Mm naona Tanzania mtu ukiuwa kwa kuplani au kwa makusudi na yeye anyongwe sheria hii ifanye kazi maana uwezi kufanya mauwaji kwasababu ya mali wakati ni vitu vya kutafta
Wauwaji nao wauliwe tu mauwaji tanzania siku zote yanaongezeka siku hadi siku tatizo selekakli inawafuga wauwaji mwisho wa sku utaona wako innje wakiendelea kufanya uhalifu zaidi
😭😭😭😭😭 masikini binti wa watu jamani daah tv na sabuufa zimetoa uahai wa mtoto wa watu alie kua anajitafutia kihalali. Masikini pole kwa wazazi na mmiliki wa nyumba jamani
Unaua mtu kisa TV???????Rudisheni Uhai wa Huyo Binti niwape TV Kama Hizo mia Moja mje hapa Kariakoo Naziuza inch Zote Hisens,the boss, Star X na Solar Max Njooni Niwape ila Rudisheni Uhai wa Huyo bint yetu😢😢😢
Mnatuzalilisha mafundi sana kwaiyo mabos wasituamini tena mtu unamtoa uhai kisa tv ambayo fundi unauwezo wa kununua zaid ya 10 shubamiti zenu nanyi muuliwe kikatir zaid
Sina uhakika kama ni mafundi wenye nyumba nao siku hizi hawana akili timam roho za kijajus zimewajaa😢😢😢endeleen kufanya uchunguzi majibu mazuri mtayapata
Wafundisheni lakini mjali zaidi MASLAHI Yao muda mwingine hawalipwi pesa stahiki au muda mwingine WANAKUWA wanawadai maboss zao pesa nyingi KIASI KWAMBA mwisho wa siku hawalipwi kabisa nk
Felistersmejumaa ,maneno yangu sio makali Kwa wafanyakazi wa ndani na wazazi wao ila Kwa wewe mwizi TAPELI ni mkali sana kiKUBWA lipa watoto wa watu mishahara Yao acha utapeli na wizi bundi jike wewe ,umeguswa na maneno yangu
Najiuliza Kwa makini kama watu wanauwa mtu je wanaosema hukumu ya kunyonga itafutwaje? Watu wanaosema watu wasinyongwe wkt watu wananyonga wakubwa ni wapi wakubwa ni mahakama ama ni watu wanauwa watu?
Mm naona Tanzania mtu ukiuwa kwa kuplani au kwa makusudi na yeye anyongwe sheria hii ifanye kazi maana uwezi kufanya mauwaji kwasababu ya mali wakati ni vitu vya kutafta
Naungana nawewe,Haiwezekani mtu aue mwenzake kwa makusudi alafu Yeye aendelee kuishi
@@barakakusa7606Auwawe pia yy😢
😢😢😢😢😢😢😢😢is 😢😢😢😢😢😮6😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢a 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢a 😢😢of 😢😢😮a 😢and just an the to from 😢😢😢😢@@barakakusa7606
Hawa watuhumiwa kama ni kweli wamefanya, piga visu vya shingo tu maana hawafai kabisa.
Mungu wangu qiyam hakiko mbali tufanye ibada wallah
Mtoto mdogo kabisa unatoa uhai wake.
Jaman tv sabufa yakumtoa loho mwezako kweli mungu awalani sana kwaicho mlichokifanya
Mzee umeongea point san wallah
Pongezi Sana jeshi la polisi mkoa wa morogoro chini ya uongozi wa rpc a, mkama,asaidie polisi mtandao mzima wakamatwe, mpaka waseme.
