KAZI IMEANZA: WACHEZAJI WALIVYOWASILI AGA KHAN KWAAJILI YA KUANZA MSIMU MPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 148

  • @charsmaleko7460
    @charsmaleko7460 3 месяца назад +31

    nimefurahi sana kuona dogo nkane bado anaendelea kua mwanafamilia wa timu ya wananchi

    • @beatbyrich2891
      @beatbyrich2891 2 месяца назад +1

      Nkane Mungu amempeleka Yanga akasukume maisha yake. Ila amini kwamba pale hakuna mchezaji wa kiwango cha kukaa yanga.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 месяца назад

      Ni mchezaji mzuri sana hasa kwa viwanja vya mikoani​@@beatbyrich2891

  • @KajunaJovinary
    @KajunaJovinary 3 месяца назад +16

    Happy to see Nkaneeeeeee❤❤❤❤

  • @ShidaMgala
    @ShidaMgala 2 месяца назад +1

    Mungu awachunge nyote vijana wetu, hii ndio Dua yangu, awape siha njema na asiwapungukie muda wote.❤❤❤❤❤❤

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 3 месяца назад +15

    Wow nkane believing God

  • @michaelmillinga5064
    @michaelmillinga5064 3 месяца назад +7

    Very happy to see Nkane! Maana nilikua na wasiwasi sana

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 месяца назад

      Acha kabisaa ,alafu hakati tamaa hata kama hachezi mechi nyingi.Mungu azidi kumpa moyo wa uvumilivu tu.

  • @mudywambash6684
    @mudywambash6684 3 месяца назад +7

    Kazi kaziniiiiiii

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 3 месяца назад +11

    Watu wa kazi🙏🙏🙏💪🏻💪🏻

  • @shaabanabdallahkhamisi4089
    @shaabanabdallahkhamisi4089 3 месяца назад +7

    Nawaombea kwa mungu wachezaji wite wawe na afya njema

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 месяца назад +2

    Im happy to see BBD the shark himself na kiungo bamia sure boy ishi sana mwamba 🎉

  • @Zainab-yn1iz
    @Zainab-yn1iz 3 месяца назад +15

    Nimefurahi kumuona babu kaju maana wachambuzi waliweka anarudi Azam niliumia

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 месяца назад

      Yaani roho juu hata mimi nilisikitika niliposikia ile taarifa .

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 месяца назад +7

    Wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi. Namuona Ali Kamwe anachochea vita ya namba kati ya Kibabage na mwenzie Boca.

  • @bravoremy
    @bravoremy 3 месяца назад +8

    Yanga ijayo 🔥🔥🔥

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu 3 месяца назад +34

    naomba like

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 2 месяца назад +2

    Yanga Bwana mmemtoa Lomalisa mmeleta lomalisa😢😢😢, wanafanaa jamani

    • @TatuHusseni-hs7mu
      @TatuHusseni-hs7mu 2 месяца назад

      Macho yako na yangu yana fanana kumbe umeona kama mim

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 3 месяца назад +8

    BBD nimemuona smiling player kubali sana mwamba huyu

  • @babitojnr4886
    @babitojnr4886 3 месяца назад +13

    Kama unaamini nkane ndio kiti wa yanga weka likes 😂

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 3 месяца назад +9

    Hii Yanga haikosi kuna club itaweka impira kwapani,au ikubali 10😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 2 месяца назад +3

    Denis Nkane 🙏

  • @Said13Mashakaog
    @Said13Mashakaog 2 месяца назад

    Mwenyezi mungu awatangulie kaktika safari yenu hii iwe ya yamafanikio🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛

  • @PaulMoyo-l4r
    @PaulMoyo-l4r 3 месяца назад +9

    Boka mwaga maji zaid ya Lomalisa alifanya kazi xana

  • @hussenshariff8420
    @hussenshariff8420 2 месяца назад +2

    My team 💪💪💪

  • @ommykiss7049
    @ommykiss7049 2 месяца назад +3

    Chama la wana 🔰💪

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 2 месяца назад

    Mashaallh Alhamndulilah nawapendasana Allah akuzidishieni upendo Inshaallah

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 2 месяца назад +1

    Mungu awabaliki wachezaji wote na benchi la ufundi

  • @HaithamHadji-tq3mk
    @HaithamHadji-tq3mk 2 месяца назад +1

    Mungu akupeni afya njema

  • @petrokonpetrokon
    @petrokonpetrokon 2 месяца назад

    nimependa sana aina yawa chezaji waliosajiliw yanga msimu huu 💚💚💛💛

  • @AlmachNestory
    @AlmachNestory 3 месяца назад +6

    Nawatakia maandalizi mema wachezaji wote na benchi la ufundi kuelekea msimu ujao wa mashindano yote, maandalizi bora ndio ufunguo wa mafanikio.

