UCHAMBUZI: JUSTIN KESSY | HUU NI MTEGO MBAYA YANGA | CAF YAWASTUKIA YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 14

  • @erickganira6324
    @erickganira6324 5 часов назад +2

    This is arguably the best analyst in Tanzania from my Kenyan perspective Wacha zile kelelre za wasafi na crown Justin kessy namkubali kabisa

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 2 часа назад +1

    Kumbe maana ya ubaya ubwela ndio hii, ya kubebwa mpira wa kihalali mmeshindwa mnatumia marefa kuwapa ushindwa

  • @EmmanuelKalist-o8b
    @EmmanuelKalist-o8b 2 часа назад +2

    JUSTIN KESSY 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @godfreympanda
    @godfreympanda 5 часов назад +1

    Safi sana yaani nakuelewa sana ww mchambuzi una ubaguzi wa kubaguwa timu

  • @sulemanmndeme8961
    @sulemanmndeme8961 39 минут назад

    Huyu Mr, nimemkubali.
    Tumpe support atasaidia soka letu.

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 5 часов назад

    Waambie hao wanaoishi na mambo ya kijima, eti hawataki vilabu vidogo vizaminiwe ili wakose hata nauli wanapoenda kucheza ugenini.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 часа назад

    Waandishi wa kibongo kama watoto yaani mtu anaongea kitu ili utumie ubongo kujua anamaanisha nini,mtu anauliza eti kwani anakunywa mafuta ya ndege! How stupid

  • @sweetbertrwiza5982
    @sweetbertrwiza5982 6 часов назад

    Hapo naunga mkpno hoja Pakome aanze Chama akae bench asome mchezo aingie kipindi cha pili

  • @JumaBagelle
    @JumaBagelle 59 минут назад

    Yanga msimu uliopitaa alishinda goli moja mechi 8 na akawa bingwaa

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 21 минуту назад

    Huyu mtangazaji inaelekea ni shabiki wa Simba.

  • @shaphyselelokitwana7780
    @shaphyselelokitwana7780 5 часов назад

    Nimekuelewa kesii unajua. Mpila walemihenahao wengine

  • @AlamZambi
    @AlamZambi 6 часов назад

    Ww kaombe kazi yanga ❤ubaya ubwela majibu yanakaribia kutoka

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 часа назад +2

    Mchambuzi wangu bora wa soka..hana upande,anajitahidi kuongea ukweli anaoujua..

  • @ConasLedson-nh9co
    @ConasLedson-nh9co 4 часа назад

    Makofi kwako