Shukrani wa jazakallah kheri sheikh Kishki kwa elimu ya dini na hakika yeyote atakae jaaliwa kusikiliza hii darsa yako hakika hatotoka patupu Allah akuhifadh akupe afya na umri mrefu tuzidi kuelimika kupitia wewe sheikh wetu.
Mashallah sheikh Nurdi kwa darsa nzuri na elimika yenye bado nilikuwa siyazuwi inshallah Mwez Mungu atufanyie wepesi tuwisome dini yetu na mtume wetu inshallah Na Mwez Mungu akulipe apadunia na kesho ahera na atukutanishe sote inshallah 🤲🏾❤
Allahumma Amiin Yaa Rabbi 🤲, Shukran sheikh wangu kwa elimu.kwa kuchukuwa nafasi Hii ya kunielimisha Mimi mwanamke Mwenyezi Mungu akulipe Pepo ya firdaus Allahumma Amiin
Maaashallah Allah azidi kukuongoza sheikh kishiki na atuongoze na ss umma wa kiislam shukrani sana twakupenda kwaajili ya Allah kwa darsa zako za kuelimisha Allah atujaalie imani zetu zipande
Mashaalah shekh wangu nureedin kushik Allah akubariki akupe afy ya kufanya ibada na kulingania dini ya Allah amiin jazakumllahu khayra 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Allah akupe elimu iliyo Bora Ameen 🥰
Masha Allah masha Allah masha Allah sheikh wangu mwenyew jazakallahu kheir, namuomb Allah Akujaalie life ndefu ilojaa afya njema, furaha kheri na barka tele🤲 hakika kwak 2napat darsa nzuri sana, hua nikikuonag live hio cku hua like eid 😊 how I wish ijirudie tena ,
Tena wapenzi wangu kaane na daftari na kalamu uwaandike vitu vya muhimu sana ambavyo utaweza kuvisahau. Huezi jua sheikh anaweza kutoa swali katika kipind cha maswali mtaani na vipenzi wetu lsmail didasi, Abdurahman msawe, yahya tweitin kipind changu pendwa.ukawa umefaulu duniani na akhera.
MashaALLAH darsa saafi sana Sheikh KISHKI twashukuru sana kukusikiza kila wakati hapa somalia, barikiwa
mashallah mashallah mashallah shekhe wetu allah akuzidishie kila la kher Katika maisha yako pamoja na family yako inshallah
Shukrani wa jazakallah kheri sheikh Kishki kwa elimu ya dini na hakika yeyote atakae jaaliwa kusikiliza hii darsa yako hakika hatotoka patupu Allah akuhifadh akupe afya na umri mrefu tuzidi kuelimika kupitia wewe sheikh wetu.
Amin
⁸
@@naimamazuri462 00
Masha'Allah 🤲, Swadakta Shekh Allah akupe kheri, akujaze ilmu bora kwetu sisi, akupe umri mwafaka yenye kheri 🙏🙏🙏
Mashallah 🤲🤲🤲
Mashallah sheikh Nurdi kwa darsa nzuri na elimika yenye bado nilikuwa siyazuwi inshallah Mwez Mungu atufanyie wepesi tuwisome dini yetu
na mtume wetu inshallah Na Mwez Mungu akulipe apadunia na kesho ahera na atukutanishe sote inshallah 🤲🏾❤
Allahumma Amiin Yaa Rabbi 🤲, Shukran sheikh wangu kwa elimu.kwa kuchukuwa nafasi Hii ya kunielimisha Mimi mwanamke Mwenyezi Mungu akulipe Pepo ya firdaus Allahumma Amiin
Maa shaa Allah
Mashaallah x2. Mwenyezi Mungu akujaze kheri kwa mafunzo mazito kama haya.Innshaallah Mwenyezi Mungu ukazidishie umri uzidi kuelimisha ummah!.
Maaashallah Allah azidi kukuongoza sheikh kishiki na atuongoze na ss umma wa kiislam shukrani sana twakupenda kwaajili ya Allah kwa darsa zako za kuelimisha Allah atujaalie imani zetu zipande
Mashaallah Mashaallah shekhe kishik
Alhamdulillah ,Allah akujaalie afya.uzidi kutuelimisha.
Mashallah mashallah Mashallah Darsa mzur Inshaallah Kesho niikalie kitako tena ni iskilize vizur shukran Sheikh Nurdin Jazakallah kher 🤲😘😍😍😍
Shukran Sheikh wetu Allah akujaze kheri Duniani na Akhera namuomba Allah atukutanishe🇧🇮🇹🇿 kwa kheri 🤲
Shukran ❤ kwa ajili ya Allah
Mashaalah shekh wangu nureedin kushik Allah akubariki akupe afy ya kufanya ibada na kulingania dini ya Allah amiin jazakumllahu khayra 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Allah akupe elimu iliyo Bora Ameen 🥰
Mashaallah allah akulipe kwa elimu nzuri nimeelimika
Mashaallah .sheik na mimi nakupenda kwa ajili ya allah
Manshaalah darasa zuli sana Mollah akujarie kira la kheli , uzid kutufundisha .
