MFANYAKAZI WA NDANI AUAWA MORO ''MAFUNDI UJENZI WAHUSIKA ''RPC MKAMA ATHIBITISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 123

  • @jonasmakwa6461
    @jonasmakwa6461 4 месяца назад +18

    Mm naona Tanzania mtu ukiuwa kwa kuplani au kwa makusudi na yeye anyongwe sheria hii ifanye kazi maana uwezi kufanya mauwaji kwasababu ya mali wakati ni vitu vya kutafta

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 4 месяца назад +1

      Naungana nawewe,Haiwezekani mtu aue mwenzake kwa makusudi alafu Yeye aendelee kuishi

    • @ayshajeffa7343
      @ayshajeffa7343 4 месяца назад

      ​@@barakakusa7606Auwawe pia yy😢

    • @ShufaaNassor
      @ShufaaNassor 4 месяца назад

      😢😢😢😢😢😢😢😢is 😢😢😢😢😢😮6😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢a 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢a 😢😢of 😢😢😮a 😢and just an the to from 😢😢😢😢​@@barakakusa7606

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 4 месяца назад +7

    Hawa watuhumiwa kama ni kweli wamefanya, piga visu vya shingo tu maana hawafai kabisa.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 месяца назад +11

    Mungu wangu qiyam hakiko mbali tufanye ibada wallah

  • @saumsaid1966
    @saumsaid1966 4 месяца назад +7

    Mtoto mdogo kabisa unatoa uhai wake.

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y 4 месяца назад +1

    Jaman tv sabufa yakumtoa loho mwezako kweli mungu awalani sana kwaicho mlichokifanya

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 месяца назад +3

    Mzee umeongea point san wallah

  • @user-dn7sc8lf8h
    @user-dn7sc8lf8h 4 месяца назад +2

    Pongezi Sana jeshi la polisi mkoa wa morogoro chini ya uongozi wa rpc a, mkama,asaidie polisi mtandao mzima wakamatwe, mpaka waseme.

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i 4 месяца назад

    Subhannallah subhannallah yaani hivi vitu hata million mbili haifiki daaah. Mnamtoa uhai bure

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад

    Vijana fanyeni kazi😢😢😢

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 3 дня назад

    Yaan una muua mtu kwa tv na redio kweli , innalillah wainan lillah rajoun

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад

    MADAM UMEONGEA MANENO YAMENYOOKA

  • @jamespetro3014
    @jamespetro3014 4 месяца назад +4

    Mbna kama nasikiliza redio free mikwaluzo kibao

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 3 дня назад

    Kumbe walimuua kwa kuwa anawajua masikini wee

  • @GloryTv008
    @GloryTv008 4 месяца назад +2

    Daah inaumizaa😢😢😢

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 4 месяца назад +3

    Wanyongwe mbwa hao

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 4 месяца назад +4

    Hizo zote tamaa kumtoa mtu uhai wake bila sababu

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 4 месяца назад +1

      😢sababu ni tamaa ya vitu vya watu

  • @nassorokoba9161
    @nassorokoba9161 4 месяца назад +2

    Na wao wauliwe ili waone machungu ya kutolewa roho tena wakati wanauliwa pole ili wapate maumivu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 месяца назад +4

    Unaiba kiswaswadu yaani kitululu kinamtoa mtu roho😭😭😭

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 4 месяца назад

    Innalillah wainnaa lillahi rajiun daah kweli mtihan san

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 4 месяца назад +2

    Tupunguze kuaminiana mauwaji nimengi yakila aina

  • @SafolaDonatusikilengule-ux6zs
    @SafolaDonatusikilengule-ux6zs 4 месяца назад +1

    Jamani Monica 😭😭😭😭😭😭😭 dahh

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 4 месяца назад +1

    Wauwaji nao wauliwe tu mauwaji tanzania siku zote yanaongezeka siku hadi siku tatizo selekakli inawafuga wauwaji mwisho wa sku utaona wako innje wakiendelea kufanya uhalifu zaidi