Subhannallah subhannallah yaani hivi vitu hata million mbili haifiki daaah. Mnamtoa uhai bure
Vijana fanyeni kazi😢😢😢
Yaan una muua mtu kwa tv na redio kweli , innalillah wainan lillah rajoun
MADAM UMEONGEA MANENO YAMENYOOKA
Mbna kama nasikiliza redio free mikwaluzo kibao
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂
Kumbe walimuua kwa kuwa anawajua masikini wee
Daah inaumizaa😢😢😢
Wanyongwe mbwa hao
Hizo zote tamaa kumtoa mtu uhai wake bila sababu
😢sababu ni tamaa ya vitu vya watu
Na wao wauliwe ili waone machungu ya kutolewa roho tena wakati wanauliwa pole ili wapate maumivu
Unaiba kiswaswadu yaani kitululu kinamtoa mtu roho😭😭😭
Then unaenda kutumia
@@ziggertv3185 Aibu nimeskia mimi jaman🙆🤔
Inasikitisha kwakwel 😢
Innalillah wainnaa lillahi rajiun daah kweli mtihan san
Tupunguze kuaminiana mauwaji nimengi yakila aina
Jamani Monica 😭😭😭😭😭😭😭 dahh
Wauwaji nao wauliwe tu mauwaji tanzania siku zote yanaongezeka siku hadi siku tatizo selekakli inawafuga wauwaji mwisho wa sku utaona wako innje wakiendelea kufanya uhalifu zaidi
Daah r.i.p
Masikini ya Mungu ni kijana mdogo mno.Pumzika kwa amani
Kama uthibitisho mmeupata, kesi ya Nini? Wauweni wakapambane na kesi mbinguni😭😭😭😭😭😭
Jamani mbona mfanyakazi Huyo ni mnyonge tuu hata ukimnyoshea kisu tuu anaogopa ilikuwaje mumuue hata si wakusema mtapambana nae😢😢😢
Shida ni kwamba alikuwa anawajua
Sasas si ujinga kabisa haya bora wangevaa ninja ili aiwaone waibe waondoke lkn sio kuua mtu asiekuwa na hatia
Kweli ndugu
Pole Sana kweli
R. I . P Monica
Astafirulah yarabi mungu asinipe ujasiri wa kumuwa mtu hata anifanye nini hata anidhulum siwezi
Yaani unamutowa mutu uhai kisa sabufa na sim? Daah kweli kuna watu na viatu aise
Laanahtullah hao kuuliwa,tu
Subuhanallah. 😢
Hii Dunia tamaa mbaya sanaaa kama walikua nashida ya kuiba wangeiba tu lakini huyo Dada wangemuachia maisha yake jamani mungu yupo 😭😭😭😭
Inalilah wainalilah rajighun polen wazazi wa bint
Sitivu
Kweli anaekumaliza anaekujua daa mazoea ni mabaya sana, daa nyumba kubwa hivyo alibaki peke yake mungu yangu.
Sub-hanallah!!!!!
😭😭😭😭😭 masikini binti wa watu jamani daah tv na sabuufa zimetoa uahai wa mtoto wa watu alie kua anajitafutia kihalali. Masikini pole kwa wazazi na mmiliki wa nyumba jamani
Tv, sabufa , feni nazo ni mali ,,,uroho tu mashetan hao wafie jela
Asa kwa vitu gan apo ata milion tatu aifiki khaa😢😢😢😢😢😢😢
Unaua mtu kisa TV???????Rudisheni Uhai wa Huyo Binti niwape TV Kama Hizo mia Moja mje hapa Kariakoo Naziuza inch Zote Hisens,the boss, Star X na Solar Max Njooni Niwape ila Rudisheni Uhai wa Huyo bint yetu😢😢😢
Wafungwe maisha
Hawana hata uruma kabisa wafungwe mahisha pumbavu hao wanamua bint mdogo ambaye Hana ubaya
Lailahailah Mschana hata hajaolewa jamani wange kafunga hatakamba,uhai wake,jmn,
Waafrika ni washamba samani ya mtu ni kubwa kuliko hivyo vitu marekani huwa wanagawa vitu hivyo bure tu
Ww ni mzungu Sindio??? Hata marekani wanauwana kila siku tena kwa sababu za hovyo
Jamani hitamaa vituvyakipita mnatoa uhai wa bint wawatu inaumasanaa
Wawajibishwe mara moja
inalilahi wainalilah rajiuni 😭
Duuuu tv
Mnatuzalilisha mafundi sana kwaiyo mabos wasituamini tena mtu unamtoa uhai kisa tv ambayo fundi unauwezo wa kununua zaid ya 10 shubamiti zenu nanyi muuliwe kikatir zaid
Dah jamani hao wanyongwe,miwaache pumbavu zao
Polen wafiwa😢😢😢😢
Unaua mtu kwa ajili ya tv? Laiti ingelifuatwa sheria ya Allah anaeua na yeye anauliwa bc mambo haya yangelipungua
Sukuma ndani hao
Jamani😢😢😢😢😢
Walimuua kwa sababu aliwatambua maana ni mafundi wanaojenga hapo
Yn nimefanya kz nimepata ela bdo nauliwa kisa kitu changu😢jmn
Lala sala pole kwa familia wana akili finyu sana unauwa kwasabu ya tv cm uo ushamba pia
DAH R.I.P BINTI VIJANA W HOVYO XNA😭😭😭😭😭
Rest in peace ✌️😢
Yani hivyo vitu ndiyo vimewaponza kuuwa binaadam mwenzao. Jamani nibola nao wangenyongwatu basi
Loooo!!! Jamani watu hawa huruma kweli
😢😢😢😢😢😢😢😢
Hao ni wakuwapa matesoo ya kiwango cha juu, wajute kabla ya kufa
Yan watuy wanakosa utuy kwa ajili ya redio na TV DUUH MUNGU WANGU NAKISIM CHA TOCHI KWELI DUUH
Hatari sana
Yachomwe moto hadharani ili iwe fundisho.
