HESHIMA YA BONGO FLEVA - MAN DOJO na DOMO KAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 63

  • @muhamadmaulid694
    @muhamadmaulid694 Год назад +1

    Ndojo kaya kitambo ,kipindii hicho machalii sana sisi .Bado tupo schole .nakumbuka sana

  • @christopherjames3684
    @christopherjames3684 4 года назад +2

    Noma sana mziki wazani ni heshima ya bongo freva kweli..

  • @brightvatta284
    @brightvatta284 6 лет назад +4

    Walinishawishi kununua album yao kipindi chao, nawaamini sana. Kiufupi mie ni shabiki wao. Moja kati ya uungano nnaouamini sana 100%

  • @antonydangote5879
    @antonydangote5879 24 дня назад +1

    R.I.P ndojo

  • @khaleedmustafah7254
    @khaleedmustafah7254 6 лет назад +9

    Ngoma ya Dingi ni moja ya Ngoma kali hakuna kutokea tz kwani Domokaya katembea bila chorus hii kitu noma na Ujumbe kwa familia zetu

    • @hassansaid89
      @hassansaid89 6 лет назад

      Khaleed Mustafah kweli bro chorus mbili tu mwanzo na mwisho

  • @ignasmwamwenda9383
    @ignasmwamwenda9383 5 лет назад +3

    wanautamu sana kwenye uimbaji, heshima kwenu malejendali

  • @lukassospeter1594
    @lukassospeter1594 7 месяцев назад

    Pure talents

  • @fbfabien4709
    @fbfabien4709 3 года назад

    Nawakumbalisana

  • @winfredykahwili1513
    @winfredykahwili1513 2 года назад

    🔥🔥🥳🥳

  • @pizothe1269
    @pizothe1269 6 лет назад +7

    mbwembwe nyingi, umu youtube mnajua tunatumia ma mb, fanyeni kukata wekeni kipindi kuwa kama the playlist ya lili ommy.

  • @dangotesam9845
    @dangotesam9845 3 года назад

    👊👊👊

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 6 лет назад +1

    Jamaa wana jua saana saana wana ladha ya muziki kweli

  • @cledeshyukalifa820
    @cledeshyukalifa820 5 лет назад

    ukija kushika smu yng huzikos hzo nyimbo za jamaa hawa vchwa vya vina hvyo

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 6 лет назад +2

    nyimbo ya dingi, haijawahi chuja, naisikiliza kama imetoka jana!

  • @mosesmponeja6854
    @mosesmponeja6854 6 лет назад +7

    Hawa jamaa kipaji kipo,sina wasiwasi nao kabisa

  • @vitendotv8732
    @vitendotv8732 6 лет назад +1

    heshima sana wazee wa kaz

  • @mobilesolution2413
    @mobilesolution2413 6 лет назад +4

    washikaji wanajua

  • @rashidyusuph9117
    @rashidyusuph9117 6 лет назад +2

    Salute

  • @kkhamis3024
    @kkhamis3024 6 лет назад

    Lady Jey D ukimpenda mtu bwanaaaaa... Domo Kaya together with Man Dojo ... BIG TIME bros and Sis Jey D

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 6 лет назад +2

    Kundi Bora la Muziki Tanzania

  • @captenndunga2102
    @captenndunga2102 5 лет назад

    Hawajamaa nawapenda sana wana busara sana.

  • @charleskimaryo4950
    @charleskimaryo4950 6 лет назад +1

    Ma Chalii wapo fire till now!!

  • @livingmushi7735
    @livingmushi7735 5 лет назад

    Jamaa nawakubali

  • @georgesajiro1402
    @georgesajiro1402 5 лет назад +1

    Midia zabongo ziliwabaniasana hawa washkaji,
    Kisa wametokea singida, aisee gemu lilikuatamusana,
    Nyimbo kama dingi, nizikwehai, niaje, nikupenn, tashwira, nanyingi kibao, wanok nok, yaaaaani daaaaaaaaah nakumbuka mbalisana

