DARSA YA KINA MAMA; MADA NAMNA YA KUPANDISHA IMAAN - SHEIKH NURDEEN KISHK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 ноя 2022

Комментарии • 92

  • @MohamedHassan-tp2wf
    @MohamedHassan-tp2wf 11 месяцев назад +3

    MashaALLAH darsa saafi sana Sheikh KISHKI twashukuru sana kukusikiza kila wakati hapa somalia, barikiwa

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm 11 месяцев назад +3

    mashallah mashallah mashallah shekhe wetu allah akuzidishie kila la kher Katika maisha yako pamoja na family yako inshallah

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Год назад +20

    Shukrani wa jazakallah kheri sheikh Kishki kwa elimu ya dini na hakika yeyote atakae jaaliwa kusikiliza hii darsa yako hakika hatotoka patupu Allah akuhifadh akupe afya na umri mrefu tuzidi kuelimika kupitia wewe sheikh wetu.

  • @zaitunnurah9763
    @zaitunnurah9763 Год назад +3

    Masha'Allah 🤲, Swadakta Shekh Allah akupe kheri, akujaze ilmu bora kwetu sisi, akupe umri mwafaka yenye kheri 🙏🙏🙏

  • @husnamwagadi
    @husnamwagadi Год назад +3

    Mashallah 🤲🤲🤲

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 Год назад +3

    Mashallah sheikh Nurdi kwa darsa nzuri na elimika yenye bado nilikuwa siyazuwi inshallah Mwez Mungu atufanyie wepesi tuwisome dini yetu
    na mtume wetu inshallah Na Mwez Mungu akulipe apadunia na kesho ahera na atukutanishe sote inshallah 🤲🏾❤

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Год назад +3

    Allahumma Amiin Yaa Rabbi 🤲, Shukran sheikh wangu kwa elimu.kwa kuchukuwa nafasi Hii ya kunielimisha Mimi mwanamke Mwenyezi Mungu akulipe Pepo ya firdaus Allahumma Amiin

  • @aminafhakizimana
    @aminafhakizimana Год назад +3

    Maa shaa Allah

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Год назад +3

    Mashaallah x2. Mwenyezi Mungu akujaze kheri kwa mafunzo mazito kama haya.Innshaallah Mwenyezi Mungu ukazidishie umri uzidi kuelimisha ummah!.

  • @wardaam3707
    @wardaam3707 10 месяцев назад +2

    Maaashallah Allah azidi kukuongoza sheikh kishiki na atuongoze na ss umma wa kiislam shukrani sana twakupenda kwaajili ya Allah kwa darsa zako za kuelimisha Allah atujaalie imani zetu zipande

  • @MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
    @MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv 9 месяцев назад +1

    Mashaallah Mashaallah shekhe kishik

  • @tausimpoma347
    @tausimpoma347 Год назад +7

    Alhamdulillah ,Allah akujaalie afya.uzidi kutuelimisha.

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Год назад +7

    Mashallah mashallah Mashallah Darsa mzur Inshaallah Kesho niikalie kitako tena ni iskilize vizur shukran Sheikh Nurdin Jazakallah kher 🤲😘😍😍😍

  • @aminanahimana8759
    @aminanahimana8759 Год назад +5

    Shukran Sheikh wetu Allah akujaze kheri Duniani na Akhera namuomba Allah atukutanishe🇧🇮🇹🇿 kwa kheri 🤲

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Год назад +2

    Shukran ❤ kwa ajili ya Allah

  • @zuhoor-mc7hq
    @zuhoor-mc7hq Год назад +2

    Mashaalah shekh wangu nureedin kushik Allah akubariki akupe afy ya kufanya ibada na kulingania dini ya Allah amiin jazakumllahu khayra 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Allah akupe elimu iliyo Bora Ameen 🥰

  • @umikingazi2814
    @umikingazi2814 Год назад +3

    Mashaallah allah akulipe kwa elimu nzuri nimeelimika

  • @ilhamally6633
    @ilhamally6633 Год назад +2

    Mashaallah .sheik na mimi nakupenda kwa ajili ya allah

  • @HamimuallyAlly-zb4mk
    @HamimuallyAlly-zb4mk Год назад +1

    Manshaalah darasa zuli sana Mollah akujarie kira la kheli , uzid kutufundisha .

