Barakah The Prince - Yanachosha (Official Music Video) SMS [Skiza 7918372] to 811
HTML-код
- Опубликовано: 9 июн 2021
- #BarakahThePrince #AfricanPrince
SMS VCT 10425770 To 15577 Vodacom Tz
Nimekoma by Barakah The Prince (C) 2020 (BML) BANA MUSIC LAB.
Nimekoma is OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Link ffm.to/barakahtheprince
For Bookings: AfricanPrinceTz@gmail.com
Follow The Barakah The Prince on:
/ barakahtheprince_
/ afrikanprince_
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Barakah Andrew (born February 13, 1994), better known by his stage name Barakah The Prince, is a Bongo Flava recording artist, singer and song writer from Tanzania.
Born and raised in Mwanza City, by his parents Andrew Odiero (father) and Risper (mother). Видеоклипы
Dogo rekebisha mambo yanayokukwamisha. Wewe ni mkali number one in TZ❤️❤️❤️Wimbo mkali na utaishi vizazi vingi. BARAKA THE PRINCE HIMSELF 🙏
Baraka ni mmoja tu Globally, Bingwa Wa Kuandika Ngoma Za ❤️❤️❤️ Na Kuziimba ktk Kiwango Cha Juu cha Sauti, Na Hisia zinazogusa mamilioni Ya Fans.
🔥
Truth...
Aisee yanachosha mapenzi kama unamkubali baraka ngonga like twende sawa
DAMN this is real SHIT💔 for all heartbroken boy's
Thanks KING BLACK PRINCE😇
"Natamani kuweza kuupa moyo kiburi kudhalau na kupuuza yote yanayofanyika" - deep lycris
Daaah wa bongo tumesha semate kuwa tu support bona ngoma kali ila support ndongo 5day now
Ngoma Kali saana sema tuu washakuroga
Watching it from Zambia
matendo yako yanchosha bana hii nzito wapi like za african prince
Umenifanya nianze kuvimba tena mtaani Mana kila nikikusfia naulizwa ngoma mpya iko wap........ Mzgo ndo huu sasa 🔥🔥🔥🔥
Kwel Barak. Anajuwa san
@@ambaassumani4444 so we
@@ambaassumani4444 hatar huyu tuzd kumsapot ili arud mchezon kwa kishindo Zaid walishaanza kuusahau moto wake huyu jamaa
😆
jonson up mwambaaaa
Weka like hapa Kama umeelewa kazi ya baraka the prince
Goma limeenda shule hatariiii......mziki umetulia balaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hua sipati likes lakini nisawa pia lakini sitakoma kuwapongeza waimbaji wote Forever.
🙏
Wabongo tuache unafiki jamaa kafanya kazi nzuri, let's give him full support. Nakua sielewi nyimbo yenye kiwango hiki kwanini haipati airtime kubwa.
Yani sijui Jamaa alikosea wapi , anatoa Ngoma kali lakini hakuna support kabisa
ShiDa R&B style saiv wat hawazopendi
Halafu dogo Ana dharau flani iv..
@@elijahkilinju2988 akamuombe msamaha kiba mbona kabla ajatoka kwa kiba ngoma zake zilikuwa zinaenda sana
...abadilishe style ya kuimba tushamzoea
Huyu Prince kashakuwa mfalme hail barakah the prince hii Ngoma moto
Here he comes again our Kenyan🤗 .. always got the vibe .. mapenzi yanachosha , nikikupa upendo unaniangusha
Kiukweli hujawahi kuniangusha jembe langu nilikuwa nakosa laha kabisa kila nikiingia online sikuoni yaani kwa sasa Hadi kifua nasikia kimeachia sikia baraka wangu pambana mashabiki zako tupo sauti yako tu huwaga inanikosha hatari
Huyu jamaa anaujua muziki kwelikweliii...Anakipajii balaa..Mziki mkaliiiiiiiii sana
Nakutambua sana ndugu hakika wafanya vizuri mi pia kakako toka Kenya naendelea Na mziki vyema
Bongo anaimba huyu wengine wana piga mikerere2 barakah daaa prenc
Kwa jinsi ninavyo hisi huu wimbo ilikua ujumbe wa nafsi yangu🤗 ... He has the good vibes❣️❣️ let's appreciate him🔥🔥🔥
Toka nakujua brother ujawai kukosea
Kwa ukanda wa pwani ya Africa masharika Baraka na otile brown hawa jamaa ni another level
Huyu mwamba hawamuwezi watazinga Sana ila kipaji ndo kinaongea mtasarenda tu kazi nzuri Sana isiyokuwa mpinzan.
