Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
This is arguably the best analyst in Tanzania from my Kenyan perspective Wacha zile kelelre za wasafi na crown Justin kessy namkubali kabisa
Kumbe maana ya ubaya ubwela ndio hii, ya kubebwa mpira wa kihalali mmeshindwa mnatumia marefa kuwapa ushindwa
JUSTIN KESSY 🔥🔥🔥🔥🔥
Safi sana yaani nakuelewa sana ww mchambuzi una ubaguzi wa kubaguwa timu
Huyu Mr, nimemkubali.Tumpe support atasaidia soka letu.
Waambie hao wanaoishi na mambo ya kijima, eti hawataki vilabu vidogo vizaminiwe ili wakose hata nauli wanapoenda kucheza ugenini.
Waandishi wa kibongo kama watoto yaani mtu anaongea kitu ili utumie ubongo kujua anamaanisha nini,mtu anauliza eti kwani anakunywa mafuta ya ndege! How stupid
Hapo naunga mkpno hoja Pakome aanze Chama akae bench asome mchezo aingie kipindi cha pili
Yanga msimu uliopitaa alishinda goli moja mechi 8 na akawa bingwaa
Huyu mtangazaji inaelekea ni shabiki wa Simba.
Nimekuelewa kesii unajua. Mpila walemihenahao wengine
Ww kaombe kazi yanga ❤ubaya ubwela majibu yanakaribia kutoka
Mchambuzi wangu bora wa soka..hana upande,anajitahidi kuongea ukweli anaoujua..
Makofi kwako
This is arguably the best analyst in Tanzania from my Kenyan perspective Wacha zile kelelre za wasafi na crown Justin kessy namkubali kabisa
Kumbe maana ya ubaya ubwela ndio hii, ya kubebwa mpira wa kihalali mmeshindwa mnatumia marefa kuwapa ushindwa
JUSTIN KESSY 🔥🔥🔥🔥🔥
Safi sana yaani nakuelewa sana ww mchambuzi una ubaguzi wa kubaguwa timu
Huyu Mr, nimemkubali.
Tumpe support atasaidia soka letu.
Waambie hao wanaoishi na mambo ya kijima, eti hawataki vilabu vidogo vizaminiwe ili wakose hata nauli wanapoenda kucheza ugenini.
Waandishi wa kibongo kama watoto yaani mtu anaongea kitu ili utumie ubongo kujua anamaanisha nini,mtu anauliza eti kwani anakunywa mafuta ya ndege! How stupid
Hapo naunga mkpno hoja Pakome aanze Chama akae bench asome mchezo aingie kipindi cha pili
Yanga msimu uliopitaa alishinda goli moja mechi 8 na akawa bingwaa
Huyu mtangazaji inaelekea ni shabiki wa Simba.
Nimekuelewa kesii unajua. Mpila walemihenahao wengine
Ww kaombe kazi yanga ❤ubaya ubwela majibu yanakaribia kutoka
Mchambuzi wangu bora wa soka..hana upande,anajitahidi kuongea ukweli anaoujua..
Makofi kwako