MASANJA: INAITAJIKA UMAKINI MDA WA KUVUNA MPUNGA (mchongo wa kilimo)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2023

Комментарии • 13

  • @JrNsummy-xk8xe
    @JrNsummy-xk8xe Год назад +1

    Habari boss Masanja.
    Hongera kwa kazi nzuri.
    Nasikitika sikupata taarifa hii mapema uwenda nami ningekuwepo kny msafara.
    Nina maswali mawili?
    1. Kukodi shamba ni bei gani au napataje Shamba heka au Plot?
    2. Ln kutakuwako na tour nyingine?
    Ahsante na Barikiwa.

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 4 месяца назад

    😊 sawa masanja kwa kilimo

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 20 дней назад

    Kama ngano tu.kilimo changano ni km mpunga

  • @emmanuelgerson1866
    @emmanuelgerson1866 Год назад

    Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri,. Pia ninatamani kufahamu tour nyingine,, maana nilikuwa na hamu ya kuwepo pia, na naskitika sikupata taarifa!

  • @helvetasswiss4638
    @helvetasswiss4638 Год назад

    Mungu akuinue zaidi mt

  • @aminiajabiri2949
    @aminiajabiri2949 Месяц назад

    Naomba namba yako na mimi nataka kulima

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 10 месяцев назад

    Mafunzo mazuri sana ❤

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 Год назад

    Mpe hi pastor Michael

  • @DevothaMa-qo4el
    @DevothaMa-qo4el 7 месяцев назад

    Ninaomba kupata mawasiliano yenu please

  • @Fatima-jp4ym
    @Fatima-jp4ym 7 месяцев назад

    mimi nahitaji kujifunza zaidi nawapataje

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 Год назад

    Hapo niwapi

  • @peterkihongosipeterkihongo1154
    @peterkihongosipeterkihongo1154 11 месяцев назад

    Niwapi hapo