THE CLASSIC GANGWE MOBB :MWANZO MGUMU/MAFANIKIO NA BEEF BAINA YAO/KURUDI UPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Karibu kwenye session ya The classic na Gangwe Mobb,hapa wanaelezea safari ya maisha yao kuanzia mwanzo ,kati na sasa,mafaniko ,changamoto na hata wakati wa beef baina Yao
    haya ni mahojiano muhimu sana Katika historia Yao na bongo fleva kwa ujumla
    #bongoflava #theclassic #efmtanzania #jongwe #gangwemobb

Комментарии • 10

  • @albertlilechi4906
    @albertlilechi4906 9 месяцев назад +1

    Braza nakubali Sana kazi yako

  • @tonsakimwely5913
    @tonsakimwely5913 Год назад

    Ebana ktk the classic yko fanya mpango kuna wakongwe hpo wanatakiwa kama,,,KWANZA UNIT,,,GWM na wengine pls

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 9 месяцев назад

    Dah nilikua naisubiria sana interview ya hawa watu nouma

  • @godfreysangu8954
    @godfreysangu8954 Год назад +3

    Presenter punguza kuongea sana unapoteza nafasi ya wasanii kuongea zaidi

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Год назад

      hiko ni kipinid cha radio chief sio cha you tube pekee kama ujlikua hufaham kuna audience mbili tofauti hapo

  • @maulidomary4123
    @maulidomary4123 Год назад +1

    Huyu inspector babu aliona mbali Sana kuficha ramani ya muuni dah🤣🤣🤣🤣

  • @BonifaceChindola
    @BonifaceChindola Год назад

    👍

  • @sultanmsoloni8635
    @sultanmsoloni8635 Год назад

    Ukisikia njegele pesa vuguvugu tunaingia yesha opuu shaa

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 Год назад

    ispector mbona anaonekana amechoka sana hajalala

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 Год назад

    ✊🏿👮🏿