SIRI MUJARABU YA SWALA HII YA MALAIKA KATIKA KUKUPA MALI MENGI | SIRI ZA QURAN | Mohamed Alidini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • SIRI MUJARABU YA SWALA HII YA MALAIKA KATIKA KUKUPA MALI MENGI | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
    Katika video hii tunaelezea Siri ya Swala hii ya Malaika katika kukupa mali mengi kwa uwezo wa Allah (SWT). Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafuata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako yote.
    Maelezo yake:
    Surah: DUA (TASBEEH)
    Ayah: KAMILI
    -----------------------------------------------------------------------------------------
    Utaratibu wake:
     Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
     Kuwa na Udhu na Kuelekea Qibla
     Baada ya Swala ya Al-Fajiri
     Soma Dua ifuatayo mara moja:
    «سُبْحَانَ اللهِ الْعَظِيْمِ، سُبْحَانَ اللِه وَبِحَمْدِهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَمُنُّ وَلَا يُمَنُّ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يُجِيْرُ وَلًا يُجَارُ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَبْرَأُ مِنَ الْـحَوْلِ وَالْقُوَّةِ لِاسْتِفْتَاحِ الرِّزْقِ إِلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنِ التَّسْبِيْحُ مِنْهُ مِنَّةٌ عَلى مَنِ اعْتَمَدَ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ كُلُّ شَيْءٍ يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ، سُبْحَانَكَ لَا إِلَهَ إَلَّا أَنْتَ يَا مَنْ يُسَبِّحُ لَهُ الْـجَمِيْعُ تَدَارَكْنِيْ فَإِنِّيْ جَزُوْعٌ»
     Al-Istighfar mara 100
     Usome mara 1, 2, 3, 4, 5, n.k. Nafasi na uwezo wako.
    ------------------------------------------------------------------------------------------
    Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
    ----------------------------------------------------------------------------------------
    Copyright Notice:
    ► Every content we made are licensed to our channel.
    ► All audios, videos and images are copyrighted and fully licensed.
    ► Elements used in this video are edited by us are copyrighted and fully licensed.
    ► So, you do not have permission to use or reupload our content without our permission.
    Copyright © 2024 Mohamed Alidini. All rights reserved.
    **********************************************************************

Комментарии • 67

  • @meowzna
    @meowzna 14 дней назад

    Ameen Yaraab

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 2 месяца назад +2

    ALLAHUMMA AMEEN WA JAZAKALLAHU KHAIRAN SHEIKH WETU.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +2

      AMEEN! THUMMA AMEEN! THUMMA AMEEN! WAIYYAAK! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @meowzna
    @meowzna 14 дней назад +1

    S.A.W🙏

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  14 дней назад +1

      Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @ZainabIssa-v5u
    @ZainabIssa-v5u 2 месяца назад +3

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu hali yako shekh shukran sana Allah akuhifadhi na al
    Na akupe afyaa imara Zaid na neema ziadaaa Amin Amin Amin

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +2

      Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲 Shukran 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @HassaniAlly-x4p
    @HassaniAlly-x4p 2 месяца назад +1

    Shukran sana

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +2

      Afwan. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @FadhiliAlly-fy2tx
    @FadhiliAlly-fy2tx 2 месяца назад +2

    Walaykum msalam shekh wetu Allah akupe umri mrefu tufaidike na elm unayotupa ili tukwamuke ktk hari ngum za maisha

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg 2 месяца назад +2

    Asant sh tutaipataje iyo dua

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +2

      Dua ndio hii. Ikopi na u paste kwenye karatasi:
      سُبْحَانَ اللهِ الْعَظِيْمِ، سُبْحَانَ اللِه وَبِحَمْدِهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَمُنُّ وَلَا يُمَنٌّ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يُجِيْرُ وَلًا يُجَارُ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَبْرَأُ مِنَ الْـحَوْلِ وَالْقُوَّةِ لِاسْتِفْتَاحِ الرِّزْقِ إِلَيْهِ، سُبْحَانَ مًنِ التَّسْبِيْحُ مِنْهُ مِنَّةٌ عَلى مَنِ اعْتَمَدَ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ كُلُّ شَيْءٍ يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ، سُبْحَانَكَ لَا إِلَهَ إَلَّا أَنْتَ يَا مَنْ يُسَبِّحُ لَهُ الْـجَمِيْعُ تَدَارَكْنِيْ فَإِنِّيْ جَزُوْعٌ