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk 4 месяца назад

    Daah r.i.p

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 4 месяца назад

    Masikini ya Mungu ni kijana mdogo mno.Pumzika kwa amani

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 4 месяца назад +1

    Kama uthibitisho mmeupata, kesi ya Nini? Wauweni wakapambane na kesi mbinguni😭😭😭😭😭😭

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 месяца назад +7

    Jamani mbona mfanyakazi Huyo ni mnyonge tuu hata ukimnyoshea kisu tuu anaogopa ilikuwaje mumuue hata si wakusema mtapambana nae😢😢😢

    • @severamunishi1253
      @severamunishi1253 4 месяца назад +3

      Shida ni kwamba alikuwa anawajua

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 4 месяца назад +1

      Sasas si ujinga kabisa haya bora wangevaa ninja ili aiwaone waibe waondoke lkn sio kuua mtu asiekuwa na hatia

    • @EvaWaziri-so3gi
      @EvaWaziri-so3gi 4 месяца назад

      Kweli ndugu

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz 4 месяца назад

    Pole Sana kweli

  • @AugustinoKimweriAjohKimz
    @AugustinoKimweriAjohKimz 4 месяца назад

    R. I . P Monica

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 4 месяца назад

    Astafirulah yarabi mungu asinipe ujasiri wa kumuwa mtu hata anifanye nini hata anidhulum siwezi

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 4 месяца назад +1

    Yaani unamutowa mutu uhai kisa sabufa na sim? Daah kweli kuna watu na viatu aise

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад

    Laanahtullah hao kuuliwa,tu

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 месяца назад

    Subuhanallah. 😢

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 месяца назад

    Hii Dunia tamaa mbaya sanaaa kama walikua nashida ya kuiba wangeiba tu lakini huyo Dada wangemuachia maisha yake jamani mungu yupo 😭😭😭😭

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 4 месяца назад

    Inalilah wainalilah rajighun polen wazazi wa bint

  • @stvjohn4987
    @stvjohn4987 4 месяца назад

    Sitivu

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 4 месяца назад

    Kweli anaekumaliza anaekujua daa mazoea ni mabaya sana, daa nyumba kubwa hivyo alibaki peke yake mungu yangu.

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 4 месяца назад

    Sub-hanallah!!!!!

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 4 месяца назад

    😭😭😭😭😭 masikini binti wa watu jamani daah tv na sabuufa zimetoa uahai wa mtoto wa watu alie kua anajitafutia kihalali. Masikini pole kwa wazazi na mmiliki wa nyumba jamani

  • @halimamussa8175
    @halimamussa8175 4 месяца назад

    Tv, sabufa , feni nazo ni mali ,,,uroho tu mashetan hao wafie jela

  • @sharifamahamudu182
    @sharifamahamudu182 4 месяца назад

    Asa kwa vitu gan apo ata milion tatu aifiki khaa😢😢😢😢😢😢😢

  • @talents7934
    @talents7934 4 месяца назад

    Unaua mtu kisa TV???????Rudisheni Uhai wa Huyo Binti niwape TV Kama Hizo mia Moja mje hapa Kariakoo Naziuza inch Zote Hisens,the boss, Star X na Solar Max Njooni Niwape ila Rudisheni Uhai wa Huyo bint yetu😢😢😢

  • @mcback4384
    @mcback4384 4 месяца назад

    Wafungwe maisha

  • @tarsisnombo3252
    @tarsisnombo3252 4 месяца назад

    Hawana hata uruma kabisa wafungwe mahisha pumbavu hao wanamua bint mdogo ambaye Hana ubaya

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад

    Lailahailah Mschana hata hajaolewa jamani wange kafunga hatakamba,uhai wake,jmn,

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj 4 месяца назад +1

    Waafrika ni washamba samani ya mtu ni kubwa kuliko hivyo vitu marekani huwa wanagawa vitu hivyo bure tu

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 4 месяца назад

      Ww ni mzungu Sindio??? Hata marekani wanauwana kila siku tena kwa sababu za hovyo

