Mheshimiwa lissu ukiweza kupata message hii, nakuonya kuwa huyu Wenje, kama humjui kwa undani kwanza kabisa ni (1) kabila mjaluo (2) anajita mtoto wa mama ntilie(3) anafikiri siasa ni sehemu ya biashara , maneno hayo nakuomba uyatafakari sana juu yake,
Maswali yangu ya msingi kwa Mh Lisu baada ya kuwasikiliza wote Yani Mh Wenje na Mh Lisu:- 1) kwa maelezo ya Mh Lisu, Baada ya Mh Wenje kumfata Lisu Kutaka kumkutanisha na Abdul kwa lengo la kuongwa/kupawa rushwa. Kwanini Mh Lisu alikubali kuwapa appointment/mihadi ya kukutana na Mh Wenje na Abdul wakati alikuwa anajua kabla malengo yao kuwa ni kumhonga ama kumpa rushwa kama alivyosema. 2) Kama Makamu Mwenyekiti, ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya nidhamu, kwanini kama ulipewa taarifa ya viongizi kupewa rushwa kama unavyosema, kwanini ukuitisha kikao Cha Kamati ya nidhamu ambayo wewe ni Mwenyekiti.
Chadema iko salama kwa nn sababu ya kamati kuu ikitenda haki vitu vyote vitakuwa salama sababu wao wanaangali wanachama wanamtaka nani sio wapambe hapana
Sio kuwa hataki ujinga Ukweli LISSU hafai kuwa kiongozi wa TAASISI YA CHADEMA KUSEMANA HADHARANI NI UPUNGUFU WA UONGOZI KAMA HATAKI RUSHWA Aseme na ukweli woote wa kukutana na Raisi samia wakiwa UTURUKI
Kweli Watanzania tutaendelea kuwaamini wanasisa? Mbona kama vile mko kibinafsi zaidi? Kwa mazingira hayo mnatarajia kukaribishwa nyumbani kwa mwenyekiti
Mh. Umejimaliza baba kwa sababu kwenye CHADEMA moyoni mwako huna unayemwamini. Na huku aliko Mwenzako Msigwa ukija nani atakuamini sasa??? Kwani huwezi kuona hata mtu mmoja mwema kwenye Chama Chako??? Unachqguliwa ili uongoze kina nani sasa???
Ili ujue ni ukweli anachosema wenje sikiliza amempa documents huyo abduli alimpa kama Nani katika serikali Na MAELEZO ya wenje yanafwanana huyu jamaa ni mwongo hiyu😂😂😂😂
Ninacho mshauri Lissu aanzishe chama kipya cha siasa za kweli za upinzani, maana najua fika kabisa hauwezi kupewa uenyekiti wa CDM. Nayaona matabiri ya Shekhe Yahya yanaenda kutimia kua baada ya Samia watachukua wapinzani, mafuta lazima yaji tenge na maji
Kuna shida chadema. Ni kweli wamekosa wazee wa kuwaweka pamoja ktk maswala haya ya ndani.Wasipoangalia chadema kweli inakwenda kupasuka. Itabidi ccm wapongezane baada ya hapo. Inaonekana CCM wanatumia mbinu za kisomi sana za kuwachonganisha .Ila wakiweza kupita salama ktk msukosuko huu na wakabaki salama. Basi chadema itakuwa imara sana,tena yenye uzoefu wa kutosha kukabiliana na ccm.
Kama alijua kuwa anakuja kuhongwa kwa nini hakuita TAKUKURU kwa siri ili hawa watu wakamatwe? Kiongozi kama Lisu unataka kuhongwa halafu ukae kimya na domo lako hilo kubwa. Acha ujinga wewe Lisu
Asante ila mm sio CCM hata kadi Sina, kama wafuasi wenyewe wa Lisu Wana matusi kama wewe chadema inaenda kufa kwa kujaa wahuni, na Ukiulizwa swali Jibuni, mm siwezi fungua geti la nyumba iwapo sojaelezwa hao watu wanataka nn kwangu, huyo anawadanganya na maelezo ya wenje yamenyooka mno@@emmapaul1766
Aliwaalika kwasababu alikuwa hajui kama watakuja na rushwa, sasa baada ya kuwa wameingia ndani ndo walianza stories za rushwa, na hapo ndipo alipowakatalia. Tundu Lissu yuko vizuri bwana.
