MANARA SHEIKH WALID NDIE ALIYENIFUDISHA ELIMU YA DINI, MAHARA NA KITANDA NDOA YA KWANZA NILILIPIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • MANARA AKUMBUSGIA ENZI ANASOMA KWA SHEIKH WALID KUMBE AMESOMA DINI TENA SANA, AMTAJA ALIYEMLIPIA MAHARA NA KUMNUNULIA KITANDA NDOA YAKE YA KWANZA.mp4
    Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
    Facebook: / mzeewakhidma
    Instagram: / khidma_tv
    Tiktok: / khidmatv1
    RUclips: / @khidmaonlinetv350

Комментарии • 50

  • @ahmedAwesu-g8o
    @ahmedAwesu-g8o 9 дней назад +1

    اللهم اهدنا الى ألحق والى طريق المستقيم

  • @HajiShabani-b1q
    @HajiShabani-b1q 8 дней назад

    Msimshabulie Haji manara kwa mambo yake hayo mwachieni mungu .Kilichobakia tujianglie Nasfi zetu sote asie na hili ana Lile .

  • @bobnassa6151
    @bobnassa6151 11 дней назад +1

    Hili jamaa linapenda kujikosha mbele ya viongozi wa dini na kujifaharisha kua limesoma dini na lina jua dini, lakini upande wa pili ni jitu levi tena lenye kufanya mambo yasiompendeza Allah, kumbuka kua mungu achezewi

  • @sheikhshekuehamzamzonge1658
    @sheikhshekuehamzamzonge1658 12 дней назад +3

    Huyu hana lolote kwenye dini ya kiislamu,anaji proud tu lkn hakuna kitu jahili mmoja

    • @amourmussa8358
      @amourmussa8358 11 дней назад

      Wee unae lolote huna hekima hata ya kuandika

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 10 дней назад

    Akili huna lkni debe tupu,Allahu akuhifadhi akuongoze wewe n mimi

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 12 дней назад +1

    Umesoma lkn hukuelimika manara,unavaa micheni,unakaa nusu ut..p.. na wanawake kisha unajianika mitandaoni,unaingia sherehe za kijahili.Mungu akuongoze Haji bado unao muda

  • @mursaliamani583
    @mursaliamani583 12 дней назад +3

    Matusi sio maadili Kama umekaosa Cha kukoment kuwa kimya acha matusi huo sio uisilam

    • @ThabitMwangu
      @ThabitMwangu 12 дней назад

      Ukiona ivo usishangae Kaka ni salafi uyo hao Matusi ndo daawa yao

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 13 дней назад

    Mashallah
    Sisi tunapenda tumuone hivi sio mambo mengine yakidunia hayaeleweki

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 6 дней назад

    shelh wakwa wa irinfa shekh said alikuwa akifanya bishara kuza mgozi iringa akowapi apia alishikwa kuwa pia yeye kuwasaidia makgaidi atii alikuwa ukweli amaa auu

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 13 дней назад

    Muhuni mmoja we

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 13 дней назад

    Mubuni mmoja we

  • @SophiaJumbee
    @SophiaJumbee 12 дней назад

    Wewe unaposema utarudi kwa mungu lini utarudi naww unahisi upo hapa duniani utaondoka lini wacha ujinga

  • @ZulfaSadick-s4d
    @ZulfaSadick-s4d 5 дней назад

    Mh aya 2 mbingun kutakua nakaz jaman

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 13 дней назад +1

    NIMEPITIA COMMENTS. kwa upande wangu ninachoomba ni MUNGU ATUPE MWISHO ULIO MWEMA.

  • @hamisirajab4307
    @hamisirajab4307 11 дней назад

    Mashekh wakitwarika awajui haramu wao bora pesa tuu

  • @Mohammed-m9f
    @Mohammed-m9f 13 дней назад

    Manara sio kujisifia tu, ufanye kwa vitendo mambo ya dini mana haueleweki thumma aamanu thumma kafaruu, na umuhimize shemeji Zai naye awe anajisitiri avae kiislamu sio kuranda manywele wazi !!!!
    Udkhuulu fii silmi kaafah !!!!!