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 4 месяца назад +1

    Jamani hitamaa vituvyakipita mnatoa uhai wa bint wawatu inaumasanaa

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 4 месяца назад

    Wawajibishwe mara moja

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t 4 месяца назад

    inalilahi wainalilah rajiuni 😭

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 4 месяца назад +1

    Duuuu tv

  • @musamchaga7103
    @musamchaga7103 4 месяца назад

    Mnatuzalilisha mafundi sana kwaiyo mabos wasituamini tena mtu unamtoa uhai kisa tv ambayo fundi unauwezo wa kununua zaid ya 10 shubamiti zenu nanyi muuliwe kikatir zaid

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 4 месяца назад

    Dah jamani hao wanyongwe,miwaache pumbavu zao

  • @ayshajeffa7343
    @ayshajeffa7343 4 месяца назад

    Polen wafiwa😢😢😢😢

  • @yasakilube9946
    @yasakilube9946 4 месяца назад

    Unaua mtu kwa ajili ya tv? Laiti ingelifuatwa sheria ya Allah anaeua na yeye anauliwa bc mambo haya yangelipungua

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 4 месяца назад

    Sukuma ndani hao

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 4 месяца назад

    Jamani😢😢😢😢😢

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 4 месяца назад

    Walimuua kwa sababu aliwatambua maana ni mafundi wanaojenga hapo

  • @chimamilion
    @chimamilion 4 месяца назад

    Yn nimefanya kz nimepata ela bdo nauliwa kisa kitu changu😢jmn

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 4 месяца назад +1

    Lala sala pole kwa familia wana akili finyu sana unauwa kwasabu ya tv cm uo ushamba pia

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 4 месяца назад

    DAH R.I.P BINTI VIJANA W HOVYO XNA😭😭😭😭😭

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 4 месяца назад

    Rest in peace ✌️😢

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 месяца назад

    Yani hivyo vitu ndiyo vimewaponza kuuwa binaadam mwenzao. Jamani nibola nao wangenyongwatu basi

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 4 месяца назад

    Loooo!!! Jamani watu hawa huruma kweli

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 4 месяца назад

    😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f 4 месяца назад

    Hao ni wakuwapa matesoo ya kiwango cha juu, wajute kabla ya kufa

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 месяца назад +1

    Yan watuy wanakosa utuy kwa ajili ya redio na TV DUUH MUNGU WANGU NAKISIM CHA TOCHI KWELI DUUH

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 4 месяца назад +1

    Yachomwe moto hadharani ili iwe fundisho.

  • @ibnkhaldoun9694
    @ibnkhaldoun9694 4 месяца назад +2

    “KUNA UMASIKINI WA MALI NA UMASIKINI WA AKILI”.

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 4 месяца назад

    Hao wanaokamatwa huwenda wamevinunua mitaani. Ila ikiwa ndo mfundi wa hiyo nyumba basi wanahusika.

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 4 месяца назад

    Sina uhakika kama ni mafundi wenye nyumba nao siku hizi hawana akili timam roho za kijajus zimewajaa😢😢😢endeleen kufanya uchunguzi majibu mazuri mtayapata

    • @queensalema5262
      @queensalema5262 4 месяца назад

      Had watoe taarfa manake jesh la polis wamejiridhisha na uchunguz ndugu,

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 4 месяца назад +1

    Wafundisheni lakini mjali zaidi MASLAHI Yao muda mwingine hawalipwi pesa stahiki au muda mwingine WANAKUWA wanawadai maboss zao pesa nyingi KIASI KWAMBA mwisho wa siku hawalipwi kabisa nk