Wenje has lost direction of politics in chadema and lost trust to chadema politicians and sapotor and any pasonal who creatisize tundulisu rong doing is saycle of looking for popularity through tundulisu my fraind complete such pasonal loose popularity into Tanzania people mtuu yoyote anaejaribu kuzalilisha tundulisu lazima ushuke kisiasa za heshima uaminifu kwa watanzania
Viongozi wa chadema hawana utofauti na viongozi wa ccm wote ni wala rushwa hakuna mzalendo hata mmoja wote wamekaa kunufaisha matombo yao,wanagawana pesa za watanzania wanaozitafuta kwa jasho watanzania wanabanwa kulipa kodi mpaka wanafungiwa biashara hawa wapuuzi wanagawana pesa zetu
Huyu Wenje kayakanyaga, Napenda kuwaambia enyi binadamu hivi, Siku zote Mungu huwaumbua Machawa na Wanafiki kupitia vinywa vyao
Tundu lisu anafaaaaaaaaa sio kidogo ni sanaa
Hawa wote hawafai kuwa viongozi wa chama cha siasa
Huwa na kupenda lisu somnafiki Wala huna njaa zakimbumbavu MUNGU akulinde
Mheshimiwa lissu ukiweza kupata message hii, nakuonya kuwa huyu Wenje, kama humjui kwa undani kwanza kabisa ni (1) kabila mjaluo (2) anajita mtoto wa mama ntilie(3) anafikiri siasa ni sehemu ya biashara , maneno hayo nakuomba uyatafakari sana juu yake,
Dah!!! Wenje mpinzani kweli ww abduly na ww wap na wap kweli nyie mnawaumiza sana watanzania ccm itaendelea kuongoza
😂😂😂Wenje unataka kushindana na Tundulissu kwenye ligi ya maneno halafu unataka ushindi hiyo sahau
Chadema njaa imewasambaratisha lkn huyu Abdulĺ mbona mambo ya aibu tena haya ccm mbona ipo kimya kwa hili hili ni aibu
hao kunguru wengine ucpate tabu kuwajibu mh tundu wao ni chawa wa mbowe wanakuchokoza utoke kwenye mstali mzee
Kiongoz lazma awe na akiba ya maneno
Lisu Mungu Akusaidie Hao wengine ni wanafki tu
LISSU kazaliwa na maneno, halafu kaenda kuyasomea....utamshindaje hapo
😂😂😂
Kaenda Kuyasomea😂😂😂
Jamaaa hajui kujibu hoja
Mwenzake kaongea maelezo mazuri yeye anayajibu kirahisi tu
Mwandishi uko vizuri.
Nyie viongozi wa chdm hangalieni sana ccm itatumia kila style msambalatike!!!!!!
Chama hiki kimeshapasuka vipande!!
LISSU HANA SIFA YA UONGOZI MNAFANYA UCHOCHEZI LAKINI MTAJUTA
Yaani kupatia umaarufu Kwa lisu kazi hasa. Mi naona wajaribu tena kwingine
Maswali yangu ya msingi kwa Mh Lisu baada ya kuwasikiliza wote Yani Mh Wenje na Mh Lisu:-
1) kwa maelezo ya Mh Lisu, Baada ya Mh Wenje kumfata Lisu Kutaka kumkutanisha na Abdul kwa lengo la kuongwa/kupawa rushwa. Kwanini Mh Lisu alikubali kuwapa appointment/mihadi ya kukutana na Mh Wenje na Abdul wakati alikuwa anajua kabla malengo yao kuwa ni kumhonga ama kumpa rushwa kama alivyosema.
2) Kama Makamu Mwenyekiti, ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya nidhamu, kwanini kama ulipewa taarifa ya viongizi kupewa rushwa kama unavyosema, kwanini ukuitisha kikao Cha Kamati ya nidhamu ambayo wewe ni Mwenyekiti.
Chadema iko salama kwa nn sababu ya kamati kuu ikitenda haki vitu vyote vitakuwa salama sababu wao wanaangali wanachama wanamtaka nani sio wapambe hapana
Lissu ukijua kama Abdul atakupa rushwa ulikubalije aje nyumbani kwako?
Lissu hafai kuwa kiongozi
Anafaa Sana hataki ujinga.