  • @LovelyDiamondRing-nr7lq
    @LovelyDiamondRing-nr7lq 10 дней назад

    Amesoma sana Hana busara mbona anatuonyesha maumbille ya mke wake

    • @BakaryOmally
      @BakaryOmally 8 дней назад

      Lovely hayo ni mapungufu lakini pale anapokumbusha jamii ktk kheri unawajibubwa kusikia na kufuata mabaya yake ni yake maana mkakilifu ni mungu

  • @MohamedKaburu
    @MohamedKaburu 13 дней назад +4

    Din kwa sasa ni pesa ukiwa na hela unaweza kuwafanya viongoz wa dini vile unavyotaka ukawaita ngomani wakaja ukawaita bar wakaja ukawaita disco wakaja na awakos haya na adithi ya kukutetea hayo tafakar zama za mwisho

    • @YahayaKwayu
      @YahayaKwayu 13 дней назад +1

      Mtume alikaa na wote sasaa wewe sijui tufanyaje

    • @MohamedKaburu
      @MohamedKaburu 13 дней назад

      Soma vzur comment yangu imeshajib pale niliposema awakos haya wala adithi

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 12 дней назад

      @@YahayaKwayu Soma dini yako Mtume yupi alikua na marafiki walevi na wazinzi?? Jaahil murakkab

    • @rajabubwakila1977
      @rajabubwakila1977 12 дней назад

      Hamjui kitu kuhusu dini ebu nyamazeni kwani hapo Haji kosa lake nini au ni wivu tu? Na mtakufa kabla kwa uhasidi wenu,kama wanaume kweli nendeni kwa Haji au kwa Walidi mkaseme hayo mnayoyasema,mbona mnasemea chini ya kitanda? Mafala wakubwa nyie

    • @ZainabuKudomu-c7w
      @ZainabuKudomu-c7w 12 дней назад

      Katoa shukran kwa mwalimu wake alomfunza dini na kuunganisha watu tofauti na Kula nao pamoja shida Iko wapi? Wanadamu kazi kuishi nao mwacheni aishi kwa Raha zake na si kwa karaha zenu

  • @ShafighuShabani
    @ShafighuShabani 13 дней назад

    Poleni sana nyote mlohapo miziki mipira uzinifu uko hapo poleni mashekhe WA ovyo

    • @AhmedMartin-d7q
      @AhmedMartin-d7q 13 дней назад +1

      Nataka kukuliza swali wew ambae unasema haya je mtu amefariki akiwa shoga na wew ndo sheikh wamemleta msikitini umfanzie swala je uta mswalia au utamuacha ????

    • @YahayaKwayu
      @YahayaKwayu 13 дней назад

      Nabii lutwi alishi na watu wa liwatwi sasa hizi ndizo njia za kuwaleta watu katik dini

  • @saidbakar-qo6ri
    @saidbakar-qo6ri 12 дней назад

    WOOTE MNAOMSAKAMA MANARA MNA UCHAMUNGU?

  • @HaznaAbdallah
    @HaznaAbdallah 13 дней назад +1

    Dini ni vitendo siyo majigambo

  • @rashadmohamed4357
    @rashadmohamed4357 11 дней назад

    Kama ulisoma inaonekana kwa life style yako, hukuelimika

  • @Zanzibar0001
    @Zanzibar0001 12 дней назад

    Unajja huyu mzee hana Adabu hata kdgo kwanza amlee mkewe vzr ndipp aje hapo

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 13 дней назад

    haji mnara,hebu achana na mambo ya kipuuzi,dughul fii ddiin kaaffa,!

    • @khamisiiddi2470
      @khamisiiddi2470 9 дней назад

      Yan we ni mtihani sana mungu akuongoze sana na atuongoze sote lakin kiukweli unakera sana we mtu

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 13 дней назад

    SASA KAMA UMESOMA DINI MBONA UNAFANYA MAMBO MACHAFU YA MUNKARI???? INAMAANA UNAFANYA SHERE KWA MUNGU???

  • @AlmasAbdallah-r3g
    @AlmasAbdallah-r3g 13 дней назад +1

    Sema masufi mnachezea sana dini ya Allah,na huyo Walidi anatamani kukataa kusema kwamba hana mwanafunzi kama wewe maana anaona kabisa amekula hasara katika huyo mwanafunzi.

    • @nabahanishela7447
      @nabahanishela7447 12 дней назад

      Nikweli Kabisaaa
      Maana sikwa ulevi na Umalaya huo

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 12 дней назад

      @nabahanishela7447 mtihani sana Wallah

    • @rajabubwakila1977
      @rajabubwakila1977 12 дней назад

      ​@@nabahanishela7447acha ujinga hayo unayoyajua kuhusu Haji hayo ni mambo ya binaadam kwani wewe huna dhambi bwege mkubwa sana wewe kama huna la kusema ni bora ukanyamaza upate thawabu kwani ni bora kukaa kimya kuliko kuropoka usiyoyajua mbwa wewe,acha hasadi masikini wa fedha mpaka roho pumbaf

    • @rajabungatanda630
      @rajabungatanda630 12 дней назад

      Kwani dini imekataza mashekhe kukaa na watu kama manara

    • @ThabitMwangu
      @ThabitMwangu 12 дней назад

      ​Achana nae uyo salafi uyo atakupotezea muda wao wanajiona washafika peponi

  • @khalfanMohammed-j7c
    @khalfanMohammed-j7c 4 дня назад

    Sawa unajua ww tu basi

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx 4 дня назад

    mnapeyanaa maujinga