    • @FelistersMejumaa-xi2ge
      @FelistersMejumaa-xi2ge 4 месяца назад +2

      Wewe ni mjinga kweli kweli bora usinge comment tu

    • @ElishaSolomoni-kc4zk
      @ElishaSolomoni-kc4zk 4 месяца назад

      AU WE PIA UNAHUSIKA KABLA UJACOMMENT TAFAKARI KWNZ SIO UTOKE USINGZINI NA MATAPUTAPU KICHWAN

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 4 месяца назад +1

      wew unaandika upuuuz bila kuelewa jinga sana wew hovyo shubamiti

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu 4 месяца назад +1

      Felistersmejumaa ,maneno yangu sio makali Kwa wafanyakazi wa ndani na wazazi wao ila Kwa wewe mwizi TAPELI ni mkali sana kiKUBWA lipa watoto wa watu mishahara Yao acha utapeli na wizi bundi jike wewe ,umeguswa na maneno yangu

    • @FelistersMejumaa-xi2ge
      @FelistersMejumaa-xi2ge 4 месяца назад

      @@BIGBOSS-hl3bu Unaonekana weeee ni shoga ,, hata kwa vikao usiwahi kutoa mada pumbi wewe

  • @user-gx6jk1dp2x
    @user-gx6jk1dp2x 4 месяца назад

    😭😭😭😭

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 4 месяца назад

    Watu wana roho mbaya,unamtoa mtu uhai kisa TV sim sub woofer,mijitu mikatali sana

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 4 месяца назад

    Najiuliza Kwa makini kama watu wanauwa mtu je wanaosema hukumu ya kunyonga itafutwaje? Watu wanaosema watu wasinyongwe wkt watu wananyonga wakubwa ni wapi wakubwa ni mahakama ama ni watu wanauwa watu?

  • @user-rj4cd7oc4x
    @user-rj4cd7oc4x 4 месяца назад

    Hao watu walijuaje kuwa binti yupo peke yake

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 месяца назад

    Kwanin wasiewe wana nyonga?

  • @OswardMadege-gd7yo
    @OswardMadege-gd7yo 4 месяца назад

    Yaani unamuua mtu kwa ajili ya redio sabufa

  • @paulmisalaba3364
    @paulmisalaba3364 4 месяца назад

    Yaani unaua mtu kisa tv na sabufa😢😢😢

  • @JohnChacha-cy3fz
    @JohnChacha-cy3fz 4 месяца назад

    Sasa kwanini hao watu wasipigwe risasi hadharani

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 4 месяца назад

    AFANDE PONGEZI KWA KAZI NZURI.ILA HAO MSITANGAZE NAO WAENDE POLEPOLE AU KIMYAKIMYA 'MSIWAPE MAHAKIMU KAZI..ILA MAMA NAE ACHINGUZWE

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 4 месяца назад

    Ayo na mimi naomba kazi

  • @Abasrashid-oj9gy
    @Abasrashid-oj9gy 4 месяца назад

    Aoo vibaka wanauzalilisha ufundi funga miaka buku

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад

      Ndo kazi yako nini itabidi na wanawake wajifunze ufundi huko Africa mbona ulaya wanawake huku wanajishirikisha kwenye kaxi hizo

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 4 месяца назад

    Muwe mnatuonyesha tuwaonee

  • @estheroscar6520
    @estheroscar6520 4 месяца назад

    Kwanini msiwaue harafu mkawachoma moto maana mkiwapeleka rokabu watakula ugali wetu wa bule

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 4 месяца назад

    Wanadamu wa sasa nikama wanyama wa porini

  • @halimaselemani1699
    @halimaselemani1699 4 месяца назад

    akamatwe sheria hifhute mkono wake

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 4 месяца назад

    Huko tubuyu Kuna wahalifu Sana na ndio wezi wanaosumbua kola b na kola a pamoj na huko bigwaaa

  • @davidpremsontanzania7515
    @davidpremsontanzania7515 4 месяца назад

    Azabu yao iwe wazi hukumu ya kifungo cha muda mlefu ata miaka 50 itawatosha

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 4 месяца назад +1

    Wapigeni sindano za sumu wafie huko.

  • @nassorokoba9161
    @nassorokoba9161 4 месяца назад

    Na wao wauliwe ili waone machungu ya kutolewa roho tena wakati wanauliwa pole ili wapate maumivu

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 4 месяца назад

    😢😢😢

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz 4 месяца назад

    😢😢😢