  • @abednegoklamian3977
    @abednegoklamian3977 2 месяца назад +4

    Woyooo babu kaju bado tunae

  • @gervaslukaya
    @gervaslukaya 3 месяца назад +7

    Kazi njema mkapambane

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 3 месяца назад +3

    A wana mapinduzi haooo yang afirickas❤

  • @gilbertrutayuga4676
    @gilbertrutayuga4676 2 месяца назад

    Wengine wanadhani kwenda kwenye nchi za watu ndo ujanja. Kweli yanga ni timu ya wananchi kweli mambo yote hapahapa nyumbani. Safi sana tupende vya nyumbani

  • @RichardNgumbulu
    @RichardNgumbulu 2 месяца назад +1

    Semajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii❤❤❤❤

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 месяца назад +3

    Kibabage usichore matatoo mengine utakua vibaya kaa hivo hivo

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 3 месяца назад +12

    Babu kaju ndani ya nyumba

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo 2 месяца назад +2

    Nkane mwamba 🔰🔰🔰💛💛💛💚💚💚

  • @masoudmongomongo244
    @masoudmongomongo244 3 месяца назад +3

    Kuna waandishi wa hovyo hovyo kabisa kwenye hii nchi kazi yao ni kudanganya tu na kutunga habari za uongo.

  • @KhamisHamad-v7f
    @KhamisHamad-v7f 3 месяца назад +4

    Vp kuhusu master kiiiiiiiiiiiiii

  • @PriscaDalus
    @PriscaDalus 2 месяца назад

    Waoooooooooo tum iendelee kwa sana

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 3 месяца назад +4

    Congratulations young Africans

  • @Said13Mashakaog
    @Said13Mashakaog 2 месяца назад +1

    Watu muhim sana nyie 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @williamlilangala7826
    @williamlilangala7826 2 месяца назад

    Yanga Africa the club above all

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 3 месяца назад +3

    Furaha yangu kumuona denis nkane babu kaju na shehani ila sijamuona mkude mudathir na kibwana

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 2 месяца назад

    My team🎉🎉

  • @MariaMsuku
    @MariaMsuku 3 месяца назад +3

    Nkane anapenda kucheka

  • @MariamuSalehe-q9e
    @MariamuSalehe-q9e 3 месяца назад +2

    Waoo🙏🙏🙏

  • @LeonadMwanisawalautel-p7m
    @LeonadMwanisawalautel-p7m 3 месяца назад +1

    Tumetisha sana

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 3 месяца назад +4

    Kibabage mbona kama hana raha hivi Boka anamuogopa nn🤣🤣🤣

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 3 месяца назад +4

    Sasa babu kaju akacheze no ngp Azam

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 2 месяца назад

    Allaah Akbar

  • @FredyPeter-rn2il
    @FredyPeter-rn2il 2 месяца назад +1

    Safiiiii

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 2 месяца назад +1

    💛💚💛💚100%

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 3 месяца назад +7

    Lomalisa wa pili

  • @FarajiMkoto
    @FarajiMkoto 2 месяца назад +1

    🔥🔥

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 3 месяца назад +3

    ❤️🧡💚💛👍🔥

  • @JanethJuma-sv5pm
    @JanethJuma-sv5pm 3 месяца назад +2

    𝙒𝙖𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤 𝙙𝙚𝙣𝙞𝙨

  • @hussaynrajab6776
    @hussaynrajab6776 3 месяца назад +1

    No mistakes

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 месяца назад

    Timu la wazee

  • @IsayaTweve
    @IsayaTweve 3 месяца назад +2

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 3 месяца назад +3

    Kibabage Totoo imekaa mahala pake😂😂😂

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 2 месяца назад +1

    hivi alikamwe anapumzika jamani😅

  • @suleymanyaasin
    @suleymanyaasin 2 месяца назад

    Kazini kwa kibabage kuna kazi. Jamaa hata halicheki

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 3 месяца назад +1

    Safari hii watasema sana

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 3 месяца назад +3

    Unyama 🎉🎉🎉❤

  • @AminaAshraph
    @AminaAshraph 3 месяца назад

    Mungu awalinde

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 2 месяца назад

    yani yanga bwana upendo mbaka umepitiliza unaweza sema ni watoto wa mama na baba mmoja