Sio kuwa hataki ujinga
Ukweli LISSU hafai kuwa kiongozi wa TAASISI YA CHADEMA
KUSEMANA HADHARANI NI UPUNGUFU WA UONGOZI KAMA HATAKI RUSHWA Aseme na ukweli woote wa kukutana na Raisi samia wakiwa UTURUKI
Alishasema hayo
unae sema lisu hafai wewe ndo hufai,tuambie unafaa kitu gani?hata eliminate huna
mbona wao want msema?
Daah Lissu Lissu Lissu 😅 mara tatu nimekuita,, ila ki ukweli hufai Kuwa Rais wa Nchi hata mara mojaaaa😅😅
Unafaa wewe siyo?
Ww unafaa sana ndg
@@mackjr5291 weee umeona natoa kura hapo subutu 📯
@@ameirzapy1318 ni thubutu
Si mnapenda waongo
Tundu Wenje Mbowe it’s now enough please you are all grown up
Kweli Watanzania tutaendelea kuwaamini wanasisa? Mbona kama vile mko kibinafsi zaidi? Kwa mazingira hayo mnatarajia kukaribishwa nyumbani kwa mwenyekiti
Acha kumchafua mama ongelea tu ya Abdul kwa sababu huna tangible evidence.
Huna mama?
ni mama yako
@@mackjr5291yaani majitu yanakosea sifa mama zao yanenda ita mama watu wengine
Kumamako tafuta Hela usitafute mama wa kubumba.
Mh. Umejimaliza baba kwa sababu kwenye CHADEMA moyoni mwako huna unayemwamini. Na huku aliko Mwenzako Msigwa ukija nani atakuamini sasa??? Kwani huwezi kuona hata mtu mmoja mwema kwenye Chama Chako??? Unachqguliwa ili uongoze kina nani sasa???
Hata uwe na makosa mie nakuunga mkono inaelekea kwamba wewe ni muadilifu ndani ya genge la watu walamba asali
Hawa CDM Kwa li wasipoangalia, watapoteza
Pameeza kuchangamka
Wanamapinduzi mbowe apumzike tumwangalie tundulisu
Complete Fabrication 😂
Nipo na Lisu mpaka watuue.
Lisu upo sahih wenje chawa na njaa inamsumbua
Ili ujue ni ukweli anachosema wenje sikiliza amempa documents huyo abduli alimpa kama Nani katika serikali
Na MAELEZO ya wenje yanafwanana huyu jamaa ni mwongo hiyu😂😂😂😂
Tatizo umeitizama video ukiwa na fikra zako tayari. Rudia tena kutizama na kusikiliza bila kuwa na conclusion kichwan utaelewa
Unafikria kwa kutumia kundu
Ninacho mshauri Lissu aanzishe chama kipya cha siasa za kweli za upinzani, maana najua fika kabisa hauwezi kupewa uenyekiti wa CDM. Nayaona matabiri ya Shekhe Yahya yanaenda kutimia kua baada ya Samia watachukua wapinzani, mafuta lazima yaji tenge na maji
Watanzania amkeni , viongozi Hawa wasipewe NCHI, ni fujo na ubinafsi.
Kwa usiekuwa na akili kama wewe.
LISSU ndo mwarobaini wa majizi na machawa
Kuna shida chadema. Ni kweli wamekosa wazee wa kuwaweka pamoja ktk maswala haya ya ndani.Wasipoangalia chadema kweli inakwenda kupasuka. Itabidi ccm wapongezane baada ya hapo. Inaonekana CCM wanatumia mbinu za kisomi sana za kuwachonganisha .Ila wakiweza kupita salama ktk msukosuko huu na wakabaki salama. Basi chadema itakuwa imara sana,tena yenye uzoefu wa kutosha kukabiliana na ccm.
Abduli atakuhonga pesa ili iwaje .Porojo tu hizo .
Hichi chama kinakwenda kufa sooon
Umesema abduli silolote mbona ulimkabidhi nyaraka zako acha kutufanyia drama
Hata akili za mkunduni tu huna?