“KUNA UMASIKINI WA MALI NA UMASIKINI WA AKILI”.
Hao wanaokamatwa huwenda wamevinunua mitaani. Ila ikiwa ndo mfundi wa hiyo nyumba basi wanahusika.
Sina uhakika kama ni mafundi wenye nyumba nao siku hizi hawana akili timam roho za kijajus zimewajaa😢😢😢endeleen kufanya uchunguzi majibu mazuri mtayapata
Had watoe taarfa manake jesh la polis wamejiridhisha na uchunguz ndugu,
Wafundisheni lakini mjali zaidi MASLAHI Yao muda mwingine hawalipwi pesa stahiki au muda mwingine WANAKUWA wanawadai maboss zao pesa nyingi KIASI KWAMBA mwisho wa siku hawalipwi kabisa nk
Wewe ni mjinga kweli kweli bora usinge comment tu
AU WE PIA UNAHUSIKA KABLA UJACOMMENT TAFAKARI KWNZ SIO UTOKE USINGZINI NA MATAPUTAPU KICHWAN
wew unaandika upuuuz bila kuelewa jinga sana wew hovyo shubamiti
Felistersmejumaa ,maneno yangu sio makali Kwa wafanyakazi wa ndani na wazazi wao ila Kwa wewe mwizi TAPELI ni mkali sana kiKUBWA lipa watoto wa watu mishahara Yao acha utapeli na wizi bundi jike wewe ,umeguswa na maneno yangu
@@BIGBOSS-hl3bu Unaonekana weeee ni shoga ,, hata kwa vikao usiwahi kutoa mada pumbi wewe
😭😭😭😭
Watu wana roho mbaya,unamtoa mtu uhai kisa TV sim sub woofer,mijitu mikatali sana
Najiuliza Kwa makini kama watu wanauwa mtu je wanaosema hukumu ya kunyonga itafutwaje? Watu wanaosema watu wasinyongwe wkt watu wananyonga wakubwa ni wapi wakubwa ni mahakama ama ni watu wanauwa watu?
Hao watu walijuaje kuwa binti yupo peke yake
Kwanin wasiewe wana nyonga?
Yaani unamuua mtu kwa ajili ya redio sabufa
Yaani unaua mtu kisa tv na sabufa😢😢😢
Sasa kwanini hao watu wasipigwe risasi hadharani
AFANDE PONGEZI KWA KAZI NZURI.ILA HAO MSITANGAZE NAO WAENDE POLEPOLE AU KIMYAKIMYA 'MSIWAPE MAHAKIMU KAZI..ILA MAMA NAE ACHINGUZWE
Ayo na mimi naomba kazi
Kazi gan
@@aminatanzanya7475 Yoyote
Aoo vibaka wanauzalilisha ufundi funga miaka buku
Ndo kazi yako nini itabidi na wanawake wajifunze ufundi huko Africa mbona ulaya wanawake huku wanajishirikisha kwenye kaxi hizo
Muwe mnatuonyesha tuwaonee
Kwanini msiwaue harafu mkawachoma moto maana mkiwapeleka rokabu watakula ugali wetu wa bule
Wanadamu wa sasa nikama wanyama wa porini
akamatwe sheria hifhute mkono wake
Huko tubuyu Kuna wahalifu Sana na ndio wezi wanaosumbua kola b na kola a pamoj na huko bigwaaa
Jaman ni nanenane huko😢😢
Yaani wanatukimbiza mchana kweuoe😢😢
Azabu yao iwe wazi hukumu ya kifungo cha muda mlefu ata miaka 50 itawatosha
Kifugo cha maisha
Wapigeni sindano za sumu wafie huko.
Na wao wauliwe ili waone machungu ya kutolewa roho tena wakati wanauliwa pole ili wapate maumivu
😢😢😢
😢😢😢