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi Год назад +1

    Jazakallahu. Kher Allah akulipe ukila nimejifunza mengi kupitia darasa hii shukran Allah shahid

  • @rahmaally5128
    @rahmaally5128 Год назад +3

    Masha Allah masha Allah masha Allah sheikh wangu mwenyew jazakallahu kheir, namuomb Allah Akujaalie life ndefu ilojaa afya njema, furaha kheri na barka tele🤲 hakika kwak 2napat darsa nzuri sana, hua nikikuonag live hio cku hua like eid 😊 how I wish ijirudie tena ,

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад +3

    Mashallah tabaraka llah Shukran sana shekh Nurdin 🤲 Allah akufanyie wepesi Kwa Kila jambo amiin 🤲 ya Allah ❤️

  • @dausibhalo2816
    @dausibhalo2816 Год назад +1

    Shukran Allahu barik,Nimepata Faida ndani yake

  • @wizyjunior
    @wizyjunior Год назад +1

    Nakupenda kwaajili ya allah allah akubaliki wewe na kizazi chako

  • @ZubedaMwalimu
    @ZubedaMwalimu 2 месяца назад

    Alla akulinde na akuifadhi shekhe nakupenda kwa ajili ya alla

  • @sulekhaabdulahi2183
    @sulekhaabdulahi2183 11 месяцев назад +1

    Allah barak

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 Год назад +1

    Shukran jazzaka Allah kheri 🤲💕

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 месяца назад

    Allah ni mwingi wa kukubali toba yarabi mashallah

  • @HusnaKahe
    @HusnaKahe Год назад +1

    Mashaallwa mungu akujaze kila la kheli,

  • @ahmednassor-te2eg
    @ahmednassor-te2eg Месяц назад

    Mashallah mashallah shukraan shehewetu kwakutukumbusha kakika binaadamu tunakua tunajisahau

  • @mumbadavid6861
    @mumbadavid6861 11 месяцев назад +1

    Mashaallah mwenyezi mungu akupe kheri

  • @mwanakombohamisi8025
    @mwanakombohamisi8025 Год назад +1

    Tena wapenzi wangu kaane na daftari na kalamu uwaandike vitu vya muhimu sana ambavyo utaweza kuvisahau. Huezi jua sheikh anaweza kutoa swali katika kipind cha maswali mtaani na vipenzi wetu lsmail didasi, Abdurahman msawe, yahya tweitin kipind changu pendwa.ukawa umefaulu duniani na akhera.

  • @aishamsemwa-zu3eo
    @aishamsemwa-zu3eo Год назад +1

    Kishki huwa nakuelewa sana, mawaidha Yako huwa yananiimarisha sana na yalifanya nislim

  • @ahmedmahdi695
    @ahmedmahdi695 Год назад +1

    Maashaallaah

  • @halimaabdi3125
    @halimaabdi3125 Год назад +2

    Ma SHA Allah ❤

  • @salamabukeyeneza7557
    @salamabukeyeneza7557 Год назад +2

    Asalam alaikum wa rahmatullah wa barakatuh. Shukran sheikh

  • @jai5561
    @jai5561 Год назад +2

    Mashalaa

  • @aminamaashallahkanyika966
    @aminamaashallahkanyika966 Год назад +1

    Asalamualaykum jamia nawapenda nyote kwaajili ya Allah

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Год назад +2

    Bismillahi MashaAllah
    Mawaidha mazur sana

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 месяца назад

    Aaaaamiiin yarabiiii takabali duaaaah

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 5 месяцев назад

    Shukraan kwa kutuelimisha
    Allah akupe Afya njema

  • @maymunaal-amry2948
    @maymunaal-amry2948 Год назад +1

    A.alykum naomba kuuliza je yafaa kwa dactari mwanamme kumtibia mwanamke kwa ushahidi