Maji yamelowa 😂
Bora wenje ni dalali wa Abdul kuliko wewe dalali wa wa wazungu na mashoga lisu must go
Umeliri kukutana na Abduli na kumpa keratosis zako, Abduli huyu huyu unaeuliza ninani serikalini, Kisha umeanza kukivuruga Chama, huoni tayari Abduli kafanya yake? Watanzania tuna akili pia Mr. Lisu
Wenje li jambawazi hafai puuzi zake
Kimeumana
Adul mama yako anipe pesa zangu.. Abdul usiyemtambua cheo chake.... pesa zako Lissu anahusikaje Abdul usiyemtambua?
Huyu jamaaa ni mkweli, anafaa kuwa kiongozi hata bila cheo chochote. Akiwa na cheo watu watafurahi.
Kama alijua kuwa anakuja kuhongwa kwa nini hakuita TAKUKURU kwa siri ili hawa watu wakamatwe? Kiongozi kama Lisu unataka kuhongwa halafu ukae kimya na domo lako hilo kubwa. Acha ujinga wewe Lisu
TAKUKURU ipi unayoizungumzia?
Huyu wenje ni kibaraka wa CCM 👎
KWA UFUPI TU
WENJE NA LISSU HAWAFAI KUWA VIONGOZI WA TAASISI YA CHADEMA
Yule simba wa zanzibar hivi anaitwa jina gani??
Waafrika wazungu watuache tu
Jibu swali lake wangekujaje bila kuwaalika? Ulikuwa na uhuru wa kukataa kufungua hata geti, usitufanye Hatuna akili bro
Wewe ni choko kama wanaokufila huko ccm
Asante ila mm sio CCM hata kadi Sina, kama wafuasi wenyewe wa Lisu Wana matusi kama wewe chadema inaenda kufa kwa kujaa wahuni, na Ukiulizwa swali Jibuni, mm siwezi fungua geti la nyumba iwapo sojaelezwa hao watu wanataka nn kwangu, huyo anawadanganya na maelezo ya wenje yamenyooka mno@@emmapaul1766
Aliwaalika kwasababu alikuwa hajui kama watakuja na rushwa, sasa baada ya kuwa wameingia ndani ndo walianza stories za rushwa, na hapo ndipo alipowakatalia.
Tundu Lissu yuko vizuri bwana.
Huyu mwamba hatar xn huyu ndio kiongozi mkwel nampenda kw mcmamo wake
Wenje has lost direction of politics in chadema and lost trust to chadema politicians and sapotor and any pasonal who creatisize tundulisu rong doing is saycle of looking for popularity through tundulisu my fraind complete such pasonal loose popularity into Tanzania people mtuu yoyote anaejaribu kuzalilisha tundulisu lazima ushuke kisiasa za heshima uaminifu kwa watanzania
😅🎉❤
Kuna mambo mengine kama kiongozi huruhusiwi kuongea hadharani
Kwa kiongozi usiejitambua
Viongozi wa chadema hawana utofauti na viongozi wa ccm wote ni wala rushwa hakuna mzalendo hata mmoja wote wamekaa kunufaisha matombo yao,wanagawana pesa za watanzania wanaozitafuta kwa jasho watanzania wanabanwa kulipa kodi mpaka wanafungiwa biashara hawa wapuuzi wanagawana pesa zetu
We sema chadema Hana Sera sio wako Sawa na CCM huo no ujinga wa kupitiliza
@amosiabdulallh7965 toa usenge wako hapa mjinga baba yako na familia yako nina uhuru wa kutoa mawazo yangu wewe pia toa yako matako wewe
Ukitaka kuielewa CDM pitia report za Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu (CAG:).
Miaka yote CDM ni miongoni
mwa tasisi safi hapa Tz.
😂😂😂
Ukweli utakuweka huru
Huyu muongo kama walikuja bila mwaliko kwann awafungulie geti?
Mtu akija kwako na unamjua huwezi kumfungulia mlango???
@@NtuliSuzanmakalio pekee ndio unayo
Kati ya watu wanaofaa kuwa wenyekiti wa chadema ni tundu lisu
Lissu sio kiongozi
Msema kweli huyo tuyafanyie kazi
Mara unasema haudai chochote. Acha uongo wewe muogope Mungu wewe
Mnakipasua chama mapande mawili. Tegemeeni pande moja kati ya hilo linahamia kwa wapinzani wenu.
Ni vita vya panzi
Kama anasema ya sirini, ni aibu
Wee ndio kiongozii