu sana kwenye uimbaji, heshima kwenu malejendali
Pure talents
Nawakumbalisana
🔥🔥🥳🥳
mbwembwe nyingi, umu youtube mnajua tunatumia ma mb, fanyeni kukata wekeni kipindi kuwa kama the playlist ya lili ommy.
👊👊👊
Jamaa wana jua saana saana wana ladha ya muziki kweli
ukija kushika smu yng huzikos hzo nyimbo za jamaa hawa vchwa vya vina hvyo
nyimbo ya dingi, haijawahi chuja, naisikiliza kama imetoka jana!
Hawa jamaa kipaji kipo,sina wasiwasi nao kabisa
heshima sana wazee wa kaz
washikaji wanajua
Salute
Lady Jey D ukimpenda mtu bwanaaaaa... Domo Kaya together with Man Dojo ... BIG TIME bros and Sis Jey D
Kundi Bora la Muziki Tanzania
Hawajamaa nawapenda sana wana busara sana.
Ma Chalii wapo fire till now!!
Jamaa nawakubali
Midia zabongo ziliwabaniasana hawa washkaji, Kisa wametokea singida, aisee gemu lilikuatamusana, Nyimbo kama dingi, nizikwehai, niaje, nikupenn, tashwira, nanyingi kibao, wanok nok, yaaaaani daaaaaaaaah nakumbuka mbalisana
💪
Hii show ilikuwa safi sana kwa kweli..Wasanii wenyewe bado wako fresh kabisa
Mabroo mmetisha kinoma najua mnaweza mpaka kesho hakuna wakusogelea huu mzik
Nice hawa jamaaa waipotelea WAP nawakubali
Mnatisha kinoma
Noma xnaaaa
Mmetishaaaa kinoma wandavago family
daaah kali sana
Nakipenda sana hiki kipindi cha heshima ya bongo flava ila matangazo bhna mengi hadi kero 😂😂😂😂😂
hawa wajama ni moto💥💥💥
sanaaa
makini sana
Nawakubal san hawa jamaa sulut kwen
Fifi umependeza kweli mwaaa
mi binafsi yangu na salute sana kazi za man ndojo & domokaya kwa mengi mliofanya ndani ya kiwanda cha mziki #salute sana kwenu ma-brother's ✊
mapacha noma xhana
domokaya nimemis zile moment za kule uwanja wa gymghana TBT enzi hzo sekei sekondary
Domo tembea na hio mixtape jpil jion niipate hapo Aman au muachie bonny dukani
Kazi yenu iko poa
Sema nn RUclips sio lazma mtuwekee na matangazoo hayoo yotee
Isamilo Prezdent cjui matangazo ya nn yutube
aliyedislike alitak nn
💥💥💥💥
talents
Nawaelewa na kuwakubali kabla cjafanya hiv kwa Lionel mess
Salut
Mjuu wa mbua nashida na namba yako mzee sema jamaa wanatisha sana napenda nyimbo ya dingi inanihusu sana
Raspect kings
Legends
Hawa jamaa hatari wafanye wazunguke mikoani watapiga Hera kinoma.
wana atal sn hao
I need that album where can I get one copy???
Pizo kweli aisée
A
mjiongeze hata kwa edit
Tunatumia mb mjue ache matangazo humo RUclips
Song from 22:01" talent 100%
Ebwanaeeeee mrudi tuu aiseee sauti hazijapotea
Ndojo kaya kitambo ,kipindii hicho machalii sana sisi .Bado tupo schole .nakumbuka sana
Noma sana mziki wazani ni heshima ya bongo freva kweli..
Walinishawishi kununua album yao kipindi chao, nawaamini sana. Kiufupi mie ni shabiki wao. Moja kati ya uungano nnaouamini sana 100%
R.I.P ndojo
Ngoma ya Dingi ni moja ya Ngoma kali hakuna kutokea tz kwani Domokaya katembea bila chorus hii kitu noma na Ujumbe kwa familia zetu
Khaleed Mustafah kweli bro chorus mbili tu mwanzo na mwisho
wanautamu sana kwenye uimbaji, heshima kwenu malejendali
Pure talents
Nawakumbalisana
🔥🔥🥳🥳
mbwembwe nyingi, umu youtube mnajua tunatumia ma mb, fanyeni kukata wekeni kipindi kuwa kama the playlist ya lili ommy.
👊👊👊
Jamaa wana jua saana saana wana ladha ya muziki kweli
ukija kushika smu yng huzikos hzo nyimbo za jamaa hawa vchwa vya vina hvyo
nyimbo ya dingi, haijawahi chuja, naisikiliza kama imetoka jana!
Hawa jamaa kipaji kipo,sina wasiwasi nao kabisa
heshima sana wazee wa kaz
washikaji wanajua
Salute
Lady Jey D ukimpenda mtu bwanaaaaa... Domo Kaya together with Man Dojo ... BIG TIME bros and Sis Jey D
Kundi Bora la Muziki Tanzania
Hawajamaa nawapenda sana wana busara sana.
Ma Chalii wapo fire till now!!
Jamaa nawakubali
Midia zabongo ziliwabaniasana hawa washkaji,
Kisa wametokea singida, aisee gemu lilikuatamusana,
Nyimbo kama dingi, nizikwehai, niaje, nikupenn, tashwira, nanyingi kibao, wanok nok, yaaaaani daaaaaaaaah nakumbuka mbalisana
💪
Hii show ilikuwa safi sana kwa kweli..Wasanii wenyewe bado wako fresh kabisa
Mabroo mmetisha kinoma najua mnaweza mpaka kesho hakuna wakusogelea huu mzik
Nice hawa jamaaa waipotelea WAP nawakubali
Mnatisha kinoma
Noma xnaaaa
Mmetishaaaa kinoma wandavago family
daaah kali sana
Nakipenda sana hiki kipindi cha heshima ya bongo flava ila matangazo bhna mengi hadi kero 😂😂😂😂😂
hawa wajama ni moto💥💥💥
sanaaa
makini sana
Nawakubal san hawa jamaa sulut kwen
Fifi umependeza kweli mwaaa
mi binafsi yangu na salute sana kazi za man ndojo & domokaya kwa mengi mliofanya ndani ya kiwanda cha mziki #salute sana kwenu ma-brother's ✊
mapacha noma xhana
domokaya nimemis zile moment za kule uwanja wa gymghana TBT enzi hzo sekei sekondary
Domo tembea na hio mixtape jpil jion niipate hapo Aman au muachie bonny dukani
Kazi yenu iko poa
Sema nn RUclips sio lazma mtuwekee na matangazoo hayoo yotee
Isamilo Prezdent cjui matangazo ya nn yutube
aliyedislike alitak nn
💥💥💥💥
talents
Nawaelewa na kuwakubali kabla cjafanya hiv kwa Lionel mess
Salut
Mjuu wa mbua nashida na namba yako mzee sema jamaa wanatisha sana napenda nyimbo ya dingi inanihusu sana
Raspect kings
Legends
Hawa jamaa hatari wafanye wazunguke mikoani watapiga Hera kinoma.
wana atal sn hao
I need that album where can I get one copy???
Pizo kweli aisée
A
mjiongeze hata kwa edit
Tunatumia mb mjue ache matangazo humo RUclips
Song from 22:01" talent 100%
Ebwanaeeeee mrudi tuu aiseee sauti hazijapotea