  • @ibrahimwalagila2336
    @ibrahimwalagila2336 2 месяца назад +1

    Mashaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Tabarakallah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @aminamwinyi5528
    @aminamwinyi5528 2 месяца назад +1

    Jazakallah khairan sheikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Waiyyaak! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @SalmaShabani-ou6gk
    @SalmaShabani-ou6gk 2 месяца назад +1

    Waalykumsalaam warrahmatullah wabarakatuh , shukran sana shekhe wetu Allah(SW) akulipe mazur yenye kher hap dunian na kesh akhera amiin.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @rumaukombo6415
    @rumaukombo6415 2 месяца назад +1

    Shukran
    Allah (s.w) akubarik

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @chanziamiri289
    @chanziamiri289 2 месяца назад +1

    Shukran jaziira

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Waiyyaak! Allah (SWT) Atupe Kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @suleimankhemis6275
    @suleimankhemis6275 2 месяца назад +1

    Jazakkallah kheir

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Waiyyaak! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw 2 месяца назад +2

    Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Tabarakallah! Sote Insha Allah! Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @HamoodKharboosh-sw4qu
    @HamoodKharboosh-sw4qu 2 месяца назад

    Shukran sheikh.Jazak lah al kheir.Allah akupe kila jambo la kheri.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Ameen! Ya Rabb! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 2 месяца назад +1

    Shukran sana kwa maarifa

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

    • @Abdulrahmanhassan18
      @Abdulrahmanhassan18 2 месяца назад +1

      @@mohamedalidini ameen

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      @@Abdulrahmanhassan18 Ameen Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @OthmanMustafa-li6sy
    @OthmanMustafa-li6sy 2 месяца назад +1

    SHEIKH ALLAH AKUBARIK

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      AMEEN YA RABB! SOTE INSHA ALLAH! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 месяца назад +1

    Shukran sana sheikh kwa darasa zako unazotupa kila leo je naweza kusoma kwa nia ya mtoto wangu…

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Ndio unaweza. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @mohamedalidini
    @mohamedalidini  2 месяца назад +8

    «سُبْحَانَ اللهِ الْعَظِيْمِ، سُبْحَانَ اللِه وَبِحَمْدِهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَمُنُّ وَلَا يُمَنٌّ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يُجِيْرُ وَلًا يُجَارُ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَبْرَأُ مِنَ الْـحَوْلِ وَالْقُوَّةِ لِاسْتِفْتَاحِ الرِّزْقِ إِلَيْهِ، سُبْحَانَ مًنِ التَّسْبِيْحُ مِنْهُ مِنَّةٌ عَلى مَنِ اعْتَمَدَ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ كُلُّ شَيْءٍ يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ، سُبْحَانَكَ لَا إِلَهَ إَلَّا أَنْتَ يَا مَنْ يُسَبِّحُ لَهُ الْـجَمِيْعُ تَدَارَكْنِيْ فَإِنِّيْ جَزُوْعٌ».

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Translation: By the glory of God Almighty, Glory be to God and praise be to Him, Glory be to Him who grants favor and is not rewarded, Glory be to Him who grants protection and is not rewarded against Him, Glory be to Him who is freed from the curse And the strength to bring sustenance to Him. Glory be to Him who glorifies Him, a blessing to those who rely on Him. Glory be to Him of everything that glorifies His praise. Glory be to You. There is no god but You, O He to whom everyone glorifies. Take care of me, for I am anxious.

