DUH! TUNDU LISSU AMWAGA MBOGA, LIVE AMLIPUA WENJE, UYO NI DALALI ALIMLETA ABDUL NYUMBANI KWANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 янв 2025

Комментарии • 100

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 20 дней назад +3

    Huyu Wenje kayakanyaga, Napenda kuwaambia enyi binadamu hivi, Siku zote Mungu huwaumbua Machawa na Wanafiki kupitia vinywa vyao

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 19 дней назад +2

    Tundu lisu anafaaaaaaaaa sio kidogo ni sanaa

  • @YahayaNgenda
    @YahayaNgenda 14 дней назад +1

    Hawa wote hawafai kuwa viongozi wa chama cha siasa

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 8 дней назад

    Huwa na kupenda lisu somnafiki Wala huna njaa zakimbumbavu MUNGU akulinde

  • @mgesichinchibera9172
    @mgesichinchibera9172 20 дней назад +1

    Mheshimiwa lissu ukiweza kupata message hii, nakuonya kuwa huyu Wenje, kama humjui kwa undani kwanza kabisa ni (1) kabila mjaluo (2) anajita mtoto wa mama ntilie(3) anafikiri siasa ni sehemu ya biashara , maneno hayo nakuomba uyatafakari sana juu yake,

  • @IshauMazoea
    @IshauMazoea 19 дней назад +1

    Dah!!! Wenje mpinzani kweli ww abduly na ww wap na wap kweli nyie mnawaumiza sana watanzania ccm itaendelea kuongoza

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 20 дней назад +2

    😂😂😂Wenje unataka kushindana na Tundulissu kwenye ligi ya maneno halafu unataka ushindi hiyo sahau

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 20 дней назад +1

    Chadema njaa imewasambaratisha lkn huyu Abdulĺ mbona mambo ya aibu tena haya ccm mbona ipo kimya kwa hili hili ni aibu

  • @JeshiAbdallah
    @JeshiAbdallah 20 дней назад +2

    hao kunguru wengine ucpate tabu kuwajibu mh tundu wao ni chawa wa mbowe wanakuchokoza utoke kwenye mstali mzee

  • @mtwaharutwahily4034
    @mtwaharutwahily4034 20 дней назад +4

    Kiongoz lazma awe na akiba ya maneno

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 19 дней назад

    Lisu Mungu Akusaidie Hao wengine ni wanafki tu

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 20 дней назад +3

    LISSU kazaliwa na maneno, halafu kaenda kuyasomea....utamshindaje hapo

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 20 дней назад +4

    Jamaaa hajui kujibu hoja
    Mwenzake kaongea maelezo mazuri yeye anayajibu kirahisi tu

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 20 дней назад

    Mwandishi uko vizuri.

  • @AntoniWerema
    @AntoniWerema 20 дней назад

    Nyie viongozi wa chdm hangalieni sana ccm itatumia kila style msambalatike!!!!!!

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 18 дней назад +1

    Chama hiki kimeshapasuka vipande!!

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 19 дней назад +1

    LISSU HANA SIFA YA UONGOZI MNAFANYA UCHOCHEZI LAKINI MTAJUTA

  • @ZawadiSimyota
    @ZawadiSimyota 14 дней назад

    Yaani kupatia umaarufu Kwa lisu kazi hasa. Mi naona wajaribu tena kwingine

  • @Rucho-y2u
    @Rucho-y2u 20 дней назад

    Maswali yangu ya msingi kwa Mh Lisu baada ya kuwasikiliza wote Yani Mh Wenje na Mh Lisu:-
    1) kwa maelezo ya Mh Lisu, Baada ya Mh Wenje kumfata Lisu Kutaka kumkutanisha na Abdul kwa lengo la kuongwa/kupawa rushwa. Kwanini Mh Lisu alikubali kuwapa appointment/mihadi ya kukutana na Mh Wenje na Abdul wakati alikuwa anajua kabla malengo yao kuwa ni kumhonga ama kumpa rushwa kama alivyosema.
    2) Kama Makamu Mwenyekiti, ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya nidhamu, kwanini kama ulipewa taarifa ya viongizi kupewa rushwa kama unavyosema, kwanini ukuitisha kikao Cha Kamati ya nidhamu ambayo wewe ni Mwenyekiti.

