Wengine wanadhani kwenda kwenye nchi za watu ndo ujanja. Kweli yanga ni timu ya wananchi kweli mambo yote hapahapa nyumbani. Safi sana tupende vya nyumbani
Navyoona asilimoa lubwa ya mashabiki tunampenda Nkane maana kila comment naona watu wamefurahi walivomuona, ni kijana mmoja mpambanaji sana MUNGU amlinde🙏
nimefurahi sana kuona dogo nkane bado anaendelea kua mwanafamilia wa timu ya wananchi
Nkane Mungu amempeleka Yanga akasukume maisha yake. Ila amini kwamba pale hakuna mchezaji wa kiwango cha kukaa yanga.
Ni mchezaji mzuri sana hasa kwa viwanja vya mikoani@@beatbyrich2891
Happy to see Nkaneeeeeee❤❤❤❤
Mungu awachunge nyote vijana wetu, hii ndio Dua yangu, awape siha njema na asiwapungukie muda wote.❤❤❤❤❤❤
Wow nkane believing God
Very happy to see Nkane! Maana nilikua na wasiwasi sana
Acha kabisaa ,alafu hakati tamaa hata kama hachezi mechi nyingi.Mungu azidi kumpa moyo wa uvumilivu tu.
Kazi kaziniiiiiii
Watu wa kazi🙏🙏🙏💪🏻💪🏻
Nawaombea kwa mungu wachezaji wite wawe na afya njema
Im happy to see BBD the shark himself na kiungo bamia sure boy ishi sana mwamba 🎉
Nimefurahi kumuona babu kaju maana wachambuzi waliweka anarudi Azam niliumia
Yaani roho juu hata mimi nilisikitika niliposikia ile taarifa .
Wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi. Namuona Ali Kamwe anachochea vita ya namba kati ya Kibabage na mwenzie Boca.
Yanga ijayo 🔥🔥🔥
naomba like
ZA NINI UNATAKA
Upeleke wap
@@zacharianyandaila wabongoooo😂😂😂😂 😂😂 shikamooooo
@@abdallahrashid2899😂😂😂😂😂
Unakula?
Yanga Bwana mmemtoa Lomalisa mmeleta lomalisa😢😢😢, wanafanaa jamani
Macho yako na yangu yana fanana kumbe umeona kama mim
BBD nimemuona smiling player kubali sana mwamba huyu
Kama unaamini nkane ndio kiti wa yanga weka likes 😂
Hii Yanga haikosi kuna club itaweka impira kwapani,au ikubali 10😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😅
Denis Nkane 🙏
Mwenyezi mungu awatangulie kaktika safari yenu hii iwe ya yamafanikio🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛
Boka mwaga maji zaid ya Lomalisa alifanya kazi xana
My team 💪💪💪
Chama la wana 🔰💪
Mashaallh Alhamndulilah nawapendasana Allah akuzidishieni upendo Inshaallah
Mungu awabaliki wachezaji wote na benchi la ufundi
Mungu akupeni afya njema
nimependa sana aina yawa chezaji waliosajiliw yanga msimu huu 💚💚💛💛
Nawatakia maandalizi mema wachezaji wote na benchi la ufundi kuelekea msimu ujao wa mashindano yote, maandalizi bora ndio ufunguo wa mafanikio.
Woyooo babu kaju bado tunae
Kazi njema mkapambane
A wana mapinduzi haooo yang afirickas❤
Wengine wanadhani kwenda kwenye nchi za watu ndo ujanja. Kweli yanga ni timu ya wananchi kweli mambo yote hapahapa nyumbani. Safi sana tupende vya nyumbani
Lakini wanaenda South Africa!
Semajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii❤❤❤❤
Kibabage usichore matatoo mengine utakua vibaya kaa hivo hivo
Babu kaju ndani ya nyumba
Nkane mwamba 🔰🔰🔰💛💛💛💚💚💚
Kuna waandishi wa hovyo hovyo kabisa kwenye hii nchi kazi yao ni kudanganya tu na kutunga habari za uongo.
Vp kuhusu master kiiiiiiiiiiiiii
Waoooooooooo tum iendelee kwa sana
Congratulations young Africans
Watu muhim sana nyie 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga Africa the club above all
Furaha yangu kumuona denis nkane babu kaju na shehani ila sijamuona mkude mudathir na kibwana
My team🎉🎉
Nkane anapenda kucheka
Waoo🙏🙏🙏
Tumetisha sana
Kibabage mbona kama hana raha hivi Boka anamuogopa nn🤣🤣🤣
Sasa babu kaju akacheze no ngp Azam
Allaah Akbar
Safiiiii
💛💚💛💚100%
Lomalisa wa pili
🔥🔥
❤️🧡💚💛👍🔥
𝙒𝙖𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤 𝙙𝙚𝙣𝙞𝙨
No mistakes
Timu la wazee
❤
Kibabage Totoo imekaa mahala pake😂😂😂
hivi alikamwe anapumzika jamani😅
Kazini kwa kibabage kuna kazi. Jamaa hata halicheki
Safari hii watasema sana
Unyama 🎉🎉🎉❤
Mungu awalinde
yani yanga bwana upendo mbaka umepitiliza unaweza sema ni watoto wa mama na baba mmoja
Nakubali Mr Privaldinho😂
Watasema tu mwaka uu😅😅😅
Mwenye kazu golikipper mpya
Navyoona asilimoa lubwa ya mashabiki tunampenda Nkane maana kila comment naona watu wamefurahi walivomuona, ni kijana mmoja mpambanaji sana MUNGU amlinde🙏
Chama langu la ukweli hakuna kufeli ni juu
Muda wetu
Jesh la kijani na njano
😢
Miee azizi ki tuu jamaniii nimuone 😊😊😊
Nmefrah kumuona nkane🎉🎉🎉
Nice
Kane pambana kijana nakufanananisha na ngasa
Good play
❤❤❤❤
Wana Yanga
Najikuta tu natabasam
Yaaan jamaa kama lomalisa du nakuombea gem ikukubali
Amina jmn 🙏🙏
Andunje kibabage mambo😅
Yanga wakimuacha Joseph Guede watakosea xana ile ndo cf ya msimu ujao angefunga sana
Yanga chama lang la ukwer
AZIZI KI NA PACOME WAKO WAPI CHAMA HATUMUULIZI TUNAJUA ATAKUJA TUU, WAONESHENI MAKAMANDA WETU PACOME NA AZIZI KI
Wakitembea kama wamechoka, nwakiwa kazini weeeeeeeeeeeeee..........
Timu ya wakubwa ina ludi kikubwa
Mabingwa wa muda wote
Wachezaji au Kibabage?
Kipa mpya oyeeeee
Mchezaji mbona anapenda mapicha huyu au ndo sharo
We Sio mwananchi
NAIPENDA YANGA TAMU
Kibabage jeshi huende
Naomba muwe mnaandika na majina ya kila mchezaji anaepita kwenye kamera
Kutibiwa au kambini?
Huyu mpya kama Lomalisa !
Pamoja
Nita miss skudu sana kama hayupo😢
Oh Kibabage ushaanza kuwa mkongo sasa na mitatuu km yotee 😅😅😅