  • @SleyoumSaid-i1z
    @SleyoumSaid-i1z 2 месяца назад +1

    Aww naomba uniandikie au vyo vyote vile

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +3

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh! Dua ndio hii:
      «سُبْحَانَ اللهِ الْعَظِيْمِ، سُبْحَانَ اللِه وَبِحَمْدِهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَمُنُّ وَلَا يُمَنٌّ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يُجِيْرُ وَلًا يُجَارُ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَبْرَأُ مِنَ الْـحَوْلِ وَالْقُوَّةِ لِاسْتِفْتَاحِ الرِّزْقِ إِلَيْهِ، سُبْحَانَ مًنِ التَّسْبِيْحُ مِنْهُ مِنَّةٌ عَلى مَنِ اعْتَمَدَ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ كُلُّ شَيْءٍ يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ، سُبْحَانَكَ لَا إِلَهَ إَلَّا أَنْتَ يَا مَنْ يُسَبِّحُ لَهُ الْـجَمِيْعُ تَدَارَكْنِيْ فَإِنِّيْ جَزُوْعٌ».

  • @asmaunahiman92
    @asmaunahiman92 2 месяца назад +1

    Aslm alaikum ww vip hali sheikh asant kwa mafunzo unayo tupatiya allh akulipe mama hapa duniyani na akhera

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh! Ameen Ya Rabb! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @joanthabeet8005
    @joanthabeet8005 2 месяца назад +1

    Asalaam aleykum sheikh unaweza kutuandikia mm nimeslimu ndo nimeanza kujifunza quruan natamani nijifunze iyo dua

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Kwa vile hujaweza kusoma kwa Kiarabu unaruhusiwa kuisoma Dua kwa lugha unayofahamu. Hi ni tafisiri yake kwa Kiingereza: “Glory be to God the Great, Glory be to God and praise be to Him, Glory be to Him who bestows favor and is not rewarded, Glory be to Him who grants protection and no reward is given to Him, Glory be to Him who is free from evil And the strength to bring sustenance to Him. Glory be to Him, Glory be to Him, a blessing to those who rely on Him. Glory be to Him of everything that glorifies His praise. Glory be to You, there is no god but You, O He to whom everyone glorifies. Take care of me, for I am anxious".

  • @jumannesultani808
    @jumannesultani808 2 месяца назад +1

    Assalamu aleykum shekhe
    Alhamdulillah Kwa madarasa matamu na Allah atujaalie tuwe wenye kuyafanyia KAZI insha'Allah
    Ila shekhe nilikuwa naomba dua ya kumsomea mtoto anaejisaidia haja ndogo kitandani please

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Msha Allah! Tabarakallah! Wacha nikuangalilie Insha Allah!

    • @jumannesultani808
      @jumannesultani808 2 месяца назад +1

      @@mohamedalidini shukran shekhe

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      @@jumannesultani808 Karibu sana.

  • @SalimKarama-fw7tt
    @SalimKarama-fw7tt 2 месяца назад +1

    Habib naogopa kufanya jambo nikaenda kinyume kama ulivyo anza na Hadith ya mtume wetu swallahu aleihi wa salaam Sasa nauliza ni ipi Bora katika hii swala ya malaika na kumswalia mtume swallalahu aleihi wasallam?naomba jibu khui shukrn

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +2

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Shukran sana kwa swali lako zuri. Swala ya Mtume (SAW) na ya Malaika zote zimefunzwa na Mtume (SAW). Swala ya Malaika ni Tasbeeh! Maadamu zote zimefunzwa na Rasulullah, khiyari ni yako. Sijafikia daraja ya kutafautisha kiubora kati ya hizo. Unaweza tumia zote au mojawapo ya hizo na Allah (SWT) Atakutimizia malengo yako kwa nia yako. Allah (SWT) ni Mjuzi zaidi.

    • @SalimKarama-fw7tt
      @SalimKarama-fw7tt 2 месяца назад +1

      @@mohamedalidini jazakallahu kher.....shukrn

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      @@SalimKarama-fw7tt Waiyyaak! Afwan!

  • @kipawatv9948
    @kipawatv9948 2 месяца назад +1

    Assalamu alaikum warahmatullah,nahitatajia unijuze sheikh kuna mali zangu za thamani za urithi ziifichwa na babu yangu ardhini na sifahamu ni mahali gani ila ni huku ninapoishi je nawezaje kuziona au kuzipata kupitia siri ya Quran?

