MASANJA: HII NDIO STOR MWALIMU WA MATH ULISEMA ATUENDI HAPA NI WAPI (mchongo wa kilimo)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 33

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 3 месяца назад +2

    Katika Iman kila kitu kinawezekena ,mali na vijavyo Dunia ni mali ya Mwenyez MUNGU,

  • @GastonChonya
    @GastonChonya 7 месяцев назад +3

    Within 5 years i will be on way to be like you

  • @MarkiJoseph
    @MarkiJoseph 29 дней назад

    Nakubali kaka

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 15 часов назад

    Siamini masikio yangu anaweka ili bei ipande ndio auze kwa lugha nyingine anangoja wakati wa uhaba na njaa ndio auze na huyu anajiita mtu

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 10 месяцев назад +1

    Dah! cjui nakosea wap maana!

  • @cleartzboy
    @cleartzboy 26 дней назад

    Yan alafu bado nimchungajinna sadaka anachukua

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 11 месяцев назад +2

    Huyu kwa kilimo ni moma

  • @CharlesEdwardCvanoedward
    @CharlesEdwardCvanoedward 11 месяцев назад +1

    Kuna watu hawaamini kama kilimo kinalipa

  • @MICHAELMOBILECARE
    @MICHAELMOBILECARE Год назад +1

    Ni nouma sana

  • @wallacerugangila2723
    @wallacerugangila2723 10 месяцев назад +2

    Wasanii watabaki Wasaani ukiwaiga maisha Yao umeuawa.Yupo kwenye ghala la Taifa la kihifadhi mazao anadai la kwake

    • @tuzonyava8306
      @tuzonyava8306 10 месяцев назад +1

      We Masanja analima sana kama huamini nenda Kapunga kuanzia mwezi wa kumi nambili mpaka mwezi wa kwanza uko Kapunga wilayani mbaral utamuona Masanja na company yake mashamban uko na hatanii katka kilimo

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 10 месяцев назад +2

    Duniani hakuna tajili mkurima bari mkulima ni mjasiliamari sawa.sawa.kiulize huyo ndooo walikua wanampambanisha na mond kweli yaniii hayo magunia yote ni show moja2 ya mond

    • @enemtv4637
      @enemtv4637 10 месяцев назад

      Mazafaka mbona huna akili mtt wa show za kiume hizo kma huamini pole

    • @GastonChonya
      @GastonChonya 7 месяцев назад

      Hujui nini maana ya kilimo

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 7 месяцев назад

      @@GastonChonya nayo kazi hiyo au uchafu

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 7 месяцев назад

      @@enemtv4637 hahaha wasimbe

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 7 месяцев назад

      @@GastonChonya hahahaha hiyo sio kaziii bro

  • @johnelioth2717
    @johnelioth2717 Год назад +1

    Uli mvahaa veyaa

  • @salummussa1139
    @salummussa1139 Год назад +1

    Hamna panya humo

  • @bibititi6393
    @bibititi6393 Год назад +3

    Wadanganye hao unao wadanganya, biashara inayo kuingizia hela tunaijua na wanao kulinda kwemye system tunawajua

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 11 месяцев назад +3

      ni ipi iyoo wanasiri kubwa hawa mioyo yao

    • @bibititi6393
      @bibititi6393 11 месяцев назад

      dona AKA Sembe na biashara haramu ya kusafirisha watu uarabuni@@sabihaibrahim143

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 11 месяцев назад +7

      Tafuta pesa kijana wivu hauwez kukupa pesa

    • @vicentkamwaya3542
      @vicentkamwaya3542 11 месяцев назад +4

      Hata kama unachokisema ni kweli, Kwa kuandika hivyo unaonekana hujielewi.Mungu akuponye.

    • @ImanMwakyeja-cw3ty
      @ImanMwakyeja-cw3ty 11 месяцев назад +2

      Masanja hajatamka kabisa kwenye hii clip kwamba hiyo ni store yake.
      Hivyo unamvamia kimakosa sana.