NISIWE MNAFKI HII NGOMA KALI SANA JAAA MAA NIIII🔥🙌
Jaamaaaniii
Karud kwenye game lake african prince
Tunaosoma comment tukutane hapa 🔥
Hii ndo bongo flava tuliyokuwa tumeimiss. Wengine wanaimba Nigerian flava.
😭daaah mbona Kama inanihusu hii ngoma
Hizi beat za Zouk fulani, Baraka ndio huwa anaua sana ....... Nikinyanyua upendo we unaangusha..Nikiweka malengo we unayaruka , nini unataka , mbona unanichoshaa... Aki unayachosha 🎶🎶🎶this part is soooo amazing 🔥🔥🔥🔥
Melody nzurii sana
Jamani... nakosa lakusema Mana nakufaham kama fundi wa mziki😍😍😍📸📸📸🎶🎶
BlackMaster, Blackbaraka, Blackprince hujawah kosea mwanangu Huna baya, na hauna kazi mbovu.....MZIKI MZURI UENDELEE🔥🔥🔥🔥🔥
Safiiiiiii sanaaaa mkuuu mauaji sanaaa baraka respect
Siku zote nyimbo zako zina ujumbe mzuri ww unajuwa kuimba sijawahi acha sikiliza nyimbo zako pamoja sana brother 🙏🙏🙏
Kila nipo isikiliza hii ngoma daaaah mungu tutolee hao wachawi hapo mbele
Wachawi gani tena?
Yule Baraka wa Siwezi na Acha niende ndo huyu sasa 🙌🏿
Wangap tunaotaka uwepo wa da prince 🇧🇴🇧🇴
Baraka unajua paka unaboa ❤❤❤❤🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
We jamaa haya ndo manyimbo sasa tunatakaga kukusikia ukiyaimba
Big up da Prince
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Banger Hit Noma Sana Hatari Sana Aiseeee Noma Sana Nakubali Aiseeee 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Real music speaking....
Welcome back prince
Huwa namkubali huyu kaka since day one.....ila game la bongo basi tu
Jamaa Anaweza Sema Kanikera Kuhama Team Kiba.
Komaaa baraka Rudi kwenye game
Amorauz Dop from cape Town baraka baba uliandika poa sana yani kazi imekawa sawa baba ukiskia naongea kuusu kazi jua nikazi kweli ya ukweli
❤️❤️❤️❤️❤️❤️💥💥☑️
Ww nd umeuteka moyo wangu ❤❤ n nyimbo zako
My Core prince,, my Namesi
Huuu ndo muziki anawo uweza baraka kuimba kama kashaachwa basi huu ndo muziki mzuri wa baraka da prince
Ngoma Kali 🔥🔥🔥🔥🔥🔥watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umeniamsha tena kasha fanya tena mooooto
hwa wanao dis like huwaga ni wasanii au just binadamu wa kibongo huwaga nashindwa.kuelewa aki😎😎😎😎
Yanachosha nyimbo zuri san
Rudi mtalam🎧🎧wetu,,tumekumic sana sauti fulan iv amazing,,,🎶🎶🎶
The prince,proud of you bro
Karibu Sana Kaka baraka umerejea hakika unajua kuimba Sana na tupo pamoja nilimiss Sana nyimbo zako waoooo Asanteee kwa Kaz nzuri
My favorite Artist ☆☆☆☆♡
Kama unamkaubali Baraka Kama Mimi gonga like hapa 💪💪💪👆🎵
Welcome back baraka de prince
He's back my baraka tulikua tumekumiss sana mapenzi yalizima ulivopotea 😃😃😃 sasa imerudi
@Abby Shawn kabisaaa
Msanii pekee ambae hachuji Wala ajawai kuchuja at asipo toa ngoma ndani ya miaka 7 akirudi bado anamashabiki.......NI BARAKA DE PRINCE