  • @AbdullahAhmed-t7p6l
    @AbdullahAhmed-t7p6l 4 дня назад

    Chadema iko salama kwa nn sababu ya kamati kuu ikitenda haki vitu vyote vitakuwa salama sababu wao wanaangali wanachama wanamtaka nani sio wapambe hapana

  • @brightsmartcleaning
    @brightsmartcleaning 20 дней назад +1

    Lissu ukijua kama Abdul atakupa rushwa ulikubalije aje nyumbani kwako?

  • @omarmagimba1971
    @omarmagimba1971 20 дней назад +3

    Lissu hafai kuwa kiongozi

    • @goodluckkamaghe3871
      @goodluckkamaghe3871 20 дней назад +1

      Anafaa Sana hataki ujinga.

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 20 дней назад +1

      Sio kuwa hataki ujinga
      Ukweli LISSU hafai kuwa kiongozi wa TAASISI YA CHADEMA
      KUSEMANA HADHARANI NI UPUNGUFU WA UONGOZI KAMA HATAKI RUSHWA Aseme na ukweli woote wa kukutana na Raisi samia wakiwa UTURUKI

    • @emmanueliman7408
      @emmanueliman7408 20 дней назад

      Alishasema hayo

    • @7stianPius
      @7stianPius 19 дней назад

      unae sema lisu hafai wewe ndo hufai,tuambie unafaa kitu gani?hata eliminate huna

    • @7stianPius
      @7stianPius 19 дней назад

      mbona wao want msema?

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 20 дней назад +1

    Daah Lissu Lissu Lissu 😅 mara tatu nimekuita,, ila ki ukweli hufai Kuwa Rais wa Nchi hata mara mojaaaa😅😅

  • @eliasmatay1684
    @eliasmatay1684 20 дней назад

    Tundu Wenje Mbowe it’s now enough please you are all grown up

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 20 дней назад +1

    Kweli Watanzania tutaendelea kuwaamini wanasisa? Mbona kama vile mko kibinafsi zaidi? Kwa mazingira hayo mnatarajia kukaribishwa nyumbani kwa mwenyekiti

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 20 дней назад +3

    Acha kumchafua mama ongelea tu ya Abdul kwa sababu huna tangible evidence.

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 20 дней назад +1

    Mh. Umejimaliza baba kwa sababu kwenye CHADEMA moyoni mwako huna unayemwamini. Na huku aliko Mwenzako Msigwa ukija nani atakuamini sasa??? Kwani huwezi kuona hata mtu mmoja mwema kwenye Chama Chako??? Unachqguliwa ili uongoze kina nani sasa???

  • @mandelasamson8401
    @mandelasamson8401 20 дней назад +1

    Hata uwe na makosa mie nakuunga mkono inaelekea kwamba wewe ni muadilifu ndani ya genge la watu walamba asali

  • @aloycemchuo7687
    @aloycemchuo7687 20 дней назад +2

    Hawa CDM Kwa li wasipoangalia, watapoteza

  • @JosephatiKisinda
    @JosephatiKisinda 20 дней назад +3

    Pameeza kuchangamka

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 19 дней назад

    Wanamapinduzi mbowe apumzike tumwangalie tundulisu

  • @fredmagaka4685
    @fredmagaka4685 17 дней назад

    Complete Fabrication 😂
    Nipo na Lisu mpaka watuue.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 20 дней назад +1

    Lisu upo sahih wenje chawa na njaa inamsumbua

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 20 дней назад +1

    Ili ujue ni ukweli anachosema wenje sikiliza amempa documents huyo abduli alimpa kama Nani katika serikali
    Na MAELEZO ya wenje yanafwanana huyu jamaa ni mwongo hiyu😂😂😂😂

    • @rahimadam662
      @rahimadam662 20 дней назад

      Tatizo umeitizama video ukiwa na fikra zako tayari. Rudia tena kutizama na kusikiliza bila kuwa na conclusion kichwan utaelewa

    • @fredmagaka4685
      @fredmagaka4685 17 дней назад

      Unafikria kwa kutumia kundu

  • @lumumbasembuli7807
    @lumumbasembuli7807 20 дней назад

    Ninacho mshauri Lissu aanzishe chama kipya cha siasa za kweli za upinzani, maana najua fika kabisa hauwezi kupewa uenyekiti wa CDM. Nayaona matabiri ya Shekhe Yahya yanaenda kutimia kua baada ya Samia watachukua wapinzani, mafuta lazima yaji tenge na maji

  • @SuleimanRashid-br6wf
    @SuleimanRashid-br6wf 19 дней назад

    Watanzania amkeni , viongozi Hawa wasipewe NCHI, ni fujo na ubinafsi.

