Basi haujui mpira! Fatilia hilo jambo! Hilo sakata mbona limeishaisha? Shida ya wabongo ,you DONT make any research! Tafuteni relyable sources! Sio kusikiliza vichambuzi uchwala! Sijaona mwandishi yoyote akimuhoji kiongozi wa Tifuatifua(TFF) ! Kuhusu suala hili!
Umeongea vizuri Sana wape habari madunduka makolo bwanji
God. Wewe. Ni. Mjuzi. Kuliko. Waandishi. Wa. Kibongo. Ivi. Sijuwi. Kwanini. Hawasomi. A. Nyakati. Ni. Chuki. Kwa. Yanga. Tyy
Wajinga kweli,yaani unaambiwa na FIFA wewe unasema wapinzani. Huo ni ujinga
Basi haujui mpira! Fatilia hilo jambo! Hilo sakata mbona limeishaisha? Shida ya wabongo ,you DONT make any research! Tafuteni relyable sources! Sio kusikiliza vichambuzi uchwala! Sijaona mwandishi yoyote akimuhoji kiongozi wa Tifuatifua(TFF) ! Kuhusu suala hili!