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it 2 месяца назад

    Nakubali Mr Privaldinho😂

  • @AdolophinaShawa-pd8yo
    @AdolophinaShawa-pd8yo 3 месяца назад +2

    Watasema tu mwaka uu😅😅😅

  • @OthnoShezume
    @OthnoShezume 3 месяца назад +1

    Mwenye kazu golikipper mpya

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 2 месяца назад

    Navyoona asilimoa lubwa ya mashabiki tunampenda Nkane maana kila comment naona watu wamefurahi walivomuona, ni kijana mmoja mpambanaji sana MUNGU amlinde🙏

  • @chops63entertainment
    @chops63entertainment 2 месяца назад

    Chama langu la ukweli hakuna kufeli ni juu

  • @MalinoKadwame-u1c
    @MalinoKadwame-u1c 3 месяца назад +3

    Muda wetu

  • @PatrickMalema-f9s
    @PatrickMalema-f9s 2 месяца назад

    Jesh la kijani na njano

  • @AdamRamadhani-w8m
    @AdamRamadhani-w8m 3 месяца назад +1

    😢

  • @Shadia544
    @Shadia544 2 месяца назад

    Miee azizi ki tuu jamaniii nimuone 😊😊😊

  • @FabiolaSommy
    @FabiolaSommy 2 месяца назад

    Nmefrah kumuona nkane🎉🎉🎉

  • @rachelcheyo-p5z
    @rachelcheyo-p5z 2 месяца назад

    Nice

  • @JosephDaudi-n5l
    @JosephDaudi-n5l 3 месяца назад +1

    Kane pambana kijana nakufanananisha na ngasa

  • @CratusmwendaMwenda
    @CratusmwendaMwenda 2 месяца назад

    Good play

  • @husseinabdallahmkupulo1784
    @husseinabdallahmkupulo1784 2 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @GvanyFamily
    @GvanyFamily 3 месяца назад +1

    Wana Yanga

  • @fahadrashid9754
    @fahadrashid9754 3 месяца назад +1

    Najikuta tu natabasam

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 3 месяца назад +3

    Yaaan jamaa kama lomalisa du nakuombea gem ikukubali

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 месяца назад +1

    Andunje kibabage mambo😅

  • @YusuphBupamba
    @YusuphBupamba 2 месяца назад

    Yanga wakimuacha Joseph Guede watakosea xana ile ndo cf ya msimu ujao angefunga sana

  • @mathiasmwamba5872
    @mathiasmwamba5872 2 месяца назад

    Yanga chama lang la ukwer

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 2 месяца назад

    AZIZI KI NA PACOME WAKO WAPI CHAMA HATUMUULIZI TUNAJUA ATAKUJA TUU, WAONESHENI MAKAMANDA WETU PACOME NA AZIZI KI

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 2 месяца назад

    Wakitembea kama wamechoka, nwakiwa kazini weeeeeeeeeeeeee..........

  • @TilasPaulo
    @TilasPaulo 3 месяца назад +1

    Timu ya wakubwa ina ludi kikubwa

  • @RajabuBojo-j2l
    @RajabuBojo-j2l 3 месяца назад +3

    Mabingwa wa muda wote

  • @katalisajuka-fl3st
    @katalisajuka-fl3st 2 месяца назад

    Wachezaji au Kibabage?

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb 2 месяца назад

    Kipa mpya oyeeeee

  • @AsmaAmeir-s3b
    @AsmaAmeir-s3b 3 месяца назад +3

    Mchezaji mbona anapenda mapicha huyu au ndo sharo

  • @BeckahNassibu
    @BeckahNassibu 2 месяца назад

    NAIPENDA YANGA TAMU

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 3 месяца назад +2

    Kibabage jeshi huende

  • @ShukuruMgimba
    @ShukuruMgimba 2 месяца назад

    Naomba muwe mnaandika na majina ya kila mchezaji anaepita kwenye kamera

  • @MariamLigoha
    @MariamLigoha 3 месяца назад +1

    Kutibiwa au kambini?

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 2 месяца назад

    Huyu mpya kama Lomalisa !

  • @SalmaKhalfan-h2f
    @SalmaKhalfan-h2f 2 месяца назад

    Pamoja

  • @karenlema4317
    @karenlema4317 2 месяца назад

    Nita miss skudu sana kama hayupo😢

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 2 месяца назад

    Oh Kibabage ushaanza kuwa mkongo sasa na mitatuu km yotee 😅😅😅