  • @chage97
    @chage97 20 дней назад +1

    LISSU ndo mwarobaini wa majizi na machawa

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 20 дней назад

    Kuna shida chadema. Ni kweli wamekosa wazee wa kuwaweka pamoja ktk maswala haya ya ndani.Wasipoangalia chadema kweli inakwenda kupasuka. Itabidi ccm wapongezane baada ya hapo. Inaonekana CCM wanatumia mbinu za kisomi sana za kuwachonganisha .Ila wakiweza kupita salama ktk msukosuko huu na wakabaki salama. Basi chadema itakuwa imara sana,tena yenye uzoefu wa kutosha kukabiliana na ccm.

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 19 дней назад

    Abduli atakuhonga pesa ili iwaje .Porojo tu hizo .

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 20 дней назад

    Hichi chama kinakwenda kufa sooon

  • @MussaMussa-u5f
    @MussaMussa-u5f 20 дней назад

    Umesema abduli silolote mbona ulimkabidhi nyaraka zako acha kutufanyia drama

  • @mathewmagubika6022
    @mathewmagubika6022 18 дней назад

    Maji yamelowa 😂

  • @AthumaniAbeid
    @AthumaniAbeid 20 дней назад +3

    Bora wenje ni dalali wa Abdul kuliko wewe dalali wa wa wazungu na mashoga lisu must go

  • @JUMAMWITA-k9o
    @JUMAMWITA-k9o 20 дней назад

    Umeliri kukutana na Abduli na kumpa keratosis zako, Abduli huyu huyu unaeuliza ninani serikalini, Kisha umeanza kukivuruga Chama, huoni tayari Abduli kafanya yake? Watanzania tuna akili pia Mr. Lisu

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 20 дней назад

    Wenje li jambawazi hafai puuzi zake

  • @MohamediAthumani-ub8nn
    @MohamediAthumani-ub8nn 17 дней назад

    Kimeumana

  • @brightsmartcleaning
    @brightsmartcleaning 20 дней назад

    Adul mama yako anipe pesa zangu.. Abdul usiyemtambua cheo chake.... pesa zako Lissu anahusikaje Abdul usiyemtambua?

  • @andronicomanasemkuyu5333
    @andronicomanasemkuyu5333 20 дней назад +2

    Huyu jamaaa ni mkweli, anafaa kuwa kiongozi hata bila cheo chochote. Akiwa na cheo watu watafurahi.

  • @haggaikinyau9047
    @haggaikinyau9047 20 дней назад

    Kama alijua kuwa anakuja kuhongwa kwa nini hakuita TAKUKURU kwa siri ili hawa watu wakamatwe? Kiongozi kama Lisu unataka kuhongwa halafu ukae kimya na domo lako hilo kubwa. Acha ujinga wewe Lisu

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 7 дней назад

    Huyu wenje ni kibaraka wa CCM 👎

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 20 дней назад

    KWA UFUPI TU
    WENJE NA LISSU HAWAFAI KUWA VIONGOZI WA TAASISI YA CHADEMA

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 20 дней назад

    Yule simba wa zanzibar hivi anaitwa jina gani??

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 20 дней назад

    Waafrika wazungu watuache tu

  • @NtuliSuzan
    @NtuliSuzan 20 дней назад +4

    Jibu swali lake wangekujaje bila kuwaalika? Ulikuwa na uhuru wa kukataa kufungua hata geti, usitufanye Hatuna akili bro

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 20 дней назад

      Wewe ni choko kama wanaokufila huko ccm

    • @NtuliSuzan
      @NtuliSuzan 20 дней назад

      Asante ila mm sio CCM hata kadi Sina, kama wafuasi wenyewe wa Lisu Wana matusi kama wewe chadema inaenda kufa kwa kujaa wahuni, na Ukiulizwa swali Jibuni, mm siwezi fungua geti la nyumba iwapo sojaelezwa hao watu wanataka nn kwangu, huyo anawadanganya na maelezo ya wenje yamenyooka mno​@@emmapaul1766

    • @majidukalokola7253
      @majidukalokola7253 19 дней назад

      Aliwaalika kwasababu alikuwa hajui kama watakuja na rushwa, sasa baada ya kuwa wameingia ndani ndo walianza stories za rushwa, na hapo ndipo alipowakatalia.
      Tundu Lissu yuko vizuri bwana.