  • @salumhilal7911
    @salumhilal7911 5 лет назад

    Hii show ilikuwa safi sana kwa kweli..Wasanii wenyewe bado wako fresh kabisa

  • @hassansaid89
    @hassansaid89 6 лет назад

    Mabroo mmetisha kinoma najua mnaweza mpaka kesho hakuna wakusogelea huu mzik

  • @ponsiankahesi3458
    @ponsiankahesi3458 5 лет назад

    Nice hawa jamaaa waipotelea WAP nawakubali

  • @obedmlule5863
    @obedmlule5863 6 лет назад

    Mnatisha kinoma

  • @kekemagori4732
    @kekemagori4732 5 лет назад

    Noma xnaaaa

  • @Manfilly
    @Manfilly 6 лет назад

    Mmetishaaaa kinoma wandavago family

  • @silasdzombo2383
    @silasdzombo2383 6 лет назад

    daaah kali sana

  • @ambaranguathuman4446
    @ambaranguathuman4446 6 лет назад +1

    Nakipenda sana hiki kipindi cha heshima ya bongo flava ila matangazo bhna mengi hadi kero 😂😂😂😂😂

  • @albywamandalinho
    @albywamandalinho 6 лет назад

    hawa wajama ni moto💥💥💥

  • @hemedbuntoh9740
    @hemedbuntoh9740 6 лет назад +1

    sanaaa

  • @bonilove8525
    @bonilove8525 6 лет назад

    makini sana

  • @melikmwosotemwasote9813
    @melikmwosotemwasote9813 6 лет назад +1

    Nawakubal san hawa jamaa sulut kwen

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 6 лет назад

    Fifi umependeza kweli mwaaa

  • @daudydaud
    @daudydaud 6 лет назад

    mi binafsi yangu na salute sana kazi za man ndojo & domokaya kwa mengi mliofanya ndani ya kiwanda cha mziki #salute sana kwenu ma-brother's ✊

  • @bahatimbilinyi9004
    @bahatimbilinyi9004 6 лет назад

    mapacha noma xhana

  • @milimomashini9432
    @milimomashini9432 6 лет назад +1

    domokaya nimemis zile moment za kule uwanja wa gymghana TBT enzi hzo sekei sekondary

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya 6 лет назад

    Domo tembea na hio mixtape jpil jion niipate hapo Aman au muachie bonny dukani

  • @obedmlule5863
    @obedmlule5863 6 лет назад

    Kazi yenu iko poa

  • @isamiloprezdent6807
    @isamiloprezdent6807 6 лет назад +5

    Sema nn RUclips sio lazma mtuwekee na matangazoo hayoo yotee

  • @ongbackkidinindi8246
    @ongbackkidinindi8246 6 лет назад +2

    aliyedislike alitak nn

  • @manrichchahe6620
    @manrichchahe6620 3 года назад

    💥💥💥💥

  • @edenhighlandshotel
    @edenhighlandshotel 6 лет назад +1

    talents

  • @hamadabdul368
    @hamadabdul368 5 лет назад

    Nawaelewa na kuwakubali kabla cjafanya hiv kwa Lionel mess

  • @edsonshayo8430
    @edsonshayo8430 6 лет назад +1

    Salut

  • @ringoaskali7625
    @ringoaskali7625 5 лет назад

    Mjuu wa mbua nashida na namba yako mzee sema jamaa wanatisha sana napenda nyimbo ya dingi inanihusu sana

  • @anthonymwashoma17
    @anthonymwashoma17 6 лет назад

    Raspect kings

  • @omaryjitu7684
    @omaryjitu7684 6 лет назад

    Legends

  • @pascalnguruka9984
    @pascalnguruka9984 5 лет назад

    Hawa jamaa hatari wafanye wazunguke mikoani watapiga Hera kinoma.

  • @crispingerald3000
    @crispingerald3000 6 лет назад

    wana atal sn hao

  • @artofcinemaandtelevision2565
    @artofcinemaandtelevision2565 6 лет назад

    I need that album where can I get one copy???

  • @nicholaussaket6602
    @nicholaussaket6602 6 лет назад

    Pizo kweli aisée

  • @emanueladamayubu9940
    @emanueladamayubu9940 6 лет назад +1

    mjiongeze hata kwa edit

  • @ambaranguathuman4446
    @ambaranguathuman4446 6 лет назад

    Tunatumia mb mjue ache matangazo humo RUclips

  • @shijarichardshija8458
    @shijarichardshija8458 6 лет назад

    Song from 22:01" talent 100%

  • @stiviemshuza446
    @stiviemshuza446 6 лет назад

    Ebwanaeeeee mrudi tuu aiseee sauti hazijapotea