MANARA SHEIKH WALID NDIE ALIYENIFUDISHA ELIMU YA DINI, MAHARA NA KITANDA NDOA YA KWANZA NILILIPIWA
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- MANARA AKUMBUSGIA ENZI ANASOMA KWA SHEIKH WALID KUMBE AMESOMA DINI TENA SANA, AMTAJA ALIYEMLIPIA MAHARA NA KUMNUNULIA KITANDA NDOA YAKE YA KWANZA.mp4
Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
Facebook: / mzeewakhidma
Instagram: / khidma_tv
Tiktok: / khidmatv1
RUclips: / @khidmaonlinetv350
اللهم اهدنا الى ألحق والى طريق المستقيم
Msimshabulie Haji manara kwa mambo yake hayo mwachieni mungu .Kilichobakia tujianglie Nasfi zetu sote asie na hili ana Lile .
Hili jamaa linapenda kujikosha mbele ya viongozi wa dini na kujifaharisha kua limesoma dini na lina jua dini, lakini upande wa pili ni jitu levi tena lenye kufanya mambo yasiompendeza Allah, kumbuka kua mungu achezewi
Huyu hana lolote kwenye dini ya kiislamu,anaji proud tu lkn hakuna kitu jahili mmoja
Wee unae lolote huna hekima hata ya kuandika
Akili huna lkni debe tupu,Allahu akuhifadhi akuongoze wewe n mimi
Umesoma lkn hukuelimika manara,unavaa micheni,unakaa nusu ut..p.. na wanawake kisha unajianika mitandaoni,unaingia sherehe za kijahili.Mungu akuongoze Haji bado unao muda
Matusi sio maadili Kama umekaosa Cha kukoment kuwa kimya acha matusi huo sio uisilam
Ukiona ivo usishangae Kaka ni salafi uyo hao Matusi ndo daawa yao
Mashallah
Sisi tunapenda tumuone hivi sio mambo mengine yakidunia hayaeleweki
shelh wakwa wa irinfa shekh said alikuwa akifanya bishara kuza mgozi iringa akowapi apia alishikwa kuwa pia yeye kuwasaidia makgaidi atii alikuwa ukweli amaa auu
Muhuni mmoja we
Mubuni mmoja we
Wewe unaposema utarudi kwa mungu lini utarudi naww unahisi upo hapa duniani utaondoka lini wacha ujinga
Mh aya 2 mbingun kutakua nakaz jaman
NIMEPITIA COMMENTS. kwa upande wangu ninachoomba ni MUNGU ATUPE MWISHO ULIO MWEMA.
Aamiin
Mashekh wakitwarika awajui haramu wao bora pesa tuu
Manara sio kujisifia tu, ufanye kwa vitendo mambo ya dini mana haueleweki thumma aamanu thumma kafaruu, na umuhimize shemeji Zai naye awe anajisitiri avae kiislamu sio kuranda manywele wazi !!!!
Udkhuulu fii silmi kaafah !!!!!
Amesoma sana Hana busara mbona anatuonyesha maumbille ya mke wake
Lovely hayo ni mapungufu lakini pale anapokumbusha jamii ktk kheri unawajibubwa kusikia na kufuata mabaya yake ni yake maana mkakilifu ni mungu
Din kwa sasa ni pesa ukiwa na hela unaweza kuwafanya viongoz wa dini vile unavyotaka ukawaita ngomani wakaja ukawaita bar wakaja ukawaita disco wakaja na awakos haya na adithi ya kukutetea hayo tafakar zama za mwisho
Mtume alikaa na wote sasaa wewe sijui tufanyaje
Soma vzur comment yangu imeshajib pale niliposema awakos haya wala adithi
@@YahayaKwayu Soma dini yako Mtume yupi alikua na marafiki walevi na wazinzi?? Jaahil murakkab
Hamjui kitu kuhusu dini ebu nyamazeni kwani hapo Haji kosa lake nini au ni wivu tu? Na mtakufa kabla kwa uhasidi wenu,kama wanaume kweli nendeni kwa Haji au kwa Walidi mkaseme hayo mnayoyasema,mbona mnasemea chini ya kitanda? Mafala wakubwa nyie
Katoa shukran kwa mwalimu wake alomfunza dini na kuunganisha watu tofauti na Kula nao pamoja shida Iko wapi? Wanadamu kazi kuishi nao mwacheni aishi kwa Raha zake na si kwa karaha zenu
Poleni sana nyote mlohapo miziki mipira uzinifu uko hapo poleni mashekhe WA ovyo
Nataka kukuliza swali wew ambae unasema haya je mtu amefariki akiwa shoga na wew ndo sheikh wamemleta msikitini umfanzie swala je uta mswalia au utamuacha ????
Nabii lutwi alishi na watu wa liwatwi sasa hizi ndizo njia za kuwaleta watu katik dini
WOOTE MNAOMSAKAMA MANARA MNA UCHAMUNGU?
Dini ni vitendo siyo majigambo
Kama ulisoma inaonekana kwa life style yako, hukuelimika
Unajja huyu mzee hana Adabu hata kdgo kwanza amlee mkewe vzr ndipp aje hapo
haji mnara,hebu achana na mambo ya kipuuzi,dughul fii ddiin kaaffa,!
Yan we ni mtihani sana mungu akuongoze sana na atuongoze sote lakin kiukweli unakera sana we mtu
SASA KAMA UMESOMA DINI MBONA UNAFANYA MAMBO MACHAFU YA MUNKARI???? INAMAANA UNAFANYA SHERE KWA MUNGU???
Sema masufi mnachezea sana dini ya Allah,na huyo Walidi anatamani kukataa kusema kwamba hana mwanafunzi kama wewe maana anaona kabisa amekula hasara katika huyo mwanafunzi.
Nikweli Kabisaaa
Maana sikwa ulevi na Umalaya huo
@nabahanishela7447 mtihani sana Wallah
@@nabahanishela7447acha ujinga hayo unayoyajua kuhusu Haji hayo ni mambo ya binaadam kwani wewe huna dhambi bwege mkubwa sana wewe kama huna la kusema ni bora ukanyamaza upate thawabu kwani ni bora kukaa kimya kuliko kuropoka usiyoyajua mbwa wewe,acha hasadi masikini wa fedha mpaka roho pumbaf
Kwani dini imekataza mashekhe kukaa na watu kama manara
Achana nae uyo salafi uyo atakupotezea muda wao wanajiona washafika peponi
Sawa unajua ww tu basi
mnapeyanaa maujinga