  • @ShabaniWabiga
    @ShabaniWabiga 20 дней назад +2

    Huyu mwamba hatar xn huyu ndio kiongozi mkwel nampenda kw mcmamo wake

  • @AbdullahAhmed-t7p6l
    @AbdullahAhmed-t7p6l 4 дня назад

    Wenje has lost direction of politics in chadema and lost trust to chadema politicians and sapotor and any pasonal who creatisize tundulisu rong doing is saycle of looking for popularity through tundulisu my fraind complete such pasonal loose popularity into Tanzania people mtuu yoyote anaejaribu kuzalilisha tundulisu lazima ushuke kisiasa za heshima uaminifu kwa watanzania

  • @EmmanuelMwakajinga
    @EmmanuelMwakajinga 18 дней назад

    😅🎉❤

  • @ziddyziddy2524
    @ziddyziddy2524 20 дней назад

    Kuna mambo mengine kama kiongozi huruhusiwi kuongea hadharani

  • @iddyekanda6456
    @iddyekanda6456 20 дней назад

    Viongozi wa chadema hawana utofauti na viongozi wa ccm wote ni wala rushwa hakuna mzalendo hata mmoja wote wamekaa kunufaisha matombo yao,wanagawana pesa za watanzania wanaozitafuta kwa jasho watanzania wanabanwa kulipa kodi mpaka wanafungiwa biashara hawa wapuuzi wanagawana pesa zetu

    • @amosiabdulallh7965
      @amosiabdulallh7965 20 дней назад

      We sema chadema Hana Sera sio wako Sawa na CCM huo no ujinga wa kupitiliza

    • @iddyekanda6456
      @iddyekanda6456 20 дней назад

      @amosiabdulallh7965 toa usenge wako hapa mjinga baba yako na familia yako nina uhuru wa kutoa mawazo yangu wewe pia toa yako matako wewe

    • @Ranaimuye
      @Ranaimuye 20 дней назад

      Ukitaka kuielewa CDM pitia report za Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu (CAG:).
      Miaka yote CDM ni miongoni
      mwa tasisi safi hapa Tz.

  • @mathewmagubika6022
    @mathewmagubika6022 18 дней назад

    😂😂😂

  • @nditiPeter
    @nditiPeter 20 дней назад +3

    Ukweli utakuweka huru

    • @NtuliSuzan
      @NtuliSuzan 20 дней назад +3

      Huyu muongo kama walikuja bila mwaliko kwann awafungulie geti?

    • @allyndunda8360
      @allyndunda8360 20 дней назад

      Mtu akija kwako na unamjua huwezi kumfungulia mlango???

    • @fredmagaka4685
      @fredmagaka4685 17 дней назад

      ​@@NtuliSuzanmakalio pekee ndio unayo

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 19 дней назад

    Kati ya watu wanaofaa kuwa wenyekiti wa chadema ni tundu lisu

  • @omarmagimba1971
    @omarmagimba1971 20 дней назад +1

    Lissu sio kiongozi

  • @GABRIELNGERECHA-jn2fi
    @GABRIELNGERECHA-jn2fi 19 дней назад

    Msema kweli huyo tuyafanyie kazi

  • @elizabethjohn6812
    @elizabethjohn6812 20 дней назад

    Mara unasema haudai chochote. Acha uongo wewe muogope Mungu wewe

  • @mwalimukhamisi1680
    @mwalimukhamisi1680 20 дней назад +1

    Mnakipasua chama mapande mawili. Tegemeeni pande moja kati ya hilo linahamia kwa wapinzani wenu.
    Ni vita vya panzi

  • @omarmagimba1971
    @omarmagimba1971 20 дней назад

    Kama anasema ya sirini, ni aibu