3. KUONDOA MAZUIO KATIKA MIFUMO YANAYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || Singida
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- Semina ya neno la Mungu Singida || Day 3 || Tarehe 19 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Asante Bwana YESU kwa NENO HILI LA MTUMISHI WA MUNGU HUYU NA MKE WAKE,WABARIKI NA KUWALINDA KILA IITWAPO LEO,KILA SEKUNDE,DAKIKA NA SAA UWALINDE NA KUWAPA MEMA NA AMANI NA KUSIMAMA SAWA NA MAPENZI YAKO BWANA YESU AMEEN🙏🙏🙏🙏
Kwa mara yakwanza leo kuanza kumfatilia mchungaj mwakasege kwa umakin kwakweli roho wa bwana ameniingia nimejikuta moyo wangu umekua mwepes sana. Mazito yote yamenitoka kwenye moyo wangu. Asante yesu
Asante Mungu kwa kunihukumu kwa haki na kunikirimia haki yako
Leo tarehe 14.8.2024 saa17:20 umenitendea mema umenisamehe umenifungua na mifumo ishikiliayo familia yangu,uchumi kazi miradi .
Pokea sifa utukufu wako umenijalia juu yangu
Sijaona kama wewe una nguvu namna hii
Wote wajue umenitendea mema kuliko nilivyoomba
Baba anaachaga home work wengi tunasahau kuifanya "anasema kasome Biblia Yako..!!!!"wengi tunasahau ""
Very powerful
Ubarikiwe sana sana
Kwa kweli tuna pending homework nyingi sana
His Excellence Ruto this message is For you!! And all Kenyas who love your country.
💯✊🏾
Mungu akuweke sana Mwalimu, kwa ajili ya
mataifa.
Barikiwa baba na mama C Mwakasege
Neno la wakati ,asante Mungu kwa mtumishi wako🙏
Mungu aimarishe mifumo ya huduma ya Mana ,imebeba Baraka na neno la uzima
Nipo hapa kupona,kukua kiroho,kudumu kazini,kupokea viwango vyangu na uzao wangu
Sitaki Tena kulalamika,kutia machozi kuishi Kwa maumivu..
Mwaka mmoja nyuma nipokoea maono ya uponyaji wangu kupitia Mwalimu Mwakasege Leo napokeaa
Mungu akutunze Mwl 🙏🙏🙏
Mungu akubaliki baba nimebalikiwa sana
Hakika Mungu ni baba yet u Asante Mwalimu Mungu akutunze na mama❤
May God keep u for this generation.
Ameen nawapata vizur nikiwa oman muscat
Asante Bwana Yesu nimepata chakwangu. Lait viongozi wetu wa inchi wangepata haya marifa aa tungekuwa mbalii❤
Mungu aendelee kuwapigania mwalimu
Mungu akubariki sana mtumishi pamoja na familia yako na huduma yote ya Mana. Asante kwa ajili ya maarifa haya ya nyakati za mwisho ambayo Mungu amekupa ili uwalishe watoto wake.
Thank you lord
Najiungamanisha ni ibada hii ya meza ya Bwana ninapoenda kushiriki Chakula cha Bwana Kwa Imani ninanachukua uponyaji Kwa Ajili ya mtoto wangu Joan, uchumi wetu ufunguliwe, mume wangu afunguliwe aende kanisani , kipato changu na cha mume wangu kikaongezeke, watoto wangu wafanye vizuri darasani na nipate binti WA kazi mwenye hofu ya Mungu
Sifa kwa Mungu wetu ambae anatumiya mtumishi wake kwa kutulisha na barikiwa sana tena sana.
BWANA akutunze, akutazame kila wakati maana wewe ni chombo chake anakutumia kuponya nafsi na roho za watu kama sisi! Sina cha kusema zaidi ya Asante Yesu kwa ajili ya mtoto wako Mwl Christopher Mwakasege. Baba usinyamaze kwa ajili yake na uzao wake Amen!!
Ubarikiwe baba
Thank you Lord Jesus🙏
Amen
Asante Baba
Amen Mungu akuinue
NAOMBA MUNGU UTUSAMEHE UKALIPONYE TAIFA LANGU LA TANZANIA KWA DAMU YA YESU
MUNGU AKUBARIKI BABA. NA MAMA MWAKASEGE KWA HUDUMU YENU
Amen baba mungu azidi kukubaliki
Jameni ndugu zangu munijulishe mufumo katika ingine usemi mimi Niko Congo sielewe vizuri mufumo
Ee,Mungu unikumbuke na mimi katikati ya gadhabu yako kumbuka rehema
Amen baba
So good
Asante kwa somo zuri Mungu akubariki sana
Yesu nakuomba shuka na utukufu wako, ukanitetee katika mifumo yoyote katika maisha yangu
Amen 👏🏾
Amina
🙏🙏🙏
❤
Asnte Yesu kwa Marudio❤❤🇦🇪🇦🇪🔥🔥🔥🍷🍷💃💃💃
AMEEN
YESU PITA UTUSAIDIE USINYAMAZE KIMYA TUSAIDIE KUBAKI MAGOTINI MWAKO
TUSAIDIE ROHO MTAKATIFU
GERMANY
😅😅
BABA BWANA YESU ASIFIWE,KILE KITABU CHA KUOMBEA HAKILI KWA MM NILIOKO DAR ES SALAMA KINAPATIKANA WAPI .