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h Год назад +1

    Masha Allah
    Shukraan sana sheikhe kishki

  • @user-bh2ef6yb3q
    @user-bh2ef6yb3q 3 месяца назад

    Mashallah Allah akulipe kwaerim zur

  • @mallulu9086
    @mallulu9086 Год назад +1

    Amiin yaarab

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Год назад +2

    Jazaka llahul kheir Sheikh 🌴🌴🌴

  • @YusufAbs-bx7su
    @YusufAbs-bx7su Год назад +1

    Swadata

  • @scollalema4674
    @scollalema4674 Год назад +1

    Mashallah mawaidha mazuri

  • @user-je7qd5po5q
    @user-je7qd5po5q Год назад +1

    AashaAllah, yani shekhe anaeleza kitu mpaka unaridhika, Allah akuhifadhi na atuhifadhi sisi

  • @nashmedymresh677
    @nashmedymresh677 Год назад +2

    MashaAllah

  • @ummukhadija1551
    @ummukhadija1551 Год назад +1

    Allah akulipe kheri

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Год назад +1

    Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh wetu kipenz. Shukran ALLAH akuhifadh

  • @fatmaameer5333
    @fatmaameer5333 Год назад +1

    Mashallah ALLAH akuweke shekhe wetu darasa nimeiyelewa vizuri

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Год назад +1

    Jazakallah khair

  • @user-qd7mx8md7t
    @user-qd7mx8md7t 6 месяцев назад

    Mung akujarie kila la her ishallaah twashukur sana sis ni ummat muhamad swr

  • @mesaidima6066
    @mesaidima6066 Год назад +1

    mashaallah jazakkallah kher

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +1

    Shukran shekh

  • @fadiahshamekhatib3701
    @fadiahshamekhatib3701 5 месяцев назад

    Amiin yarbi Amiin 🤲🤲

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 Год назад +1

    Mashaallah dalasa zuli allah akujalie afya njema na umri mlefu inshaallah

  • @mgeninaima9866
    @mgeninaima9866 Год назад +3

    YARABB atufufue tuwe niwenye kuifuata Qur an

  • @saidagalu2914
    @saidagalu2914 Год назад +1

    Allahumma amiin mwenyewezi akupe hitaji lako na familia yako

  • @salmaalbarwani5649
    @salmaalbarwani5649 Год назад +1

    Jazaka Allahu kheri

  • @a.856
    @a.856 Год назад +1

    Jazakallah khayran

  • @fuhftyfiufffg478
    @fuhftyfiufffg478 Год назад +1

    shukrani sheikh wetu

  • @rahmaally5128
    @rahmaally5128 Год назад +1

    Sheikh Nurdeen kishk 2nakupend 4 de sake of Allah

  • @faridahkavochi8079
    @faridahkavochi8079 Год назад +1

    Mashaallah tabarak Allah

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Год назад +1

    Jazaqalahu khaira

  • @shadiahshadiahshadiahshadi4060
    @shadiahshadiahshadiahshadi4060 Год назад +1

    Tunakusihi shieh wetu

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 Год назад +1

    Mashaallah shukran sana

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 Год назад +1

    MAASHA ALLAH

  • @salmaalbarwani5649
    @salmaalbarwani5649 Год назад +1

    Allahuma Amin

  • @hakizimanaomar8992
    @hakizimanaomar8992 Год назад +2

    Nakupenda kishik Wang bi izini llah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 месяца назад

    Aamiiin

  • @mgeninaima9866
    @mgeninaima9866 Год назад +1

    Ameeeeen thumaa ameeen

  • @user-fo9tp4td8o
    @user-fo9tp4td8o Год назад +1

    Mimi nilikua wakwanza kuuchuna

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Год назад +2

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @layleyla
    @layleyla Год назад +1

    Darsa nzuri kweli kweli ila Mimi Nina swali, waeza ita mtoto wa kischana Jannah? Hilo jina nalipenda sana

  • @AlhajiIddy-xe8pl
    @AlhajiIddy-xe8pl 3 месяца назад

    0:00

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Год назад +2

    Chapa dawah sheikh

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 месяца назад

    Aaaaamiiin yarabiiii takabali duaaaah

  • @user-ps6yd7lq9n
    @user-ps6yd7lq9n 4 месяца назад

    Mashallah🤲🤲