Jazakallahu. Kher Allah akulipe ukila nimejifunza mengi kupitia darasa hii shukran Allah shahid
Masha Allah masha Allah masha Allah sheikh wangu mwenyew jazakallahu kheir, namuomb Allah Akujaalie life ndefu ilojaa afya njema, furaha kheri na barka tele🤲 hakika kwak 2napat darsa nzuri sana, hua nikikuonag live hio cku hua like eid 😊 how I wish ijirudie tena ,
Mashallah tabaraka llah Shukran sana shekh Nurdin 🤲 Allah akufanyie wepesi Kwa Kila jambo amiin 🤲 ya Allah ❤️
Shukran Allahu barik,Nimepata Faida ndani yake
Nakupenda kwaajili ya allah allah akubaliki wewe na kizazi chako
Alla akulinde na akuifadhi shekhe nakupenda kwa ajili ya alla
Allah barak
Shukran jazzaka Allah kheri 🤲💕
Allah ni mwingi wa kukubali toba yarabi mashallah
Mashaallwa mungu akujaze kila la kheli,
Mashallah mashallah shukraan shehewetu kwakutukumbusha kakika binaadamu tunakua tunajisahau
Mashaallah mwenyezi mungu akupe kheri
Tena wapenzi wangu kaane na daftari na kalamu uwaandike vitu vya muhimu sana ambavyo utaweza kuvisahau. Huezi jua sheikh anaweza kutoa swali katika kipind cha maswali mtaani na vipenzi wetu lsmail didasi, Abdurahman msawe, yahya tweitin kipind changu pendwa.ukawa umefaulu duniani na akhera.
Kishki huwa nakuelewa sana, mawaidha Yako huwa yananiimarisha sana na yalifanya nislim
Maashaallaah
Ma SHA Allah ❤
Asalam alaikum wa rahmatullah wa barakatuh. Shukran sheikh
Mashalaa
Asalamualaykum jamia nawapenda nyote kwaajili ya Allah
Bismillahi MashaAllah
Mawaidha mazur sana
Aaaaamiiin yarabiiii takabali duaaaah
Shukraan kwa kutuelimisha
Allah akupe Afya njema
A.alykum naomba kuuliza je yafaa kwa dactari mwanamme kumtibia mwanamke kwa ushahidi
Masha Allah
Shukraan sana sheikhe kishki
Mashallah Allah akulipe kwaerim zur
Amiin yaarab
Jazaka llahul kheir Sheikh 🌴🌴🌴
Swadata
Mashallah mawaidha mazuri
AashaAllah, yani shekhe anaeleza kitu mpaka unaridhika, Allah akuhifadhi na atuhifadhi sisi
MaashaAllah
MashaAllah
Allah akulipe kheri
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh wetu kipenz. Shukran ALLAH akuhifadh
Mashallah ALLAH akuweke shekhe wetu darasa nimeiyelewa vizuri
Jazakallah khair
Mung akujarie kila la her ishallaah twashukur sana sis ni ummat muhamad swr
mashaallah jazakkallah kher
Shukran shekh
Amiin yarbi Amiin 🤲🤲
Mashaallah dalasa zuli allah akujalie afya njema na umri mlefu inshaallah
YARABB atufufue tuwe niwenye kuifuata Qur an
Allahumma amiin mwenyewezi akupe hitaji lako na familia yako
Jazaka Allahu kheri
Jazakallah khayran
shukrani sheikh wetu
Sheikh Nurdeen kishk 2nakupend 4 de sake of Allah
Mashaallah tabarak Allah
Jazaqalahu khaira
Tunakusihi shieh wetu
Mashaallah shukran sana
MAASHA ALLAH
Allahuma Amin
Nakupenda kishik Wang bi izini llah
Mashallah jazakallahu khala
Allah akulipe Pepo she wetu
Aamiiin
Ameeeeen thumaa ameeen
Mimi nilikua wakwanza kuuchuna
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Darsa nzuri kweli kweli ila Mimi Nina swali, waeza ita mtoto wa kischana Jannah? Hilo jina nalipenda sana
0:00
Chapa dawah sheikh
Nakukubali sana kishki
@@hadilimahamudmkulu27 naam kishk anajtahidi sana
Shukran
Aaaaamiiin yarabiiii takabali duaaaah
Mashallah🤲🤲