Wallah broo huwa Ngoma zako zote zanigusa sana mm niko Kenya numbar one fan wako I'm love you broo natamani hata siku mmoja nikuone
Woyooooooooo💥 welcome back motooo Kama pasi
Jamaa anaimba mnaokubali naomba like
Mdogo wangu baraka music unaujuwa tena sana .hasa hii ngoma ndo umeuwaaa vibaya🙌🙌🙌 ila ushauli achana na hz bfu ndogo ndogo na wasanii wenzako nazan kwa maoni yangu ndo zinakuferisha kwenye baadhi ya mambo ..ila kwa kipaji cha kuimba hapa🙌🙌🙌🙌
Baraka is very talented 👏
Kuna watu wanajua sanaa...huyu fundi kuandika na kuimba....
Wangapi wameplay kwa kujua tu Ngoma yake itakua poa kutokana na kazi zake za nyuma
the return of barakkah the prince
shabiki yako wadam nakukubali sanaa unajua sanaaa
NYIE NIKINYANYUA UPENDO WE UNAANGUSHA, NIKIWEKA MALENGO WE UNAYARUKA
Baraka daaah emu poa ngoja tusapot hadi mwisho wetu
Melody,voice settings touches and video location zmezingatiwa hundred per cent big up baraka
Hapa umerudi kua baraka mwenyewe thankx for the good song ulikuwa umetoka nje ya rery
KUNGURU MWEUSI FUNDI SANA 🔥🔥🔥Kuna Muda Unauona Mwisho Ila Bado Unang’ang’anaaaa
Usimuite binadamu mwenzio kung-fu mweusi. Sio sawa
Tuko ontrend sasa huu Moto umeshawaka jmn🔥🔥🔥🔥
Mwenye mziki wake
Makini brother niliposikia ngoma ya vanila na rapcha nilihisi niwewe mana sauti zilifanana sana na ya vanila lud kaka tunakukubali sana
rudi kwa king kka juu aki kipaji iko ila ulikosea king
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Kazi kabisa uyu Jama ajawai koseya. Big up to you my best, wengine mbwembwe tuu
Daah sina cha kusema 💥🙌🙌👎👍
My favorite TZ artist of all time❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Ambao tunaona ya kawaida ngonga like
Fundi music 👑🙏🙏🙏 baraka d
Gonga like kama hunamkubari barakah
Diamond hebu chukua ichi kiumbe kisajili hela hiii mchizi yupo vzr
🤴
Mwanza mwanza mjuba wamoto sna home boy
Kaaali saaana
Huyukaka.maashaallah
Nimesikiliza10
Nimeupendasana
BarakA mkali akii uwa namfeel huyu kijana sana
Yanachosha!!
Hyu jamaa anajua ila hajui kama anajua
Mwenye mzki wake amerud yena👏👏👏🙌🙌
Huyu Ndio Baraka sasa 🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah, nilikusubir sana yanii...na Leo umefanya niwe na Aman tena kuona umetoa new song,,, hongera sana Baraka
DA PRINCE we noooma Sana,ila siku hz tuna Kaa kimya Sana,fanya back 2 back alafu tuone.
Tunaomba usianze kusuka Barack tulia ivoivo
Baraka unatuangusha fans wako unajisahau muda mrefu bila kutoa nyimbo
Umeuwa brother 🔥🔥🔥🔥
I wonder howmany heart break this guy has been through this guy brings back the memories of my ex in every song he sings 😭