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Kuna video kwa channel yangu kuhusu kuonyeshwa jambo usingizini. Video yenyewe ni hii: ruclips.net/video/doWryLUKxw4/видео.htmlsi=UlbAUtOAhN9BoCkg Tizama, kwa uwezo wa Allah (SWT) utasaidika.

    • @selemanimwangome7229
      @selemanimwangome7229 2 месяца назад +1

      ​@@mohamedalidinishukrani Sana

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      @@selemanimwangome7229 Afwan. Karibu sana!

  • @hassanikitumba8393
    @hassanikitumba8393 2 месяца назад +1

    shekh natak ni kalili hii dua naomb uniandikie kwa kiswahil

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      “Ametakasika Mwenyezi Mungu, na sifa njema ni zake, ametakasika anaye ruzuku, wala hakulipwa, ametakasika anaye linda na wala hakulipwa ujira wake, ametakasika. kuepushwa na maovu Na nguvu za kumletea riziki, Ametakasika kuwa ni baraka kwa wale wanaomtegemea Yeye lakini ni Wewe, Ewe ambaye kila mtu anakusifu, Unilinde, kwa kuwa nina wasiwasi".

  • @Asia-m7n
    @Asia-m7n 2 месяца назад +2

    Please Translate in English ❤❤❤

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Insha Allah I will do. Thank you!

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +2

      بْحَانَ اللهِ الْعَظِيْمِ، سُبْحَانَ اللِه وَبِحَمْدِهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَمُنُّ وَلَا يُمَنٌّ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يُجِيْرُ وَلًا يُجَارُ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَبْرَأُ مِنَ الْـحَوْلِ وَالْقُوَّةِ لِاسْتِفْتَاحِ الرِّزْقِ إِلَيْهِ، سُبْحَانَ مًنِ التَّسْبِيْحُ مِنْهُ مِنَّةٌ عَلى مَنِ اعْتَمَدَ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ كُلُّ شَيْءٍ يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ، سُبْحَانَكَ لَا إِلَهَ إَلَّا أَنْتَ يَا مَنْ يُسَبِّحُ لَهُ الْـجَمِيْعُ تَدَارَكْنِيْ فَإِنِّيْ جَزُوْعٌ

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Translation: By the glory of God Almighty, Glory be to God and praise be to Him, Glory be to Him who grants favor and is not rewarded, Glory be to Him who grants protection and is not rewarded against Him, Glory be to Him who is freed from the curse And the strength to bring sustenance to Him. Glory be to Him who glorifies Him, a blessing to those who rely on Him. Glory be to Him of everything that glorifies His praise. Glory be to You. There is no god but You, O He to whom everyone glorifies. Take care of me, for I am anxious.

  • @AmeHaji-c6h
    @AmeHaji-c6h 2 месяца назад +2

    As kum!! Hio dua tuandikie hapa ktk hizi comment, naomba kwa yyte yule

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +7

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh! Dua ndio hii:
      سُبْحَانَ اللهِ الْعَظِيْمِ، سُبْحَانَ اللِه وَبِحَمْدِهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَمُنُّ وَلَا يُمَنٌّ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يُجِيْرُ وَلًا يُجَارُ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ يَبْرَأُ مِنَ الْـحَوْلِ وَالْقُوَّةِ لِاسْتِفْتَاحِ الرِّزْقِ إِلَيْهِ، سُبْحَانَ مًنِ التَّسْبِيْحُ مِنْهُ مِنَّةٌ عَلى مَنِ اعْتَمَدَ عَلَيْهِ، سُبْحَانَ مَنْ كُلُّ شَيْءٍ يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ، سُبْحَانَكَ لَا إِلَهَ إَلَّا أَنْتَ يَا مَنْ يُسَبِّحُ لَهُ الْـجَمِيْعُ تَدَارَكْنِيْ فَإِنِّيْ جَزُوْعٌ

    • @RamadhaniOmary-x6u
      @RamadhaniOmary-x6u 2 месяца назад +1

      ❤​@@mohamedalidini

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +2

      @@RamadhaniOmary-x6u ❤❤❤